Salama Na Jokate Ep 3 | KAMISHNA Part 1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 15 ก.พ. 2020
- #YAHStoneTown #SalamaNa #PodCast
KAMISHNA
Maana halisi ya ’nyota njema huonekana alfajiri’, najua sikuwepo hiyo ‘alfajiri’ wakati Mh Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe anazaliwa lakini hakika nilikuwepo wakati anamaliza wa pili kwenye mashindano ya Miss Tanzania mwaka 2006. Nilikuwepo pia kushuhudia jinsi alivyokua anapangua mikuki na mishale iliyokua inarushwa upande wake kwa zaidi ya miaka kumi na mitatu kabla hajapata cheo alichonacho sasa.
Jokate amekua muerevu toka siku ya kwanza na kwa mazungumzo haya nilifanya naye bila ya shaka yatakupa mwangaza zaidi juu ya haya niyasemayo. Focus alokua naweka kwenye kila afanyalo ni funzo tosha kwetu sote na maana halisi hasa ya adui wa ndoto zako ni kupotea njia na kusahau nia na madhumuni ya mambo yako ulojiwekea kuyakamilisha.
Ni msomi, mrembo, mwenye huruma, mwenye kumjua Mungu, mwenye connection zake, mwenye kutafuta na asichoke na mwenye akili zake timamu haswa. Kama rafiki, nikaona nisiwe mchoyo na kwa ruhusa yake ambayo tuliifuata Kisarawe tumeweza kukaa nae mezani na kuzungumza juu ya siku ya kwanza alipopata tarifa ya kwamba ameteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, usomi ndani ya familia yao, kwenda chuoni baada ya kugombea taji la urembo wa Miss Tanzania, jinsi anavyopambana kuijenga Kisarawe na kumbukumbu zake za utotoni.
Please Enjoy.
Love,
Salama.
Listen our Podcast on
Boomplay Link boomplay.lnk.to/SalamaNa
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm
ApplePodcasts Link apple.co/2Ou1bru
TH-cam Link bit.ly/TH-camSalamaNa
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown - บันเทิง
Muheshimiwa she is such an empowerment , I love her so much . Nimejifunza sanaaa ameongeza nguvu yangu flani ivi
Jokaty umeongea poit saana. Naimenigusa saana kuhusu ulezi wawatt nikiwepo mimi wanagu wanalelewa na bibi yao illa nitalifanyia kazi. Asante
Jokate is such a role model to be looked up to.
indeed
Kipindi kizur sana najifunza sana kwenye kila Episode, salama next level sana, production kali sana naiman wengi wanatakiwa kuja na ubunifu km hivi. Hongera sana 👏👏
Salama anafanya serious interviews na serious people ,Big chawa mwanangu Sana ye anafanya makuuz flan hiviiii na watu ama wasanii waliopoteaaa
Yhj
Elly Mtima
I admire this woman soo much she has inspired me to be in government some day,not a politician but as a public Servant.Wewe ni Shujaa Jokate
Kweli mtoto WA nyoka ni nyoka mashallah jokat karith uheshimiwa kutoka kwa wazazi wake watu wasimchukie
yan uzuri wa mtu akae bila kujipamba kama muheshimiwa, yan muheshima mashaallah mzuri had maneno yake mazuri
Hata salama yuko good hapaki makorokoro usoni
Najifunza mengi kwa watu wanaopita kwenye kiti cha salama🙌🏽 ur the best cheupe😀
Anaweza salama mashallah
Am a Kenyan but jokate is a good role model to young women.
True❤️❤️❤️
Kweli kabisa leo nime mpenda sana
Soook true! I love what she does!
Jokate ni jembe since day one na anajitambua sanaa. Keep going Jojo ✊🙌
Yaani yupo vizuri mno..angekuwa ni msichana mwingine hapo na hicho cheo tungekoma kwa mamekup na makope kila kona
Ujembe wake ni nn
@@marthascmahl5787 🐵🐵🐵🐵
She's so smart MashaAllah
Allah anatosha,Allah ni mjuzi wa kila kitu kikubwa ni kumuanini kwa kila kitu.
NYINGINE TENA YA UHAKIKA, KUBWA YA HESHIMA YENYE MAFUNDISHO
Joket mhesimwa umeongea point za maana Sana na leo umenipa kitu kwenyew maisha
Hakika yupo vizuri na tumejifunza mengi
Salama i wish siku na ww uwe interviewed tujue kuhusu ww i think you have a looot to share to us, please do for us
Nimecheka msosi ulipokuja Jojo anamwambia Salama "ukianza wewe na mimi nitafata" Salama alivyoanza tu uwii Jojo akamaliza, seems she is a food lover.
Best interview ever.
😀😀😁 uko makini
Hvgty
naicheki SALAMA NA nkiwa na fakamia msosi wamtamu nliondaliwa na mke wangu kipenz
Adam Idrisa Hongera
beauty wid brainz big up sizzz
Doing a good job Salama. As for Jokate...she is an amazing woman.
She oz mm real model for us
🔥🔥🔥
Salama na Jokate. Love u so much guys.
Uyu mungu kamjalia kama masiara tu
Jokate you're the best, inspirational to others.. role model to young ladies
Natamani viongozi wengine wajifunze toka kwako,ndani ya muda mfupi wa uongozi wako umefanya mengi Kisarawe,natamani siku moja nikuone waziri kwenye wizara fulani
Binti kidoti nakuelewa sana. Salama big up with good interview jamani. Na huo msosi jmn unavutia
Salama nimefurahi sana kuona interview yako na Mh. Jokate Mwegelo...namfurahia sana...she is young very energetic and surely she is growing with Responsibilities asante kwa interview...young people should take time to be inspired and even parents should listen to this....moulding kids should be the first priority to parents....as we have seen it family pushed her to where she now....and for Kisarawe big thumb up for her...she is changing it to the whole new level...now naona miradi ya maendeleo inafanyika....maji ....shule the most part we needed it(I am from Kisarawe),hopeful in five years to come more and more will come....Asante sana salama....hongera kwa kipindi kizuri...."Yahstonetown is the thing "....endelea kuleta rahaa.Asanteee
Mimi kwangu Salama ni mtangazaji bora wa kike wa misimu yote.
Hakika
Namkubali Sana Jokate
I real appreciate Miss Joket. You state on Personal Consistance and Confidence on your plan/dream,absolutely nimekuelewa koz if you keeps listen each people reacts kwakwel hutofika katika lengo au ndoto husika. Let me keep and work upon my dream. Be blessed Mh.Mwegelo Joket.
Thanks i love you Salama I love Jocket congratulations
Hakika, Jokate wewe ni sawa na mimi. Watu wamekuwa wakijaribu sana kunipiga na mawimbi mazito mazito, lakini wameshindwa kabisaaaa, kwani Mungu wangu amekuwa akinipigania kwa nguvu nyingi sanaaaa. Mungu wangu ndiye njia na kimbilio yangu kila sekunde hapa duniani.
Salama ukivaa baibui unakuwa mrembo Zaid MashaAllah
Unadhani ni anaweza
Safi sana Mheshimiwa J Mogelo umekua shujaa katika wananchi wa Kisarawe katika kubust Elimu ya Kisarawe Endelea kupambana Usisikilize kelele za Mlango Endelea kutanua Mbawa Zako katika kukabiliana na Upepo Angani
Mungu Aendelee kukupigania na kukupa hekima Mh. Jokate Mwegelo, ahsante Salama kwa kipindi
My favorite show .....
Jokate ni beautiful sna kwakweli🌹❤.
Bora ww,wallah
Wallah,ww nimzuuri kuliko yyte hapa Duniani
Kama wewe sema wasoma comment lazima kuonana nakuona kwenye kila habari auachwi
Nakupenda saaaana mh jokate
Nimekupenda bule Dada joketi umajielewa sana 😽😽
Safi sana salama,nakupenda sana hiyo huyo tu hata Mhe Majaliwa tunapenda sana Waziri wetu na viongozi wengine pia.
Binafsi Mimi namkubali sana Dada jokeite she is so good
Jokate mashaallah mzur jaman
Yuko bright sana kushinda muonekano.
Mpo very nice
Hyu jokate hakuleta siasa yy alikuja na vitendo nampenda sna hyu dda
Jokate, you are a role model!
Safi sana Salama long time
Am really inspired by this interview
Her lifestyles have been inspired us a lot...
Dah mtt mzur
Joketi kujieleza siyo mzuri kaniangusha
Ni moja ya interview Bora kabisa nilizowah kuzishuhudia
Woow.nice one
🔥🔥🔥
Mm ni raia wa kawaida sana na wala so staa or what but infact I started admiring this lady ever since she was a little star I admire her alooooot
Joket my role model forever ✨
Very intelligent woman, wanaume sijui huwa mnaangalia ninii kwa mwanamke yaani mwanamke kama joketi ati unamwacha aende,yaani unaacha pure silver nachukua pure mabati 😁 kweli usichokijua ni sawa usiku wa giza, 😂 hope werevu wamenielewa.Hongera mheshimiwa joketi ,hongera mheshimiwa Rais magufuli kwa kuchagua chombo hujakosea,salama your the best woman presenter bila kigugumizi.👍🤝
Wanamwogopa, ila mumewe yupo.Wanaume wetu wa kibongo wanapenda watukute mamburula ili wale vyetu wasepe.
Ndoa nindoa na maisha ni maisha
Hakina kizur kisichokina kasoro huwez jua kasoro yake
Yuko vizurii sana kujibu kwa hakili na umakini i like
I'm Rwandan napenda kipindi hiki,tunajifunza mengi, kutokata tamaa katika maisha, be blessed Salama .
Hi Liliane, uko poa wewe?
Ibra from 254 napenda Mheshimiwa Joketi anavoongea👏👌💪
Nakupenda sana Joket uko vizuri
Salma upo tofautii nahichoo sio kipindiii ni chuo chama funzo
From now you are the 👑 of hoster
Yu a strongest leader jokate!!!
Jokate your amazing
Watu wenye sauti ya muheshimiwa wanakuwaga na sauti nzuri sana wakiimba
well done salama, yani nakukubali kinoma noma mwana toka kitambo.
Thanks Salama,
Wawoo kumbe umarecan kidg upo, Mungu awatunze mnafaa kuigwaa na jamiii
Nakupenda sana
Hongera Sana salama
Role model wangu
Natamani sana kuwasiliana na muheshimiwa kuna vitu natamani kumshauri kuhusu kisarawe
Nimependa sana hii ya joketi natamani tena umludie kumuoji ili azidi kutufundixha zaidi
👏👏
Ali kiba mjinga Sana kaliacha toto zuri tenalinaakili 🥰🥰🥰
Kiukweli nimevutiwa na kipindi chako da salama.....nakuwa inspired sana
Jokate is so matured siku hizi
Ameeeeeeeeen
I luv her #agemate
Nakupenda jokate unaongea point 2pu
Mwenye nacho anaongezewa Hana ugenious wowote, mtaani kuna vichwa ambao hawajulikani.sema duniani sio unajua nini ila ni Nani anakujua basi.na ili nani akujue mpaka wazazi wako walikuwa wanajuana na Nani.
George Daniel Kwel kabisa
Kabisa ujakosea.george
George Daniel sio mbaya nao ni mtazamo
Mtazamo tuu huo bro
Mageneous tupo wengi tatzo connection tu
Salama you're the best dearest🙌🙏🙏
Kipindi kizuri,wewe ni mbunifu
Vipindi vyako vyote huwa ni vizuri sana na vinagusa jamii na watu tunapata mafundisho💕💕
Uko juu mwanangu💪💪
Safi salama na Mh jokate.
She's genius and perfect girl 👧
Nampenda saana Jokate
Tatizo huwa salama anaanzisha vipindi vinapendwa alafu anakatisha
Bun Nasib yaan
wawoo
🤣🤣🤣🤣👍
Akipata tu mpinzan anahamia pengine
Genius Salama
Mweshimiwa movie yako ya mikono salama ni movie ambayo ni emotional sana
kwahiyo jokate una uraia pacha Tanzania na marekani. na unamiliki passport mbili kwa wakati mmoja. halafu serikali tz inakataa raia pacha
ur the best
Jokate nakupenda😍
nakukuabali salama may god bless u
Salama nakupenda mipango.yako.yote ni mizuri.lakin leo umechemsha na hiyo style ya kufunika mic sikupenda hayo matambara 😀
Fatma Abdallah 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
I really enjoyed and I learned many things through this interview!!!
Jokate🔥🔥
Live toka Kenya
Jokt ww ni mzuri sana
Nimpenda aisee
Big up salama
Jamani nampenda salama
Yaaan watu kama hawa ndio wakuwasikiliza sio wakina Amberlulu sijui 🤣🤣🤣
Kweli kabisa
😂😂😂😂😂
😁😁😁😁😁
Kweli kabisa
KWELI dia na Hamorapa...tunataka watu kama hawa.
Infact she is much a rolemodel to be looked at cjaachaga kumckiliza
uyo dada wa chakula anatako jaman mmmmh wa jikoni
😂😂😂
😂😂😂😂heee