Ghafla Tumepokea Taarifa hii mbaya kutoka CHADEMA na Kiongozi wao Aliyetekwa Mazito Yafichuliwa

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
  • Mwanaharakati Mdude Nyagali maarufu Mdude Chadema amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar- es Salaam ambapo amehusisha kutekwa kwake na masuala ya siasa.
    CLICK SUBSCRIBE KISHA LIKE NA COMMENT ILI UWEZE KUPATA HABARI NYINGINE KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI.

ความคิดเห็น • 43

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana mudude Mungu atakuwa pamoja na wewe. Mungu hawa watu Mungu uwashughulikie.

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akulinde mtoto eangu nakupenda sana mwanangu

  • @gfydfdf8869
    @gfydfdf8869 หลายเดือนก่อน

    Pole sana 😮😮😮

  • @hassanjuma3114
    @hassanjuma3114 5 ปีที่แล้ว +2

    Pole mungu akupe wepesi ukulinde na watu wabaya

  • @isakakyando8953
    @isakakyando8953 5 ปีที่แล้ว +2

    Mungu hana upendeleo ndo mana kakuponya!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 หลายเดือนก่อน

    Polisi wakuwa kama wahuni fulani. Pole sana mudude kwa sababu wachukuwa watu bila sababu. Hivi kesi ya uchochezi. Wao kukutesa wanadhani wao siyo Wanadamu jamani

  • @andrew.gadimrinji1713
    @andrew.gadimrinji1713 5 ปีที่แล้ว +2

    Kila jambo jema linakuja na sacrifice...pambana usiogope...one things will be ok Mungu yupo na wapenda hski

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 5 ปีที่แล้ว +2

    Daah
    Siku moja nchi itakua huru

  • @Frank-b2d6u
    @Frank-b2d6u 26 วันที่ผ่านมา

    Wachangiaji waccm hovyo sana haya mambo hayausu chadema bali kilamtanzania mwenye akilitimamu anaeona mambo ya hovyo lazima aseme

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 3 ปีที่แล้ว

    Kwani ulikosea nini. Inategemea kama ulivunja sheria utegemee hayo

  • @HASSANMKUYASALUM-wu4ey
    @HASSANMKUYASALUM-wu4ey 3 หลายเดือนก่อน

    TULIA WEWE UNATUMWA NA KAKUBALI USILALAMIKE SI ULISHALIPWA
    NA KUMBE UNAJUA UKWELI KUWA RAIS YUKO NA WEWE HUKUWA NA HESHIMA UMEFUNZWA ADABU HEBU CHUNGA HESHIMA YAKO
    MPUMBAVU WEWE

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul หลายเดือนก่อน

    Mama yk hatangolewa na yashangoka mbwa ww kumamayo

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 3 ปีที่แล้ว

    Ni dunia yote ukivunja sheria unawajibishwa be care full

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga3019 5 ปีที่แล้ว

    Watu wa aina ya ukosoaji wa ninyi mnastahili kichapo tu, hakuna jambo jingine mmejishusha sana kisiasa mwenye akili anawatazama tu mnavyo hangaika mnatia kichefu chefu siasa zimewashinda mmekalia uchochezi wa kipuuzi hivi ninyi mnaabudu mashetani hamjui Mungu mbona mmekuwa kama vichaaa.

  • @mildredaruta9142
    @mildredaruta9142 5 ปีที่แล้ว +1

    Hakika we ni mpambanaji

  • @mselematiku187
    @mselematiku187 5 ปีที่แล้ว

    Songa mbele baba hakuna kukata tamaa

  • @josephmajinge1650
    @josephmajinge1650 5 ปีที่แล้ว

    Hivi jamani kwa maelezo haya kuna ukweli kutekwa na chadema jmn mm huyo aliesema naliomba jeshi la polisi limkamate alisaidie upelelezi kujua aliemteka mdude

  • @eddynyaki5539
    @eddynyaki5539 5 ปีที่แล้ว

    Mmhh...

  • @abdulazizharthy5627
    @abdulazizharthy5627 5 ปีที่แล้ว

    Tumieni kura zenu kuwatowa madarakani la sivyo mtazidi kudhalilishwa kwani mshajuwa makosa yapo wapi poleni sana watanzania udikteta umezidi tanganyika

  • @herikayezu5467
    @herikayezu5467 5 ปีที่แล้ว

    Umevuliwa na mboye

  • @frankjohn8570
    @frankjohn8570 5 ปีที่แล้ว +1

    kuna wasiojulikana, pia watu wabaya ,na kama watu

  • @siubandani8925
    @siubandani8925 5 ปีที่แล้ว

    kaza buti mwanzo mwisho utafika 2 ww nimsemaji wa wanyonge

  • @paulj5653
    @paulj5653 5 ปีที่แล้ว

    Hii sio live tena

  • @zakatiabdalah842
    @zakatiabdalah842 5 ปีที่แล้ว

    ifike mahali tujadili maemdeleo siyo kutengeneza matukio

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga3019 5 ปีที่แล้ว +1

    Utulie utang,olewa meno ulemavu unakunyemelea ninyi hamna adabu mlizoea ukiongea uchafu wenu huo mnaitwa ikulu huyu ndio rais mchapa kazi na mwenye maamuzi, Tafadhali msiwe mnamhusisha na uhuni wenu huo

  • @wilsonjohn1919
    @wilsonjohn1919 5 ปีที่แล้ว

    Jipange utapotezwa wewe, usione wenzio wanaongea sana lao moja na serikali

  • @leilainnocent6532
    @leilainnocent6532 5 ปีที่แล้ว +1

    Huyu Muongo ingekua kweli asingerudia kubwatuka kama tahira,usitudanganye.

    • @andrew.gadimrinji1713
      @andrew.gadimrinji1713 5 ปีที่แล้ว +1

      Wewe ni mtu mwenye roho mbaya ...na una ufahamu mdogo wa mambo ndo maana hata haujaelewa anachoongea Mdude...

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 5 ปีที่แล้ว

      @@andrew.gadimrinji1713 huyo ni mtafuta kick tu, roho mbaya anayo yeye anaetuchafulia jesji kwa faida zake binafsi, bila jeshi maisha yangekuaje?

    • @leilainnocent6532
      @leilainnocent6532 5 ปีที่แล้ว

      @The White wewe tahira kama ukoo wako una akili matakoni hiyo ni wewe na sina haja ya kuyafahamu mapungufu ya ukoo wako get life idiot.

    • @emmanuelzephania989
      @emmanuelzephania989 5 ปีที่แล้ว +1

      pole sana bt mpunguze kiki tunataka mambo ya msngi jmn

    • @eng.mallya9532
      @eng.mallya9532 5 ปีที่แล้ว

      Uongo uko wapi hapo sasa

  • @henryndosi3800
    @henryndosi3800 5 ปีที่แล้ว

    Wacha uongo wewe

  • @hassangomai8884
    @hassangomai8884 5 ปีที่แล้ว +1

    wewe shoga tu uhonekane kama nani

  • @angelanather9640
    @angelanather9640 5 ปีที่แล้ว +1

    Wewe uliwaonaje wakiruka kichura ukiwa umefichwa ndani?

    • @michaelndilima6210
      @michaelndilima6210 5 ปีที่แล้ว

      Unadanganya

    • @kupashwachacha8120
      @kupashwachacha8120 5 ปีที่แล้ว

      Wewe uliwaonaje ukiwa umefichwa?Tuna amani.

    • @haurtyounis3966
      @haurtyounis3966 ปีที่แล้ว

      Serekali ndiochazo cha ugaid nandiomana hatahao panyarod niwatoto waliosoma ugaid kutoka kwenye vyombo vya dola wanatumianguvu kama serekali ilipotaka nchi

  • @josephnchunga3019
    @josephnchunga3019 5 ปีที่แล้ว +1

    Utulie utang,olewa meno ulemavu unakunyemelea ninyi hamna adabu mlizoea ukiongea uchafu wenu huo mnaitwa ikulu huyu ndio rais mchapa kazi na mwenye maamuzi, Tafadhali msiwe mnamhusisha na uhuni wenu huo