MITIMINGI # 365 SIRI ILIYOMO NDANI YA FUNGU LA KUMI (ZAKA)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
  • Watu wengi sana wanatafuta kuombewa, Sabuni wamepewa, Mafuta wamepewa lakini hawajafanikiwa na magonjwa hayajatoka.
    Je? Kuna siri gani iliyomo ndani yake.
    Fungu la Kumi = Zaka ni Sehemu ya kumi ya mapato upatayo.
    By Mch na Mwl. Dr. MITIMINGI p. Senior Pastor #WCC +255 713 18 39 39

ความคิดเห็น • 56

  • @user-ym1ns2ci7k
    @user-ym1ns2ci7k หลายเดือนก่อน

    Amina

  • @saadahussein8777
    @saadahussein8777 6 ปีที่แล้ว +4

    napenda sana mafundisho yako ubarikiwe sana

  • @jacksonngilu6097
    @jacksonngilu6097 ปีที่แล้ว +1

    Vizuri sana. Washika wa Ministry ya Neema juu ya Neema wa Mzee wa Neema, ni vizuri pia wasikie mafundisho haya

  • @jessenjiraine9851
    @jessenjiraine9851 4 หลายเดือนก่อน

    We are no longer under the law we are under the grace,huu utapeli

  • @user-fs3me5sm2f
    @user-fs3me5sm2f 2 หลายเดือนก่อน

    Matajiri wengi mnaowaona hawatoi zaka utoa sandaka, zaka yakupima imani,

  • @minanielikana
    @minanielikana 6 หลายเดือนก่อน

    Yesu ndio aliejitowa kuwakikumi
    Mama yake zaka.

  • @minanielikana
    @minanielikana 6 หลายเดือนก่อน

    Jamani musitapeli watu. Matayo 23 :1-39nehemiya 13:1 endelea 14:8 eblania 5:1-14 eblania 7 :1-28 tunataka tujuwe zaka Ni nini.
    Mwanzo 13:13 -24 Ablahamu ilikuwa siyo Mali aliotafuta.
    Ache utapeli nagutapeliwa.
    Soma eblania 10 :1 -18.
    Tutaendelea

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว +2

    haha ati sabuni umepewa lakini wapi! barikiwa pastor

  • @marwajosephnyabasama7559
    @marwajosephnyabasama7559 6 ปีที่แล้ว +5

    Mchungaji je ukizidisha zaka pia ni kosa

    • @emmysam7938
      @emmysam7938 ปีที่แล้ว +1

      Me naona Bora uzidishe kuliko upunguze

    • @user-ye1dt2eb8u
      @user-ye1dt2eb8u 9 หลายเดือนก่อน

      Kama umezidishiwa, ni vizuri pia kuzidisha, ni ishara ya upendo wako na Mungu

    • @iddimngazija1957
      @iddimngazija1957 8 หลายเดือนก่อน

      Kile kinacho zidi kitukua ni sadaka,kwaiyo utakua umetoa sadaka na zaka unapata malipo zaid

  • @reveliusmuchruza7952
    @reveliusmuchruza7952 9 หลายเดือนก่อน

    R.I.P Mtumisha wa mungu na akupokee ktk mikono yake

  • @nkombejonathan2858
    @nkombejonathan2858 ปีที่แล้ว +3

    Fungu la kumi katika Agano Jipya ni wizi na uhuni wa wale wanaitwa Wachungaji kwa kuwa zaka au fungu la kumi liliwahusu kabila la Lawi, ambao ni miongoni mwa makabila ya wana wa Israeli.
    Paulo anasema :, Tulifanya kazi kwa mikono yetu ili tusimwelee mtu. 1 Wathesaalonije 2:7
    Hawa wa kisasa wanaelemea

  • @aishasasha350
    @aishasasha350 3 ปีที่แล้ว

    Asante kwa hili somo nimeitafuta sana barikiwa

  • @minanielikana
    @minanielikana 6 หลายเดือนก่อน

    Ndugu zanguni Mungu umupe kitu gani asicho nacho? Muache kuibiwa!!

  • @DanielOchieng-g1j
    @DanielOchieng-g1j ปีที่แล้ว

    Huu ni utapeli mkubwa,Mungu hatubariki kwa kuwa tunatoa zaka Bali kwa kuwa anatupenda

  • @frankevarist1928
    @frankevarist1928 6 ปีที่แล้ว +2

    Very Right Pastor

  • @fkam5095
    @fkam5095 6 ปีที่แล้ว +2

    amen

  • @frankevarist1928
    @frankevarist1928 6 ปีที่แล้ว +2

    Very True

  • @stevekweca8882
    @stevekweca8882 8 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @samveya9456
    @samveya9456 6 ปีที่แล้ว +2

    Good

  • @edmundnkarangu134
    @edmundnkarangu134 ปีที่แล้ว

    Continue to Rest in peace Dr Mitimmingi😭😭🙏

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 3 ปีที่แล้ว

    Mafundisho mazuri kweli

  • @johncharleslufunga6451
    @johncharleslufunga6451 ปีที่แล้ว +1

    Hakika natoa ushuhuda nimeona nguvu ya zaka

    • @user-fs3me5sm2f
      @user-fs3me5sm2f 2 หลายเดือนก่อน

      Nguvu ya zaka ni kutambua umebarikiwa, sandaka iliotimilifu na iliotosha yenye nguvu na yenyfe Baraka Yesu Kristo,,.... Malachi 3 haiongei na mkiristo,.... Fungu la kumi ni kiwango ya kumtolea Mungu, tena kutoa kwa hiari, kabla sheria Ibrahim akamtolea Mungu (melchizedek) kwa hiari not forced,.. Mungu ashakubariki tayari, Sasa omba kwa Imani, Mungu alinde Mali yako, ombea kila jambo,

  • @blendabenny271
    @blendabenny271 6 ปีที่แล้ว +1

    nice

  • @yusuphkiduko2641
    @yusuphkiduko2641 ปีที่แล้ว +2

    Je ?? Nikiongeza kiwango cha Hela kwenye zaka nikosa

  • @graceful3684
    @graceful3684 4 ปีที่แล้ว

    Amina.

  • @irenekerubo9791
    @irenekerubo9791 3 ปีที่แล้ว +1

    Vtrue

  • @lavinealphoncebujiku9879
    @lavinealphoncebujiku9879 2 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @judithnjunwa6668
    @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว +1

    naomba unijibu pastor je ni vema nikiwatolea watoto wangu zaka baada ya kuwafundisha umuhimu wa kutoa zaka? bado ni wanafunzi hawana kazi, jibu naomba

    • @mitimingionlinetv9896
      @mitimingionlinetv9896  5 ปีที่แล้ว +2

      Judith Njunwa Bwana Yesu asifiwe. Yes ni vyema na ni sahihi kuwafundisha kutoa zaka wangali bado wadogo. Unawafundisha kwa vitendo. Hauwatolei wewe lkn unapaswa uwape na kuwaambia hii ni zaka. Kadri wanavyokuwa unaendelea kuwafundisha Zaka ni nini. Wakikuwa wazima lkn wanapewa pocket money - unawaambia na kuwafundisha katika hii elf 10 uliyopewa unapaswa kutoa zaka kiasi fulani. Hapo ndio utawaacha wao waweze kujisimamia wenyewe.
      MITIMINGI p. +255 713 18 39 39

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว +1

      naomba jibu pastor nimekuuliza swali

    • @judithnjunwa6668
      @judithnjunwa6668 5 ปีที่แล้ว +1

      @@mitimingionlinetv9896 asante kwa jibu zuri pastor,MUNGU BABA azidi kukupa ufahamu wake ili tupone na familia zetu. nimekupenda bure

    • @geofreypila6385
      @geofreypila6385 4 ปีที่แล้ว +1

      Samahan,naomba nijibu walau Biblia siifahamu vizuri naomba tusome katika kitabu Cha Ayubu 1:5 Basi Ayubu alikuwa akiwatolea zaka watoto wake alisema yamkini watoto wake huwenda wamefanya dhambi

    • @anithakihwaga760
      @anithakihwaga760 ปีที่แล้ว +1

      Ni mhimu SANA kuwapa zaka wakatowe watoto wako,na ukiwafundisha,IlI hata wakikua wawe na uwezo wa kujisimamia wenyewe,na watakuwa wepesi hata kuwasaidia wengine

  • @emmanuelathuman896
    @emmanuelathuman896 ปีที่แล้ว

    Ungesema Nani anatakiwa apokee fungu la kumi na Nani anatakiwa ale Hilo fungu

  • @georgefesto8455
    @georgefesto8455 6 หลายเดือนก่อน

    Utapeli mtupu

    • @jessenjiraine9851
      @jessenjiraine9851 4 หลายเดือนก่อน

      @georgefesto ni kweli utapeli mtupu

  • @jessenjiraine9851
    @jessenjiraine9851 4 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe hata wewe miti mingi ni tapeli?

  • @benardnjoka5359
    @benardnjoka5359 5 หลายเดือนก่อน

    Wrong all belongs to God

  • @yeremianiyonzima3461
    @yeremianiyonzima3461 6 ปีที่แล้ว +1

    Good

  • @josemagasha5158
    @josemagasha5158 6 ปีที่แล้ว

    amen