SAKATA LA WAZIRI WA RAIS MWINYI KUJIUZULU, IKULU NAYO YATOA KAULI HII
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ม.ค. 2024
- Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 717 619 834
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Amejiuzulu kwasababu gani hebu tuelezeni? Asante kwa taarifa
Inshallah kheir
Hana kauli mzuriii mjukwaani hjui wakubwa zake
Sababu yake kakataliwa kuleta ulevi zaidi Zanzibar. Maana company zake ndii zenye kibali kuleta ulevi visiwani
waandishi wangu! jaribuni hata kutupa dondoo as to why amejiuzulu. mwaandika sakata kumbe hakuna kitu. muwe investigative walau. Ndiyo kazi yenu kutujuza. siyo sisi tupo njiapanda ya amani na nyie mpo ile ya jang'ombe
Kashashiba uyo
Mungu mkubwa umemtoa ubaloz mwenzio yamekukuta😢
Huna lolote Jimbo lako huna habar nalo haswa
Congratulations 👏👏
Tatizo kashindwa kuhakikisha pombe ipo
Mchunguzeni huyu iko namna anajaribu kukimbia ufisadi lazima iko kitu
Mungu kamlipa huyo.
Hiyo kauli ya ikulu iko wapi?
Sinaselikali najiongoza mm mwenyew
Uyu kasema pombe kidogo znz iongezwe pombe ila watalii waongezeke😢😢
🤔 Kama kasema hiyo laana ya POMBE kidogo Zanzibar. 😂😂😂 kuna vitu zaidi kidogo hamsemi mnasema Pombe. Kuna sehemu Wananchi maji ya kunywa hawana halafu mnasema Pombe kidogo, mnaingiya Misikitini kwenda kusali. Sasa mnataka Unguja na Pemba izame kabisa. Kuna Wananchi maskini za Mungu 😂😂😂 hata hawana habari Kama Pombe haitoshi hapo Zanzibar. Basi angalau angesema Ramadhani karibu lakini hakuna misahafu ya kutosha siyo Pombe. Mungu atustiri.
Na mleataji wa hizo pombe ni yeye ,maana company zake ndio zinazoleta
Mh
Anataka urais huyu 2025
P
Tupe sbb za kujiuzulu transparency ni nzr ktk Good Gorverness sasa umejiuzulu lkn hutwambii wala Ikulu haitowi tamko na sbb ya kujiuzulu mwisho itakua " Nasikia" radio kifua 2:31
Kujiuzulu hakuhitaji sababu kama ilivyo kuteuliwa.
Iman ndio iliyomfanya ajiuzulu au vip ? Au kuna mapyoro yashaonekana?
Simai Hana Imani na wazawa katika Ajira Ni mtetezi wa wageni wazungu.
tuache kupenda mteremko, kwanini tupewe ajira wakati hatuna sifa?
@@lmdos4382elimu yenye tunabaniwa kwa makusudi maana tunafelishwa wakati wa kusainiwa mitihani
@lmdos4382 Hao Wenye sifa wameajiriwa
Mimi namtakia mapumziko mema.
We nenda umeshidwa majukumu yako
Mbaguzi mkahawa wake ukenda mweusi anakuzuia jamaa shwaini