Ghafla Tumepokea Taarifa hii mbaya kutoka CHADEMA na Kiongozi wao Aliyetekwa Mazito Yafichuliwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- Mwanaharakati Mdude Nyagali maarufu Mdude Chadema amezungumza na waandishi wa habari jijini Dar- es Salaam ambapo amehusisha kutekwa kwake na masuala ya siasa.
CLICK SUBSCRIBE KISHA LIKE NA COMMENT ILI UWEZE KUPATA HABARI NYINGINE KIRAHISI NA HARAKA ZAIDI.
Pole sana mudude Mungu atakuwa pamoja na wewe. Mungu hawa watu Mungu uwashughulikie.
Mungu akulinde mtoto eangu nakupenda sana mwanangu
Pole
Pole
Mungu awaponye maumivu yote
Pole sana 😮😮😮
Pole mungu akupe wepesi ukulinde na watu wabaya
Mungu hana upendeleo ndo mana kakuponya!
Polisi wakuwa kama wahuni fulani. Pole sana mudude kwa sababu wachukuwa watu bila sababu. Hivi kesi ya uchochezi. Wao kukutesa wanadhani wao siyo Wanadamu jamani
Kila jambo jema linakuja na sacrifice...pambana usiogope...one things will be ok Mungu yupo na wapenda hski
Daah
Siku moja nchi itakua huru
Wachangiaji waccm hovyo sana haya mambo hayausu chadema bali kilamtanzania mwenye akilitimamu anaeona mambo ya hovyo lazima aseme
Kwani ulikosea nini. Inategemea kama ulivunja sheria utegemee hayo
TULIA WEWE UNATUMWA NA KAKUBALI USILALAMIKE SI ULISHALIPWA
NA KUMBE UNAJUA UKWELI KUWA RAIS YUKO NA WEWE HUKUWA NA HESHIMA UMEFUNZWA ADABU HEBU CHUNGA HESHIMA YAKO
MPUMBAVU WEWE
Mama yk hatangolewa na yashangoka mbwa ww kumamayo
Ni dunia yote ukivunja sheria unawajibishwa be care full
Watu wa aina ya ukosoaji wa ninyi mnastahili kichapo tu, hakuna jambo jingine mmejishusha sana kisiasa mwenye akili anawatazama tu mnavyo hangaika mnatia kichefu chefu siasa zimewashinda mmekalia uchochezi wa kipuuzi hivi ninyi mnaabudu mashetani hamjui Mungu mbona mmekuwa kama vichaaa.
Hakika we ni mpambanaji
Songa mbele baba hakuna kukata tamaa
Hivi jamani kwa maelezo haya kuna ukweli kutekwa na chadema jmn mm huyo aliesema naliomba jeshi la polisi limkamate alisaidie upelelezi kujua aliemteka mdude
Mmhh...
Tumieni kura zenu kuwatowa madarakani la sivyo mtazidi kudhalilishwa kwani mshajuwa makosa yapo wapi poleni sana watanzania udikteta umezidi tanganyika
Umevuliwa na mboye
kuna wasiojulikana, pia watu wabaya ,na kama watu
kaza buti mwanzo mwisho utafika 2 ww nimsemaji wa wanyonge
Hii sio live tena
ifike mahali tujadili maemdeleo siyo kutengeneza matukio
Utulie utang,olewa meno ulemavu unakunyemelea ninyi hamna adabu mlizoea ukiongea uchafu wenu huo mnaitwa ikulu huyu ndio rais mchapa kazi na mwenye maamuzi, Tafadhali msiwe mnamhusisha na uhuni wenu huo
Jipange utapotezwa wewe, usione wenzio wanaongea sana lao moja na serikali
Huyu Muongo ingekua kweli asingerudia kubwatuka kama tahira,usitudanganye.
Wewe ni mtu mwenye roho mbaya ...na una ufahamu mdogo wa mambo ndo maana hata haujaelewa anachoongea Mdude...
@@andrew.gadimrinji1713 huyo ni mtafuta kick tu, roho mbaya anayo yeye anaetuchafulia jesji kwa faida zake binafsi, bila jeshi maisha yangekuaje?
@The White wewe tahira kama ukoo wako una akili matakoni hiyo ni wewe na sina haja ya kuyafahamu mapungufu ya ukoo wako get life idiot.
pole sana bt mpunguze kiki tunataka mambo ya msngi jmn
Uongo uko wapi hapo sasa
Wacha uongo wewe
wewe shoga tu uhonekane kama nani
Wewe uliwaonaje wakiruka kichura ukiwa umefichwa ndani?
Unadanganya
Wewe uliwaonaje ukiwa umefichwa?Tuna amani.
Serekali ndiochazo cha ugaid nandiomana hatahao panyarod niwatoto waliosoma ugaid kutoka kwenye vyombo vya dola wanatumianguvu kama serekali ilipotaka nchi
Utulie utang,olewa meno ulemavu unakunyemelea ninyi hamna adabu mlizoea ukiongea uchafu wenu huo mnaitwa ikulu huyu ndio rais mchapa kazi na mwenye maamuzi, Tafadhali msiwe mnamhusisha na uhuni wenu huo