Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
Hakika Mungu ni mkuu, Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote.. Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
Hii Dunia😭😭pole sana kaka Mungu akupe maisha marefu
Asante Mungu kwa Rogate Pia hongereni Moi kwa ubinadamu mliouonyesha Mungu atawalipa
Mungu akuzidishie umri mrefu pia pole sana tunakuombea upate kupona haraka sana
Mungu awabariki wauguzi wote mliokuwa name kipindi chote hicho
Mungu wabariki madaktari uliomtibia ndugu yetu
Kiukweri umli wake Bado mungu anamtaka Aishi mana hata hapo hospital asinge hudumiwa bila ndugu Wala pesa ashukuliwe mungu
Hongera san hospital ya MOI kutibia mtu pasipo kujali fedha
Mungu ni mwema hongereni sana moi
Hyo ndio yale ya Arusha yule kaka wamezika mait sio yao
Kiukweli nipende kushukuru uongozi wa iyo hospital ubinadamu kwanza
Pole Sana mdogo Mungu awe faraja kwako. Mbarikiwe madaktari wote mlimtibia.
Ndo haya ya arusha wanasema mtu kafufuka dah pole sana
😢
😮😮
Kabisa wale walizika mtu sio wao
Amebahtika kua na nugu wanao weza kumtafuta, vipi kwa wasio na mahusiano mazuri na ndugu zao?
Allah atubariki zaidi.
Ndio watashangaa amefufuk
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
Allah awalipe kheri madaktari wamoi huo ndio utendaji wakazi rais wetu samia suruhu hasani kiupande wangu naomba uwapandishe vyeo hao madaktari wamejituma sana hawa kujali pesa wamejali utu asante ni sana
Mungu mkubwa 🙏 insh'allah uwe na maisha marefu!
Daaa pole sana Brother Mungu akupe maisha marefu
Hakika Mungu ni mkuu,
Moi Mungu azidi kuwalinda kuanzia uogoozi, madaktari na wauguzi wote..
Hosiptali nyngn angekutana na wenye roho mbaya, wangemtelekeza!!..kuna hosipitali wahudumu utafikiri watoa roho na sio matabibu!!
Hao marafiki zake wa kazini wana maroho mabaya tuu kwanini wasitoe ushirikiano kwa mdugu na jamaa zake
Tatizo ni hilo la umakini tu,..alafu baadae ungesikia mtu kafufuka.....poleni sana ndugu
Nikweli usemacho
Asante yesu mm ni mmja wa walioenda msbn, nilivopat taarf hz nimefurah kwel
🥺🥺
Pole Sana kijana. Wakati mwingine ndugu tuwe na subira. Tusikurupuke. Mungu akutunze uwe na maisha marefu. Amina
Shida hakuna vipimo vya ziada vinavyofanyika kama DNA kujua uhalisia wa mtu kama ndie au la...
Wenzetu hawaziki mpk wapime kujua ndie au sio
Mbona vipo ndg tu walikuwa wazembe @@pendosailo1989
vipimo vipo Ila ndugu hawakupata sintofahamu hata wakapima na inasemekana alipoteza mwezi mzima lazma washikwe na kiwewe @@pendosailo1989
Allah ashukuriwe
Duh pole sana aisee khaa
Alafu utakuta mjinga mmoja anasema Tanzania masikini hebu oneni mgonjwa kaokotwa katibiwa hadi kapona hakuna hata alidaiwa bill Mungu azidi kuwalinda wauguzi wetu na serekali iwajali🤲🙏🙏
Wakipatikana ndugu wanalipa bills
@@aminamoody5865 Sawa italipwa tu hâta ukoo utachanga bora wameokoa maisha yake ni jambo lakuwashukuru nchi zingine unaachwa hapo ndugu apatikane uanze matibabu
@@aminamoody5865ndio wakati maisha wameshaokoa❤
Pole sana kijana Mungu azidi kukulinda🙏
Pole kipenz MUNGU akutunze❤
Pole Sana mwsnangu
Mungu akulinde mwanangu
Subhannallah pole sana 😢😢
Pole
Amina
Dah pole sana
Pole Sana kaka
Pole sana wakwetu kumbe tunatoka mkoa mmoja pole sana mdogo wangu
Pole sana, ila bado akili haiko sawa, ukisikiliza kwa makini hasa kipengele cha kuomba boda kwa mteja uendeshe half wakati huo, mteja unamwacha kazini kwako....
Pole sana ndugu
Pole sana
Poleni san lkn huyu jamaa akili hazijaludi
Sasa angewezaje kujielezea🤔🤔
Eeeeh bado akili hazijarudi sawasawa ukisikiliza vzur majibu yake
Kwakweli hayuko sawa, maana anavyojieleza ni hakika akili haiko ok
Hivi unaweza acha mteja halafu unaomba boda yake uendeshe tuu
Pole.kijana wngu
Duuuuuuuu😮
Pole San Kaka ya dunian
Huyu jamaa bado kabisa, hayuko sawa na hata nahisi anayeongea kama vo yeye vile!
millard ayo huyu jamaa kama nimemkumbuka hivii kwa mbalii alipataga ajali pale rafia bagamoyo road muda wa saa kumi na mbili jioni. Nilimsaidia sana kumchomoa kwenye pkpk iliyomlalia na kumpa huduma ya kwanza alikuwa anatoka damu puani na mkono ulichunika sana adi ngozi nyeupe ilitoka pia walikuwa wamepakizana wawili.kama siyo yeye basi nitakuwa nimemfananisha maana stori yake kama inafanana na yule niliyemsaidia mm. pia alivyoumia kwenye mkono na kichwani ni kama yule nilomsaidia maana alikuwa ameumia vilevile kama yeye alivyoumia
Pole sana kaka imekuaje usikumbuke ajali au ni uchawi wa kutupiwa
Itakuwa aliumia kichwa kwahy kukumbuka inakuwa ngumu
Asee pole sanaa lkn kwann mnamuhoji huyu bado kichwa hakija kaa sawa jamn
yan sijui wapoje
Sherehe yakutokufa
Swali langu Uyo aliyemiazima bodaboda yy akujua?
Swali zuri na la msingi mwandishi hajauliza ni vema amtafute wenye pikipiki hapo hapaeleweki.
Mwili umechomwa moto... Ina maana wewe sio mzuri kwenye familia yenu
Daaah yani Tanzania bado watu wanagaiwa mwili bila DNA kisha ndo munakuja na story za uongo mtu kafufuka. Eti watu bado miiili Mpaka umtambue dah.
Allah awe pamoja n wauguz
Duuuh Yan hospital ya taifa inafanya hayo duuuh
Kweli uchawi upo
Hata fahamu bado.
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
yaaah kama una mtazamo wa ndani zaidi utaona bado hayupo sawa
Kweli na shingo haiwezi halafu mzuri mashallah
Hakika mgonjwa kazinduka,lakini hajapona!Asiruhusiwe hospitali hadi waakikishe kapona na akili kwani bado yupo na maluweluwe!
Amna kitu ww😂
Watu wa Dar tumefikiwa tumezoea Arusha haya mambo😂😂😂
Maisha na kifo ni siri kubwa sana😢
Hilo tukio niswa na tukio la juz la ile familia wanaodai ndugu yao kufufuka hali inakuaga ivo wanandugu huchukua miili isiyo yao hospital na kwenda kuzka bila kuchunguza miili kumbe ndg yao yupo hai
Mhuuu
Yan hata cjui niseme nn ila pole dah😭😭😭😭
Hao watu walio kua nae kwny biashar pia hawan utuuu
Wanatakiwa wachunguzwe..
Kumbe huko hai!!
Akipatikana huyo jamaa mwenye pikipiki hii story itaweza ku balance.
Otherwise mtu anaweza ku generate maswali mengi nayakawa ya msingi
Kwakweli, maana huyo boda sana akili yake haiko okay
Alizinduka Kwa mda gani?
Kwe
mtangazaji nawewe upo kama mgonjwa
Daaaah mwanangu Rogati Polee sanaa😢😢
Daa Dunia hiii hatali kweli
Uondio ubinadamu ongeleni madocta
Isije ikawa mwamba kafufuka😂😂
Apo mnanichanganya jaman au walitaka kumtoa kafala jaman ?
Waandishi hamna busara. Huyo mgonjwa kichwa hakiko sawa.
Ni kwel kichwa bado hakikosawa
Vp alie mpa pikipik alikua nae au
Ndugu walitakiwa kupima DNA ule mwili pmja na mzazi
Dah wangejua wangepima DNA kama walikua wana wasiwasi na mtu mwenyewe 😢
Tatizo hela ya kupima hiyo ni dna na proceas zake
Huyu bado hajakaa sawa😢
Ni kwel akili bado haijarudi sawasawa
Atakuwa sawa tu polepole.🙏
Sasa... hospital zina kaz gan kupima vina saba7mbkq wat wazike mt ambae sio wao? Wat wanapima mbka mifupaa ya mika 70 sasa inakuwaj apo
ukute ndugu wenyewe ndo walitaka kuchukua sababu ilikua maiti ya muda mrefu
Kwani Tanzania hakunaga DNA test Kwa maiti zisizotambulika??!!!! Hii ni masikitiko.
DNA ikashindikana kupimwa au
DNA Bongo hatuna mambo hayo na inategemeana na uwezo wa familia
Intro inakuwa ndefu mno ndg mwandishi okoa MB zetu.
Huyo mgonjwa hana fahamu uzur kwahyo akimkatisha atampoteza kabisaaaa
😪😪😪😪🙏🙏🙏🙏🎎
Kijana bado kidogo hayupo sawa
Pole sana kaka,Mwenyezi Mungu mkubwa,Alhamdulillah!
Pole sana
Polee sana kaka