“NDUGU WAZIKA JAMBAZI ALIYECHOMWA MOTO WAKIDHANI NI MIMI, MZIMU”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 118

  • @StellaJohn-dz6gv
    @StellaJohn-dz6gv 2 วันที่ผ่านมา +27

    Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu

  • @aishamussa853
    @aishamussa853 2 วันที่ผ่านมา +7

    Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa

  • @SinemaZaChina
    @SinemaZaChina 2 วันที่ผ่านมา +18

    Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana

  • @jacklinesimon7544
    @jacklinesimon7544 2 วันที่ผ่านมา +12

    Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho

  • @WinifridaFidelis
    @WinifridaFidelis 2 วันที่ผ่านมา +16

    Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu

    • @user-sv6zy3hc8o
      @user-sv6zy3hc8o 2 วันที่ผ่านมา +1

      Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu

  • @samkoka3
    @samkoka3 2 วันที่ผ่านมา +7

    Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha

  • @JaliaMuro
    @JaliaMuro 2 วันที่ผ่านมา +13

    Mungu ni mwema hongereni sana moi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 2 วันที่ผ่านมา +5

    Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao

  • @allymdoka8634
    @allymdoka8634 2 วันที่ผ่านมา +11

    Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 2 วันที่ผ่านมา +5

    Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.

  • @Gml-wi5nv
    @Gml-wi5nv 2 วันที่ผ่านมา +20

    Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana

  • @dirismail9512
    @dirismail9512 2 วันที่ผ่านมา +6

    Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao?
    Allah atubariki zaidi.

    • @everlyne8595
      @everlyne8595 2 วันที่ผ่านมา

      Ndio watashangaa amefufuk

  • @Djso26
    @Djso26 2 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!

  • @user-mr5yf1hp7t
    @user-mr5yf1hp7t 2 วันที่ผ่านมา +3

    Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana

  • @Ashrey82
    @Ashrey82 12 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!

  • @SamwelDickson-zh5gj
    @SamwelDickson-zh5gj 2 วันที่ผ่านมา +1

    Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts วันที่ผ่านมา

    Hakika Mungu ni mkuu,
    Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote..
    Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 2 วันที่ผ่านมา +3

    Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu

  • @user-qk1iv2is9f
    @user-qk1iv2is9f 2 วันที่ผ่านมา +1

    Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel

  • @hildamakundi281
    @hildamakundi281 2 วันที่ผ่านมา +5

    Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 2 วันที่ผ่านมา

      Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 2 วันที่ผ่านมา

      Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio

    • @ruqaiamohammed345
      @ruqaiamohammed345 2 วันที่ผ่านมา

      Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe ​@@pendosailo1989

    • @msakadoobongeladada-uh3sk
      @msakadoobongeladada-uh3sk 2 วันที่ผ่านมา

      vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe ​@@pendosailo1989

  • @njapukaadhra9550
    @njapukaadhra9550 2 วันที่ผ่านมา +2

    Allah ashukuriwe

  • @machasofficialsite6221
    @machasofficialsite6221 2 วันที่ผ่านมา

    Duh pole sana aisee khaa

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 วันที่ผ่านมา +1

    Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏

    • @aminamoody5865
      @aminamoody5865 2 วันที่ผ่านมา

      Wakipatikana ndugu wanalipa bills

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 วันที่ผ่านมา

      @@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu

    • @dianajohnson7268
      @dianajohnson7268 วันที่ผ่านมา

      ​@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏

  • @rosemtwaki
    @rosemtwaki 2 วันที่ผ่านมา

    Pole kipenz MUNGU akutunze❤

  • @GdFf-ik2eo
    @GdFf-ik2eo 2 วันที่ผ่านมา

    Pole Sana mwsnangu

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 2 วันที่ผ่านมา

    Mungu akulinde mwanangu

  • @Aminahlamranl420-hw2ie
    @Aminahlamranl420-hw2ie 2 วันที่ผ่านมา

    Subhannallah pole sana 😢😢

  • @Shafikimanga7
    @Shafikimanga7 2 วันที่ผ่านมา

    Pole

  • @frankjackson4435
    @frankjackson4435 วันที่ผ่านมา

    Amina

  • @user-xd9ye7wk6c
    @user-xd9ye7wk6c 2 วันที่ผ่านมา

    Dah pole sana

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 2 วันที่ผ่านมา

    Pole Sana kaka

  • @madinajamada9180
    @madinajamada9180 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 วันที่ผ่านมา

    Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....

  • @barackmoses7003
    @barackmoses7003 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana ndugu

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @daudymlauletv8489
    @daudymlauletv8489 2 วันที่ผ่านมา +7

    Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi

    • @barackmoses7003
      @barackmoses7003 2 วันที่ผ่านมา +1

      Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 2 วันที่ผ่านมา

      Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 วันที่ผ่านมา

      Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 วันที่ผ่านมา

      Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 2 วันที่ผ่านมา

    Pole.kijana wngu

  • @adeladamasi4391
    @adeladamasi4391 2 วันที่ผ่านมา

    Duuuuuuuu😮

  • @NeemaSolla
    @NeemaSolla 2 วันที่ผ่านมา

    Pole San Kaka ya dunian

  • @evertheobald1811
    @evertheobald1811 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!

  • @visionman8277
    @visionman8277 2 วันที่ผ่านมา

    millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia

  • @zahrababygarl1568
    @zahrababygarl1568 2 วันที่ผ่านมา +1

    Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa

    • @janethmdachi5334
      @janethmdachi5334 วันที่ผ่านมา +1

      Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu

  • @saraphinawillson939
    @saraphinawillson939 2 วันที่ผ่านมา +1

    Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 วันที่ผ่านมา

      yan sijui wapoje

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4v 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sherehe yakutokufa

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r 2 วันที่ผ่านมา +1

    Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?

    • @user-jh4hg2ev9s
      @user-jh4hg2ev9s 2 วันที่ผ่านมา

      Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk วันที่ผ่านมา

    Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu

  • @seifmohammed3053
    @seifmohammed3053 วันที่ผ่านมา

    Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 2 วันที่ผ่านมา

    Allah awe pamoja n wauguz

  • @perfectfilm3656
    @perfectfilm3656 2 วันที่ผ่านมา

    Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 วันที่ผ่านมา

    Kweli uchawi upo

  • @deadcrush
    @deadcrush 2 วันที่ผ่านมา +4

    Hata fahamu bado.

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 2 วันที่ผ่านมา +2

      yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa

    • @Officalnaph
      @Officalnaph 2 วันที่ผ่านมา +1

      yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 วันที่ผ่านมา

      Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah

  • @josephjohnmbelwa4998
    @josephjohnmbelwa4998 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!

    • @FreeGod368
      @FreeGod368 2 วันที่ผ่านมา

      Amna kitu ww😂

  • @Official83640
    @Official83640 2 วันที่ผ่านมา

    Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂

  • @SallyMinja
    @SallyMinja 2 วันที่ผ่านมา +1

    Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 2 วันที่ผ่านมา

    Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 2 วันที่ผ่านมา

    Mhuuu

  • @abedysteven4930
    @abedysteven4930 2 วันที่ผ่านมา

    Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭

  • @everlyne8595
    @everlyne8595 2 วันที่ผ่านมา +1

    Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu

    • @pendosailo1989
      @pendosailo1989 2 วันที่ผ่านมา +1

      Wanatakiwa wachunguzwe..

  • @user-qk1iv2is9f
    @user-qk1iv2is9f 2 วันที่ผ่านมา

    Kumbe huko hai!!

  • @collinsulomi1008
    @collinsulomi1008 2 วันที่ผ่านมา

    Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance.
    Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi

    • @evertheobald1811
      @evertheobald1811 วันที่ผ่านมา

      Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 2 วันที่ผ่านมา

    Alizinduka Kwa mda gani?

  • @aishajuma7813
    @aishajuma7813 วันที่ผ่านมา

    Kwe

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 2 วันที่ผ่านมา +1

    mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa

  • @jordantv6840
    @jordantv6840 วันที่ผ่านมา +1

    Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢

  • @jkomedikaduli
    @jkomedikaduli 2 วันที่ผ่านมา

    Daa Dunia hiii hatali kweli

  • @SamwelMbaga
    @SamwelMbaga 2 วันที่ผ่านมา +1

    Uondio ubinadamu ongeleni madocta

  • @WaziriRamadhan-ML
    @WaziriRamadhan-ML 2 วันที่ผ่านมา

    Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 วันที่ผ่านมา

    Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?

  • @gloriadaniel3827
    @gloriadaniel3827 2 วันที่ผ่านมา +1

    Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 2 วันที่ผ่านมา

      Ni kwel kichwa bado hakikosawa

  • @InocentGalinoma-dq6hl
    @InocentGalinoma-dq6hl วันที่ผ่านมา

    Vp alie mpa pikipik alikua nae au

  • @upendoeliya9329
    @upendoeliya9329 2 วันที่ผ่านมา +1

    Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi

  • @DM.2200
    @DM.2200 2 วันที่ผ่านมา

    Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 2 วันที่ผ่านมา

      Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 2 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu bado hajakaa sawa😢

    • @maidaamie648
      @maidaamie648 2 วันที่ผ่านมา

      Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa

    • @user-by4xk2vx5w
      @user-by4xk2vx5w วันที่ผ่านมา

      Atakuwa sawa tu polepole.🙏

  • @vicentmapunda3146
    @vicentmapunda3146 2 วันที่ผ่านมา

    Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 2 วันที่ผ่านมา

      ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 2 วันที่ผ่านมา

    Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.

  • @jameshensdouglass7632
    @jameshensdouglass7632 2 วันที่ผ่านมา +1

    DNA ikashindikana kupimwa au

    • @King_Movies_Series
      @King_Movies_Series 2 วันที่ผ่านมา

      DNA Bongo hatuna mambo hayo na inategemeana na uwezo wa familia

  • @josephk90
    @josephk90 2 วันที่ผ่านมา

    Intro inakuwa ndefu mno ndg mwandishi okoa MB zetu.

    • @fatmamsiliwa8485
      @fatmamsiliwa8485 2 วันที่ผ่านมา

      Huyo mgonjwa hana fahamu uzur kwahyo akimkatisha atampoteza kabisaaaa

  • @remidusmwanandenje-yy5gs
    @remidusmwanandenje-yy5gs 2 วันที่ผ่านมา

    😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎

  • @user-fs7xc2bb5d
    @user-fs7xc2bb5d 2 วันที่ผ่านมา

    Kijana bado kidogo hayupo sawa

  • @Djso26
    @Djso26 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 2 วันที่ผ่านมา

    Pole sana

  • @MalaikaBright-rv6yb
    @MalaikaBright-rv6yb 2 วันที่ผ่านมา

    Polee sana kaka