ULIPITWA NA HII? TAZAMA HAPA DAKIKA 5 ZA UDAMBWI UDAMBWI WA ELIE MPANZU VS KAGERA SUGAR

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 2 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 166

  • @dhgraphix_
    @dhgraphix_ หลายเดือนก่อน +22

    Mpanzu tunae na tunatamba naeeee salute kwa Mpanzu 🎉🎉

  • @jumamangombe6493
    @jumamangombe6493 หลายเดือนก่อน +8

    Tusiwe watu wa majivuni. Tunamwomba mwenyezi Mungu aibariki na kuilinda club ya simba sc, awabariki na kuwalinda wachezaji wooote wa Simba SC.

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 หลายเดือนก่อน +12

    Shikamoo Mo , Magori na kamati nzima ya usajili please bring Fei and one center back

  • @marthamsacky6973
    @marthamsacky6973 หลายเดือนก่อน +11

    Nachojua mimi ni maombi tuu kwa wachezaji wetu
    Mungu awalinde na mabaya na hatari zote❤❤❤

  • @ZuberiJuma-e2b
    @ZuberiJuma-e2b หลายเดือนก่อน +2

    Mpanzu Anajuwa sana

  • @EfrahimMsemwa-j7j
    @EfrahimMsemwa-j7j หลายเดือนก่อน +2

    Anaejua anajua tu mpanzu analijua Sana boli simba ni Kama Barcelona sasa. ❤😅😅😅

  • @OmanOman-ru4eu
    @OmanOman-ru4eu หลายเดือนก่อน +2

    Nimeshawahi mpanzu ni wa kwang sitaki ugomvi na mtu ❤❤😂😂😂

  • @noelpetro2089
    @noelpetro2089 หลายเดือนก่อน +6

    🔥🔥🔥🔥 daah ni moto mwingn mpanzu

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 หลายเดือนก่อน +4

    nimfatilia sana simba inatakiwa huyu bwana Atunzwe sana tena sana Nalindwe kutokana nanguvu za kishilikina isije akawa jeshuwa mutale

  • @GoodluckKomba-s2r
    @GoodluckKomba-s2r หลายเดือนก่อน +2

    Noma san mpanzuu

  • @isaackbm1935
    @isaackbm1935 หลายเดือนก่อน +2

    Nguvu Moyaaaaaa

  • @paulkasase7280
    @paulkasase7280 11 วันที่ผ่านมา

    simba kuna kimondo kinasukwa combination ya Elie mpanzu,Kibu d na Ahoua (EKA) kama wataelewana vizuri itakuwa ni hatari kubwa sana mtakuja kunielewa sku nyingine kwa sasa ni ngumu sana kuelewa

  • @FOOTBAL_AFRICA
    @FOOTBAL_AFRICA หลายเดือนก่อน +1

    Mpanzu Tunae

  • @joshuahamis2738
    @joshuahamis2738 หลายเดือนก่อน +1

    Duuh Mpanzu ni balaa, Mungu tunakuomba umlinde mchezaji wetu

  • @AlcherausMalinzi
    @AlcherausMalinzi หลายเดือนก่อน +13

    Natamani Mpanzu na Kibu waanze pamoja

    • @anthonymilinga8696
      @anthonymilinga8696 หลายเดือนก่อน

      Yaani wewe unawaza kama mimi, natamani siku moja Mpanzu acheze winga ya kushoto na Kibu winga ya kulia tuone moto utakavyo waka.

    • @MichaelKahisha
      @MichaelKahisha หลายเดือนก่อน

      KIBU HUYUHUYU???

    • @JohnJohn-fs8ex
      @JohnJohn-fs8ex หลายเดือนก่อน

      Kibu hapana anapoteza mipira. Mpanzu anacheza vizuri na Kapombe, kocha alipaswa kuwapa dakika 90 wote wawili , alipowatoa tu mchezo ukapooza.

    • @AlcherausMalinzi
      @AlcherausMalinzi หลายเดือนก่อน

      @JohnJohn-fs8ex Yaani Kibu unamkataa leo?
      Mpira wa sasa ni mtu mwenye uwezo wa kupress kwa nguvu.Na Mpanzu na Kibu ndio vinara wa uwezo huo.Sasa Kapombe unamlinganisha na Kibu?

    • @HajsonNdundulu-h8q
      @HajsonNdundulu-h8q หลายเดือนก่อน

      Wapinzani wajipange nw untouchable simbaa

  • @stevekabume3317
    @stevekabume3317 หลายเดือนก่อน +1

    Mchezaji mzuri mwepesi yupo fast

  • @AlexMtemi-s2j
    @AlexMtemi-s2j หลายเดือนก่อน +1

    Naomba ile jezi namba 7 apewe mpanzu

  • @361NEWS
    @361NEWS หลายเดือนก่อน +1

    dah jamaa anajua sana naiona ile simba ya moto yakina mikson gari likiwaka hakuna wakumzuia simba kupitia mpanzu

  • @The_lemon39
    @The_lemon39 หลายเดือนก่อน +1

    baba mpanzu minima

  • @Hawaally-d6f
    @Hawaally-d6f หลายเดือนก่อน +1

    Shikamoooooo....mpanzu

  • @HawaKocho
    @HawaKocho หลายเดือนก่อน +1

    Ahsante nguvu Moja ila da huyu mpanzu wanataka kutuharbia miguu, maana anafuatiliwa sana kumuumiza,

  • @jhashick8983
    @jhashick8983 หลายเดือนก่อน +5

    MUNGU MTUNZE MPANZI 🙏🏾

  • @NettoMwandambo
    @NettoMwandambo หลายเดือนก่อน +1

    Wakianza pamoja mpanzu na kibu itakuwa hatari sana

  • @Movietz9
    @Movietz9 หลายเดือนก่อน +8

    MCHEZAJI MZURI sana

  • @Mariah-r1o
    @Mariah-r1o หลายเดือนก่อน +29

    Elie mpanzu nimekupenda Sana siwezi ishi bila wew ❤️😂

    • @allymwashambwa5920
      @allymwashambwa5920 หลายเดือนก่อน +4

      😂😂😂 mbwa wewe

    • @aginsagins-jf4vz
      @aginsagins-jf4vz หลายเดือนก่อน

      ​@@allymwashambwa5920😂😂😂😂😂😂 wivu unataka akupende wewe

    • @Mariah-r1o
      @Mariah-r1o หลายเดือนก่อน +1

      @allymwashambwa5920 mwenyewe 😁😂

    • @hassanlikwenangu8471
      @hassanlikwenangu8471 หลายเดือนก่อน +3

      Mobeto wa Mchongo hahaaa

    • @shadymbuki87
      @shadymbuki87 หลายเดือนก่อน +2

      Mungu anakuona..😅😅

  • @ShukuruMakoko
    @ShukuruMakoko หลายเดือนก่อน +9

    Anajua

  • @ZaiLisa-c2h
    @ZaiLisa-c2h หลายเดือนก่อน +3

    Mpanzuu Mali safii sana Hii Wana msimbazii maombi kwake asilogwe na utopolo fc

  • @mlekwadaud2530
    @mlekwadaud2530 หลายเดือนก่อน +13

    Ikiwezekana wabadilishane jezi na Mavambo. Mpanzu avae jezi namba 17 itapendeza zaidi. Maoni yangu tu.

  • @NaibuJuma-x3i
    @NaibuJuma-x3i หลายเดือนก่อน +10

    Ok bongee la mchezajii

  • @MudiMnyamwezi
    @MudiMnyamwezi หลายเดือนก่อน +3

    Anajua boli aisee. Mchezaji mzuri unaangalia movements zake tu

  • @AllyjumaSwadi
    @AllyjumaSwadi หลายเดือนก่อน +1

    Daaah! nawaonea huruma San wapinzani wetu tukikutana nao kweny dabii😢😢

  • @asajilemwamundela1220
    @asajilemwamundela1220 หลายเดือนก่อน +6

    Mwamba fundi sana Mungu amlinde tuu

  • @soudsoud8227
    @soudsoud8227 หลายเดือนก่อน +1

    😊😊

  • @AbuuSix-w6z
    @AbuuSix-w6z หลายเดือนก่อน +3

    Uyuuu atasabaibishaa arufu za mavii ziongezekee mjinii nyuma mwikoo wakianzaa kualishaa kw wasiwas😂😂😂

  • @relaxstarman
    @relaxstarman หลายเดือนก่อน +1

    Baba huyu jamaa noma sasa hio pacha na Debora noma kabisa🎉🎉

  • @TriciaSambo
    @TriciaSambo หลายเดือนก่อน +4

    mumkanye habari ya kubadilishana jezi yatamkuta ya Debora Fernandez toka amebadilishana jezi na yule mchezaji wa costal union naona kaanza kupotea ila yote kwa yote nawaombea mungu awalinde

    • @JustinMwakalukila
      @JustinMwakalukila หลายเดือนก่อน

      Kabisa hawawanaoitaji kubadilishana jezi wanakuwa wanaagizwa wafanye hvo ili hzo Jez wakafanye yao

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz หลายเดือนก่อน +1

    Nimejikuta nikicheka tu kwa furaha. Tuzidi kumuomba Mungu amlinde asije akarogwa kama Joshua Mutale

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan3970 หลายเดือนก่อน +2

    mm nilisema El mpanzu Akituwa simba mm nachinja kuku

  • @zaynd5366
    @zaynd5366 หลายเดือนก่อน +9

    😂😂😂goli keeper aliongea na mpira

  • @VICEGOSPEL-zu6is
    @VICEGOSPEL-zu6is หลายเดือนก่อน +3

    ❤❤❤❤❤

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa หลายเดือนก่อน +3

    Wasenge awa walitaka wamvunje mpanzu wetu shwain

    • @Paulomollel-n3n
      @Paulomollel-n3n หลายเดือนก่อน +1

      Sindyo man c wameona jamaa anajua

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa หลายเดือนก่อน +1

      Mungu kaepusha alhamdulilah

  • @denisrwelengera
    @denisrwelengera หลายเดือนก่อน +3

    Huyu Mwamba ni Hatari

  • @AllyHamisi-c7j
    @AllyHamisi-c7j หลายเดือนก่อน +5

    Elii kamfanya golikipa auongeleshe mpira ,mi ndio kuyaona aisee simba Kalama Dume

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga หลายเดือนก่อน +1

    Makocha cha kumshauri mpanzu asiwe mchoyo sehemu ya kutoa pasi atoe asilazimishe kufunga yeye tu.

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 หลายเดือนก่อน +2

    Kagera wana uchezaji mbaya jamani khaaa

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 หลายเดือนก่อน +1

    EBHANAEE HUYU MPANZU ANAJUA HADI ANAJUA TENA
    TUNAOMBA MWENYEZI MUNGU ATULINDIE HII CHOMBO AMIIN!"

  • @AllyNzisabira
    @AllyNzisabira หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa hatari duuh

  • @zaynd5366
    @zaynd5366 หลายเดือนก่อน +4

    Kikubwa asijetengenezwa kama walivyomfanya Mutale

  • @KajakakatambiKajaka
    @KajakakatambiKajaka หลายเดือนก่อน

    Mpanzu

  • @imanimwambagi8176
    @imanimwambagi8176 หลายเดือนก่อน +26

    Fundi mpira ni kumwombea tu asilogwe na nyuma mwiko

    • @AbdulatifBaalawy-g7m
      @AbdulatifBaalawy-g7m หลายเดือนก่อน +2

      Aamiin inshaallah 🤲

    • @seifarteta
      @seifarteta หลายเดือนก่อน +2

      Unazani mkongo analogeka kilaisi

    • @StevenMzungu-v9u
      @StevenMzungu-v9u หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂❤wabaya sana hao

    • @JaphetGiliard
      @JaphetGiliard หลายเดือนก่อน

  • @FabianoVerani-e5d
    @FabianoVerani-e5d 25 วันที่ผ่านมา

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉😮😮😮

  • @AdamHamis-sg6zz
    @AdamHamis-sg6zz หลายเดือนก่อน +2

    Mpanzu Dribbling Master MDM

  • @jonathaneliabu2298
    @jonathaneliabu2298 หลายเดือนก่อน

    Mchezaji mzuri haitaji muda mwingu kuonyesha uwezo wake,mpanzu ni kama chama alivyoanza kucheza simba kwa mara ya kwanza.

  • @arafahabibu5039
    @arafahabibu5039 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤🎉🎉

  • @agripamwakapala
    @agripamwakapala หลายเดือนก่อน

    🔥🔥🔥🔥

  • @Benjaminwilliam-s8r
    @Benjaminwilliam-s8r หลายเดือนก่อน +1

    👑👑👑👑👑👑👑

  • @RashidiMwiga
    @RashidiMwiga หลายเดือนก่อน

    Wazee wa Simba msilale kumlinda mpanzu, MUNGU awe nae popote alipo aamin.

  • @AlfonceKasanyi
    @AlfonceKasanyi หลายเดือนก่อน +1

    Ni mchezaji wa kiwango Cha juu anastahili kuchezea Simba

  • @WendeMposola
    @WendeMposola หลายเดือนก่อน

    Simba nguvu moja naomba Mungu tuwe na msimu bora 🙏🙏

  • @MussaSabore-h5o
    @MussaSabore-h5o 29 วันที่ผ่านมา

    Wana Simba tunawaombea Kwa mchezo wa kesho mshindee goli 5

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa kapga target TATU zote Kwa mguu wa kushoto najiuliza mguu wake wa kulia niaje km kushoto Yuko hivi

  • @mahmoudmchiu5369
    @mahmoudmchiu5369 หลายเดือนก่อน

    oya simba ya mpanzu mechi tutayo shinda magoal kidogo goal 3

  • @hassanshunda5226
    @hassanshunda5226 หลายเดือนก่อน

    halaf hyu line one muongo sana...ile ofside gani dakik ya 9 pasi kutoka kwa mpanzu

  • @HenryTindwa
    @HenryTindwa หลายเดือนก่อน

    Nilivyo muona mpanzu washambuliaji wanatakiwa wapite kwenye njia akiwa na mpira

  • @fatumasaid558
    @fatumasaid558 หลายเดือนก่อน

    Tunahitaji wachezaji wenilqine kwenye kikos dirisha likowaz kwasabu yamashindano huko mbeleni mamboyatakuwa maqumu lazima tufanye mainqizo mapya

  • @kudrathmohammed
    @kudrathmohammed หลายเดือนก่อน +1

    Wachezaji wetu wote wazuri, mapungufu ni madogo waombewe kila kitu kitakuwa sawa kabisa

    • @JolinoPeter
      @JolinoPeter หลายเดือนก่อน

      Hata budo??

  • @Sportsvibes-jc3vu
    @Sportsvibes-jc3vu หลายเดือนก่อน

    Mungu amlinde huyu mtu na wachawi wa ligi ya bongo

  • @RehemaJohnson-nz5ob
    @RehemaJohnson-nz5ob หลายเดือนก่อน +1

    Mtu na nusu

  • @abdulmagogo9238
    @abdulmagogo9238 หลายเดือนก่อน +1

    Ni mwamba kwl kwl yani

  • @frankJohn-rx4si
    @frankJohn-rx4si หลายเดือนก่อน

    Nyuma Mwiko wasilete Uchawi

  • @tallmasai2164
    @tallmasai2164 หลายเดือนก่อน

    Elie tunae na tunatamba nae

  • @emanuelkilinga9196
    @emanuelkilinga9196 หลายเดือนก่อน

    Nimemkumbuka nteze John lungu

  • @nkoydavid9658
    @nkoydavid9658 หลายเดือนก่อน

    Kagera walijipanga kumuumiza Mpanzu kama walivyofanya kwa Moses Phiri

  • @kekiklion5247
    @kekiklion5247 หลายเดือนก่อน

    Asa ndo Goalkeeper angoleshe Ball? Walahi Sijapenda😂😂😂

  • @MedadiMigeleo
    @MedadiMigeleo หลายเดือนก่อน

    Kamara akae kwenye mbao ndefu maana anasahau wajibu wake umakini unapungua wakati usio dhaniwa,

  • @DeodatusPaul
    @DeodatusPaul หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa simba wamelamba dume

  • @MohdMohd-o8w
    @MohdMohd-o8w หลายเดือนก่อน

    Mdebejiday

  • @SaidMkome-p6s
    @SaidMkome-p6s หลายเดือนก่อน

    Uyo jamaa chukua pacome ally kwamwe na GSM 😂

  • @abelmussa5061
    @abelmussa5061 หลายเดือนก่อน

    Maswala ya kubadilishana Jezzey kwakwel ungeacha aidha uwe na Jezzey ambayo haujaivaa wewe unadhan mtu anachukua Jez ina kasho lako anaenda kufanya nayo nini

  • @abdallahmdiliko8088
    @abdallahmdiliko8088 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa anaujua mpiraa sanaa.. ni kipaji

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 หลายเดือนก่อน

    Uchawi ndo Mwingi Kwa yanga

  • @IbrahIbrah-x7l
    @IbrahIbrah-x7l หลายเดือนก่อน

    Sasa Simba tunalo tena jini lingine si walimchukua chama Sasa ni Elie mpanzu afu huyu kunasiku ataitwa mpanzi wa simba

  • @dr.elimikatv1919
    @dr.elimikatv1919 หลายเดือนก่อน +2

    Sio saana kawaida

  • @KIDAURA-f5
    @KIDAURA-f5 หลายเดือนก่อน

    3 Malogo Kolo...

  • @fatumasaid558
    @fatumasaid558 หลายเดือนก่อน

    Msaidien joshua a anapitia wakati mqumu hata wanasaikolojia mpeleken

  • @AlcherausMalinzi
    @AlcherausMalinzi หลายเดือนก่อน

    Mimi Yanga lakini huyu Mpanzu ni hatari

  • @bavonichristopha1693
    @bavonichristopha1693 หลายเดือนก่อน

    Atawafanya vibaya sana wapinzani wetu

    • @JordanMethod
      @JordanMethod หลายเดือนก่อน

      Usajili mzuri Elie mpanzu ni hatari yaan anacheza kimataifataifaa!!

  • @AlfaMwasofu
    @AlfaMwasofu หลายเดือนก่อน

    Kitale alianza iviivi

  • @herybangulaBangula-e8c
    @herybangulaBangula-e8c หลายเดือนก่อน

    Fund wa mpira alimpa kipa uchiz akaongea na mpira ndio kwanz kuona

  • @AmbeleJames-cb1el
    @AmbeleJames-cb1el หลายเดือนก่อน

    Mpanzu tunae tunatamba nae mnateseka mkiwa wap

  • @paulfrank13
    @paulfrank13 หลายเดือนก่อน

    kwani tunacheza lini tena😅😅

  • @heredilematuru7814
    @heredilematuru7814 หลายเดือนก่อน

    Nusu final ya cafcc naiyona vile

  • @mrsamata
    @mrsamata หลายเดือนก่อน

    Uyu jamaa ni mjanja sana akidondoka anabiduka hili kupunguza ajali asiumie zaid

  • @SharifuJuma-v7p
    @SharifuJuma-v7p หลายเดือนก่อน

    Fundi wa ball haswaaa

  • @ClassicUsed-jg6ri
    @ClassicUsed-jg6ri หลายเดือนก่อน

    Wakenya ni wapumbavu hawajueleweiiii

  • @Rashdidy
    @Rashdidy หลายเดือนก่อน

    Amna mchezaji hapo kuni tuh zinavunjwa

  • @luluray2115
    @luluray2115 หลายเดือนก่อน

    Fund

  • @YusuphSaguda
    @YusuphSaguda หลายเดือนก่อน

    hiyo ni ni yenyewe

  • @patrickgoldian1836
    @patrickgoldian1836 หลายเดือนก่อน

    WACHEZAJI WETU WAHIMIZWE KUCHEZA KWA KASI KAMA WALIVYOCHEZA LEO

  • @muhammedomaryshembilu8539
    @muhammedomaryshembilu8539 หลายเดือนก่อน

    Kama mayele hv