KIJANA ANAEMILIKI MGAHAWA CHINA, 'SIKUTAKA WATANZANIA WALE NYOKA, NIMEKUJA KUSOMA'
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- #KilimanjaroRestaurant #YiwuChina
Kilimanjaro Restaurant ni mgahawa ulipewa jina la mlima uliopo Tanzania na ndio sehemu pekee inayopika chakula cha Kitanzania kwenye mji wa Yiwu China
Cha kwanza nikumpongeza AYO tv kupenya Hadi China,give him hi five,afu tumpongeze kijana wenzetu
nlichopenda mimi anaongea kiswahili vzur sio wale u know you know ,,, hongera kaka umefanya jambo la muhimu
Daa kweli kabisa sio awa uk mtu teja lakini abaongea luga za watu
Umenikumbusha magufuli you know
Hongera sana bro
Daaaaaaah jamani mm naombeni kazi najua kila kitu mapishi yote
Sijui ni mm tu?
Kila nikimuona mTanzania mwenzangu amefanya jambo nje ya mipaka nafurahi sana...Mungu akufanyie wepesi usonge mbele zaidi uwe na migahawa kama hiyo China nzima
Kwa niaba ya wenzangu tulioko nje ya mipaka nasema asante sana karibu Zambia
Mimi nafurahi sana ila hua nahisi wivu sana nami kutaka kufanya kitu zaidi ya hicho siku moja.
Karibuni mi nipo omani
@@sofiasofia7557 asante
Khery tupo Pa1 kaka
YESU NI NJIA YA KWENDA MBINGUN,KAMA UNAAMINI LIKE ZA KUTOSHA.
Unatafuta likes kupitia jina la Mungu? kweli ushafilisika
@@godiegodie1336 ahsante
Ni njia yakwenda mbinguni kwa wana wa izrail cio ww
Ko ulitaka atafute like kwa jina la bibi ako?😅
@@Andy_tz muha una roho mbaya kwel, hilo jibu, hahaaaaa
Millard huyu jamaa aongezewe mshahara anajua kutangaza sanaa
Umeonaa eeeh
@@saadajumanne8656 jamaa hatari huyu
Anajua mpk anakera yaan yupo vizur
Kabisa mkuu unajuwa kuwaza mbali san
Namkubali sanaaa na sauti yake ina ujazo
Huyu Dulla TZA,VIDO VIDOX hawa jamaa Millard ujakosea kuwapa mchongo
Kwel kbsaaa
Matthew Ben yaani hawa ni shiiidaaa.
na hapa Dubai ipo moja inaitwa ZANZIBAR RESTAURANT , katika mji wa Deira,yaani very nice vyakula vyote vya Kitz vipo hapo hadi raha,yaani watu wanaweza wakiamua.
Ndugu yangu ile ya deira inaitwa Daresalaam restaurant ya zanzibar restaurant iko AL aweer... Ya al aweer ndio chakula cha kila aina vya kibongo wako vizuri kwa mapishi
@@abdullahrashid6297 🤣🤣🤣 nimecheka mm nakulaga moja iko deira bufee dirham25
@@mligosandrah7851 Deira kuna moja iko hotel iitwayo phonecia ni balaa misosi ya kila aina buffet la kiafrica
@Rugamba Shabani plz nielekeze kaka namm nipo Dubai lakin mgen
Rose Maganga rose rose nipe contact zako tuwasiliane
Dafi sana nimependa umeajiri wachina. I love Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Safi Sana.NAOMBA MAWASILIANO YAHUYU KAKA MWENYE HII RESTAURANT NZURI YA KIAFRIKA NCHINI CHINA
Google KILIMANJARO restaurant china
Naomba namba
Mwambie atoe namba watupe ushilikiano wakibiashara 0625417653
Nicely..Muonekano wa Mungu kwa Binadamu.... power of God is an answer... Just click the link below
th-cam.com/video/-If1YxVN8pw/w-d-xo.html
.... HekimaDtv online.....
don't forget to subscribe... like... comment...share...Be blessed...
Jamani zeno tumesoma wote chinese language ♡♡♡
Hongera Ndugu....I have noticed a Kenyan customer ..by his wrist band... enjoying his "tilapia" dinner!
Kaka anasigda mashallah m.mungu akujaalie ivyo ivyo
Safi sana my Brother. Songa mbele. As your fellow small business owner abroad, we understand exactly what it takes and what you went thru to get there. Hongera sana na kwa wenzetu wengine walioko abroad na hata nyumbani, tusizime hizo njozi za kuanzisha business. “It can be done my brothers and sisters, it can be done.” Usisikilize kelele za nje. Listen to your heart and thrust forward with your dream.
Nice
MaashaaAllah nafurah kusikia mtanzania akifungua mgahawa nje ya nchi mungu akupe afya na umri kaka kwa kazi hii
Uuuwiiiii this is soo lovely!!!!
Nnjoo nichukue na mie niwe mmfanyakaz wako japo cleaner🙇🙇
@@ibrajux6896 chizi mwenyewe mbuz weee unoninginia mmkia nnyoo 😏😏
@@ibrajux6896 utajiju
Nipeni wasiliyano yauyo mmiliki ninawazo!
Khaaa
Mi huwa napenda combination/uhusiano mnaounyesha, nikiona Watanzania au Waafrica mnaishi ivi uko nje najiskia Raha sana.
Sijui kwenye Media tu au ni Real lkn mi huwa napenda sana hii kitu Mungu awabariki wote...
Ni balaaa huko nje ngoja utaona competition majungu yataanza
Lakini mzee baba sheria za service ufti
😅😅😅😅Ayo niunganishe na huyu mtu...natafuta kAzi .Niko siriasi jamani
Huo ndio udhubutu, sio kuogopa ogopa tu
M/MUNGU akujalie mtanzania mwenzetu akondoshee vikwazo
Nani kagundua jamaa ameshakua na lafudhi ya kichina? 😃😃😃
Congratulations bro big up for such ideas 👌👌
Hapo hata ukoko na viporo ukitaka unapata
😂😂😂
😁😁😁😁
🤣
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hongera sana mtanzania mwezetu, godbles you
Serikali imuangalie huyu mtu kwa jina la pili
Mimi rai yangu kwa serikali za Kiafrika, hakuna haja ya kulazimishana kukaa humu kama naona hali ya nchi yangu haziridhishi DUNIA KIJIJI POPOTE KAMBI. ILA SALUTE BROO FROM CHINA
Salute kwako ndg kutoka china maana vyakula vya wenzetu ni balaa nawapata kutoka U.A.E, ABU DHABI gonga like zako zote kama na wewe unapenda african food pindi ukiwa nje ya nchi yako
Nimegonga like ila naomb n Mimi nifike hapo ulipo kama utojali
Salam. Nduguyagu kazimzuri message from USA 🇺🇸👍birian.sisi.wa. zanzibar kwa.biriani.
@@maryammaram2612 alykum.asalam. nduguyagu salamu.nimezipata. sitakuvunja.moyo. zanzibar beautiful a.m miss so.much home 👍🇺🇸
Ukipenda mafanikio ya mwenzako Mungu anakupa yako hongera sana
Daaah jama wako vizuri sana, chakula cawo kitamu sana. Thank you kilamanjaro restaurant
saf
Mnipeleke nikale na mim😂😂😂
Kweli wenzetu wanakula nimeona jamaa anakula ugali mkubwa kiasi kwamba kwa bongo ukitengewe huo mzigo utapigwa picha tu
Mgali kama ule ukiwa unaupiga hapa hom baba kazi unayo kesho utakuta habr mtaan utatrend km dawa ya ebola😂😂😂😂😂
Kwakweli nje Kuna chakula sana.
Ha ha ha unajua niliona ila kuongea nikashindwa sasa nikawa najiuliza ule ugali kapelekewa aukate au vipii
😂😂😂😂 duuu ile ugali ukiimaliza lazima tumbo lishangae na usiku utaota unakimbizwa
😂😂
Nice .....Hongera sana 💪
Ongera sn zeno kutoka mawanda holili mpaka China uko poa sn,good my friend
Ayo tv tupeni michoko tuje kusaidia kazi uko bongo kugumu kaka
Safi sana My Bro it's So Encouraging 👏👏👏
Hee Milad Ayo hujui Tuna??pole saana
Prezoo @bmss aminia sana bro pamoja
Naomba kazi Kaka namb yangu ni 0716461616
Mdada anajua kujielenza pia hajiski ingekuwa mimi apo sasa😀😀wangenikoma na maponzi
Nikija China ntabid nifike uko Mana misnake na mie apana ntazungusha tumbo na sarakasi juu atoke
Nimejikuta nafrahi Kama vile na Mimi niko China.
Unabidi ukienda China ule nyoka sio kitumbua tena
Kaka mm napia najua kupika hasa vyakula vya asili km mlenda, kichuli na nk. Naomba ajira apo
Ho ng era sana vijana wakiafrica mnapambana mm ni mtanzani naishi kenya wakenya wanaonyesha ushirikiano pia cc nindugu
Masha allah congratulations brother kaz iedelee 🔥🔥🔥🔥🔥
Hongera sanaa bro... Imeniispire sanaaaa
Hongera Sana bro Nami napambana nimeanzisha Catering hapa Texas vyakula vya Kitanzania
Good
Congrats Zeno,kila la kheri
Nikiweza kuwasha nyoka, mijusi, panya,na kuwarost, nafungua hapa Tz, wachina wataleta pesa.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 HAPO UKEWEZA
🤣🤣🤣nimependa iyo ugali kuku ulivo itaja eti ugali khukhu duuh wachina washakuathir
Mungu Akubariki Kazi Yako hongera sana
Please! Niuganishe nae huyo
Yaani tuseme corona tumekula au
Kwamfano nikiomba ajila kwako kaka naweza nikapata?
Yy apambane tu uko aliko mbn ata bongo wspo Jamaa wanapiga mishe au nawao tuwashangae maisha popote nafas ikipatikan komaa
DAAH CHAKULA CHAO NI KITAMU
SANA JAMANI MAANA MI KILA SIKU NAKULA HAPA
Naenda China awali nilihofia mlo
Safi Sana Kaka me too nataka kufungua mgahawa nje Mana Tanzania ndio country yenye chakula kitaam duniani ....na ivi wewe mtu unae unlike sikuelewi una Mana gani
Hakikisha unakaa vizur katika IMANI yako wqla usiruhusu mafanikio ya kiMungu kwa wengine yakakukatisha tamaa Wengine wamejikwaa katika maombi yao ...Badala ya kuomba Mungu awabaliki na wao ..Wamebaki wanamnung'unikia Mungu kwa kuwabariki wengine
Pia baadhi ya Wakrsto wameanzisha vita juu ya wenzao walio kumbukwa na Mungu katika maeneo mbalimbali ya Maisha yao ya Rohoni na maisha yao yakawaida bibilia inasema kaini akamwinukia Habili na kumwua Ngoja niseme kidogo hapo ....
Mafanikio yako hayategemei mafanikio ya mwingine wala sio kanuni ya lazima kwamba ufanikiwe kwanza ww ndipo wengine wafanikiwe.Tambua kuwa hatima yako ni Tofaut na hatima ya mwingine sasa haina sababu yeyote kukasilika sababu ya mwingine kabla yako Maana utakuwa unadhindqna na Mungu alive MPA KIBALI
chat.whatsapp.com/C8tApyLwFhN9A2cstIPCBU
Tunauza chia seeds kwa bei ya sh 5000 tuu kwa kilo.moja tuko dar es salaam maeneo ya bahari motor's makumbusho tupigie kwa simu namba0656898613,na mikoani tunatuma
Nzuri sana kwa afya hzo
Hivi kama umeishia darasa Ra 2 unaweza kwenda da
Mimi nataka nikawekeze korea kusini
Usafirishe MBWA KWA WINGI SIO VIAZI MVIRINGO NA CHIPS MAYAI
JAMAA ANACHAKULA KIZURI SANA,,, UWA NAKULA SANA HAPO ,,
KWANZA HUDUMA ZAO NIPOA
THEN UNAKUTANA NA WATANZANIA WENGI MPAKA UNAFURAHI
Ahaaaaaaaa,, Nimekukumbuka Boss,,kuna siku nilikupa hai Pale Mlangoni tulipishana ukanikaushia kibingwa.... Ila hongera sana kwa kumuunga mkono Mwana...
HahHahhahahHahah
He umeshaenda mwenzangu
@@sintasmarty4974 umebaki wew tu!!!
@@hisanmwakijungu10 nipe ofa hiyo niende na mm
Haki vinaonekana ni vitamu sana,Hongera sana broo
Hongera sanaaa kaka mungu azidiii kukuinuaaa
Asante sana ayo tv upo vizuri hujawahi niangusha unavija wapo vizuri katika utangazaji
Bro anaongea na yy kama wachina😅😅ila hongera kwake.safi sanaaa 💯💪kaitumia fursa ipasavyo..
Milad uko juu napenda kuangalia ki tv chako kwanza hunauongo kitu ukweli milad juu mpaka china najua utatoa ndugu zetu wengi kuwapa kaz Mungu akutunze Ar moja iyo
KARIBuni Sana uganda
Said nikija nipeleke plz,Zawadi mwambie aweke na majani ya maboga
Huyo Samaki mmmh , nadondosha mate hapa Kama teja 😋😋😋
mh nimecheka
Nipo dar mbagara naomba munichukue nije nihudumie tu huko wajemeni daaah nimependa mno ila Sina uwezo uwiiiii
Ukifika unikumbuke pia
Jose rafiki yangu
Kwanini usifungue restaurant yako huko mbagala au mbagara kama ulivyoandika wewe? Usikimbilie kutumwa dunia hii ya leo , lila mtu anakimbilia kuanzisha biashara yake.
Anaongea kiswahili ila lafudhi ishakua ya kichinaa ... Amaizng xana congrats💗
😂😆😆 kweli lafudhi isha change
Maa shaa Allah hongera sana kijana
Sio mlima mkubwa kaka ni mlima mrefu 😀😀
Iyo nimeipenfa
HONGERA KUJANA SHUJAA WA KITANZANIA, TUNAFURAHI KUONA MTU UNAKUWA NA WAZO KUBWA KAMA HILO, KUTOKA KIMARA DAR NIMEANGALIA, HONGERA SAAANA MDOGO WETU...WAAFRIKA TUMEUMBWA KWAAJILI YA MAKUBWA, KEEP ON GROWING TO HIGHER AS MOUNT KILIMANJARO..
Nisingeweza kula chochote china dah sio kwa nyoka zile bonge moja la idea big up bro
China bara kubwa ndugu yangu usidhani ukienda huko utamuona huyu jamaa kwani unaweza kwa mfano kuwa Sudan na huyu yuko msumbiji .
Omba utembelee mji aliyopo.Ama cy mh kobe ni wako
@@ojasoojaso9479 hahaha kobe tena mie sikuwezi uko bora nijilie zangu dagaa
@@bintialfan2143 ukisafiri chona usisahau dagaa zako kwenye begi nd yangu
Faheem mwanangu...Allah akupe hitaji lako
Hongeraaa sana
Tunaomba ajira
Nopeni kazi
Congratulations bro keep going
Ongera sana
Hongera sana broo mungu akuongoze sana na biashara yako
mashllah hongera kaka , niajiri nitafute 🙏
Hongera kaka
Dahh yan Millard ayo nawamini asilimia buku kwa tarifa zenu ni tofauti na Chanel nyingine
Saf 🎅
Hongera kaka pka vitumbua
Mh
Safi Sana man nafurahi kusikia mtanzania mwenzetu anatangaza NCHI YETU BONGO
Anaakili huyu
Bgp kk umee washika wa tz 🇹🇿 wenzako hongera kawnza mzarendo jina Kili Manjaro Aflc mungu aku zidishie hotel hiyo
Vijana wajitahidi sana. Tuwape heko. Kibiashara na kihabari. Tatizo siku hizi mnaboronga sana Kiswahili. Mathalan : neno ' restaurant' mmekosa la Kiswahili? Hoteli, Mkahawa, nk? Baadae tutakuwa hatujulikani kama tunasema Kiswahili au Kiingereza?
Huyu mtangazaji anajua kazi!! He really knows what he does!