JPM: Mimi sitaki nipendwe, hata sura yangu ni mbaya
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- “Siasa za kubembeleza mlizokuwa mmezizoea sitazisema mimi mpaka namaliza muda wangu, na mimi sitaki nipendwe sana, hata sura yangu ni mbaya,”.
Ni kauli ya Rais Magufuli akiwa kwenye mkutano wa hadhara, kwenye Uwanja wa Ukuta Mmoja, Mjini Nansio, wilayani Ukerewe, Septemba 4, 2018
Mmmmmh.....karikuwepo ka Maguful.....😭😭😭,Mikononi mwako eeeh Bwana naiweka ROHO yangu.
Kweli kabisa 😭😭😭
Umetisha sanaaaa nakupenda sanaa mweshimiwa
Kweli yametokea
Huyu ndio kiongozi kweli kweli
Magu uko good
ELIMU SAHIHI
kwel
Wanadamu hawana wema tukumbuke mungu si mwanadam akili zake hazichunguziki