HALI ILIVYO KUANZIA NJIA PANDA HADI MOSHI, MAGARI YA KIFAHARI "TUNAENDA KULA SIKUKUU"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 11 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 192

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 18 วันที่ผ่านมา +17

    Waseri wose karibuni Moshi na Varombo Venzangu karibuni Kaa msheya ndafu. Waseri wose ngili fatakia Skukuu ngshaa

  • @annakullaya7678
    @annakullaya7678 18 วันที่ผ่านมา +7

    Jamani ni furaha kuwa pamoja ndivyo tulifundwa,mila na tamaduni zetu ni nzuri sana hasa kwa wale wanaoelewa nyumbani ni nyumbani.haijalishi una gari hauna nikujipanga na kuamua (unachukua hatua mapema vidole havilingani 🎉😂❤

  • @allysmedia2744
    @allysmedia2744 18 วันที่ผ่านมา +14

    Dada kaongea kisomi sana❤

  • @chalokalunde9429
    @chalokalunde9429 18 วันที่ผ่านมา +37

    Inatakiwa SGR haraka sana Dar Moshi Arusha.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 18 วันที่ผ่านมา +6

      Umesema vizuri

    • @MrGodvictor
      @MrGodvictor 18 วันที่ผ่านมา +1

      Sijui kwanini hawajaiwaza hiyo ruti kuiwekea SGR katika siku za mwanzoni kama Dar Moro Dodoma.
      Ile reli ya MGR haitoshi. Dar Moshi Arusha wasafiri ni wengi sana,

    • @kajanksimon7432
      @kajanksimon7432 18 วันที่ผ่านมา +2

      nyie mnaenda mwaka kwa mwaka mtatia hasara

    • @MrGodvictor
      @MrGodvictor 18 วันที่ผ่านมา +1

      @@kajanksimon7432 hahah, wala. Wanafanya hivi, kipindi cha sikukuu wanaongeza ruti na mabehewa na kipindi cha wasafiri wachache wanapunguza..

    • @Simbasc-mw4zk
      @Simbasc-mw4zk 16 วันที่ผ่านมา +1

      Kuitoa DODOMA mpaka ARUSHA na MOSHI Very possible

  • @elimishanyamoga6797
    @elimishanyamoga6797 18 วันที่ผ่านมา +19

    Wanetu wachaga wanayo pesa ase hongereni sana
    One day na sisi wahehe tutasimamisha misafara kama iyo❤

    • @JolinoPeter
      @JolinoPeter 18 วันที่ผ่านมา +1

      Inguluvi yitutange mnyalukolo

    • @JOHNMWAGALA-gt7ni
      @JOHNMWAGALA-gt7ni 18 วันที่ผ่านมา +1

      Kamwene

    • @elimishanyamoga6797
      @elimishanyamoga6797 18 วันที่ผ่านมา

      @JOHNMWAGALA-gt7ni unoge mwagito

    • @elimishanyamoga6797
      @elimishanyamoga6797 18 วันที่ผ่านมา

      @JolinoPeter kabisa mnyakirambo

    • @asmahtamla4749
      @asmahtamla4749 18 วันที่ผ่านมา

      Kamwene​@@JOHNMWAGALA-gt7ni

  • @Rachel-94tz
    @Rachel-94tz 18 วันที่ผ่านมา +12

    Happy Christmas 🌲🎉❤🧑‍🎄

  • @chachawambura4030
    @chachawambura4030 14 วันที่ผ่านมา

    Wachaga nawakubali sana💪💪💪

  • @ellybrown5989
    @ellybrown5989 15 วันที่ผ่านมา

    Hongera zao wanaenda kutoa asante kwa baraka walizopata na pia wanaenda kuchota baraka nyingine tena. Mungu ni mwema tubarikiwe sote.

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kuzuru hom ni suna kama kuhiji kwenu kwa mwaka ni nzuri kama mnakumbuka kwenu mkawa mnaenda kukaa pamoja na mkaonana kujuana ni jambo zuri Sana ukoo unakua unajuana

  • @AIKABAHATI
    @AIKABAHATI 18 วันที่ผ่านมา +5

    Matala moja hiyo..❤❤

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 18 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu kibega akishika pesa lazima anunue gari yake tuombe uzima aje atuambie🙏

  • @flavianmushi
    @flavianmushi 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mimi sijaenda home tumetoka majuzi kumpzisha mdogo wetu mazingira ya pesa yamenibhana lkn Mungu wetu NI mwema MWAKANI nitapanda na gari yangu Kali tuuu Mungu ni wetu sote tupambane ukiwa na usafiri MZURI NI Raha sanaaaa tumbane vijana

  • @OmaryLupange-yd3cw
    @OmaryLupange-yd3cw 18 วันที่ผ่านมา +3

    Weeee🎉🎉🎉 aika..,........... 🎉🎉🎉

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 18 วันที่ผ่านมา +4

    Moshi bhanaaaaa wachaka,mbeeeee karibu mbeeee,karibu maeeee

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 18 วันที่ผ่านมา +4

    Wafike salama kwa uwezo wa Allah🤲

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario 18 วันที่ผ่านมา +2

      Kwa uwezo wa Yesu Kristo na sio wa Allah.

    • @jacobmaganga3354
      @jacobmaganga3354 18 วันที่ผ่านมา

      Amina

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 18 วันที่ผ่านมา +6

    Moshiiiiiíii💪💪💪

  • @kammunisi2296
    @kammunisi2296 18 วันที่ผ่านมา +2

    Awa jamaa watasimamisha dola yao mda c mrefu safi sana.

  • @lovegodmunisi1006
    @lovegodmunisi1006 18 วันที่ผ่านมา +10

    Tuheshimiwe, kuna siku nilisema wachaga wakihama Tanzania, watakaobaki watakufa njaa

    • @AishaNgoyi-vi2ku
      @AishaNgoyi-vi2ku 18 วันที่ผ่านมา

      Mavi yako ww eti wachaga nyoooo

    • @learnselfdefense765
      @learnselfdefense765 18 วันที่ผ่านมา +1

      Hiyo siku ndio alisema upuuzi kuliko siku zote

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 18 วันที่ผ่านมา

      Wewe unaumwa na utapeli wenu wachaga sio watafutaji Sema ni matapeli

    • @ShabainBankintole
      @ShabainBankintole 18 วันที่ผ่านมา +1

      Unge sema wasukuma wakihama ungeeleweka kidg cio ninyi wavuta shisha

    • @RoseKimath
      @RoseKimath 18 วันที่ผ่านมา

      😅😅

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi 18 วันที่ผ่านมา +14

    wachaga na wamasai ndo makabila pekee yaliyobaki yanayodumisha mila zenye mafanikio merry Christmas 🎉🎉🎉🎉🎉

    • @junessalama9129
      @junessalama9129 18 วันที่ผ่านมา +1

      Wabinafsi sana hao kwenye mikoa yao ila wanapenda kulowea Kwa wenzao

    • @braysonmatoy8220
      @braysonmatoy8220 18 วันที่ผ่านมา

      Unauhakika na unachosema au chuki​@@junessalama9129

    • @witnessIzack
      @witnessIzack 18 วันที่ผ่านมา

      Tuachee​@@junessalama9129

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 13 วันที่ผ่านมา

      @@junessalama9129 uwoo n wivu na uliona wapi mchaga au masai kaolewa na kabila lingine et n mara chache sana mana wanawake wa kaskazini n wababe ko tunawaweza wenyewe

  • @Josephtibu-l9e
    @Josephtibu-l9e 17 วันที่ผ่านมา

    MUNGU NI MWEMA🎉🎉🎉

  • @DullahIweni
    @DullahIweni 18 วันที่ผ่านมา +8

    Sijawahi fika Moshi,lakin nataman siku nitembelee huko

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 18 วันที่ผ่านมา +2

      karibu mjii wa matajiri tz na hatuna baya na mtu wote tunawapenda kikubwa2 uwe n mpambanaji na uwe unakunywa pombe karibu moshi

    • @RoseKimath
      @RoseKimath 18 วันที่ผ่านมา +1

      Karibu sana

    • @NeemaSamson-ti8pc
      @NeemaSamson-ti8pc 18 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@MandoliiMoshi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 eti niwe nakunywa pombe wewe acha uwongo

    • @myunaniniahmad6463
      @myunaniniahmad6463 16 วันที่ผ่านมา +1

      @@MandoliiMoshi Hapo kwa kunywa pombe umetuangusha.

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 13 วันที่ผ่านมา

      @@DullahIweni karibu uchagani asee

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 18 วันที่ผ่านมา +1

    Happy Christmas 🎉

  • @AnordErio
    @AnordErio 18 วันที่ผ่านมา

    Sio magari ivyo vyombo vya moto

  • @MariamKombo-s2v
    @MariamKombo-s2v 18 วันที่ผ่านมา +11

    Piga makofi kw wachagaa wote. Wachaga hatuna mbambaa tunaztafuta kw jasho mwisho w mwaka tunaktana tujue nani amefeli tumbebee. Hongereni kaka zangu n dada zangu mungu awatunze mrudi salama.

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 18 วันที่ผ่านมา

      N mbaya2 enyewe wachaga oyeeeee

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@MandoliiMoshioyeee

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      Kabisa

  • @JeniAlex-e4v
    @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา +2

    Maua yao kwa wachaga

  • @festosangula3897
    @festosangula3897 18 วันที่ผ่านมา +1

    Sijaona G WAGON

  • @theroggyplus255
    @theroggyplus255 18 วันที่ผ่านมา +3

    Sijawahi kujutia kuwa mchagga...

  • @youngchyna744
    @youngchyna744 18 วันที่ผ่านมา +3

    Kumbe huyu nfo boss dar nzim a mabango yake yapo

  • @BornofGod-l5k
    @BornofGod-l5k 14 วันที่ผ่านมา

    Mimi ni mchaga pia ila Tanzania hailitegemei kabila lolote kuwa imara, tunakamilishana na tunategemeana, kwa pamoja tunaitwa Tanzania, WATANZANIA.

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hahahaha hii inaamanisha kwamba wachanga wapo na umoja sana kwenye kunyanyuana na pia wanaheshim sana pesa lazima wawena mafanikio

  • @kulwalucas8848
    @kulwalucas8848 18 วันที่ผ่านมา

    Magari ya kifahari 😂😂🫢

  • @RameckClementimdugulo
    @RameckClementimdugulo 17 วันที่ผ่านมา

    Matukio

  • @WambuaBndct-om5js
    @WambuaBndct-om5js 14 วันที่ผ่านมา

    Hiyo taarifa inaboesha

  • @KudraMaganya
    @KudraMaganya 18 วันที่ผ่านมา +2

    Naona ist ndo zimejaa barabarani hamna jipya😊😊😊

    • @Jazziumumeme
      @Jazziumumeme 18 วันที่ผ่านมา

      We unazo range ngapi

    • @Bintimrembo-y1v
      @Bintimrembo-y1v 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@Jazziumumemembona unaumia, au na wewe una IST😂😂😂

    • @Rawdha-y8t
      @Rawdha-y8t 18 วันที่ผ่านมา

      yako iko wapi

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      Wivuv

    • @winnerlucas5924
      @winnerlucas5924 18 วันที่ผ่านมา

      Utakufa siku sio zako kwa wivu

  • @RajabuHassan-i2p
    @RajabuHassan-i2p 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa jamaa wanaishi aisee maisha ndo yanataka hvi mtu gan usie kua narikzo

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 17 วันที่ผ่านมา

    Usiniambie hapa ni njia panda ya Himo

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 17 วันที่ผ่านมา

    Nmeiona gari ya bosi wang kbs kaondoka namdai

  • @jamesmshanga1098
    @jamesmshanga1098 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mwezi mtukufu wa wachaga kurudi nyumban kuwaona wazee nawatoto kufahamiana.

  • @Prisca-z9y
    @Prisca-z9y 17 วันที่ผ่านมา

    Nimeiona ngasere yetu ya rombo hiyo tarakea

  • @MagdalenaJoseph-q7n
    @MagdalenaJoseph-q7n 18 วันที่ผ่านมา +1

    Merry Christmas 🎄🎄🎉🎉 everyone

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 18 วันที่ผ่านมา

    Kilimanjaro ni nchi kamili ni vile ni basi tuu.
    Na ndo maana wakati wa kutafuta uhuru wachaga pia walitaka kupata uhuru kabla Tanganyika

  • @Je_mappelle-bon_boy
    @Je_mappelle-bon_boy 18 วันที่ผ่านมา +2

    Hi ❤

  • @Bintimrembo-y1v
    @Bintimrembo-y1v 18 วันที่ผ่านมา

    Waende tu tupungue dar 😂😂😂

  • @paolo4584
    @paolo4584 18 วันที่ผ่านมา +4

    Spacio, ist, alphard magari ya kifahari😂😂😂😂

    • @TuzoKen-h6i
      @TuzoKen-h6i 17 วันที่ผ่านมา

      Yko n ipi

    • @paolo4584
      @paolo4584 17 วันที่ผ่านมา

      @TuzoKen-h6i crown

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 17 วันที่ผ่านมา

      We wa wapi boss

    • @mcback4384
      @mcback4384 16 วันที่ผ่านมา

      Hujaona hizo Ford kama utitiri

    • @eunicetemu491
      @eunicetemu491 16 วันที่ผ่านมา

      Wivuuuu😂

  • @IsaacLameck-nz8yr
    @IsaacLameck-nz8yr 18 วันที่ผ่านมา +2

    Kutambika

  • @allymaimuna8688
    @allymaimuna8688 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa wachaga wanaona kama x max yao

  • @KastoMwingira
    @KastoMwingira 18 วันที่ผ่านมา

    Yanga

  • @sammichael1946
    @sammichael1946 18 วันที่ผ่านมา

    Mwambie huyo dada namtakia heri ya Christmas na mwaka mpya ahsanten

  • @muzneali4747
    @muzneali4747 18 วันที่ผ่านมา

    BODABODA JAMANI MUWE MAKINI SANA

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 18 วันที่ผ่านมา +3

    Tunaomba wawe wanaendesha vizuri. Wawe na adabu barabarani

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 18 วันที่ผ่านมา

    Jamani miladi hebu kagua na Kwa watani zetu wapare eti ili hii story ikae sawa.same,hedaru na mwanga

  • @lucianchiku5189
    @lucianchiku5189 18 วันที่ผ่านมา +8

    Matambiko na pia kihesabiwa😂😂 daaah

    • @selemansaid9295
      @selemansaid9295 18 วันที่ผ่านมา +1

      Wana enzi Sana asili yao ndomana wako na mafanikio,wewe ambae unafata Mila za wazungu una mafanikio gan?

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 18 วันที่ผ่านมา +1

    serkali haioni frusaa ya kuweka treni ya mwendo kasi ili kuvuna mapato ya kasikazini

  • @estermongela8733
    @estermongela8733 17 วันที่ผ่านมา

    Sas magar ya kfahar 2na yafanyia nn sis au mmekosa habar mna2jazia upuuz2

    • @eunicetemu491
      @eunicetemu491 16 วันที่ผ่านมา

      Wivu huooo😂😂😂😂😂😂

  • @ArtCDC
    @ArtCDC 18 วันที่ผ่านมา

    #tutafute dollar, acheni tujifukie town

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 18 วันที่ผ่านมา

    Inshallah ipocku mtaijua haki ilipo 😂

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 18 วันที่ผ่านมา

    Hawa wachaga Wana fake life wanakodi magari Sisi wamasai ndio tunaendessha magar zetu

  • @Colestyezzofficial22
    @Colestyezzofficial22 17 วันที่ผ่านมา

    Hom twn😂

  • @erickenock3198
    @erickenock3198 18 วันที่ผ่านมา

    Me naona Rava 4 tu ndio nyingi

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 18 วันที่ผ่านมา

    Uhariri ni mkubwa mpaka unakera!

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Samia Kiongozi bora kabisa

  • @rajabukipara3008
    @rajabukipara3008 18 วันที่ผ่านมา

    Wez tu Hao,
    Washatuibia huk Dar Wanaenda kunywea MAPOMBE PESA Zetu😂

    • @MbeziBeachHousehelp
      @MbeziBeachHousehelp 18 วันที่ผ่านมา

      Wamekuibia sh ngap acha makasiriko

    • @gililwise
      @gililwise 18 วันที่ผ่านมา

      Iba na wewe ili uende kwenu

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      We umeibiwa nn umeibiwa mke au n wivu wako

    • @eunicetemu491
      @eunicetemu491 16 วันที่ผ่านมา

      Ina na wewe kMa ni rahisi
      Kuiba tuu lazim uwe na akili mingi nyambafu😊😊😊

  • @mohamedkisenga6654
    @mohamedkisenga6654 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ushamba tuu hakuna jipya ulimbuken

    • @agustinohizza1395
      @agustinohizza1395 18 วันที่ผ่านมา

      Ulimbukeni kurudi kwenu wewe ni masikini ukoo mzima utaenda kufanya nini

    • @mohamedkisenga6654
      @mohamedkisenga6654 18 วันที่ผ่านมา

      @agustinohizza1395 ushambaaa ukubaki ukatae

    • @mohamedkisenga6654
      @mohamedkisenga6654 18 วันที่ผ่านมา

      @agustinohizza1395 masikin unanijua mm ushamba ndo maana mnakufa ovyoo na maajali wajinga nyie mnaona sifa ushambaaa

    • @sgjjkwbueow
      @sgjjkwbueow 18 วันที่ผ่านมา

      Huko uliko watu hawafi?

    • @ManswetKimario
      @ManswetKimario 18 วันที่ผ่านมา

      We ambae huendi kwenu hata kama usiposafiri utakufa tu mbweha ww​@@mohamedkisenga6654

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 18 วันที่ผ่านมา

    Waiziraeli wana rudinkwao

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 18 วันที่ผ่านมา

    Kila mmoja anarudi kwao kufata mchawi wake..

  • @shakilaAqram
    @shakilaAqram 18 วันที่ผ่านมา +1

    Hv mnafuataga nini wachaga huko au ndo matambiko

    • @MandoliiMoshi
      @MandoliiMoshi 18 วันที่ผ่านมา

      Matambiko ndiyo

    • @MbeziBeachHousehelp
      @MbeziBeachHousehelp 18 วันที่ผ่านมา

      Katambike na wew Kwan umenyimwa

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      Kusalimu wazaz nawe kadange kwenu kwan we kabila gan?

  • @NgasaMaduhu
    @NgasaMaduhu 18 วันที่ผ่านมา +1

    Ushamba tu 😂😂😂😂

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      Acha wivu wa maendeleo kwaio kwenda nyumban kusalimia n ushsmba

    • @TuzoKen-h6i
      @TuzoKen-h6i 17 วันที่ผ่านมา

      Jina lenyew ngasa maduhu,gari utatoa wp

    • @NgasaMaduhu
      @NgasaMaduhu 17 วันที่ผ่านมา

      @@TuzoKen-h6i kwa mamaako

    • @CasmirKiwale
      @CasmirKiwale 17 วันที่ผ่านมา

      Nenda kwenu kasalimie wewe Acha porojo kijana 😅

    • @NgasaMaduhu
      @NgasaMaduhu 17 วันที่ผ่านมา

      @@CasmirKiwale mi sio mchawi bro😀

  • @emmanuelelisha173
    @emmanuelelisha173 18 วันที่ผ่านมา

    Sasa magari ya kifahar ni yapi hapo?

    • @TuzoKen-h6i
      @TuzoKen-h6i 17 วันที่ผ่านมา

      Kama lako diha

  • @aishatest4451
    @aishatest4451 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂

  • @stellakiula3497
    @stellakiula3497 18 วันที่ผ่านมา

    Kumjua MUNGU NI CHANZO CHA MAARIFA!!! FANYENI YALIYO MEMA KUMFURAHISHA MUNGU SI MWANADAMU .NI KWELI KABISA WACHAGA MNARUDI NYUMBANI KUFURAHIA .ILA CHUNGENI MIOYO YENU IKAWE HERI

    • @JeniAlex-e4v
      @JeniAlex-e4v 18 วันที่ผ่านมา

      Kuwajilia hal wazaz pis n kumfurahisha Allah anasema mtume Mohammed swalla

  • @masoudsalum286
    @masoudsalum286 18 วันที่ผ่านมา +1

    Yesu alizaliwa Bethlehemu , nyie wachaga Moshi mnafuata nin?

    • @AishaNgoyi-vi2ku
      @AishaNgoyi-vi2ku 18 วันที่ผ่านมา

      Nawashangaa wanajikuta wanaakili kuliko wengn

    • @glorymanga3650
      @glorymanga3650 18 วันที่ผ่านมา +1

      Tuliza kisimi

    • @glorymanga3650
      @glorymanga3650 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@AishaNgoyi-vi2kutuliza kisimi

    • @joycefrances4516
      @joycefrances4516 18 วันที่ผ่านมา

      msifuatlie lazimantukasalimie wazazi,mi nikiondokaga nuumbani wazazi wangu wanalia,wanatamani nibaki,lkn kutafuta lazima,kukumbuka kwetu ni jadi.yetu

    • @gabapentin8070
      @gabapentin8070 18 วันที่ผ่านมา

      @@AishaNgoyi-vi2kutuliza utam uo

  • @husenahusena2660
    @husenahusena2660 18 วันที่ผ่านมา

    Wachaga wana pesa ndio skatai ila wanaongoza kwa ubahili duniani 😂😂😂

    • @UpendoEliya-i7l
      @UpendoEliya-i7l 17 วันที่ผ่านมา +1

      Mbona ww hatukusikii ukigawa pesa km matajiri mfano hayat Mhe Mengi, nk? Tafuta na ww ujinga umekujaa.!!

    • @mcback4384
      @mcback4384 16 วันที่ผ่านมา +1

      Bahili ni wapare sio wachaga

    • @husenahusena2660
      @husenahusena2660 4 วันที่ผ่านมา

      Sawa nitaanza kutafuta 🤣​@@UpendoEliya-i7l

    • @husenahusena2660
      @husenahusena2660 4 วันที่ผ่านมา

      ​@@mcback4384na Wachaga pia

  • @RajabuHassan-i2p
    @RajabuHassan-i2p 18 วันที่ผ่านมา

    Hawa jamaa wanaishi aisee maisha ndo yanataka hvi mtu gan usie kua narikzo

  • @jamesmshanga1098
    @jamesmshanga1098 18 วันที่ผ่านมา +1

    Mwezi mtukufu wa wachaga kurudi nyumban kuwaona wazee nawatoto kufahamiana.