RUDISHA NYUSO ZA FURAHA KWA WANA RUFIJI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
  • Sheikh Walid A. Omar Kawambwa akiwa Wilayani Rufiji kutoa Msaadaa na Kujumuika na Baadhi ya wajumbe Kuwafariji wahanga wa Mafuriko akipokelea na Mwenyeji wao Mkuu wa wilaya Meja Edward Gowele

ความคิดเห็น • 12

  • @hassanmakame
    @hassanmakame 5 หลายเดือนก่อน +1

    Maashallah....mambo mazuri hayo...Baarakum Allah

  • @mariamally8548
    @mariamally8548 5 หลายเดือนก่อน +1

    Walid upo vizuri mno unajua kuongea sana na kuivuta hadhira nyoyoni mwa watu Allah akulinde kwa kila jambo

  • @HadijaSudi-ep9kq
    @HadijaSudi-ep9kq 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah

  • @ummusulaish5586
    @ummusulaish5586 5 หลายเดือนก่อน

    MashaAllah ❤❤❤
    Mungu atawalipen kwa hilo

  • @seifathumani4339
    @seifathumani4339 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hakika allah atawalipeni nyote mlioshiriki kwani ni jambo kubwa mmelifanya ktk kuwapa faraja wana rufiji Allah awabariq inshaallah

  • @FahmiSaliim
    @FahmiSaliim 5 หลายเดือนก่อน

    Mwamba huyu...mola akuhifadh mwamba wetu sheikh walid

  • @hidayakhamis936
    @hidayakhamis936 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shekh Walid Alhad mfano mwema wa kuigwa

  • @mariamally8548
    @mariamally8548 5 หลายเดือนก่อน +1

    Salam tatu kwa wakati mmoja bwana yesu asifiwe,tumsifu Yesu kristo itikieni tu kwani kuna ubaya gani wasuwahili walisema pumbavu likipumba pumbanalo maana hapo nyote ni waislam kwanini lisalimie hivyo