🚨Simba 4-0 Fountain Gate fc,Tathimini dkk 90,Je tayari Simba imeshajipata? au bado.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 28 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 49

  • @hassanomar8157
    @hassanomar8157 2 หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja

  • @fadhilimashaka2728
    @fadhilimashaka2728 2 หลายเดือนก่อน +3

    Msimu uliopita timu hizi hizi zilikuwa zinatusumbua sana kila mechi kwetu ilikuwa fainal. Sasa hv wanasema sio levo zetu tunawaonea ndio mjue mnyama sasa hv amebadilika ni moja ya hatua kuzionea hizi timu.

  • @omarimziya390
    @omarimziya390 2 หลายเดือนก่อน +8

    Zamoyoni anachuki binafsi na simba kuna wachezaji wakistaaf wanalazimisha wapewe nafas ktk vilabu vyao isipotokea hivyo bas chuki inachukuwa nafasi yake🎉

    • @hassanabdala7383
      @hassanabdala7383 2 หลายเดือนก่อน +3

      Sahihii kabsa sio hao 2 hata viongozi wa zamani baaddhi yao wanachuki

    • @KoroshoKorosho
      @KoroshoKorosho 2 หลายเดือนก่อน

      Akili yake haina akili

    • @hassanrashid9436
      @hassanrashid9436 2 หลายเดือนก่อน

      kweli kabisa chuki binafsi zinamtesa tu

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi Simba, ila gari bado halijawaka. Likiwaka mtaongea sana na bado.

  • @AshaShariff-lr6ry
    @AshaShariff-lr6ry 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa mbona yanga mnaisifia bila kujua wamecheza na nani. Sifa tele ila simba wamecheza na vibonde wkt vitalO na hao wapinzani wa leo wapo bora klk hao vitalO

  • @adamiddymbali402
    @adamiddymbali402 2 หลายเดือนก่อน +1

    yani kuna watu km matako kweli......simba ikishinda magori mengi timu bado ila yanga ikishinda ata moja inaonekana imekutana na timu nzuri acheni ufala.......mtu akipata matokeo mazur mpen maua yake....
    acheni unafki

    • @hassanrashid9436
      @hassanrashid9436 2 หลายเดือนก่อน

      sahihi kaka wanafiki tu hao

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee ndio walewale anachuki na simba

  • @EmmanuelKiamba-o9b
    @EmmanuelKiamba-o9b 2 หลายเดือนก่อน

    Tunakuheshim sana zamoyon ila usibeze ivo tim yetu

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 2 หลายเดือนก่อน

    Kweli, hawa wadogo hawatuwezi.

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 2 หลายเดือนก่อน

    Mukwala ni mgeni hii ligi mnapochambuwa mpira mlikumbuke na hilo.. kinachowasaidia Yanga na nikwamba washambuliaji wake wanauzoefu na hii ligi hata mashaka hana ugeni na hii ligi mm naimani kubwa na Mukwala atawanyamazisha tu soon..

  • @why-ir8zl
    @why-ir8zl 2 หลายเดือนก่อน

    Upo sahihi golden boy endelea hivyohivyo ili wasibweteke

  • @MuslihiHassan-bi2nj
    @MuslihiHassan-bi2nj 2 หลายเดือนก่อน

    Zamoyoni mjinga mjinga sana

  • @TumainiMwalugaja
    @TumainiMwalugaja 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mogera kwani ni nani mbona kama akisilani atulie jayanti yupi kwani vepe mashaka Yako yaweke kwenye familia Yako 😊

  • @matindeofsa
    @matindeofsa 2 หลายเดือนก่อน

    na bado nyinyi semeni tu siku mtanyamaza,,, hakuna mafanikio ya mnafki

  • @januarysungura8119
    @januarysungura8119 2 หลายเดือนก่อน +1

    Wewe ndio wale wanaotaka kila kitu wale wao, mpaka unafika mahali unasahau kuwa timu ziko ligi moja na daraja moja na tofauti ni ubora tu , maana hata apr tulipomfunga alionekana hana lolote ila alipomfunga azam ameonekana ni bora sana ,sasa mtuache

  • @therock7257
    @therock7257 2 หลายเดือนก่อน

    😮 2:19

  • @RudonongoR-ub9et
    @RudonongoR-ub9et 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ni mchome aliechangamka

  • @dalalfundikila507
    @dalalfundikila507 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo bado hatujakaa sawa

  • @adamiddymbali402
    @adamiddymbali402 2 หลายเดือนก่อน +1

    mngeenda kucheza nyinyi km ni rahisi

  • @ANTHONYBULENGELA
    @ANTHONYBULENGELA 2 หลายเดือนก่อน

    We zamoyoni,si kweli.mda wako ulicheza mpira wa hivyo?wote mlikuwa wote wa'TZ' tu.

  • @HasaniKitumba
    @HasaniKitumba 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zamuyuni moyo wake siyo simba diyo hatuwataki hao

  • @IddyMzuri
    @IddyMzuri 2 หลายเดือนก่อน +2

    HAPO MOGELA KIFELI KUSEMA SIMBA WASIJISIFU, YANGA KAMFUNGA MTU HANA KWAO WAMESIFIWA

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu zamoyoni ni mzee kiakili

  • @SophiaJumbee
    @SophiaJumbee 2 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo zamoyoni fala tu mchawi wetu huyo

  • @thobiasmwambeta6990
    @thobiasmwambeta6990 2 หลายเดือนก่อน

    Azamu wanakamia

  • @derrickmbaku4768
    @derrickmbaku4768 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kwahiyo ligi ni azam, simba na yanga tu, mbona aibu sana kwa uchambuzi huu kutoka kwa mchezaji mstaafu

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 2 หลายเดือนก่อน

      Ila amesema ukweli,ligi ya Tz ni Simba,Yanga na Azam tu ingawa Simba haijapata mshindani sahihi sio daraja la simba.

  • @athmanimkangara9290
    @athmanimkangara9290 2 หลายเดือนก่อน

    Tunajenga simba mpya tulieni

  • @rashidgogo5558
    @rashidgogo5558 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa hawa hawa mwakajan walitutoa jasho leo mwasema vibonde jaman wabogo

  • @ikulunimahalipatakatifu7642
    @ikulunimahalipatakatifu7642 2 หลายเดือนก่อน

    NI KWELI BADO MAPEMA TUWAPE MUDA SIMBA WAJENGE TIMU

  • @RizikMjujulu
    @RizikMjujulu 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo zamoyoni nae hajui mpira,hayo magoli angefunga yanga angetoa sifa zote.nyinyi ni wale wale chapa GSM bahasha

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 2 หลายเดือนก่อน +1

      Angefunga Yanga mngesema katoa bahasha

    • @sadih5333
      @sadih5333 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@vaxminja9053 yes yanga bahasha ndio tabia Yao sugu, ilianza na kuendelezwa na Issa Makorongo katibu mkuu wa wakati huo. Na hadi sasa inaendelezwa nyuma mwiko ni bahasha tu.

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 2 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@sadih5333acheni chuki za kijinga kwa hiyo yanga wanahonga hata club bingwa?

    • @Emanueli-vz6fd
      @Emanueli-vz6fd 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@aminaomari2312waambie

  • @georgelazaro3940
    @georgelazaro3940 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanini mchambua kishabiki kwani simba ndio itafugwa tuu Utopolo je

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 2 หลายเดือนก่อน

    Kwani APR ni siyo bora zaidi ya AZAM unayoisubiri ikutane na simba. Kituo hovyoooo kabisa

    • @aminaomari2312
      @aminaomari2312 2 หลายเดือนก่อน

      Apr amefungwa na simba kwenye sherehe ya simba haikuwa mechi ya mashindano.

  • @ernestkamata2555
    @ernestkamata2555 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe huwezi uchambuzi kabisa

  • @georgelazaro3940
    @georgelazaro3940 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu naye sijamulewa ina maana ligi ni ya timu tatu au

  • @makamelila
    @makamelila 2 หลายเดือนก่อน

    Usiseme jamaa wakauharibu maana hawachelewi

  • @RichardNgumbulu
    @RichardNgumbulu 2 หลายเดือนก่อน

    Tunakumbushana tu hakuna bahasha au maan asije yanga ashinde nying muanze kusema bahasha

  • @HusseinHussein-f7n
    @HusseinHussein-f7n 2 หลายเดือนก่อน

    k mziwanda alikuwa anamtafuta aliye mleta jobe sasa mi namtafuta aliyemleta debra