#BREAKINGNEWS
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- Mwimbaji wa kundi la Zabron Singer, Marco Joseph amefariki dunia kwa ugonjwa wa Moyo jana usiku akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
Shemeji wa marehemu, Tecla Lucas ameiambia Mwananchi leo Agosti 22, 2024 kuwa mwili wa marehemu bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti kwenye hospitali hiyo, wakisubiri ratiba za mazishi kupangwa.
"Amefariki kwa ugonjwa wa moyo akiwa Hospitali ya Muhimbili jana usiku msiba utakuwa Mikocheni kwa mama yake mdogo, mwili kwa sasa bado upo kwenye chumba cha kuhifadhia maiti,"amesema Tecla
Endelea kufuatilia Mwananchi kwa taarifa zaidi
Jmn kweli
jamani poleni sana mliofikiwa na huu msiba pumzika kwa amani bwana ametoa na bwana ametwaa jina la bwana lihimidiwe amen😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Jaman poleni sana
😢
Mi hat siamini jaman
Ooh God, Pumzika kwa Amani Marco
So sad RIP bro Inauma sana
Jaman polen sana wafiwa
😢😢😢pumuzika Kwa Aman mutumishi wa Mungu 😢😢😢
Mbona ngumu kuamini jamani,Mungu ampokee mbinguni
Jmn c amini...eee Mungu turehemu
Pole sana jaman kaka angu
Poleni sana 😢😢😢😢
Mm uchungu nmesikia only God knows na cjaamini
Daaah jaman,!!!!!😭😭😭😭😭
Mungu wangu jamani
Daaa!pumzika kwa amani
Jamani kwelii Kaka umeenda
Pumzika kwa amani jaman😢
Condolence to the family😢
Daaa Kam Ndoto Jamni 😢😢
Jamani Duniani tuwapitaji
Daah jaman kifo hakina hodi
Pumzika kwa amani
Acheni utani bhana😢😢😢
😭😭😭rest in peace marko
Rest in peace
Oooooh pumzika kwa amani babaa😂😂😂😂😂😂😂
😭😭😭😭😭😭😭
Kwer dunian sio petu pakuishi Mungu akipokea kaka kipenzi changu nilikupenda sana lakini Mungu akipenda zaid😢😢✋✋🙏🙏
Pumuzika kwa amana
Hata siamini
Siamin hata kidogo
Mungu aikaze roho yake mahala pema😂😂😂😂😂😂😂😅
😭😭😭rest in peace marko
😢😢😢
Jamani mwenyezi mungu akupe safari njema kaka mda ambao mungu alikupa hapa duniani umeutumia vzr ashukuliwe mungu kwa maisha yako ya duniani nenda kaka nenda kipenzi nenda rafiki akika