Kumekucha....! NI ZAIDI YA PIGO CHADEMA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 30

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante sana mama, wewe ni mwamba Mungu akupe afya njema uwe na maisha marefu uendelee kupambania haki zetu sisi wananchi. Ahsanteni sana akina mama wote chadema, Pipooooooooooz...✌️❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 2 หลายเดือนก่อน

    Siyaamini tena maneno ya msingwa kuhusiana na chadema

  • @maligiretongora3333
    @maligiretongora3333 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kitendo Cha kumdhihaki Mbowe Kwa kimvalisha mavazi ya ccm ni udhalilishaji.

  • @marcokaroje8980
    @marcokaroje8980 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ndugu yangu hao polisi ni wateule wa Rais kuanzi nafasi za ACP, CP huwezi kuwa kwa mfano RPC,RCO, na vitengo vya polisi kitaifa wanatokana na vyeo hivyo hapo juu wakiuka maagizo ya ikulu wataonekana waasi, hivyo na wao wanafanya kama ulivyoona huko Mbeya wanashinikizwa na kiapo na wanajua kuwa siyo sawasawa kutekeleza uonevu kwa wanachi ambao ni baba zao kaka zao mama zao wajomba zao wakwe zao n.k. pamoja na kwamba kuna uchawa

  • @JuliusKileo-c3h
    @JuliusKileo-c3h 2 หลายเดือนก่อน

    Tunawasubiria ccm kwenye chaguzi zijazo.Tutawagaragaza mpaka.Hofu ya wananchi ni tumeile ile imebadilishwa jina tu.

  • @MwanakomboNassor-bw3by
    @MwanakomboNassor-bw3by 2 หลายเดือนก่อน

    Hamuachi mtaisoma number😂😂😂

  • @ONESMOKAUNDE
    @ONESMOKAUNDE 2 หลายเดือนก่อน +1

    Safe sana mama

  • @HassanKings-e7u
    @HassanKings-e7u 2 หลายเดือนก่อน

    Aa Tanzania hakuna siasa kama Kenya Tanzania ni mipasho tu kupashana basi hawa wanasema hivi wale wanasema vile alimradi mkono uende vinywani basi mana wana siasa wa Tanzania wengi ni wapigaji tu sio tawala wala upenzani ni usanii kwenda mbele

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 หลายเดือนก่อน

    Tena nawaomba viongozi wangu wote mshikamane mpendane mvumiliane mbebeane mazaifu sasa hivi wanawavalisha mango yao mtandao I kutulaghai mnahamia ccm namba moja wameanza na tundu lisu na mbowe sisi hstufanganyiki tunaona msimame insta tunaeapenda sana

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 2 หลายเดือนก่อน

    Wanahofu na chadema✌️

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hiyo chura alipigwa teke akaingia bwawani?

  • @BillingsXaveryNshullo
    @BillingsXaveryNshullo 2 หลายเดือนก่อน

    Mbona head line tofauti na yaliyopo

  • @michaelmshighati8432
    @michaelmshighati8432 2 หลายเดือนก่อน

    Niishara ya Ushindi Mwaka huku CCM watalalia Pua

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai 2 หลายเดือนก่อน

    Ccm wanawaogopa

  • @JohnManyilizu-rl5bm
    @JohnManyilizu-rl5bm 2 หลายเดือนก่อน

    Aaaha

  • @HamisWawila
    @HamisWawila 24 วันที่ผ่านมา

    Ww subili kuchukuliwa atua zakisheria ukitia fujo unakamatwa ww nan

  • @francismomo7067
    @francismomo7067 2 หลายเดือนก่อน

    Kuna akount zingine za TH-cam hazifai kuangalia....Kwan mkisema UKWELI shida n ipi? ...mnataka watu waangalie channel zen semen ukwel

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 2 หลายเดือนก่อน

    Hakuna lolote hamuwezi kuishinda CCM .Hakuna kiongozi aliyekamatwa zaidi yakurudishwa kwao .kiburi ndiyo kilicho wapoza kwanza hamkupingwa vizuri .

    • @francismomo7067
      @francismomo7067 2 หลายเดือนก่อน

      Cdm haiwez kuishnda ccm ,ila wananchi qakichoka wataikataa wenyeww

    • @MirajiMbolile
      @MirajiMbolile 2 หลายเดือนก่อน

      Kila kitu na wakati ipo siku hamtaamini

    • @isayamhumba3352
      @isayamhumba3352 2 หลายเดือนก่อน

      CCM hawawezi kushinda, ila walikubali wenyewe kuwa ni wezi wa kura, Nape alisema kweli

    • @HulumaKisakali
      @HulumaKisakali 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nihalali lakin tumewachoka nyie siwezi nape kasem hakuna uhalali wa ccm maskini tuna kufa nyie matumbo yanajaa saa ya bawana yaja

    • @RobertMsigwa-n2j
      @RobertMsigwa-n2j 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe chizi kweli kunanani mtu waccm mwenye akili ya kuwa kiongozi Toka kwenu ila tuendako siyo kuzuri ipo siku tutakinusha

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 2 หลายเดือนก่อน

    Hiv una mume kweli ww au unadanga tu? Kwa sura hiyo ww mwanamke huna sifa

    • @JosefuSwai
      @JosefuSwai 2 หลายเดือนก่อน

      We mke wangu ndogoroedson

    • @michaelmhina3613
      @michaelmhina3613 2 หลายเดือนก่อน

      Vaa wewe gauni umzidi uzuri. Malaya we

    • @ZaidHamasiZaid
      @ZaidHamasiZaid 2 หลายเดือนก่อน +1

      kuwa na adabu we shoga

  • @edwardmassawe5116
    @edwardmassawe5116 2 หลายเดือนก่อน +1

    Unamvalishaje mbowe nguo ya ccm umbwa wewe