Allah awaongoze kina Dada. Maneno mnayoyatumia ndio hayo ya kujenga ndoa. Maarifa kweli ya ujenzi wa mahaba mnayo. Allah awongoze muweze kutekeleza yale muhimu ya kumjua yeye kwamba hakuna mwengine mwingi wa Rahma. Mswala ni wa kumtukuza Allah kila siku mara 5. Ahsanteni kwa kutufurahisha.
Asalam Alaykum Dada unaongea vizuri lkn jinsi yakutoa ujumbe wako ndio tofauti kwa mtanzamo wangu inakuwa sio somo tena inaonekana kama ugomvi jaribu kubadili sauti ili uwe mwalimu mzuri Asante.
Mimi sikubali ushauri wowote wa wanawake ambao wako single waliachika na wakaachika tena... Sasa mbona walishindwa kudumu katika ndoa zao. Hio tanga wenyu mandugu zenyu wamekuja kututwaa kutoka Kenya. Mgeolewa nyie hapo karibu.
NAWAPENDA sana na.mna maneno ya Ukweli nitayafanyia kazi mungu akipenda Inshallah
Allah awaongoze kina Dada. Maneno mnayoyatumia ndio hayo ya kujenga ndoa. Maarifa kweli ya ujenzi wa mahaba mnayo. Allah awongoze muweze kutekeleza yale muhimu ya kumjua yeye kwamba hakuna mwengine mwingi wa Rahma. Mswala ni wa kumtukuza Allah kila siku mara 5. Ahsanteni kwa kutufurahisha.
Asalam Alaykum Dada unaongea vizuri lkn jinsi yakutoa ujumbe wako ndio tofauti kwa mtanzamo wangu inakuwa sio somo tena inaonekana kama ugomvi jaribu kubadili sauti ili uwe mwalimu mzuri Asante.
Mafunzo na maonyo hayo
Nimefundika kwkweli maneno yenu ni somo kubwa tosho mashaalla
MashaAllah nisha fundika😍😍🤸♀️🇧🇭
Wallah nimefundika sanaaaa mume wangu mtarajiwa atafaidi wallah
Mpooooo mswalaaaaahuo nimekuelewa Sana mtanga wanguu 😅
Sawa somo wangu nakupenda nitalifanyia kaz ilo
Safi Sana twafundika.
Tks tume mambo sie hatukupawa makungwi.
Asanteni sana, Habbiy atafaidi Inshaallah
Asalamu alaykum Warahmatullahi wabarakatuh nawapenda sana mwambie wasikile
Asanteni nimewaelewa sana
Allahmdulillah Allaah awajazeni kheri naomba namba ya inbobo nipate mazuri zaidi
Yn tumejifunza alhamdllah blandina lukindu na malkia wa hubba naamini nikifka kwa babaa ntajkaza kikeee
Asanteeeeeeeee kubwa
Tanga Raha 🇧🇭❤️❤️❤️😍🥰
Ukwelli sana ❤❤❤❤❤👂👂👂
masha'Allah ❣️
Tupo
Asante mama kabisaa 😀😀😀🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇸🇦🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Nawapnda mama zangu jmn 💕💕💕💕
Mashaallah kina mama na wapenda bureee
Asww asante somo wetu kama awuna muswala ukiwa napuzati nawo utakuwa aje
Kweli dada unayo hawajali waume zao wavivu mapenzi
Mimi sikubali ushauri wowote wa wanawake ambao wako single waliachika na wakaachika tena... Sasa mbona walishindwa kudumu katika ndoa zao. Hio tanga wenyu mandugu zenyu wamekuja kututwaa kutoka Kenya. Mgeolewa nyie hapo karibu.
Nimejifunza
Asanteni kwa kutuelimisha
Karibu tena na tena! Kila jumatano ya wiki unapata elimu hii
Nawapenda saana nataman kuonana na nyie😣😔♥️
Waabie dada huo dio ukeli wana wake wa leo wanajifanya kama bendera unapo enda upepo dipo wanapo enda
Mimi Mweyewe asliyangu ni tanga
Jaman nakupenda jaman malkia we mzuri
Nawapenda saana
Dda naomb no zenu jmon
Mswala ni wa kusalia sio kulia chakula, mkeka ndio unawekewa chakula.
Nikweli kabisa mnenayo ukweli mtupu
Hapo Kwa upishi Mombasa ndo kwao,hatupiki twa Thoma bibieee...twakarangiza hatukaangi...Mombasa Raha bwana🇰🇪001
Tanga safiiiiiiiiii
Mambo pambe eeeeee. Chezea tanga weeeee
Asalam alykm mum naomba no zenu jmn
Napenda unavyoongea
Wanbie awooi
Nataka namba zenu jamani nina mwari nataka niwape
Ahsantumaa
Mswala.... Mimi mubara lakini kwa umbali nimekaa na mpwani swahibu wangu na kila wakati yeye huutia hapo sebuleni tukipiga gumzo
hahahaha sawa, karibu pwani
Watanga oyeeee 😘😘😘
Oyeee
Siyo kwamisuto iyo jamani 😀😀
Mambo ndo haya nimewapenda bure
Tupoooo💃💃💃
Naomba namba yenu ya cm
Karibu Warda! Tembelea acc za instagram @utamu_wa_pwan kupata acc binafsi za Blandina na Malkia wa huba
@@ThinkersTVOnline weka namba za wassap
Naomba namba yako
Aa swa dada ila punguza Jazba nimafunzo na sio msuto
Wekeni namba tuwakodi
Njoo DM instagram @ utamu_wa_pwan
@@ThinkersTVOnline wengne hatupo uko ist dada tupo tu wassap
mbona no haiko whasp
No ya inbobo iko wapi? Jamani nimekupenda bule
Nami namtaka huyu kungwi wallah
Tuunge wasap utupe ya ndani Zaid mamii.
Jamn acha tuu na mim natak ilo group
Watuache na uswahil wetu asojua maana haambiwi maana watuache sie watanga tanga rahaa
Mipia nataka kawa
Liandikweje? “Mpaka uombwe! Macho ya njaa huyaoni?” Au...👌👌
@@ThinkersTVOnline weken namba zenu umu
Nitakufuata inbobo😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kumpiga konde tena
Asante I
Nitumie namba yako somo ninashida na wewe
Niule mswala waku salia au mkeka
Mdogo huu wa kuswslia
Mimi naomba namba yenu jamani
Menginee tufichie Dada hahahah tanga raha bwana mwana kwetu
Asanteee
@@ThinkersTVOnline naomba namba za whatsapp
@@ThinkersTVOnline tuwekeen namba ili tuwafuate inbox mtufundishe ya. Ndan kwa pesa
Naomba namb ya inbobo
0719711366
@@ThinkersTVOnline asante sana nitakutafuta tu my unifunde japo kwa cm
😆😆 mnanipa raha
Kama mimi
Asww asante somo wetu kama awuna muswala ukiwa napuzati nawo utakuwa aje