Ahsante sana mama, wewe ni mwamba Mungu akupe afya njema uwe na maisha marefu uendelee kupambania haki zetu sisi wananchi. Ahsanteni sana akina mama wote chadema, Pipooooooooooz...✌️❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndugu yangu hao polisi ni wateule wa Rais kuanzi nafasi za ACP, CP huwezi kuwa kwa mfano RPC,RCO, na vitengo vya polisi kitaifa wanatokana na vyeo hivyo hapo juu wakiuka maagizo ya ikulu wataonekana waasi, hivyo na wao wanafanya kama ulivyoona huko Mbeya wanashinikizwa na kiapo na wanajua kuwa siyo sawasawa kutekeleza uonevu kwa wanachi ambao ni baba zao kaka zao mama zao wajomba zao wakwe zao n.k. pamoja na kwamba kuna uchawa
Aa Tanzania hakuna siasa kama Kenya Tanzania ni mipasho tu kupashana basi hawa wanasema hivi wale wanasema vile alimradi mkono uende vinywani basi mana wana siasa wa Tanzania wengi ni wapigaji tu sio tawala wala upenzani ni usanii kwenda mbele
Tena nawaomba viongozi wangu wote mshikamane mpendane mvumiliane mbebeane mazaifu sasa hivi wanawavalisha mango yao mtandao I kutulaghai mnahamia ccm namba moja wameanza na tundu lisu na mbowe sisi hstufanganyiki tunaona msimame insta tunaeapenda sana
Ahsante sana mama, wewe ni mwamba Mungu akupe afya njema uwe na maisha marefu uendelee kupambania haki zetu sisi wananchi. Ahsanteni sana akina mama wote chadema, Pipooooooooooz...✌️❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongera sana
Siyaamini tena maneno ya msingwa kuhusiana na chadema
Kitendo Cha kumdhihaki Mbowe Kwa kimvalisha mavazi ya ccm ni udhalilishaji.
Ndugu yangu hao polisi ni wateule wa Rais kuanzi nafasi za ACP, CP huwezi kuwa kwa mfano RPC,RCO, na vitengo vya polisi kitaifa wanatokana na vyeo hivyo hapo juu wakiuka maagizo ya ikulu wataonekana waasi, hivyo na wao wanafanya kama ulivyoona huko Mbeya wanashinikizwa na kiapo na wanajua kuwa siyo sawasawa kutekeleza uonevu kwa wanachi ambao ni baba zao kaka zao mama zao wajomba zao wakwe zao n.k. pamoja na kwamba kuna uchawa
Tunawasubiria ccm kwenye chaguzi zijazo.Tutawagaragaza mpaka.Hofu ya wananchi ni tumeile ile imebadilishwa jina tu.
Hamuachi mtaisoma number😂😂😂
Safe sana mama
Aa Tanzania hakuna siasa kama Kenya Tanzania ni mipasho tu kupashana basi hawa wanasema hivi wale wanasema vile alimradi mkono uende vinywani basi mana wana siasa wa Tanzania wengi ni wapigaji tu sio tawala wala upenzani ni usanii kwenda mbele
Tena nawaomba viongozi wangu wote mshikamane mpendane mvumiliane mbebeane mazaifu sasa hivi wanawavalisha mango yao mtandao I kutulaghai mnahamia ccm namba moja wameanza na tundu lisu na mbowe sisi hstufanganyiki tunaona msimame insta tunaeapenda sana
Wanahofu na chadema✌️
Kwa hiyo chura alipigwa teke akaingia bwawani?
Mbona head line tofauti na yaliyopo
Niishara ya Ushindi Mwaka huku CCM watalalia Pua
Ccm wanawaogopa
Aaaha
Ww subili kuchukuliwa atua zakisheria ukitia fujo unakamatwa ww nan
Kuna akount zingine za TH-cam hazifai kuangalia....Kwan mkisema UKWELI shida n ipi? ...mnataka watu waangalie channel zen semen ukwel
Hakuna lolote hamuwezi kuishinda CCM .Hakuna kiongozi aliyekamatwa zaidi yakurudishwa kwao .kiburi ndiyo kilicho wapoza kwanza hamkupingwa vizuri .
Cdm haiwez kuishnda ccm ,ila wananchi qakichoka wataikataa wenyeww
Kila kitu na wakati ipo siku hamtaamini
CCM hawawezi kushinda, ila walikubali wenyewe kuwa ni wezi wa kura, Nape alisema kweli
Nihalali lakin tumewachoka nyie siwezi nape kasem hakuna uhalali wa ccm maskini tuna kufa nyie matumbo yanajaa saa ya bawana yaja
Wewe chizi kweli kunanani mtu waccm mwenye akili ya kuwa kiongozi Toka kwenu ila tuendako siyo kuzuri ipo siku tutakinusha
Hiv una mume kweli ww au unadanga tu? Kwa sura hiyo ww mwanamke huna sifa
We mke wangu ndogoroedson
Vaa wewe gauni umzidi uzuri. Malaya we
kuwa na adabu we shoga
Unamvalishaje mbowe nguo ya ccm umbwa wewe