KAIMATI ZA SHIRA YA NJE TAMU SANA/KALMATI RECIPE/RAMADAN RECIPE
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- #ramadanrecipes #ramadan2022
Hi Lovies
Nawatakia Ramadhan Mubarak In Advance 🥰🥰
Ramadhan recipes 2021
• Ramadhan recipes 2021(...
Ramadhan recipes 2022
• Ramadhan 2022
Hapo hutakosa idea moja ama mbili All the best ukiwa na swali anytime niulize kwa comment nitakujibu kipenzi❤
Like na pia share the video Muhimu Sana Kusubscribe😍
To All My subscribers Thank You All❤❤
Amazing and easy recipe thank you
maashallah mapishi mazuri lakini I wish hizi recipes ingekua unaziandika if possible otherwise all is good 👍
Tabarakallah mpenzi
Maa shaa Allaah nimejaribu na Alhamdulillah
tabarakalllah
Masha allah
Waoh Mashallah shukhrani kwa somo❤
Masha Allah,nimeipenda hii receipy kwa familia
Asante love
Maa sha ALLAH
Tabarakallah
@@HadijaSheban nimekupenda Burr ongera
Mashaalah
Nakupendaga bureee❤
Ma shaa allah....❤️❤️
Tabarakallah
Jamani, hii ndio sasa yummy kaimati. Tamu sana.
Finally imefikiwa😂😂😂
😂😂
Mashaallah Allahu
Mashallah
shukurni sna nafaidika ss ramadhani ❤🥰
Aww nafurahi kuskia hivyo my love
Asante ًKHADIJA ulinisoma leo kama nataka kupika hizo ya kaimat za shira ya nje wanangu wanaita kaimat za kiswahili❤️❤️❤️
Haswaa mpenzi hizi ni zakiswahili all the best mpenzi 🥰wasalimie watoto wetu
@@HadijaSheban Shukran na wewe wApe slm woote ❤️❤️❤️
Mashaallah
Asante sana
karibu
Mashaallah nzur
MashaAllah your recipes are easy and goooood 👌
Thank you soo much Darling 🥰🥰Please Subscribe
@@HadijaSheban 1
0
MashaAllah. Nice recipe. Naomba shurba
Asante soon love
Mashallah I love you kaimatis vacha ni jaribu haitoki kama yako
InshaaAllah zitatoka kama hizi
Mashaa Allah
Tabarakallah
Mashallah nimependa nijaribu
Asante sana babes all the ebst
MashaaAllah 😊
Tabarakallah🥰🥰
MashAllah love it
Thank you, They look good,, I've liked them, Thank you so much for teaching us,
You’re most welcome dear❤️❤️
And it is perfect
Asante
You are straight to the point..Thank u...
Yeees thanks
MashaALLAH kazi nzr
Tabarakallah kipenzi
Kazi njema sana nimeipenda
Asante sana
Asante kwa mapishi
Karibu sana
Mashallah allah bariq
Ameen love
Kipenz thanks for everything..Nauliza zinaweza last for how long?
MashaAllah easy steps to follow
Yes shukran sis
mashaallah nimependa
Shukran sanaa
Mimi napenda sana mapishi tupikie visheti lnshaal
Nimepend
Asante sana
Asante dadangu
Karibu kipenzi 🥰🥰
Very nice Mimi nikipika zinakaa siku. tatu zinaharibika
Niweke Nini tafadhali
Mimi sijawa ziweka siku tatu
Tnx sana mahamri yametokea
Aww sooo sweet happy to hear that kipenzi 🥰🥰
@@HadijaSheban umepata no.yangu nimekusend
@@HadijaSheban bado mkate wa sinia
Naomba nijibu na mimi dear plziiiiiii,huwa napika kaimati lkn kwann mimi huwa zinaruka sana na kupasuka ,naziruka na mafuta unaweza ungua jmn nijibu mylove
Baby unga wako ni mwepesi sana basi hio ndio sababu na pia ukiweka weka polepole usirushe natumai itakusaidia
Mashallah sister, very helpful.
Tabarakallah
Mashalaah
Thanks❤
You're welcome 😊
Nice it's easy
Thankss
This Recipe is Perfect ❤Made it today Morning for the first time for my Geusts na wamezipenda Sanaa..Thank You for this❤
Most Welcome
Asante dada
Mafuta ulipima kiasi gani yale uliochanganya na unga. Shukran kwa mapishi bora.
Kwa video ipo mummy
Recipe nzuri
Mbona shira yangu hunata baada ya muda,unaeza fanya nini ndo sukari igande kwa muda mrefu?
Usieke maji mengi sana pia moto usiwe mkali sana
Kipenz recipe nyengine sagia ndizi mbivu humo kabla hujapiga n tamu balaa
Woow nitajaribu nikipenda nitashare na wengine
Mashaallah apo mwanzo mm ata sijaelewa umeexplain haraka aki 🙈🙈🙈
Pole babees
Unachukua huo mchanganyiko wko unatia kwa chupa ya maji na mfuniko wko una kata juu hvo utakua kma unaikamua hyo chupa na kutengeneza shep ya duara kma hvo au tumia mfuko unakata kidogo na kukamua piah inakua kma ukifanya kwa chupa
Hogera nimependa mapishi Ramadhani mambo poa
Shukran darling
ManshaAllah darling
Tabarakallah love
Mpenzi dada Hadija Hebu nifanyie hisabu ya vipimo kwa unga kilo mbili
Nangoja jawabu swali langu la Jana pls
sijaelewa
Mashaallah uko malindi ni kwetu huko vipi kwema
Kwema Alhamdullillah
Mashaallah mapishi wanitamanisha vipi mere kwema
Angalieni zangu Maa Shaa Allaah! Raha hadi rohoniiii 5:46 nitapigaje picha muoneeee???
nicee
Mashallah dia dhen lkua nakuuliza vp mbali na maziwa waeza eka tui ama?
Yes waeza
Ila maziwa inafanya ndani zinakua laini
@@HadijaSheban saw asante dia
Mimi niko Omani nataka kupika jamani
😊😊😊
Mimi aki kaimati zimenishinda kupika kila nikijaribu zinatoka tu vituzingine zenye sijui zinaitwaaje aki
usichoke pia mm nilikua huko
Nice
Assalamualikum Mashallah looks so yummy
Waaleykhm mussalam thanks
Ulivo ondoka time ku missssssssss
Ushaza I miss you baby and you
I love you 💖💕😙
Asma ha jamba
Maji n moto au baridi
Kuna kitu kina nikanganya kutumiya baking powder na baking soda piya kuna hii kuchanganya maziwa /butter n piya margarine na kuna mambo ya vanilla naomba unieleze tafadhali
Sijui nikueleze vp maana kila kitu kinatumika sehemu yake vingine hua nilazima vingine sio lazima
@@HadijaSheban nisha kuelewa nilijaribu kupika mambo yakatoka sawa sawa
Assalaam alaykum warahmatullah je sukari ukipika kisha Iwe maji nitafanyaje?
waalykm mussalam unaacha hadi ikauke mummy
I love you guys so much
Love you too darling♥️
💖🥰
Mashalah nlijaribu bt😂😂😂😂😅
Hahaa ikawaije
Napenda sana kupika kalmati ila kwenye shape sasa 😂 ila na shukuru ni meelewa sana my sister ❣️
Shape tusijali sana chef😂😂😂
Mimi nikifanya zinaharibika
Maji ni warm au baridi?
Safi sana ,na umeolewa kwani nahitaji mdada kutoka coast
Yes nimeolewa kaka
kwani wewe upo sehemu gani?
Maji ni ya moto au baridi plz
Muhimu recipe utuandikie
Zakuandika njoo insta
😋😋😋😋😋😋😋😋
Salaam sister, can you add the recipe in English please, thanks in advance
Salaam yes I will be writing the ingredients in English
@@HadijaSheban it was me on Facebook, thank you🙏
Hello juu Sina measuring cup, na nataka kujaribu kutengeneza ...nitumie Nini ndio nijue unga at least nimeeka the right measurement
Tumia kilombe cha kawaida
Umeweka amira
Yes na nimetaja kwa video
Malindi kenya
Vipimo vya flour cause vikombe are different jamani. In grams or kg it's easier please. Otherwise thanks. Waiting for recipe ya buns au mkate
Mpenzi kwenye niko sina hivyo vipimo nikiwa kwangu kila kitu nawapa...in kgs will try next time InshaaAllah nitaealetea
Hukueka hamira mbona??ulifura vipi?
Ameweka hamira Sikiza vizuri
I wish I understood Swahili 😒😒😒pliz write the ingredients in English please what is that staff hiliki
Hili is cardamom powder
MWISHO USIPOPIKA SUKARI , JE HAILIKI AU INAKUWA HAINA ONJO ?
Ukichanganya na sukari itakua sawa usipoeka sukari kabisa haitakua tamu
Lazima youghurt na hio baking soda
Ukiweka hizo inasaidia sana kupata ulaini mzuri kwa ndani na njee Crunchy
Jamni apo kwenye shira mbona yakwangu hua haikauki inaishia kunata tu ad naipua
Pika shira yako vizuri love ikianza kuvutana weka kaimati na urushe rushe
@@HadijaSheban hapo sasa sijui nakosea nini ila nitajaribu tena
Kijiko kimoja ni 1 tablespoon ama 1 teaspoon?????
1tbsp
Faaris
dada ahsante sana, ila nilitaka kujua, hayo maji ya kukandia yanakuwa ya joto au ya baaridi?
AHSANTE SANA
Maji ya kawaida
Kwa nini nikiweka Shira zapasukapasuka
Wacha zipoe kabisaaa
@@HadijaSheban Asante Kipenzi 🥰
Asant san
Anti kwani lazima kurka beking soda
Sio lazima
Kuweka maziwa ni lazima?
Yoghurt pia poa
Lazima utie mazoea?
No
Naeza tumia gas
Yes
salàm alekum
Waaleykhm mussalam
Santaaa
Shukran ❤️
Naeza tumia tui badala ya mala
ndio
Ulipomaliza kukanda unga uliuwacha Kwa muda gani ndio ukaanza kuchoma
Wacha mpaka uumuke vizuri
Nimepika kalmati zimetokea vizuri ila kwenye shira sasa uwii mi sukari imegandiana balaa😰
Labda umeacha iive sana yaani umeacha imeiva zaidi
Naweza kutumia tui la nazi badala ya maziwa?
ndio
Mayai unaweka muda gani😥
Please write measurements in English...
Ok
Kama hauna hiyo chapa mandashi
Silazima dear