TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2019
- Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.
Safi kabisaaa hicho ndicho kiswahili anachokipigia debe mhe.magufuli kinakua duniani kote
Inapendezana
Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam
Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like
Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs
Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei
@@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂
@@queengee988
Wapuuzi
Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱
😁😁😁love you tz love you kiswahili
Maasha Allah Aisha muislam😘
arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu
Hahahaaa!
Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana
Napenda Ayo tv, sana hongereni sana
Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊
Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳
Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....
Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa
AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI
Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa
😅😅🤣🤣🤣😃
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣
Mungu yuwakuona🤣🤣👌
Tekita. Bei😂😂😂😂😂😂😂
Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.
That's true bro
Nikweri maana kunaswali limempita
mhojiwaji mwenyewe yuko moto kujibuuuu
😂😂😂😂😂 nimecheka Sana Hawa wachina kiboko
@@hawamkamba2407 😆😆😆😆😆
Kama umesikia dona sembe napika gonga like
Maashaallah Muslim 🙏🙏
maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu
Mimi pia funga hamna kula
Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?
😂😂
Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa
Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu
Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂
TANZANIA juu hapana chezea
Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.
Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu
hongera sana AISHA nimekukubari sana
MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏
Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi
Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana
NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!
Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Safi sanaaa
Aki yamung Tanzania nchi pendwa
Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie
Vizur sana hii story ni exposure nzur
Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli
Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI
Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz.
Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais.
MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ
NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA
hamsinyii😂😂😂😂
Nic
Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili
Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.
Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili
Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri
Mashaa Allah muislam dah
Safi sana mchina
Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda
Safi sana nimeipenda
Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲
China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha
Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕
Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.
Nichukue na mm! 😓😓
Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa
Magufuli ana julikana hadi China
Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha
Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi
Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao
Elizabeth Joseph haswa
ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa
Kweli kabisa ndg yangu
It soo awesame....
Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili
Kweeeli utakuta vi english viiiiiiingi
Ukiwachunguza sana hao utagundua ni vipigaji tuu
😂Umeonaee
Umeona 🤣🤣🤣
Si vijinga tu
shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.
Nimekupenda cn aisha
Asante saana bint
Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa
Wapigaji tu hao
Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!!
Ukizubaa imekula kwako
Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha et watamaliza sufuria
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😅😂🤣😂😅🤣😂
Kweli kabisa maan ugali unaonekana laini laini hatari
Jamani
Safi sana Aisha
Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni
Kumbe kuku wa kienyeji wapo
Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha
Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️🙆♀️
unakaa wapi?
😂😂😂😂wakufa vita vya pili
Mi nipo dada angu ....japo sijapata wa kupika nae .....
😂😂😂kila mtu anamajukumu yake wewe utaenda kazini kumsaidie
Nipo mma
Meini mombe jaman
@Kay Ji 😅😅😃😃😃
Good job
Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕
karibu again chin
Mashallaaaaaah Aisha
Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋
Aisha umetisha sana
Mchina ametisha sanaa
😍😍Karb tz aisha
Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman
I like the way she talks
Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.
Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it
Aisha anaongea kama masai!
Hongera Aisha
duuuh mchina nomaaa
Kama na wewe umeliona dona hilo china hebu gonga like twende sawa😁
Mashaallah
Wow
Safi sana dada
Watanzania mwe macho.Mtapikiwa Mbwa na Nyoka
Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew
😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh
nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha
Kazi ipo 😝😝😂😂nimecheka
Huyu mchina kanifurahisha sana anmjua hadi muheshimiwa rais Magufuli
Aisha kiswahili chako cha privet kwelii 😂😂😂gonga like nyingi nyingi kwa Aisha
Wewe eeeeeeeeeeeee gooooooooooood China
👏👏
Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna
safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂
karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee
Haha hahahaha ....mnachekesha sana
Nimempenda isha sana2