Sheikh Walid A. Omar Kawambwa akiwa Wilayani Rufiji kutoa Msaadaa na Kujumuika na Baadhi ya wajumbe Kuwafariji wahanga wa Mafuriko akipokelea na Mwenyeji wao Mkuu wa wilaya Meja Edward Gowele
Salam tatu kwa wakati mmoja bwana yesu asifiwe,tumsifu Yesu kristo itikieni tu kwani kuna ubaya gani wasuwahili walisema pumbavu likipumba pumbanalo maana hapo nyote ni waislam kwanini lisalimie hivyo
Maashallah....mambo mazuri hayo...Baarakum Allah
Walid upo vizuri mno unajua kuongea sana na kuivuta hadhira nyoyoni mwa watu Allah akulinde kwa kila jambo
MashaAllah
MashaAllah ❤❤❤
Mungu atawalipen kwa hilo
Amina rabil alamin kwa sote
Hakika allah atawalipeni nyote mlioshiriki kwani ni jambo kubwa mmelifanya ktk kuwapa faraja wana rufiji Allah awabariq inshaallah
Amina rabil alamin kwa sote
Mwamba huyu...mola akuhifadh mwamba wetu sheikh walid
Atuhifadhi sote in sha Allah
Shekh Walid Alhad mfano mwema wa kuigwa
Shukran
Salam tatu kwa wakati mmoja bwana yesu asifiwe,tumsifu Yesu kristo itikieni tu kwani kuna ubaya gani wasuwahili walisema pumbavu likipumba pumbanalo maana hapo nyote ni waislam kwanini lisalimie hivyo