Msimu uliopita timu hizi hizi zilikuwa zinatusumbua sana kila mechi kwetu ilikuwa fainal. Sasa hv wanasema sio levo zetu tunawaonea ndio mjue mnyama sasa hv amebadilika ni moja ya hatua kuzionea hizi timu.
Zamoyoni anachuki binafsi na simba kuna wachezaji wakistaaf wanalazimisha wapewe nafas ktk vilabu vyao isipotokea hivyo bas chuki inachukuwa nafasi yake🎉
Sasa mbona yanga mnaisifia bila kujua wamecheza na nani. Sifa tele ila simba wamecheza na vibonde wkt vitalO na hao wapinzani wa leo wapo bora klk hao vitalO
yani kuna watu km matako kweli......simba ikishinda magori mengi timu bado ila yanga ikishinda ata moja inaonekana imekutana na timu nzuri acheni ufala.......mtu akipata matokeo mazur mpen maua yake.... acheni unafki
Mukwala ni mgeni hii ligi mnapochambuwa mpira mlikumbuke na hilo.. kinachowasaidia Yanga na nikwamba washambuliaji wake wanauzoefu na hii ligi hata mashaka hana ugeni na hii ligi mm naimani kubwa na Mukwala atawanyamazisha tu soon..
Wewe ndio wale wanaotaka kila kitu wale wao, mpaka unafika mahali unasahau kuwa timu ziko ligi moja na daraja moja na tofauti ni ubora tu , maana hata apr tulipomfunga alionekana hana lolote ila alipomfunga azam ameonekana ni bora sana ,sasa mtuache
@vaxminja9053 yes yanga bahasha ndio tabia Yao sugu, ilianza na kuendelezwa na Issa Makorongo katibu mkuu wa wakati huo. Na hadi sasa inaendelezwa nyuma mwiko ni bahasha tu.
Simba nguvu moja
Msimu uliopita timu hizi hizi zilikuwa zinatusumbua sana kila mechi kwetu ilikuwa fainal. Sasa hv wanasema sio levo zetu tunawaonea ndio mjue mnyama sasa hv amebadilika ni moja ya hatua kuzionea hizi timu.
Zamoyoni anachuki binafsi na simba kuna wachezaji wakistaaf wanalazimisha wapewe nafas ktk vilabu vyao isipotokea hivyo bas chuki inachukuwa nafasi yake🎉
Sahihii kabsa sio hao 2 hata viongozi wa zamani baaddhi yao wanachuki
Akili yake haina akili
kweli kabisa chuki binafsi zinamtesa tu
Mimi Simba, ila gari bado halijawaka. Likiwaka mtaongea sana na bado.
Sasa mbona yanga mnaisifia bila kujua wamecheza na nani. Sifa tele ila simba wamecheza na vibonde wkt vitalO na hao wapinzani wa leo wapo bora klk hao vitalO
yani kuna watu km matako kweli......simba ikishinda magori mengi timu bado ila yanga ikishinda ata moja inaonekana imekutana na timu nzuri acheni ufala.......mtu akipata matokeo mazur mpen maua yake....
acheni unafki
sahihi kaka wanafiki tu hao
Mzee ndio walewale anachuki na simba
Tunakuheshim sana zamoyon ila usibeze ivo tim yetu
Kweli, hawa wadogo hawatuwezi.
Mukwala ni mgeni hii ligi mnapochambuwa mpira mlikumbuke na hilo.. kinachowasaidia Yanga na nikwamba washambuliaji wake wanauzoefu na hii ligi hata mashaka hana ugeni na hii ligi mm naimani kubwa na Mukwala atawanyamazisha tu soon..
Upo sahihi golden boy endelea hivyohivyo ili wasibweteke
Zamoyoni mjinga mjinga sana
Mogera kwani ni nani mbona kama akisilani atulie jayanti yupi kwani vepe mashaka Yako yaweke kwenye familia Yako 😊
na bado nyinyi semeni tu siku mtanyamaza,,, hakuna mafanikio ya mnafki
Wewe ndio wale wanaotaka kila kitu wale wao, mpaka unafika mahali unasahau kuwa timu ziko ligi moja na daraja moja na tofauti ni ubora tu , maana hata apr tulipomfunga alionekana hana lolote ila alipomfunga azam ameonekana ni bora sana ,sasa mtuache
😮 2:19
Huyu ni mchome aliechangamka
kabisa
Hapo bado hatujakaa sawa
mngeenda kucheza nyinyi km ni rahisi
We zamoyoni,si kweli.mda wako ulicheza mpira wa hivyo?wote mlikuwa wote wa'TZ' tu.
Zamuyuni moyo wake siyo simba diyo hatuwataki hao
HAPO MOGELA KIFELI KUSEMA SIMBA WASIJISIFU, YANGA KAMFUNGA MTU HANA KWAO WAMESIFIWA
Huyu zamoyoni ni mzee kiakili
Uyo zamoyoni fala tu mchawi wetu huyo
Azamu wanakamia
Kwahiyo ligi ni azam, simba na yanga tu, mbona aibu sana kwa uchambuzi huu kutoka kwa mchezaji mstaafu
Ila amesema ukweli,ligi ya Tz ni Simba,Yanga na Azam tu ingawa Simba haijapata mshindani sahihi sio daraja la simba.
Tunajenga simba mpya tulieni
Sasa hawa hawa mwakajan walitutoa jasho leo mwasema vibonde jaman wabogo
NI KWELI BADO MAPEMA TUWAPE MUDA SIMBA WAJENGE TIMU
Huyo zamoyoni nae hajui mpira,hayo magoli angefunga yanga angetoa sifa zote.nyinyi ni wale wale chapa GSM bahasha
Angefunga Yanga mngesema katoa bahasha
@vaxminja9053 yes yanga bahasha ndio tabia Yao sugu, ilianza na kuendelezwa na Issa Makorongo katibu mkuu wa wakati huo. Na hadi sasa inaendelezwa nyuma mwiko ni bahasha tu.
@@sadih5333acheni chuki za kijinga kwa hiyo yanga wanahonga hata club bingwa?
@@aminaomari2312waambie
Kwanini mchambua kishabiki kwani simba ndio itafugwa tuu Utopolo je
Kwani APR ni siyo bora zaidi ya AZAM unayoisubiri ikutane na simba. Kituo hovyoooo kabisa
Apr amefungwa na simba kwenye sherehe ya simba haikuwa mechi ya mashindano.
Wewe huwezi uchambuzi kabisa
Huyu naye sijamulewa ina maana ligi ni ya timu tatu au
Usiseme jamaa wakauharibu maana hawachelewi
Tunakumbushana tu hakuna bahasha au maan asije yanga ashinde nying muanze kusema bahasha
k mziwanda alikuwa anamtafuta aliye mleta jobe sasa mi namtafuta aliyemleta debra