“NDUGU WAZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO WAKIDHANI NI MIMI, MZIMU”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 148

  • @StellaJohn-dz6gv
    @StellaJohn-dz6gv 7 หลายเดือนก่อน +31

    Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu

  • @aishamussa853
    @aishamussa853 7 หลายเดือนก่อน +10

    Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 7 หลายเดือนก่อน +21

    Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana

  • @jacklinesimon7544
    @jacklinesimon7544 7 หลายเดือนก่อน +17

    Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho

  • @samkoka3
    @samkoka3 7 หลายเดือนก่อน +14

    Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha

  • @WinifridaFidelis
    @WinifridaFidelis 7 หลายเดือนก่อน +19

    Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu

    • @kamarhelo
      @kamarhelo 7 หลายเดือนก่อน +1

      Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu

  • @JacksonMabeyo
    @JacksonMabeyo 6 หลายเดือนก่อน +1

    Dar Pole sana mwangu mimi mpaka leo najua haupo ila baada ya kunitumia hii interview ndo nmeamin upo Mungu ni mwema.asee nafurahi

  • @AlHamra-k4u
    @AlHamra-k4u 7 หลายเดือนก่อน +7

    Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.

  • @Djso26
    @Djso26 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!

  • @JaliaMuro
    @JaliaMuro 7 หลายเดือนก่อน +15

    Mungu ni mwema hongereni sana moi

  • @KamugishaErnest
    @KamugishaErnest 7 หลายเดือนก่อน +2

    Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 7 หลายเดือนก่อน +15

    Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza

  • @hildamakundi281
    @hildamakundi281 7 หลายเดือนก่อน +6

    Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 7 หลายเดือนก่อน

      Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 7 หลายเดือนก่อน

      Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 7 หลายเดือนก่อน

      Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe ​@@pendosailo1989

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk 7 หลายเดือนก่อน

      vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe ​@@pendosailo1989

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu ni mwema Sana pole Sana kaka

  • @SamwelDickson-zh5gj
    @SamwelDickson-zh5gj 7 หลายเดือนก่อน +1

    Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu

  • @Gml-wi5nv
    @Gml-wi5nv 7 หลายเดือนก่อน +21

    Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 6 หลายเดือนก่อน

    Moi hongera sana nimewapend I seeee❤

  • @dismasrutashobya
    @dismasrutashobya 6 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana na hongera

  • @HafsaShekigenda
    @HafsaShekigenda 7 หลายเดือนก่อน +4

    Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana

  • @Officialjidaa-sn9cs
    @Officialjidaa-sn9cs 6 หลายเดือนก่อน

    Pole sana I seee jamaaaa

  • @madinajamada9180
    @madinajamada9180 7 หลายเดือนก่อน +1

    Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏

  • @Oman-p8x
    @Oman-p8x 6 หลายเดือนก่อน

    Mungu nimkubwa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 7 หลายเดือนก่อน +2

    Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏

    • @aminamoody5865
      @aminamoody5865 7 หลายเดือนก่อน

      Wakipatikana ndugu wanalipa bills

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 7 หลายเดือนก่อน

      @@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 7 หลายเดือนก่อน

      ​@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@aminamoody5865kabisa

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 7 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa

    • @janethmdachi5334
      @janethmdachi5334 7 หลายเดือนก่อน +1

      Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu

    • @zahrababygarl1568
      @zahrababygarl1568 6 หลายเดือนก่อน

      @@janethmdachi5334 itakuwa

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 7 หลายเดือนก่อน

    Hakika Mungu ni mkuu,
    Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote..
    Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 7 หลายเดือนก่อน

    Mungu akulinde mwanangu

  • @Kiganja
    @Kiganja 7 หลายเดือนก่อน +6

    Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao?
    Allah atubariki zaidi.

    • @everlyne8595
      @everlyne8595 7 หลายเดือนก่อน

      Ndio watashangaa amefufuk

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 7 หลายเดือนก่อน +3

    Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 7 หลายเดือนก่อน +1

    Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 7 หลายเดือนก่อน

    Subhannallah pole sana 😢😢

  • @rosemtwaki
    @rosemtwaki 7 หลายเดือนก่อน

    Pole kipenz MUNGU akutunze❤

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 6 หลายเดือนก่อน

    Huyu Kijana bado ni mgonjwa Kwani hata anavyoongea anaonekana anatumia NGUVU kubwa. Mwenyezi Mungu ni Mkubwa. Aendelee kumponya azidi kuimarika.

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 7 หลายเดือนก่อน +6

    Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao

  • @saraphinawillson939
    @saraphinawillson939 7 หลายเดือนก่อน +1

    Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน

      yan sijui wapoje

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake

  • @njapukaadhra9550
    @njapukaadhra9550 7 หลายเดือนก่อน +2

    Allah ashukuriwe

  • @saadaperec2706
    @saadaperec2706 6 หลายเดือนก่อน +1

    me bado najiuliza huyo jamaa aliempa boda aendeshe baada ya mwenzie kupata ajali hakufanya taratibu hata za kutafuta watu wake wakaribu wajue ndugu yao kapata ajali yani inashangaza sana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 7 หลายเดือนก่อน

    Pole.kijana wngu

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 6 หลายเดือนก่อน

    Yupo sawa dogo hata kumbukumbu zipo sawa sana
    Navyoona hapo alipo pewa pikipiki alienda mbali kdg hata alipo pata ajali alie mpa hakuna hakujua kaenda wapi,

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 7 หลายเดือนก่อน +3

    Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 7 หลายเดือนก่อน +1

      Wanatakiwa wachunguzwe..

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 7 หลายเดือนก่อน

    Duh pole sana aisee khaa

  • @matronashirima1489
    @matronashirima1489 6 หลายเดือนก่อน

    Jaman nimefurahia kwa kweli.. alikuwa anatibiwa bila Kulipia jaman..this is so beutful.. hivyo bili hatalipa?

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana ndugu

  • @OfficialA83640
    @OfficialA83640 7 หลายเดือนก่อน +1

    Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 7 หลายเดือนก่อน +7

    Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi

    • @barackmoses7003
      @barackmoses7003 7 หลายเดือนก่อน +1

      Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 7 หลายเดือนก่อน

      Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 7 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 7 หลายเดือนก่อน +1

      Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu

  • @jordantv6840
    @jordantv6840 7 หลายเดือนก่อน +1

    Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g หลายเดือนก่อน

    Mungu mkubwa

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 7 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana kaka

  • @josephjohnmbelwa4998
    @josephjohnmbelwa4998 7 หลายเดือนก่อน +2

    Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!

    • @jasiri25
      @jasiri25 7 หลายเดือนก่อน

      Amna kitu ww😂

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Sahihi yani ukiangalia kwa jicho la 3 utaona hayuko sawa kabisaaa

  • @frankjackson4435
    @frankjackson4435 7 หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 7 หลายเดือนก่อน

    Allah awe pamoja n wauguz

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 7 หลายเดือนก่อน

    Polee sana kaka

  • @perfectfilm3656
    @perfectfilm3656 7 หลายเดือนก่อน

    Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 7 หลายเดือนก่อน

    Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @JoyceMwita-e3w
    @JoyceMwita-e3w 6 หลายเดือนก่อน

    Duh hadi nimetokwa na machozi

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 7 หลายเดือนก่อน

    Pole Sana mwsnangu

  • @MwazoaMwazoa
    @MwazoaMwazoa 7 หลายเดือนก่อน +1

    Sherehe yakutokufa

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 7 หลายเดือนก่อน

    Kweli uchawi upo

  • @AidathRweyongeza
    @AidathRweyongeza 7 หลายเดือนก่อน

    Dah pole sana

  • @seifmohammed3053
    @seifmohammed3053 7 หลายเดือนก่อน

    Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.

  • @deadcrush
    @deadcrush 7 หลายเดือนก่อน +4

    Hata fahamu bado.

    • @Mnuanofilms
      @Mnuanofilms 7 หลายเดือนก่อน +2

      yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa

    • @Mnuanofilms
      @Mnuanofilms 7 หลายเดือนก่อน +1

      yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 7 หลายเดือนก่อน

      Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 7 หลายเดือนก่อน

    Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂

  • @collinsulomi1008
    @collinsulomi1008 7 หลายเดือนก่อน

    Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance.
    Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 7 หลายเดือนก่อน

      Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli ishi ni kwamba kijana akili haijakaa sawa na kumbukumbuku hazijakaa sawa

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 7 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Ni kweli hajakaa sawa

  • @DM.2200
    @DM.2200 7 หลายเดือนก่อน

    Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 7 หลายเดือนก่อน

      Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake

  • @SallyMinja
    @SallyMinja 7 หลายเดือนก่อน +1

    Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 7 หลายเดือนก่อน

    Pole

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 7 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu bado hajakaa sawa😢

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 7 หลายเดือนก่อน

      Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa

    • @CyphroseRobert
      @CyphroseRobert 7 หลายเดือนก่อน

      Atakuwa sawa tu polepole.🙏

  • @visionman8277
    @visionman8277 7 หลายเดือนก่อน +1

    millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia

    • @bernadetamodest6170
      @bernadetamodest6170 6 หลายเดือนก่อน

      Ila yeye hakupata ajali saa kumi na mbili kwa maelezo yake,anasema alifunga kaz saa tano usiku akaomba pikipik ila yaliyojir baada ya hapo hajui

    • @HarunaFursana
      @HarunaFursana 6 หลายเดือนก่อน

      Mimi machoz niliokuwa nayo kawaida yangu naomba tu ili muwe mnaniomnea dua niweze pandisha iman yangu sabab maana sikuweza mwachwa mtu

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@bernadetamodest6170akili ake haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...kikawaida mteja hawezi kuka na boda wake kununua chips halafu muuzaji amuache mteja ampe muuza chips boda apige misele....nadhan akili haijakaa sawa amepoteza kumbukumbu...yule dereva bodaboda akipatikana anaweza elezea mkasa...

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Sidhani kama ni huyu maana huyu alipata ajali maeneo ya kimara/mbez ndo mana akapelekwa bochi ....

    • @visionman8277
      @visionman8277 6 หลายเดือนก่อน

      @@rehemamajaliwa inawezekanai amepoteza kumbukumbu ,yaani jinsi alivyoumia mkono na sura yake ni yeye kabisa 100%✓ maana mm ndio nilikuwa wakwanza kumsaidia mpaka niliwapigia na ndugu zake kupitia simu yake na pia nduguzake walikuwa huko Kanda ya ziwa anyways labda story imefanana ila ninauhakika ni yeye na ajali alipata mbeze beach rafia hebu muulizeni vzr

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 7 หลายเดือนก่อน

    Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 7 หลายเดือนก่อน

    Kwe

  • @Mariam-w9s3b
    @Mariam-w9s3b 7 หลายเดือนก่อน +2

    Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?

    • @Hellen-i2y
      @Hellen-i2y 7 หลายเดือนก่อน

      Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Kalijibu kasema yule mtu aliempa boda anamjua ni bodaboda wa pale kijiwenii

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 7 หลายเดือนก่อน

    Alizinduka Kwa mda gani?

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 7 หลายเดือนก่อน

    Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu

  • @KamugishaErnest
    @KamugishaErnest 7 หลายเดือนก่อน

    Kumbe huko hai!!

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi4391 7 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuuuu😮

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน +1

    mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 7 หลายเดือนก่อน

    Mhuuu

  • @josephk90
    @josephk90 7 หลายเดือนก่อน

    Intro inakuwa ndefu mno ndg mwandishi okoa MB zetu.

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 7 หลายเดือนก่อน

      Huyo mgonjwa hana fahamu uzur kwahyo akimkatisha atampoteza kabisaaaa

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 6 หลายเดือนก่อน

    Story ina utata, why you don’t want to go back pale kijiweni? They know the story

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Akili yake haiko sawa bado....anahitaji utulivuu sio rahisi ameaffectika kisaikolojia

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli 7 หลายเดือนก่อน

    Daa Dunia hiii hatali kweli

  • @gloriadaniel3827
    @gloriadaniel3827 7 หลายเดือนก่อน +1

    Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 7 หลายเดือนก่อน

      Ni kwel kichwa bado hakikosawa

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 7 หลายเดือนก่อน

    Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 7 หลายเดือนก่อน

      ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu

  • @SamwelMbaga
    @SamwelMbaga 7 หลายเดือนก่อน +1

    Uondio ubinadamu ongeleni madocta

  • @jameshensdouglass7632
    @jameshensdouglass7632 7 หลายเดือนก่อน +1

    DNA ikashindikana kupimwa au

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 7 หลายเดือนก่อน

    😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 7 หลายเดือนก่อน

    Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.

  • @RetnerAlfred
    @RetnerAlfred 6 หลายเดือนก่อน

    Kwahyo mwenye boda2 akutafuta boda yake??

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Hajui kitu

    • @RetnerAlfred
      @RetnerAlfred 6 หลายเดือนก่อน

      @@rehemamajaliwaEe Mungu Uturuhurumie

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 7 หลายเดือนก่อน +1

    Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi

  • @InocentGalinoma-dq6hl
    @InocentGalinoma-dq6hl 7 หลายเดือนก่อน

    Vp alie mpa pikipik alikua nae au

    • @rehemamajaliwa
      @rehemamajaliwa 6 หลายเดือนก่อน

      Hakumbukiii.....bado hayuko sawa

  • @رقيهالخصيبي
    @رقيهالخصيبي 7 หลายเดือนก่อน

    Kijana bado kidogo hayupo sawa

  • @Djso26
    @Djso26 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 7 หลายเดือนก่อน

    Pole sana