ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก

TRENI YA UMEME (SGR) YAANZA SAFARI YA KWANZA DAR - MORO “TUNATUMIA DAKIKA 90, NI AGIZO LA RAIS SAMIA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ก.พ. 2024

ความคิดเห็น • 183

  • @Mrmohadi.OFFICIAL
    @Mrmohadi.OFFICIAL 5 หลายเดือนก่อน +78

    Ongera san john pombe magufuri kwa kazi mzuri

    • @bakarijumakupaza4351
      @bakarijumakupaza4351 5 หลายเดือนก่อน +6

      Umemsahau na aliyekamilisha.

    • @PaulMsema
      @PaulMsema 5 หลายเดือนก่อน +5

      Magufuri ni levo nyingine,hafananishwi labda baba wa taifa aliyetuunganisha

    • @josephambrose2215
      @josephambrose2215 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hakika, bila Yeye Bado ingekuwa Bado ndoto Kwa serikali kama hizi zilizopo

    • @OmerSuley-gl7go
      @OmerSuley-gl7go 5 หลายเดือนก่อน +2

      Hongera sana Rais Samia
      Tuacheni unafik na kazi iendelee

    • @gibsonjosephat6352
      @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน +9

      Samia nayeye kama mwamba aanzishe miradi yake. Tangu ameingia anatembekea michongo ya JPM

  • @PaulMsema
    @PaulMsema 5 หลายเดือนก่อน +29

    John magufuri,angemalizia miaka 5 tungepiga hatua sana ama kweli maendeleo sio siasa

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 5 หลายเดือนก่อน +5

    Asante Rais wetu Mpendwa J.P Magufuli kwa Kazi nzuri umetutengenezeya Mungu akuweke Mahali pema Kwenye Paradiso yenye amani na Furaha Amen

  • @christopherjoseph9981
    @christopherjoseph9981 5 หลายเดือนก่อน +29

    R.I.P CHUMA JPM!!tutakukumbuka sana kwa miradi yako hii!maono yako etc!!

    • @Maria-uz7ni
      @Maria-uz7ni 5 หลายเดือนก่อน

      Mhhhh

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 5 หลายเดือนก่อน

      Kitu usichokijua, ukakivamia kiushabiki ni tatizo sana na hii inatugharimu sana wa Afrika, miradi yote ni sera za Chama cha mapinduzi za muda mrefu ila kila anaekuja anaona pagumu wanaipita tu kwa uwoga wa kuthubutu, uvivu pia ulichangia na hasa bank ya dunia inaogopewa sana riba ni kubwa lakini ukimudu pia wanaweza wasitoe mkopo kwa wivu mbaya na ndio mana Magu alikuwa anakopa Bank ya Afrika zaidi kuliko bank ya dunia, hivyo kwa uthubutu wake wa kutimiza ilani ya chama chake na kuwapita maraisi wote kasoro mkapa tu aliekuwa na damu mbaya watu hawakuona aliyoyafanya ikiwa udhibiti wa pesa za mapato kwa kuanzisha malamka ya mapato Tanzania yaani TRA huko nyuma ikiitwa forodha, lakini ujenzi wa madaraja barabara nk! Sasa anachokifanya mama inapaswa nae pia ashukuriwe kwa kuendeleza miradi yote aliyoiacha boss wake, Apewe sifa zake kwa kweli anafanya kazi kubwa sana maneno kidogo utendaji zaidi, shida ni moja tu anaangushwa na watu aliowapa dhamana kwa kumsaidia wengi sio waaminifu na hawaendani na kasi yake anayoitaka. Nchi za Afrika Magharibi raisi akifa au akimaliza muda wake basi miradi aliyoiacha inaishia hapo hapo na anaekuja huanzisha safari yake na mambo mapya hivyo wanaoumia ni walipakodi maana pesa yao imechezewa kwa vitu visivyoendelezwa, ki ukweli East Afrika tunajitahidi sana japo tupo na changamoto zetu ila hatuwazidi wenzetu.

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 5 หลายเดือนก่อน +25

    Bira Magufuli mungesubiri sana,hiyo ni miaka 5 tu ingekuwa miaka kumi ingekuwaje

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 5 หลายเดือนก่อน

      Hasira ni za nini

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 5 หลายเดือนก่อน

      Kwani MAMA SAMIA na HAYATI MAGUFULI walijenga nchi mbili tofauti?...Mbona watanzania muko na ujinga kila siku usiyopoa?...Hayati Magufuli na Samia ni boat 1, so alipopawacha Magufuli ndipo anaendelea na MAMA na ndivo tunavokwenda kiuongozi.
      Alipokua hai Magufuli mlimsema sana na alipokufa munamsifu sana hemu tusiwe hivyo badala yake tuongelee na tupende maendeleo na kwa sasa yanaletwa na MAMA na watanzania kiujumla.
      **KAMA UNACHUKIA HAMA TANZANIA HATUTAKI

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 5 หลายเดือนก่อน +3

      ww ndio mjinga mana akili zko zpo matakoni

    • @abuuayoubayoub9260
      @abuuayoubayoub9260 5 หลายเดือนก่อน

      @@hamadsuleiman5177 kuna watu wanaona magufuli hakutendewa haki kufa na kwanin asife yeye ni nani mpaka asife na wakati mtukufu wa daraja mtume mohammad s.a.w alikufa

  • @user-kg3tl7zs2q
    @user-kg3tl7zs2q 5 หลายเดือนก่อน +8

    Daima na milele peponi magufuli❤

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 5 หลายเดือนก่อน +3

    HONGERA MHE RAIS WETU KIPENZI CHETU WA TANZANIA KAZI IENDELEE MITANO TENA KWA MAMA WA TAIFA LA TANZANIA MHE DKT SAMIA SULUH HASSAN 🇹🇿🇹🇿🇹🇿❤❤❤.

    • @cantonaiddy6042
      @cantonaiddy6042 5 หลายเดือนก่อน

      RIP John Pombe Magufuli umetufiiisha sehemu nzr

    • @luckygmdegela8477
      @luckygmdegela8477 5 หลายเดือนก่อน

      samia tena umeme wenyewe mizengwe hivi

    • @nyansilujoseph-pm8im
      @nyansilujoseph-pm8im 5 หลายเดือนก่อน

      Mnanikera msipomtaja magu

  • @massvpro
    @massvpro 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tungependa kujua Mliopanda Kwa Majaribio Mmetumia Muda Gani kutoka da to Morogoro

  • @martinemaganga5253
    @martinemaganga5253 5 หลายเดือนก่อน +11

    Mhhh,kwa umeme huu unaosua sua kaaaa mimi hapana sitaki kulala njiani kisa umeme umekata na bahati mbaya ukate ukiwa karibu na Tabora utajua haujui 😂😂😂😂

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongereni, kumbe ndo.maana hapa kwetu leo umeme haujakatika. Basi endelea na majaribio kila siku. "Mgeni njoo mwenyeji apone"!

  • @HannaBakari-k4q
    @HannaBakari-k4q หลายเดือนก่อน

    Hongera sana baba John Pombe Magifuli

  • @hamidudigogo5863
    @hamidudigogo5863 5 หลายเดือนก่อน +6

    Kama ndio treni hii hakika tumepigwa sio tulio onyeshwa na JPM

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน

      Ndio maten pacent hayaachwi😅

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 5 หลายเดือนก่อน

      @@leokamil6284 tukubaliane na uwalisia kama tulipigwa kwenye pesa za ndege ya mizigo hapa kwenye TREN sizani kama tutaweza kwendesha mana umeme ukiwepo majenereta na petrol hazita uzika wapigaji waendelee

    • @dancerboy2686
      @dancerboy2686 5 หลายเดือนก่อน

      hakika umenena kwel

    • @wiseproent8661
      @wiseproent8661 5 หลายเดือนก่อน

      Hivi vichwa vya treni si tuliambiwagwa ni vya majaribio tu!!!! I970's

    • @hamidudigogo5863
      @hamidudigogo5863 5 หลายเดือนก่อน

      @@wiseproent8661 SASA KAMA ULIWEZA KUPIGWA PESA ZA NDEGE YA MIZIGO WATASHINDWA VICHWA VYA TRENI HAKUNA CHA MAJARIBIA HICHO NDIO CHENYEWE

  • @idrisadalluc4498
    @idrisadalluc4498 5 หลายเดือนก่อน

    Asante mzee wangu magufuli mungu akusamee ulio kosea🙏🙏

  • @subralugege7019
    @subralugege7019 5 หลายเดือนก่อน +7

    Haya kazi iendelee mama pokea 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-fh3ew6xp2i
    @user-fh3ew6xp2i 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongeren sana maana tulisubir sana

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 5 หลายเดือนก่อน +3

    Asante sana raisi samia tujipongeze Watanzania.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hii treni kwa ndinga yangu mnanikuta nieshalewa baaa😂😂😂😂

    • @fredrickleoni283
      @fredrickleoni283 5 หลายเดือนก่อน

      dk90 nyingi sana ilitakiwa nusu saa

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x 5 หลายเดือนก่อน +1

    Utasikia anatafutwa muekezaji wa kuendesha hii kitu. Mabasi tu yametushinda

    • @baltazarlucas5000
      @baltazarlucas5000 5 หลายเดือนก่อน

      Kabsa sio utasikia mm nadhani mpaka sasa kaleta mwekezaji

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 5 หลายเดือนก่อน +3

    Ukiipa basi liende bila kuwako foleni moro hope izo tisini inatoboa tu chap

  • @katemachanda7035
    @katemachanda7035 5 หลายเดือนก่อน +2

    Eti muda unaweza kupungua ikawa chini ya dk 90 au kuzidi ikawa juu ya dk 90. Basi tushawaelewa...

  • @dancerboy2686
    @dancerboy2686 5 หลายเดือนก่อน +1

    baada ya uchaguzi kukalibia majalibio yameanza na kusikiliza kero za wananchi nazo zmepamba moto walikua wp kusikiliza mapema

  • @salimshuba5804
    @salimshuba5804 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dkk 90 uko serious kwel ww kiongoz?!....huon ata aibu kuongea ivo!...sio bus ili icho ni kifaa cha umeme

  • @elina4113
    @elina4113 5 หลายเดือนก่อน

    HATUNA BUDI KUMSHUKURU MUNGU KWA KUWAWEZESHA VIONGOZI WETU KUMALIZA MRADI HUU JAPO BADO UNAENDELEA.HONGERENI SANA WATANZANIA WOTE

  • @m.e.ssofttech2806
    @m.e.ssofttech2806 5 หลายเดือนก่อน

    Muweke na power bank ya umeme ukikatika.
    Mbona spidi mdogo sana wanunue vichwa vya spidi kuanzia 360km/hr
    Nakumbuka mwaka jana tulipanda treni ya mwendo Kasi Kutoka Kumamoto mpaka Tokyo Japan kwa lisaa limoja badala ya massa manne na dakika arobaini na SITA. Ni vizuri wanunue vichwa vya spidi kubwa.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 5 หลายเดือนก่อน +2

    Lisaa limoja na nusu kutoka dar mpaka moro hapana hii sio tren ya umeme mm nakataa kabsa

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 5 หลายเดือนก่อน

      Treni za umeme zina levels, miundombinu yetu ndio kwanzq inaanza, hatuna vichwa au reli zinazo support 300km/h kwa sasa

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846 5 หลายเดือนก่อน +1

    Shida iliyopo ni sisi wa Tanzania bado hatuwezi kujisimamia , mambo yetu wenyewe.
    Na dhani mnaona MABASI YA MWENDOKASI.

  • @mabulamanonga8286
    @mabulamanonga8286 5 หลายเดือนก่อน +3

    Sasa dk 90 mbn nyingi hvo. Wakati kwa basi dk 120

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 5 หลายเดือนก่อน

      Shingo yako imebebeba nn sasa😂😂😂

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 5 หลายเดือนก่อน

    SSH Hongera saana rais kwa kuhakikisha hili jambo litimie

  • @gatuna6
    @gatuna6 5 หลายเดือนก่อน +1

    Kweli hivi vichwa. Ndiyo alikuwa ameagiza mwamba au ndiyo yale wabunge wetu waliapigia kila bungeni tukamunue yaliyotumika kwa sababu sisi wafrika hatuwezi kutumia vitu vipya.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tren za umeme ulaya kutoka mwanza mpaka dar ikiwahi sana ni lisaa limoja na nusu au mawl,lakin hii kutoka moro mpaka dar lisaa na nusu ni tren au gar moshi?mm sjaelewa nieleweshen

    • @MkisiStylish
      @MkisiStylish 5 หลายเดือนก่อน

      🤣😂🤣😂🤣mi nwnyewe Sjaelewa si waache tyu tupande mabasi tuelewe moja

  • @leilei82A
    @leilei82A 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Tanzania, sisi huku Kenya mtuwachie uporaji wa nchi nyinyi jengeni yenu

  • @erastomallya4644
    @erastomallya4644 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera sana, Ila mlisema ni kichwa cha mkandarasi hicho

  • @JudithAdonis
    @JudithAdonis 5 หลายเดือนก่อน

    💃💃💃 waaaaw Mungu atusaidie !!

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera saana Mhe Rais SSH, kwa hakika umethitisha kuwa tunaweza

  • @glorydenis5111
    @glorydenis5111 5 หลายเดือนก่อน +1

    Bado dkk 90 yaan saa 1:30 ni mda mrefu duuuh. Hiiyo ni kama speed ya gari

    • @Ndu-wa.uroony2
      @Ndu-wa.uroony2 5 หลายเดือนก่อน

      Basi panda gari ili uwahi.

  • @gilbertMguwa
    @gilbertMguwa 5 หลายเดือนก่อน

    Wenzetu tren inatembea km 600 kwa lisaa sisi Tanzania Dar to moro masaa 2 na nakika 20 hapa tumepigwa.

  • @user-gw8wv2zf2g
    @user-gw8wv2zf2g 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera Tanzania 🇹🇿 tukinia tutaweza

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 5 หลายเดือนก่อน

    hili shirika lingekua mbali sana ila kuna wahuni waliingia miaka flan hivi wakapiga pesa ila JPM akarifufua tena...R.I.P JPM japo hawakutaji sana hata hio route ya dar moro ingepewa jina jpm

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 5 หลายเดือนก่อน +4

    Majaribio gani hayo yasiyoisha..... wstu tunataka safari zianze.. kila siku kujaribu tu, au hamna uhakika na hilo treni?

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 5 หลายเดือนก่อน +1

      Bila kuwasha

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi nashangaa nchi hii utaskia treni inajaribiwa bwawa la umeme linajaribiwa.inamaana maisha yetu na Serekalini yetu yapo kwenye majaribio hayana uhakika 🙌

  • @RehemaChemchem-vs8lm
    @RehemaChemchem-vs8lm 5 หลายเดือนก่อน

    Unajitahidi Sana Kaka kutuhabarisha watanzania ila Kaka mie nandoto ya Kuwa mwandishi WA habar Ila Sina uwezo WA kulipa Ada nisaidie Kwa hilo takumbea paka siku naingia kaburini

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 5 หลายเดือนก่อน

    Safi Sana Mama Samia suluhu Hassan kipenzi cha wazalendo wa Kweli Piga kazi Mama Wenye akili zitaanza

  • @emilytheonest6466
    @emilytheonest6466 5 หลายเดือนก่อน +4

    RIP JPM

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 4 หลายเดือนก่อน

    Kama dar had moro dk90 sasa had dodoma masaa6 au 7 kuna tofaut gan na mabasi ebu kwenden zenu

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 5 หลายเดือนก่อน

    "Uhuru na kazi,Hapa kazi tu, Kazi iendelee.."

  • @melanialeonard4031
    @melanialeonard4031 5 หลายเดือนก่อน +2

    Tatizo miradi ya viongoza ndio inachangia kuzorota kwa maendeleo ya hii nchi mtu mmoja ana basi zinaenda mikoa yote ndo maana vitu vya serikali vinakuwa kama viini macho

  • @vintagemusicgroup9236
    @vintagemusicgroup9236 5 หลายเดือนก่อน

    Kwa Samiah asingetoa hilo agizo ndio mngefanya nini kama mbadala?

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 5 หลายเดือนก่อน +1

    Wakimaliza haraka wataomba na nini kura hizi ndo ndoano yenyewe

  • @ColdJoker255
    @ColdJoker255 5 หลายเดือนก่อน

    Treni ya kasi dakika 90!? Hamna kitu. Ukipanda gari unawahi kufika

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 5 หลายเดือนก่อน

    Mungu amlaani kiwete wa mzoga kwa kumuuwa JPM

  • @stevennenelwa3192
    @stevennenelwa3192 5 หลายเดือนก่อน

    Jmn me mshamba mbona naonaga ya wenzetu yapo moja kwa moja hayana mabehewa ya kuunga msaada plzzz

  • @EXCELMASTER-Wiseoption
    @EXCELMASTER-Wiseoption 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona hawajafika au umeme umakatika?

  • @user-qx8ez6pw9p
    @user-qx8ez6pw9p 5 หลายเดือนก่อน

    Congrats❤

  • @adolphmwangoje2887
    @adolphmwangoje2887 5 หลายเดือนก่อน

    Hpo hmna tren gari ya abood ilikuwa inatumia dakika 180 hapo imecmama njian kuchukuwa abiria ya. Masaa mawili na nusu

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona wamechagua rangi ya yanga,hii nchi maombi hayakwepeki

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 5 หลายเดือนก่อน +3

    Hongera kwa safari ya kwanza ya treni na ukombozi wa usafiri wa uhaukika mama tena 2025

  • @user-qt3sk6pj7j
    @user-qt3sk6pj7j 5 หลายเดือนก่อน

    Ndio maana umeme mdogo aaaaaaaaaaaa hii nchi nahama😂😂😂😂😂😂😂

  • @NgengeMkeni-uo5hq
    @NgengeMkeni-uo5hq 5 หลายเดือนก่อน +2

    Speed ya kobe

  • @h.alshidhani8971
    @h.alshidhani8971 5 หลายเดือนก่อน

    Machibya huna L hivi kweli Kuna mtu ktk Dunia hii hajui kusema LEO😢

  • @EXCELMASTER-Wiseoption
    @EXCELMASTER-Wiseoption 5 หลายเดือนก่อน

    Hii lazima ipate upinzani kwa watu wenye mabasi. Mungu saidia

  • @Worldunite
    @Worldunite 5 หลายเดือนก่อน

    Semeni tu ukweli hapa, LEO TRENI IMESAFIRI BAADA YA BWAWA LA NYERERE KUANZA KUZALISHA UMEME, RIP JPM

  • @jamilachikupa96
    @jamilachikupa96 5 หลายเดือนก่อน

    Kumbe uko kuna umeme mbona tren inatambea ila sisi wa mikowani umeme hatuna, huku kwetu tuna Wiki umeme atujauwona,

  • @user-nt6fb2ky3t
    @user-nt6fb2ky3t 5 หลายเดือนก่อน

    Mabehewa tuliyo yatarajia kuyaona kama alivyo tuahidi Rais wa Wanyonge sio kabisa🙆😭🛌

  • @febroniamsoma178
    @febroniamsoma178 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dakika tisini???? Daaah mbona mwendo wa kinyonga

  • @rodgersasu
    @rodgersasu 5 หลายเดือนก่อน

    nimependa video na audio quality ila natamani kujua zaidi kama kuna longer interview it will be great maana maswali ni mengi. mliondoka mda gani Dar, Mlifika mda gani Moro, hali ya vituo barabarani , hali ya kituo cha Moro?? changamoto yeyote njiani? naskia kuna AC na WiFi je vilifanya kazi?????

  • @wiseproent8661
    @wiseproent8661 5 หลายเดือนก่อน

    Hivi vichwa vya treni vya miaka ya 70's si tuliambiwa ni kwa ajili ya majaribio tu!!!??? Leo imekuaje...!!???

  • @storytownTv
    @storytownTv 5 หลายเดือนก่อน +2

    Kwa umeme gan..!?

  • @sempaysensey6486
    @sempaysensey6486 5 หลายเดือนก่อน

    Minaomba umeme usikatike kwausalama wa raiya na malizao

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 5 หลายเดือนก่อน

    Kila kukicha ni majaribio katika vitu 🙌

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l 5 หลายเดือนก่อน

    Rip magufuri ,hongera mama umealizia kilicho bora

  • @richardmndolwa7111
    @richardmndolwa7111 5 หลายเดือนก่อน

    Dreaming 🙏🙏🙏

  • @user-lw7sy2gy9d
    @user-lw7sy2gy9d 5 หลายเดือนก่อน

    😂Yani kichwa cha umeme hakifanani na ma behewa😢.,Yani mabehewa nikama ya TREN ya makaa😅😂😂😂😂😂😂yani bongo Kwa upigaji tupo vizuri ange kuwa mangu mabewa yasinge kuwa Yana fanana hivyoo walichukuwa ya TREN ya mafuta wakuweka Kwa ya umeme 😂

  • @nurasam5475
    @nurasam5475 5 หลายเดือนก่อน

    Na huu umeme ai mtatuachilishia ndugu zetu hewani serikali imefanya kazi kubwa sana kuhusu treni ya umeme ila.huo.umeme.wenyewe sasa ndio kazi inapoanzia

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 5 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee hakuna kama Mama,

  • @paulojosephu8020
    @paulojosephu8020 5 หลายเดือนก่อน +1

    samahn naomba kuuliz hyo tren ina sola au ...😂

  • @swalehhaji7042
    @swalehhaji7042 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hiyo sio treni ya umeme wacheni kutuzengua treni ya umeme haina dereva

    • @baltazarlucas5000
      @baltazarlucas5000 5 หลายเดือนก่อน

      Ukweli toka moyoni hata haivutii mwonekano wake wakizamani sana tofauti ni viti tu😢😢😢😢 ukilinganisha na ile tunaiita Express 😢😢😢

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 5 หลายเดือนก่อน

    Wasitutoe kwenye reli ccm ni mbovu tuu imeoza mpaka basi
    Treni tuu ya kawaida tuu imewashinda ndo hii wataiweza,subirini story nyingiiii
    Hapa wameambiwa anzeni ili watu waache story za sukari na umeme.
    Upuuzi mtupu

  • @Azikiwe-qi6jd
    @Azikiwe-qi6jd 5 หลายเดือนก่อน +1

    Haya majaribio mbona ni kila mara 😊

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 5 หลายเดือนก่อน +1

    Tren ya arusha kwa sasa aiji

    • @husseinloyy1912
      @husseinloyy1912 5 หลายเดือนก่อน

      Jpm angekuwepo isingekufa hats hi I haifikishi miaka 10

  • @candyvee8
    @candyvee8 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hee hii itatumalizia umeme wetu😂😂😂😂

  • @frankbujiku9496
    @frankbujiku9496 5 หลายเดือนก่อน

    Bora mm niendelee kushabikia timu yangu yanga. Kuliko haya mambo ya treni yanan stures sana😂😂😂😂

    • @user-nb6yh2bn9y
      @user-nb6yh2bn9y 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

  • @adilkarim4332
    @adilkarim4332 5 หลายเดือนก่อน +1

    Umeme uki katika inakuwaje?

  • @mselematrans3474
    @mselematrans3474 5 หลายเดือนก่อน

    Kazi iendelee hakuna kama Mama, 0:53

  • @bahatisaimon6019
    @bahatisaimon6019 5 หลายเดือนก่อน

    Umeme 27 ukapanda ad mamilioni lkn umeme wenyewe unakatika ad kero

  • @jonakajigili6991
    @jonakajigili6991 5 หลายเดือนก่อน +1

    Dkk 90 tenaaa ... tren haina kasi

    • @SilaMinanda
      @SilaMinanda 5 หลายเดือนก่อน +1

      Treni ya mchongo hapo itakuw ya mwendokasi tu na wala sio ya umeme, ilitakiwa nusu saa tu mpka moro

  • @user-nx2qg6nf4b
    @user-nx2qg6nf4b 5 หลายเดือนก่อน

    Ngoja tuone kodi zetu zikifanya kazi

  • @josephsamwel8145
    @josephsamwel8145 5 หลายเดือนก่อน

    Sio ya mwendokasi hio ni standard

  • @steveofgodmusic3535
    @steveofgodmusic3535 5 หลายเดือนก่อน

    Nyinyi mnajua train La umeme kweli

  • @eliasnjoolay6454
    @eliasnjoolay6454 5 หลายเดือนก่อน

    Kama kweli basi nimeamini Tanzania tumepiga hatua kubwa kabisa

  • @yasiniSwedi-qg5oc
    @yasiniSwedi-qg5oc 5 หลายเดือนก่อน

    Treni yenyewe kama bovu mbona halikimbii jpm lengo lako lilikuwa zuli lakini wahuni uliowaachia wmekuhalibia cv zako jpm alikuwa kiongozi bola aflika sasa tekwsha

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 5 หลายเดือนก่อน

    Umetumia masaa mangapi kufika moro

  • @KifaruTz
    @KifaruTz 3 หลายเดือนก่อน

    Tureniyau,memeyachina 3:38

  • @user-tq4go3sn5b
    @user-tq4go3sn5b 5 หลายเดือนก่อน

    R.i.p jpm

  • @nelsondaa9724
    @nelsondaa9724 5 หลายเดือนก่อน

    Huko uliko Baba JPM Pumzika kwa aman matunda yako yatadumu

  • @OG_20
    @OG_20 5 หลายเดือนก่อน

    Hiyo rangi ya mabehewa kwakweli alochagua anyongwee 😅

  • @safiaharir2511
    @safiaharir2511 2 หลายเดือนก่อน

    Wagogo tukipanda si tutaambiwa mgogo kapanda mashine

  • @healinggospeltz4762
    @healinggospeltz4762 5 หลายเดือนก่อน +1

    😂 bongo uchafu sana, eti ni agizo la raisi", useless

  • @Fritz_jr18
    @Fritz_jr18 5 หลายเดือนก่อน +1

    Hii ndo ya umeme au umekosea picha🤔

  • @OmerSuley-gl7go
    @OmerSuley-gl7go 5 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana rais Samia

  • @ISHISWAGElISHI-bz7tg
    @ISHISWAGElISHI-bz7tg 5 หลายเดือนก่อน

    Umesema inahanza safar leo kwenyekichwa cha habal

  • @cantonaiddy6042
    @cantonaiddy6042 5 หลายเดือนก่อน

    Mabehewa kama ya Reli ya Kati duh!