MAMA YAKE MWIJAKU AFUNGUKA, AKIWA KWENYE MJENGO MPYA "NILISHAMKANYA, ASIINGILIE, MAISHA YA WATU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ม.ค. 2024

ความคิดเห็น • 77

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 5 หลายเดือนก่อน +10

    Mama shkamooo, anajua kuongea kwa staha, asante sana mamangu

  • @mutalemwa-woerle
    @mutalemwa-woerle 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mwijaku ana mama mwenye busara sana mpaka amenifanya nimuangalie Mwijaku kwa jicho la pili…(I now think he is not who most think he is) Hongera Mama!

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 5 หลายเดือนก่อน +12

    Mama kabarikiwa sanaa kuongea vizuri

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 5 หลายเดือนก่อน +6

    Mashaalah mama ana ongea vizuri kwa hekima

  • @rerisamba
    @rerisamba 5 หลายเดือนก่อน +2

    Wow mama mzuri sana anaongea vizuri sana anakaa roho safi

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani 5 หลายเดือนก่อน +4

    Mama yake mzuri Masha Allah,

  • @user-wb2xo2lv7n
    @user-wb2xo2lv7n 5 หลายเดือนก่อน +2

    Mama unabusara sana kweli ❤

  • @agnesjohn9382
    @agnesjohn9382 5 หลายเดือนก่อน +3

    Wewe ni mama bora sana nimekupenda bure

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 5 หลายเดือนก่อน +3

    Mama mwenye busala zake mashallah❤️Hongera sana Mwijaku na męko 🙏🙏

  • @starjay3052
    @starjay3052 5 หลายเดือนก่อน +1

    tanzania bado maisha magumu kwaiyo unaweza ukawa na elimu lakini ikawa ujinga tu bado akuna mifumo mizuli yakuwafanya wasomi wawe na ela ma profesa wenyewe wanaishia kwenye kujenga bah awo wenye alimu watatumiaje elim zao kua pesa we kama umepata bahati shukulu mungu

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 5 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Mama!!!!

  • @renatusjeremiah
    @renatusjeremiah 5 หลายเดือนก่อน +5

    Jamani hivi sasa hivi wazazi ni mama tu na baba tumewakosea nn watoto maana kila mtu mama mama kwa kweli wazaz wa kike mnatukera sana mnapotuchonganisha na watoto wetu ili nyie tu ndo muonekane wema na wazuri kwa watoto hili linaniumiza sana mimi kama mzaz wakiume

    • @jestinaluvanda-jm4tc
      @jestinaluvanda-jm4tc 5 หลายเดือนก่อน

      Pole! mwanamke ni mrithi wa Neema. Hahitaji nguvu kuipata

    • @saniaidrisa3920
      @saniaidrisa3920 5 หลายเดือนก่อน

      Kuchukiwa mnakutengeneza wenyewe baadhi ya wanaume mnajiweka mbali sana na watoto wenu mnahisi ukali ndo heshima Sasa Kama baba unamnyanyasa mke mbele ya watoto, wakikuomba kitu unasema muombe mama yenu unampa mke pesa halafu yeye ndo awape watoto watoto hawajui kama wewe ndo umetoa wanajua ni mama,na mengine mengi yani wewe ukija ndani kila mtu anakimbilia chumbani Sasa hao watoto wakikua kupendwa sahau

    • @maryamudunga1094
      @maryamudunga1094 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂ss ndo tupo

  • @alibinali_
    @alibinali_ 5 หลายเดือนก่อน +1

    Masha'Allah Mama

  • @aminathaabubakarmasoud565
    @aminathaabubakarmasoud565 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah mama mzuri hongera sana Mungu akutunze ❤❤❤❤

  • @Am-vo5cu
    @Am-vo5cu 5 หลายเดือนก่อน

    Napenda watanzania. Hawaachi kumtaja Mwenyezi mungu. Mama shikamoo. Inshalla.

  • @nzeyimanamwavita1904
    @nzeyimanamwavita1904 5 หลายเดือนก่อน

    ManshaaAllah Mama

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Mama mashallah ❤❤

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongera jamani mama yupo vizuri

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 5 หลายเดือนก่อน +5

    Kwan mwinjaku asijenge kwa nn ridhiki anatoa mungu kujenga mbon nikawaida tuy mange aongee tuy lakin ndo kashajenga

  • @omanmct135
    @omanmct135 5 หลายเดือนก่อน

    Mashallllah

  • @marianyange3013
    @marianyange3013 5 หลายเดือนก่อน

    Mama wa kizigua yuko vizuri,Hongera mama

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hongeraa.lakin yumba aifik bilion 1.usiwakatoshe vijana😊

  • @saidnhoathuman1014
    @saidnhoathuman1014 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera yake

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nyuma ya unaemjua kuna vitu usivyovijua

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 5 หลายเดือนก่อน +1

    Ktk yote nimependa neno mama kalitamka wala sio kwa ujanja wao nimungu tu.

  • @user-me5ec4xp2j
    @user-me5ec4xp2j 5 หลายเดือนก่อน

    Yupo vizuri Kama my mom alivo

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 5 หลายเดือนก่อน

    Mwinjaku umewafunga wengi midomo. Tunamsubiri baba Levo

  • @user-kz7ys5qw2h
    @user-kz7ys5qw2h 5 หลายเดือนก่อน

    Mmmmmh cna hakika

  • @mawalasparepart6868
    @mawalasparepart6868 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mama mwijaku mlembo sana

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 5 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama mashallaaa mama amejawa na hekma

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hata mimi nitajenga kama hiyo Mungu anisaidie

  • @happyminja-kb1ow
    @happyminja-kb1ow 5 หลายเดือนก่อน

    Kama ni pesa ya jasho sio ya short Kati MUNGU ambariki aisee

  • @user-mb4si9nm3c
    @user-mb4si9nm3c 5 หลายเดือนก่อน

    Kwahiyo mange na mwenye nyumba Nani atakuwa mkweli na mange akisema sio yake ndio ataaminika hatuombeane kheri jamani

  • @ShekiyaoHussein-ki4ty
    @ShekiyaoHussein-ki4ty 5 หลายเดือนก่อน

    Mama nimempenda kwa mazungumzo yake Mashalla

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 5 หลายเดือนก่อน

    Bado mbichi huyu Dada, tulete mang'ombe?

  • @kilimanjaro77international26
    @kilimanjaro77international26 5 หลายเดือนก่อน

    Banda la njiwa

  • @venusmakbel4679
    @venusmakbel4679 5 หลายเดือนก่อน

    Mi najiuliza kitu kitu kimoja ile nyumba ina vyumba vitatu tu kimoja cha mwanae kingine cha kwake na kingine kafanya ofisi hakuna chumba cha wageni😊 au dada wa kazi atalala kwa matiasi😂😂

  • @mwanahamisinyenzi-vo6mj
    @mwanahamisinyenzi-vo6mj 5 หลายเดือนก่อน

    Nimekupenda bureee

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 5 หลายเดือนก่อน +1

    Huu ni Ushamba

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 5 หลายเดือนก่อน +1

    Subiri Mange atatupa za ndani.

    • @aisharamdan8358
      @aisharamdan8358 5 หลายเดือนก่อน

      Zandani kwamba nyumba sio yake au

    • @bakariomari8758
      @bakariomari8758 5 หลายเดือนก่อน

      Yaani maskini unawatoa ufahamu ndio maana mnarogana sana watz

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 5 หลายเดือนก่อน +1

      Hahahahaaa yaan mtu mzima usubiri mange aje kukuambia nyimba ni yake au la. Ama kweli kiazi

    • @rosemuhandoofficial5676
      @rosemuhandoofficial5676 5 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli​@@bakariomari8758

  • @omanmct135
    @omanmct135 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maskin wamwche kilamtu nariski yake mungu kampa

  • @mawalasparepart6868
    @mawalasparepart6868 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe mama mwijuku pisi kali

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Mange njooo.huku utuhakikishie hili jambo

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 หลายเดือนก่อน

      Weunamtumikia shetani ndio maana wamuamini mange kimavi

    • @user-uc8ei8kn3l
      @user-uc8ei8kn3l 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂kabsa kimambi wap

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dada wa Taifa karibu Kuna huyu Jamaa analidanganya Taifa

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂jaman mnamakusudi

  • @KALULUALLI
    @KALULUALLI 5 หลายเดือนก่อน

    DOTTO MAGAR ATATWAMBIA NYUMBA YA NANI TUNAMSUBIRI

    • @victoremanuel29
      @victoremanuel29 5 หลายเดือนก่อน

      Ameshajibu huko kuwa amechafua kiwanja hiyo siyo nyumba😂😂😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

    Dada mange njoo bwana huku kuna jambo hatuna uhakika nalo njoo utie neno😂

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 หลายเดือนก่อน +3

      Wivu

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

      @@fatmafatu1128 wivu au tuhakikishiwe wivu wanini sasa wakati mie mwenyewe japo kibanda ila sidaiwikodi upo

    • @sofitanzanian955
      @sofitanzanian955 5 หลายเดือนก่อน

      @@fatmafatu1128 ukae.kwakutulia

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 5 หลายเดือนก่อน

      @@sofitanzanian955 acha uswahili uhakikishiwe kama nani? Endelea kukaa kwenu eti hudaiwi Kodi umeulizwa nanani kama wadaiwa au lah fata maisha yako yakubangaiza acha roho ya kisokoro kwino,

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 5 หลายเดือนก่อน

      Fikra na Akili zako ni ndogo sana.