NONGWA ZA MSIMU (Ep 3) | Simba bila Chama; Kambi ya Yanga Avic Town; Mashabiki washikana mashati
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ย. 2024
- MASHABIKI WASHIKANA MASHATI | Ni Episode ya tatu ya #NongwaZaMsimu iliyoruka Julai 14, 2024 , mashabiki wakivutana mashabiki wakivutana mashati kuhusu mada ya Clatous Chama kuhamia Yanga na mambo yanayojiri kwenye kambi ya Yanga, Avic Town, ambako Singida Black Stars pia wamejichimbia.
Je, Simba bila Chama na Azam bila Dube itakuwaje!!?
Tazama mashabiki walivyochuana... vinara wakiwa ni Mwalimu Yanga na Kisugu wa Simba.
Nongwa za Msimu ni kila Jumapili saa 3:30 usiku na Rais wa Nongwa, Jamal Abbas Doddy.
Namkubali sana huyu mzeee walah konga laiki hapa
😂😂😂😂😂 Watu woote tunamsikiliza mzee said
Kwa wanokubali kipindi cha nongwa za msimu tujuane kwenye like❤
Mm kiukweli aliye nogosha huu mdaharo ni mzee sadi nampendaga sana
Hhiki. Kipindi kiendeleee
Asante kwa kutuletea mzee saidi napenda kumona alivyo mbishi khaaaa😅😅😅
Mzee said😂😂😂🎉❤❤
Mzee said💥💥
Nilivyoona picha ya mzee said tu, nikachoma ndani npate burudanii😅
Mzee Said ni Sumu sana..💪💪
Mzee said🔥🔥🔥🔥
Mnafurahisha sana endeleeni
Mzee saidi 😂😂😂😂 kubali sanaaa
Mzee saidi nakukubali
Mzee saidi 💯💯💯
Hapo station ukifanya masihara waweza kuchelewa job aisee😀😀
😂😂😂😂🙌🙌
Tupo hapa kwa ajil ya mzee said 🔥🔥🔥🔥
Duh, hilo zengwe mimi mwenyewe hoi😂😂
Mi ni yanga lakini nampenda sana mzee saidi huwa ananifurahisha sana
Mzee said atatuua kwa fulaha ❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Rahaaaa sana mzee said jmn
Mzee side wa motoo 🔥🔥🔥
Mzee said MAN OF THE MATCH
Hizi team ukiangalia kwa ukaribu zimekaaa kisiasa sana,mpira umefunga akili za watu sana aisee,hasa hizi simba na yanga
Hichi kipindi sio poa Asanter azm Muna ubunifu wa hali ya juu
😂😂😂😂😂 mzee saidi khaaaaà
Kwa Mzee said mmetishaaa san azam
Kazi
Simba dam❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mzee saidi nimecheka kwa sautiii
Mzee said😂😂😂
😂😂😂😂😂mzee said ukirudi tu sauti hana daah
😂😂😂
Big up sana DODI unatufurahisha sana..Creativity nzuri sana ya kipindi lkn punguzeni Makelele yataleta kutokuheshimiana...
Kiukwel hiki kipind kimenikoshaa sana❤
Hichi ndicho kipindi bora chamizo Azam tv
🎉yanga rushwa sanaaa
Good yanga💚
Baba Dodi hlo jambo kubwa sana bonge la creativity naomba niongezee kdogo hapo kaka hcho hcho kjwe kinabid kiwe na magazine ya michezo ya cku huska pamoja kijewe cha kahawa
Mwanaume 1 tuu Mzee saidi😂😂😂
❤❤❤ i like this guess
Mzee said ananifulahusha sana la
Mzee Said bhanaah😂😂😂
Ila mzee SAID bwana nampenda bure
Mbona mzee magoma simuoni hapa
Mze said chukuwa mahuwa Yako💐💐💐💐
Mzee said kanogesha mdahalo sana
Mwenye kazi Hana akili kichwani ana takwimu za watu😅😅😅
Mjadara mzuri
Watovu wa nizamu fc😂😂😂wazee African
Asanteni saana jameni kweli tumeburusishwa na hiki kipindi, woote waliochangia mubarikiwe
Yanga
Mjadala uko vizuri
Mzee said bhana dah 😂😂❤
Kuwa shabiki wa Simba ni bahati kubwasana watu wa Simba ni waelewa mnooo na mpira wanaujua🦁🦁🦁🦁
Mzee saidiii😂😂😂😂
@@wizzyfernando8655 🦁🦁🫶🫶
kipindi kizuri sana. kiendelee
Jamani mnatufurahisha wanayanga
Kwa mara ya kwanza nacoment mzee said kanifanya nicheke bila kujizuia mzee hatar
Hutubia km unahutubia serikali... Mzee said checheiiiii
Mzee said oyee
😂😂😂😂😂😂Mzee said ❤❤❤❤❤
Mzee saidi yupo ki shariii na ki vita vita 2 😂😂😂
Aaaaaah side kapatikana 😊😊😊😊😊😊😊
BONGE LA SHOW. HONGERENI WATANI😄🤣
Mada ya chama haiishi wallah 😂😂😂😂😂ikiisha inaanza upyaa😅😅
Hicho kimwalimu kinatinyanga kina mihemuko 😅😅😅
Mzeee saidi oyeeeee
Mwalimu yanga😂😂, utamuuwa mzee saidi😂😂😂
Jamani mzee magoma awepo
Doddy anaendana na mada na jukwaa lenyewe
God yanga anaongea kishabiki
m bado Simba inajipanga m sijuwi rini itakaa viziri
Mzeee saideeeeeeeeeeee😅😅😅😅😅❤❤❤❤❤
Mimi Yanga Ila mpenzi mwenzetu wa Yanga dosa kuongea mpira hajui bana
Mngekua mnatumia nguvu kubwa km hii kwenye dini raha sanaa
Kipindi kimechangamka 🤗🤗🤗🤗🤗
Doddy kazi anayo ap😂😂😂
Mwalimu Yanga ana kitu🔥🙌🏽
Daaaaaaaah kunawatu wako hapo duuuuu
Kimtu kimevaa hadi kanzu lkn hakina akili😅😅
Mwalimu😂😂😂😂😂 Big up
Mashabiki wa yanga Leo ndo wanajua chama ni bola 😂
Nashangaaa
Ila Mzee said 😂😂😂😂😂😂 kipind kinanoga Sana ❤❤❤
Huyu mwalimu atafelisha sana wanafunzi
Mwalimu Yanga watakuja kumpiga eti Simba alifungwa goli 90 nimecheka sana aiseee
Sikiliza kwa makina mwalimu
Anakwambia chama tena na shule😂😂😂😂😂 mzee said
Dobi huwe na filimbi,na kadi
Za Njano,Nyekundu,Nyeusi na nyeupe
Vocês Tanzanianos discutem o futebol como deve ser, por isso em termos de Ckubes estao indo para outro nivel daqui 2 anos estarão no mesmo nivel do Egito
Obrigado 👏
Tunaomba gb64 aalikwe hapa
Mzee said hahahahahahahhaha
😂😂😂😂😂😂😂😂 dah Mzee side anachekesha
Mzee Said punguza jazba baba
Mashabiki wa simba waliopo apo mzee said ty nd anaakili
Mzee side daaaa anateseka sana chama😂😂😂😂
Alafu mmiliki wa avic sio club ya yanga team yoyote inaruhusiwa kwenda
❤
Mzee Said kipindi hakimfai Kwan anajazba sana
simba bila chama haiwezekani😂😂😂😂
Mm ananichekesha dodi😂😂😂
Hao Bado wanamhitaji chama ndo maana ukimtaja chama wanapiga sana kelele
Yan Leo ndio mnakubali chama yanga mnatia aibu
Next mjadala yanga wanavyo muongelea chama kama kaesaedia simba wanaeza muongelea fei km kaesaedia yanga