Elia Mtishibi Ft Elizabeth Mtalitinya - Wewe Pekee (Official Live Video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 พ.ย. 2023
- 📌📌📌
Kuna wakati kwenye maisha Tunapitia mambo ambayo yanatushawishi kufuata njia nyingine tofauti na Mungu ukizingatia ushauri wa marafiki unakuonyesha jinsi wao walivyofanikiwa nje na Mungu na unaweza kuwaza kufuata njia hizo. lakini Wako watu wachache waliosimama na wakadumu katika kusimama kumtegemea bwana na Mungu akawaonekania katika dhiki zao.. Huu ni moja ya wimbo utakaoinua imani yako sana kwa bwana nakufix macho yako kwake.
Glory to God. - เพลง
This guy writes mazee, Elia ana neema ya kuandika kaii❤❤
The pianist nailed it ❤
I totally agree....anaandika so powerful lyrics
amekuwa maficho yetu, sitara yetu , ngome yetu na makimbilio yetu. Tuende kwa nani zaidi ya kwa Yesu yeye pekee ndio wa kutumainiwa 🛐
Hata kwa hilii nakuamini Yesu kwamba utatenda zaidi ya niwazavyo na zaidi niombavyo 🙌🙌
These songs are so beautiful. Please upload them on spotify
bado nakuamini🙏
Hata hili bado nakuamin
Wonderful and powerful song of prayer and hope.
Nimebarikiwa sana na huduma hii ya Mama Bishop!
Asante sana Brother Eliya!!
You are a blessing!
🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽Be blessed my brother...
Mama angu .....Mungu azidi kukutunza... kwakwel....YESU NDIYE TUMAINI LETU 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽
🔥🔥🔥❤️🔥
🔥🔥🔥🔥
powerful😭😭😭😭😭😭😭 powerful
Powerful😭😭😭😭😭😭powrful❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
HAKIKA YESU ni tumaini letu hatuna mwingine. Mimi na vizazi vyangu imani yetu ipo kwa YESU tu
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
🎧🎧🎧🎧
MUNGU awainue zaidi katika huduma zenu Watumishi.
Bado namwamini MUNGU hata katia hili. Yeye pekee ndiye tumaini langu❤
Mungu akubariki Sana mtumishi elia na huyu mama anagusa moyo sauti yake imenifariji utukufu umurudie mungu good work
Hongera brodah kaz yako ni njema Mungu aendelee kukupndisha
Hata hili bado nakuamini🙌🙇,this is a very powerful worship
Amekuwa sitara yetu na maficho yetu
Ur so faithful Jesus,,,Bado tunakuamini❤
Nimekumiss kaka Elia jpili nilimiss kuja kanisani, hongera kwa wimbo wenye kugusa maisha yetu nabarikiwa sana
I still believe
Tumaini langu…..mahali pangu pa kujificha 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌………..yaan haielezeki God bless you Elia & Mama na team kwa ujumla
Amen ❤
Minister Elia Hongera kwa kazi njema. Mungu azidi kukupa viwango vya juu. Barikiwa Sana.
Yesu ajawahi shindwa na lolote
Black and white kazi ni kali sana
Kaka Elia noma sanaaaa
My brother Elia 😢😢 am not understanding the language , but ur anointed oh my
Yesu mimi ni tegemezi kwako 😢😢😢😢😢
Such a powerful song ,be blessed May God lift you higher❤️❤️🙏
Bado nakuamini Yesu 😭🙏
Ooh My God Hata hili bado nakuamin my father 🙌🤦
Amen!
Ooohhh my God..
Hii ni zaidi ya Ibada.,, 🙌🏽🙌🏽🔥 4:37
🙏🙏🇹🇿
Powerful song daaaah wakati mwingine hatuelew nn tufanye kwa wakati gani Asante wewe Kristo daaaaah
Hakika
🙌🏾🙌🏾🙌🏾 aaaaah.... powerful
Powerful 🔥🔥
Main piano 🎹🎹 🔥🔥🔥🔥🙌🙌
2:39
😭 😭 😭 😭
😢❤
Your blessed MOG
Amaizing Glory to GOD🎉🎉🎉🎉🎉
Sound of revival,,, 🔥🔥🔥
I put my trust to Him
Was waiting for this powerful song🔥🔥🔥
Am very much blessed
Powerful
Yes
❤
Huyo jamaa anayepiga lead piano ni mtu na ½. Apewe maua yake