TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2019
  • Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.

ความคิดเห็น • 303

  • @focuspolitics4622
    @focuspolitics4622 5 ปีที่แล้ว +63

    Safi kabisaaa hicho ndicho kiswahili anachokipigia debe mhe.magufuli kinakua duniani kote

  • @mwajumakoshuma5417
    @mwajumakoshuma5417 5 ปีที่แล้ว +17

    Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam

  • @shabanichaye8255
    @shabanichaye8255 5 ปีที่แล้ว +53

    Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like

  • @queengee988
    @queengee988 5 ปีที่แล้ว +94

    Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs

    • @butondodavid2105
      @butondodavid2105 5 ปีที่แล้ว +2

      Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei

    • @queengee988
      @queengee988 5 ปีที่แล้ว +2

      @@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂

    • @BONGOINMOTION
      @BONGOINMOTION 5 ปีที่แล้ว

      @@queengee988
      Wapuuzi

    • @jacksonmathayo6510
      @jacksonmathayo6510 4 ปีที่แล้ว

      Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱

    • @hajjiqasim5977
      @hajjiqasim5977 4 ปีที่แล้ว +1

      😁😁😁love you tz love you kiswahili

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 ปีที่แล้ว +15

    Maasha Allah Aisha muislam😘

  • @rodicostantino7278
    @rodicostantino7278 5 ปีที่แล้ว +36

    arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu

  • @issaathumani4682
    @issaathumani4682 5 ปีที่แล้ว +9

    Hahahaaa!
    Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana

  • @boniphacenyamhanga9395
    @boniphacenyamhanga9395 5 ปีที่แล้ว +9

    Napenda Ayo tv, sana hongereni sana

  • @onefineday7613
    @onefineday7613 4 ปีที่แล้ว +4

    Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊

  • @hersheymoge1232
    @hersheymoge1232 5 ปีที่แล้ว +11

    Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳

  • @mmlove9127
    @mmlove9127 4 ปีที่แล้ว +5

    Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....

  • @mukhsinsalum9871
    @mukhsinsalum9871 5 ปีที่แล้ว +16

    Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa

  • @jonamnyone8014
    @jonamnyone8014 5 ปีที่แล้ว +16

    AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI

  • @santegotoronto5803
    @santegotoronto5803 5 ปีที่แล้ว +81

    Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa

  • @mohamedbinfadhil1396
    @mohamedbinfadhil1396 5 ปีที่แล้ว +53

    Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.

  • @musahussein3206
    @musahussein3206 5 ปีที่แล้ว +6

    Kama umesikia dona sembe napika gonga like

  • @bananatz4216
    @bananatz4216 4 ปีที่แล้ว +6

    Maashaallah Muslim 🙏🙏

  • @mariamahmad8261
    @mariamahmad8261 4 ปีที่แล้ว +2

    maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 ปีที่แล้ว +31

    Mimi pia funga hamna kula

    • @aidarousshaban9580
      @aidarousshaban9580 3 ปีที่แล้ว +1

      Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?

    • @saidhamisi2795
      @saidhamisi2795 3 ปีที่แล้ว

      😂😂

  • @wilsondomisian9807
    @wilsondomisian9807 5 ปีที่แล้ว +4

    Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 5 ปีที่แล้ว +3

    Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu

  • @gretamaheri8437
    @gretamaheri8437 5 ปีที่แล้ว +6

    Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂

  • @magrethelias1961
    @magrethelias1961 5 ปีที่แล้ว +4

    TANZANIA juu hapana chezea

  • @Sangoyamboka
    @Sangoyamboka 4 ปีที่แล้ว +1

    Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.

  • @jeremiakaridushi7974
    @jeremiakaridushi7974 3 ปีที่แล้ว

    Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu

  • @kevincray5591
    @kevincray5591 5 ปีที่แล้ว +2

    hongera sana AISHA nimekukubari sana

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf 6 หลายเดือนก่อน

    MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏

  • @aminamgunga6270
    @aminamgunga6270 5 ปีที่แล้ว +7

    Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi

  • @zakaliajoseph7705
    @zakaliajoseph7705 ปีที่แล้ว

    Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 4 ปีที่แล้ว +1

    NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @faridaothman
    @faridaothman 5 ปีที่แล้ว +2

    Safi sanaaa

  • @husnanetto4154
    @husnanetto4154 3 ปีที่แล้ว +1

    Aki yamung Tanzania nchi pendwa

  • @rajabuhondo4973
    @rajabuhondo4973 3 ปีที่แล้ว

    Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie

  • @goodluckmachangu5941
    @goodluckmachangu5941 5 ปีที่แล้ว +5

    Vizur sana hii story ni exposure nzur

  • @gallousgosbert4993
    @gallousgosbert4993 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli

  • @belgieboys9867
    @belgieboys9867 5 ปีที่แล้ว +2

    Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI
    Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz.
    Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais.
    MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ
    NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA

  • @yassirkipemba7889
    @yassirkipemba7889 5 ปีที่แล้ว +9

    hamsinyii😂😂😂😂

  • @fettyameir4514
    @fettyameir4514 5 ปีที่แล้ว +3

    Nic

  • @hadijajohn7434
    @hadijajohn7434 2 ปีที่แล้ว

    Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili

  • @DrSanai
    @DrSanai 5 ปีที่แล้ว +1

    Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 4 ปีที่แล้ว +1

    Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 ปีที่แล้ว

    Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri

  • @saidiissa8729
    @saidiissa8729 5 ปีที่แล้ว +2

    Mashaa Allah muislam dah

  • @PowerPower-ms3bs
    @PowerPower-ms3bs 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana mchina

  • @alexandrinadomaino9868
    @alexandrinadomaino9868 3 ปีที่แล้ว

    Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda

  • @salummuhija4435
    @salummuhija4435 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana nimeipenda

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 ปีที่แล้ว +1

    Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲

  • @gracecharles1244
    @gracecharles1244 4 ปีที่แล้ว

    China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha

  • @am12ghh37
    @am12ghh37 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕

  • @MtilahBlog
    @MtilahBlog 5 ปีที่แล้ว +6

    Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.

    • @teychriss3248
      @teychriss3248 3 ปีที่แล้ว

      Nichukue na mm! 😓😓

  • @mwanadamtz1298
    @mwanadamtz1298 5 ปีที่แล้ว

    Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 5 ปีที่แล้ว +1

    Magufuli ana julikana hadi China

  • @mcnjovu3525
    @mcnjovu3525 4 ปีที่แล้ว

    Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha

  • @najma3268
    @najma3268 5 ปีที่แล้ว +4

    Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi

    • @elizabethjoseph2116
      @elizabethjoseph2116 5 ปีที่แล้ว +1

      Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao

    • @najma3268
      @najma3268 5 ปีที่แล้ว +2

      Elizabeth Joseph haswa

  • @selemanikapara1972
    @selemanikapara1972 5 ปีที่แล้ว +6

    ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa

    • @mosimba467
      @mosimba467 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa ndg yangu

  • @mubanduvuai7876
    @mubanduvuai7876 ปีที่แล้ว

    It soo awesame....

  • @kassimjuma8713
    @kassimjuma8713 5 ปีที่แล้ว +25

    Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili

  • @linusrohomoja8856
    @linusrohomoja8856 4 ปีที่แล้ว +1

    shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.

  • @batulimohamed6088
    @batulimohamed6088 3 ปีที่แล้ว

    Nimekupenda cn aisha

  • @kristinaojambo3611
    @kristinaojambo3611 5 ปีที่แล้ว

    Asante saana bint

  • @zulfamohamed4549
    @zulfamohamed4549 5 ปีที่แล้ว +3

    Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa

    • @babuallyabdallah2964
      @babuallyabdallah2964 4 ปีที่แล้ว

      Wapigaji tu hao
      Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!!
      Ukizubaa imekula kwako

  • @batromeombogo7131
    @batromeombogo7131 5 ปีที่แล้ว +9

    Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai

    • @elizabethjoseph2116
      @elizabethjoseph2116 5 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha et watamaliza sufuria

    • @madinabilos6617
      @madinabilos6617 5 ปีที่แล้ว

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @walivyojuma7095
      @walivyojuma7095 4 ปีที่แล้ว

      😂😂😅😂🤣😂😅🤣😂

    • @walivyojuma7095
      @walivyojuma7095 4 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa maan ugali unaonekana laini laini hatari

    • @blessmsolina727
      @blessmsolina727 4 ปีที่แล้ว

      Jamani

  • @paulofesto4948
    @paulofesto4948 5 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana Aisha

  • @officialsalmazayn2938
    @officialsalmazayn2938 5 ปีที่แล้ว +4

    Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni

  • @frankassey5971
    @frankassey5971 5 ปีที่แล้ว +2

    Kumbe kuku wa kienyeji wapo

  • @badaral6167
    @badaral6167 ปีที่แล้ว

    Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha

  • @queengee988
    @queengee988 5 ปีที่แล้ว +16

    Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️

  • @faridaothman
    @faridaothman 5 ปีที่แล้ว +1

    Meini mombe jaman

    • @amnemkubwa7353
      @amnemkubwa7353 5 ปีที่แล้ว +1

      @Kay Ji 😅😅😃😃😃

  • @estherdeo1858
    @estherdeo1858 3 ปีที่แล้ว

    Good job

  • @michelletv5648
    @michelletv5648 3 ปีที่แล้ว

    Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕

  • @Swedishmumy
    @Swedishmumy 5 ปีที่แล้ว

    karibu again chin

  • @shuaybukitwanga7644
    @shuaybukitwanga7644 3 ปีที่แล้ว

    Mashallaaaaaah Aisha

  • @zenaycechanzinho6702
    @zenaycechanzinho6702 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋

  • @ramsojimmykelly3379
    @ramsojimmykelly3379 5 ปีที่แล้ว +3

    Aisha umetisha sana

  • @e.b.m.y.c.b4848
    @e.b.m.y.c.b4848 5 ปีที่แล้ว +1

    Mchina ametisha sanaa

  • @gullaalex6590
    @gullaalex6590 4 ปีที่แล้ว

    😍😍Karb tz aisha

  • @aminamadenge8598
    @aminamadenge8598 ปีที่แล้ว

    Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman

  • @mubanduvuai7876
    @mubanduvuai7876 ปีที่แล้ว

    I like the way she talks

  • @ambrosekituyi2199
    @ambrosekituyi2199 5 ปีที่แล้ว +1

    Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.

    • @jp1780
      @jp1780 5 ปีที่แล้ว +1

      Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it

  • @teychriss3248
    @teychriss3248 3 ปีที่แล้ว +1

    Aisha anaongea kama masai!

  • @zakayomusa9933
    @zakayomusa9933 4 ปีที่แล้ว

    Hongera Aisha

  • @deboramushi8471
    @deboramushi8471 4 ปีที่แล้ว

    duuuh mchina nomaaa

  • @nickomlimbila217
    @nickomlimbila217 4 ปีที่แล้ว +3

    Kama na wewe umeliona dona hilo china hebu gonga like twende sawa😁

  • @khamisshee4706
    @khamisshee4706 5 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @giftnyakipande1253
    @giftnyakipande1253 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 3 ปีที่แล้ว

    Safi sana dada

  • @esthernsami7732
    @esthernsami7732 4 ปีที่แล้ว

    Watanzania mwe macho.Mtapikiwa Mbwa na Nyoka

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 3 ปีที่แล้ว

    Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew

  • @priscalameck8700
    @priscalameck8700 3 ปีที่แล้ว

    😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh

  • @maidasaid9449
    @maidasaid9449 5 ปีที่แล้ว

    nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha

  • @shekinahfaymatatiana5875
    @shekinahfaymatatiana5875 4 ปีที่แล้ว

    Kazi ipo 😝😝😂😂nimecheka

  • @africanbeautyx4128
    @africanbeautyx4128 4 ปีที่แล้ว

    Huyu mchina kanifurahisha sana anmjua hadi muheshimiwa rais Magufuli

  • @jumaramadhan3380
    @jumaramadhan3380 4 ปีที่แล้ว +2

    Aisha kiswahili chako cha privet kwelii 😂😂😂gonga like nyingi nyingi kwa Aisha

  • @josephmatonyi1802
    @josephmatonyi1802 4 ปีที่แล้ว

    Wewe eeeeeeeeeeeee gooooooooooood China

  • @samijumanne7984
    @samijumanne7984 3 ปีที่แล้ว

    👏👏

  • @hawasaleh504
    @hawasaleh504 4 ปีที่แล้ว +1

    Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna

  • @veronicadickson1859
    @veronicadickson1859 4 ปีที่แล้ว

    safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 5 ปีที่แล้ว

    karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee

    • @mrholela7906
      @mrholela7906 5 ปีที่แล้ว

      Haha hahahaha ....mnachekesha sana

  • @peteralfonce5848
    @peteralfonce5848 5 ปีที่แล้ว +2

    Nimempenda isha sana2