Swadakta hii yote inasababishwa n kutojiamini .n waganga wengi wazinifu n ndio waenezao ukimwi n makaswende .wanawake wajinga sana lkny c mimi.tuweni makini ilimuona mkeo ana mambo y vidawa visivyo eleweka mpe talaka.jinga hilo walmushrikina fii naar jaharnama khalidina feha Abadan..
Masha Allah ww
Shekh uko vzr sana darasa zako zina vutiia ukisikiliza huwa nasikia furaha ndani ya nafasi yangu mungu akulipe mema shekhe
Maaashallah Darsa nzur sana
Allah atuongoze katika haki
Sahihi shekhe sisi wanawake tumezodi m/mungu atuongoze,
MashaAllah tabarakallah 👌
Barak Allah feeq, Jazzak Allah kheri.
Wanawake wengi wa kiislamu wamo kwa haya mambo.mungu awape hidaya
Mola akuhifathi sheikh wetu mwenye hekma na busara.
Mungu akupe maisha marefu
Allah akulipe malipo mema Sheikh Othman
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! Jazzaka Allahu Khairan
Mashaallh barakallah fiyka shekhe wangu nimefirahi San. Kwa darsa hii ungeendelea jmn ❤😅
Nakutarajia umri mrefu, umri yenye baraka. Afya, ibada njema, dhuriya njema na husnul khaatima
Huo ni ukwel sheikh Allah atunusuru wanawake wanapenda kufanya tunguri ili apendwe yeye true
Subhanalllah hakunakitu kibaya kamaushirikina
Mashallah Allah
Wapo wengi kweli shehe wangu wanafanyiwa hivo na waganga
Ama leo umelipatia haswaaa ndoa hazidumu kwa hayo mambo
Hujakosea shekhe
Tuwacheni ushirikina
Mijanamke yetu mingi ya sikuhizi hapa bongo ni uchawi hela tuu
Sahii maisha yamekuwa magumu hakuna pesa za kupelekea mchawi
Jama hanaguvu zajabu hanabeba mfuko wasimeto kwameno
Wengi tumeathirika kwa kuwa na wanawake washirikina.
Swadakta hii yote inasababishwa n kutojiamini .n waganga wengi wazinifu n ndio waenezao ukimwi n makaswende .wanawake wajinga sana lkny c mimi.tuweni makini ilimuona mkeo ana mambo y vidawa visivyo eleweka mpe talaka.jinga hilo walmushrikina fii naar jaharnama khalidina feha Abadan..