WAKIMBIZI WENGI WAMESHAJUWA UKIENDA TZ SEMA WEWE NI UTOPOLO HALAFU JIFANYE UNAMKUMBUKA SANA MAGUFULI 😂😂😂😂 BASI UTAONEKAKANA WEWE NI RAIA WAKIMBIZI NYIE. 😂😂😂😂😂
Dosa katumia akili sana, wasikilizaji wamekurupuka na kujaa povu bila kujua ana maanisha kuwa Timu ya Yanga ilianzishwa kwanza ndio timu ya Simba ikaanzishwa. Kaifananisha na Adam na hawa.
Muamko kwa mashabiki wa yanga ni mdogo kwa sababu ya hamsha hamsha haipo ally kamwe angebaki kufanya hamasa kama alivyofanya ahmed ally hiyo ndo tofauti ya haji manara na ally kamwe
😂😂😂😂
Afu huyo dosa ni choko kewl,sijamuelewa kaambiwa sanda ndo vaz Bora litakalovaliwa na yeyote hata awe nan
LILE JENGO LA UTOPOLO PALE JANGWANI PESA ZA WAPEMBA ZA KARAFUU 😂😂😂😂😂😂 RUDISHENI FUNGUWO HIZO NYUMBA SIO YENU 😂😂😂😂😂 MZEE MAGOMA OYEEEEE
TUKAULIZE UINGEREZA KAMA YANGA NDIO MLIOENDA KUDAI UHURU WA TANGANYIKA 😂😂😂😂😂 KWELI NYIE MACHOGO 😂😂😂
Kama mpira ni kumsikiliza dosa naacha kufuatilia na hii tv sijui niiache kuingalia maana dosa ni mbishi siyo mtu wa mpira kabsa
Dosa anaupungu wa afya ya akili
VINUKA MKOJO 😂😂😂😂😂😂
Yanga na mpira wapi bhana kazi kubisha tu vijiweni na kweny makahawa kupiga kelele Simba Hadi 29 ni sold out
Usitake kujitetea ujinga ,ww maneno yako yatakughalimu
Huyu jamaa mbishi huyu kanajifanya kanajua mpira lakin hajui chochote
WAKIMBIZI WENGI WAMESHAJUWA UKIENDA TZ SEMA WEWE NI UTOPOLO HALAFU JIFANYE UNAMKUMBUKA SANA MAGUFULI 😂😂😂😂 BASI UTAONEKAKANA WEWE NI RAIA WAKIMBIZI NYIE. 😂😂😂😂😂
Kama wanaogopa kwa aziziki okay sawa niambie anaviatu vingapi cafu crabu bingwa
AZIZI KI NA BALEKE MNGEWAJUWA KAMA SIO SIMBA???? SIMBA OYEEEEEE ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ UBAYA UBWELA ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Jafeth chagua watu wa kuwaita watu wanaojua kuongelea football km Masatu sio choko dosa
TULIYA AKSON NI SIMBA KINDAKI NDAKI MLIWAHI KUMUALIKA MKATAKA KUMPA KIGWANDA CHENU AKAWAGOMEA PALE PALE KAMA HUJUWI ULIZA
Huyu dosa akapimwe akili. Nimental wakutosha.
Maneno kumala kumlomo🤣🤣🤣🤣🤣
Ukimaliza sema taja yanga yangapi africa
DOSA NI M GONJWA WA HAKILI APELEKWE MILEMBE.
Dah huyo Mzee Masatu anajua kusoma na kuandika kweli!?
Dosa katumia akili sana, wasikilizaji wamekurupuka na kujaa povu bila kujua ana maanisha kuwa Timu ya Yanga ilianzishwa kwanza ndio timu ya Simba ikaanzishwa. Kaifananisha na Adam na hawa.
Hawa, maana yake mtu mke aliye toka kwa mwanaume
TUONYESHE KADI ZAO KARUME NA NYERERE ZA UANA CHAMA WA YANGA KAMA MNAZO 😂😂😂😂😂 MATOPOLOOOOOO
DOSA MSHAMBA WA MUHEZA HUYO 😂😂😂😂😂
Muamko kwa mashabiki wa yanga ni mdogo kwa sababu ya hamsha hamsha haipo ally kamwe angebaki kufanya hamasa kama alivyofanya ahmed ally hiyo ndo tofauti ya haji manara na ally kamwe
Dosa kz unayo unawez baba
Makolo wengi naona wakiteseka na hoja za dosa
Dosa anaupungu wa afya ya akili
Afu huyo dosa ni choko kewl,sijamuelewa kaambiwa sanda ndo vaz Bora litakalovaliwa na yeyote hata awe nan