Ashukuriwe Mungu muweza wa yote Alhamndulilah 🇹🇿😘nimefurah mno kukuona umepona unaendelea nakaz zako Mungu nimwema saan amekunyanyua kwa uwezo wake hii ndo inaitwa mkono wa Mungu 😘😘😘Kila lakheir
Kilichochema huandaliwa vyema ugumu wa majukumu hudhihirisha ubora wa mtu muhimu umepitia mengi hili halitokushinda jitoe katika Roho na kweli na Mungu yu pamoja nawe Dr. Mpango kazi njema na yenye mafanikio zaidi.
naunga mkono uteuzi kwa asilimia 100. Mungu akutangulie Dr Mpango. utaacha pengo kubwa wizara ya fedha. lakini nafasi ya makamu wa rais pia ni ya muhimu sana. songa mbele baba.
Hongera sana mzee fanya kazi kwa biidii mtangulize mungu
Ashukuriwe Mungu muweza wa yote Alhamndulilah 🇹🇿😘nimefurah mno kukuona umepona unaendelea nakaz zako Mungu nimwema saan amekunyanyua kwa uwezo wake hii ndo inaitwa mkono wa Mungu 😘😘😘Kila lakheir
Safi sana,
Ila kawalidhishe Lindi na mtwala pesa zao za korosho ndio ufanye mengine
Kilichochema huandaliwa vyema ugumu wa majukumu hudhihirisha ubora wa mtu muhimu umepitia mengi hili halitokushinda jitoe katika Roho na kweli na Mungu yu pamoja nawe Dr. Mpango kazi njema na yenye mafanikio zaidi.
mtu sahihi mtu makini 👏🏽👏🏽🙏
naunga mkono uteuzi kwa asilimia 100. Mungu akutangulie Dr Mpango. utaacha pengo kubwa wizara ya fedha. lakini nafasi ya makamu wa rais pia ni ya muhimu sana. songa mbele baba.
Kumbe uko vizuri umepita sehemu nyingi za kikazi hivo hatuna Shaka mungu akupe nguvu.
uongo dhambi Mpango sio mtu mbaya ...mimi huwa sipendi wasaka vyeo huyu jamaa hakutafuta hata ubunge...
Kwa kweli hapa mungu ametenda ni kama ile ya hayati MHE magufuli embe dodo lililoanguka kutoka kwenye muarobaini mungu ahsante
Ahsante baba kwa ahadi ya kufuata nyayo ubarikiwe sana tunakuombea kila la kheri
Mwenyenzi mungu atakusimamia baba kwa uwezo wake inshallah
Hongera Dr mpango naamini mipango itaenda vizuri
Mungu akulinde baba kweri watanzania tunakuombea uongoze kwaamani natukimuomba mungu amulaze pema peponi laisi wetu magufuli
Hongera sana baba mungu akutie nguv
Kazi ipo
Chombo kutoka.kigoma.hongera.kaka.fanya.kazi tunahitaji.uzalendo.wakweli.mungu.atawaongoza.mkiwa waamininifu.kwa.keki.zetu.za.taifa
Hongera baba upadiri ulikushinda sasa piga kazi ukimtanguliza Mungu , tunaimani naww
Nilazima taifa liendelee, barikiwa sana mzee wetu kwa maneno mazuri, inshallah Mungu Mkubwa kwa uteuzi huu,mshauri sana Mama yetu🙏🏻🙏🏻❤
Mzee umenikumbusha mechi yako na makonda pale bandarini ulivyoondoka na point 3 na goli nyingi.
Very smart,speech yake imenifanya nijione sijui kitu..
kazi inaendelea na mpango mungu amtangulie
Nice mpango
Wew nimtulivu na kuamini kamuunge mkono Mama ucimuangushe
Hongera Baba*Pigs kazi Mungu awe nawe.
Hongera mpango kwa nafasi hiyo tunaomba umshauri vzr mama yetu
Apate kuliongoza vzr taifa letu kama alivyokua akiongoza kipenzi chetu hayati magufuli
Hongera Sana baba
Mungu hakubariki sana
Aksante Dr, ww ndio baba mwingine tuliyekupata kwa sasa
Hongera yake
Hongela Sana mpango
Safiiiiiiiii
Tuntaka viongoz muwe na kashkash🔥🔥🔥 Kama za JPM ,, ikiwezekana hata zaidi ya JPM... Tuntaka muwe mfano mzuri kwa mataifa ya Africa.
Kigoma moja iyo
Waha wanaenda kupata raisi muda si mrefu
Mungu akutangulie makam wetuuuu
Amen
🙏👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Upadir kaz hhhhhhh
Mmmhh sawa ilaa huyuu jamaa kuna walakinii at
Khaa mpewe nani jmn au mdangaji
Saaaafi baba
👍👍👍👍👍👍
💪💪
Asant kwa maneno yako mazuli kilichobaki ni kuziba masikio na kutokusikiliza maneno ni kupambana tu na asie elekea ni kumtumbua tu
Piga kelele kwa kigoma yakeee weeee!
Kasha jiona kalaisi mtalajiwa kenyewe kana mbwembwe aka
Mpango katika mipango
Kongole Mh. Naibu Rais.
Wanakigoma mupo
Tupoooo
Sisytime ya Magufuli bado ipo Sana Ikulu hivi mpango nimtu wawapi?
Kigoma.
@@gloriakomba5149 ok, thanks
Muhaya
Hongera sana
@@mariaasheriissaya3077 yann jmn Maria
Msomi ..busara nyingi
Kbs
Wanapeana wao kwa wao tu
Sasa utapewa wew wanakujua
Waha wanaenda kupata raisi muda si mrefu
🤣🤣🤣🤣