VITASA: Mapokezi ya Mandonga Songea ni balaa, apewa gari, afunga mitaa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2022
- USIKU WA KISASI: Bondia Karim Mandonga amewasili mjini Songea tayari kumvaa Shaban Kaoneka katika moja kati ya mapambano ya utangulizi kwenye Usiku wa Kisasi #PaybackNight utakaowakutanisha Selemani Kidunda dhidi ya Tshimanga Katompa wa DR Congo, Julai 30, 2022.
Katika mapokezi haya, Mandonga amekutana na 'surprise' ya kupewa gari na mmoja kati ya mashabiki wake, huku mitaa ikifungwa na mji kusimama kwa zaidi ya dkika 70.
Tazama ilivyokuwa. - กีฬา
Miongon mwa watu wanaosababisha weng waufatilie mchezo wa ngumi bac ni huy jamaa Karim Mandonga daaa Mungu atupe kibali tufike hiyo jumamoc
Mandonga ameipandisha juu sana hii tasnia ya Ngumi, Hakika Mungu ni mwema
Anaeangalia sasa hivi baada ya pambano kama mimi piga like twende
Hahaaaaaaa nipooo
Nipo
Madonga star by nature 🤣 nimeamini kwamba kushindwa sio ndio mwisho wamafanikio, Mungu akubariki sana katika kazi yako poa sana unahamasisha vizuri sana katika ngumi
Team mandoga Tujuane
Huyu mwamba ana nyota ya kupendwa na watu balaa 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mandonga mtu kazi umenifanya nianze kufatilia michezo ya ngumi Never give up brother
Mandonga ana nyota kubwa sna....mm mwenyew najikuta navutiwa nae lkn nahisi kama atatuangusha....ila kaza booti
Tuwacheni utani jamani kwa sasa hivi 'MANDONGA' ni bonge moja la supastaa hapa nchini.
Uyu. Bwege ukimsikiliza upandi ulingoni
🤣🤣
Mandonga ndani yako kuna vingi mnooo... Hata ukipigwa ww ni star mkubwa
Shabani kaonekaa umeyakanyagaa sisi team mandonga lazimaa aanguke uanguke mapema tuu
Team Mandonga Mtu kazi
Big up bro mandonga, mtu kazi,kaoneka kashawishiwa
Madonga mtuu kazi, shabiki wako toka kenya. Huyu atakua champion East Africa kwa mda mfupi sana maanake anayo confidence
Mandonga mtu kazi daaah... huyu mwamba ananifurahisha maneno yake
Mandonga awamu hii usituangushe tupo nyuma yako tunakuombea Mungu akuwezeshe ushinde mechi yako.🙏🙏
Team mandonga mtu kazi tunamkalisha mtu
Mwanangu sana ndogaboy usiniangushe hilipambano unatakiwa upigwe ili Uzidi Kupaaa bit kali ukilandongamoja chali umaarufu tayar sema nakukubalisanaaaaaa
Utabili wako noma
Mandonga ninoma,nimekuelewa sana uko vizuri.
Nakukubali sana mtu wangu
Ili ndio pambano kubwa linalo subiliwa la mandonga 😂😂😂
Namkubal sana mandonga yani
Aaah Huyu jamaaa Kwa promo Yuko vizuri sana kudadekiii 😂😂😂
fan mkubwa wa madonga kutokea 🇰🇪🇰🇪
Hiv huyu madonga kuna game hata moja aliwai shinda kweli
Matonga mtu kazi nakukubali sana 😀😀
MANDONGA bahna. Kwa kweli boxing imeingiliwa mwaka huuuuuu🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sema mwamba ana nyota ila Hana uwezo! #Mandonga atakuwa star wa bondia Hata kama anazibuliwa kila game
Jamani Tafadhali mleteni fight ijao Mombasa Kenya.. nawaomba number yake ni sponsor fight yake hapo Mombasa.. sisi ni mashabiki wa Mandonga kufa naye..
Noma sana songea hawana dogo,,Mandonga mtu kazi umenivutia kukufatilia unajuwa hamasa. Ila uwanjani sijakujuw bado
Oya mwanangu kaoneka mi nakushukuru sana kwa niaba ya wasambaa wenzangu wote umetutoa aibu mana huyo mchizi kaimba sana afu ukampa moja tu,big up ndugu
Hahahaha
Tuliopo Zambia tunaona kazi ya Mandonga
APEWE UBALOZI WA NGUMI ANAJUA PROMO
Mandonga kweli amewahi kushinda kweli.
Mandonga mtu kazi....una majibu fact sana...👊👊👊👊✌
Huyu jamaa Ni Brand Tosha ya Michezo wa ngumi 😂😂😂😂😂😂😂😂 maana nimecheka mbaka mbavu zinauma
Siyo ya kukosa nipo njiani kutoka mbeya , 💪💪🇹🇿🇹🇿
Mbona kushindwa ni kawaida tuu,Ila mandonga yuko vizuri sana.
Mandonga Mandonga Mandonga Oyeeeeeeeeee💪💪💪
Ahhahaaaaa hatari sana mandonga ukimsikiliza ulingoni hupandi
Mkwala mzito
🤣🤣🤣🤣
Hahha hatari yani ana mikwara sema na mkubali kwa mikwara yake
Mandongaaaaaa ahaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 One love Kutoka kenya shabiki mkubwa mie
Da jamaa anapendwa mbaka Kenya
Woyoooooooooo papaa Mandonga mzee wa Chaliiiiiiiiii ha ha ha haha ha ...nakukubali sana kwa mkwara
Ipo siku brother utashinda tu
Mandonga🔥🔥🔥🔥🔥🔥
From dar es salaam unamashabiki wengi since day one tunakutegemea tukalishie huyo mtu
Mandona ata..atabasamu ana mkwala mpinzani ukiwa umjui mamae utajua.ujui
Anakupiga na mdomo kama mzaramo
Mr mandonga mtu kazi mwenyezi mungu akusaidie 🤣🤣🤣🤣🤣
Karim mandonga nakuitaji ukimpiga Shabani jua mm nakuitaji hata morogoro nitakufuta
Mandonga mtu kazi nakukubali tueshimishe brooo
Jinsi alivyo na mikwala angekuwa na nguvu ingependez sn😂😂😂😂,ila msela anajiamini
Mandonga amelifanya Pambano lake liwe kubwa na la mvuto kuliko hata hilo la Kidunda
Mandonga Mtu kazi
Mandonga kama dullah maneno mengiiiii
😅😅👊
Mandonga mnyama sana😂😂😂
Mandonga mtu kazi
Mi niko pamoja na mandonga mwa mwi
Mandongaaaa bg bondiaaa
Mandonga aiseeeee balaaaa ha 😃😀😃😃😃😃😁
Mandonga umezingua sana...hujui tu. ... 😄
uyu jamaa ananyota kali Sana ya kupendwa japo uwakika wa kumpiga mtu ni asilimia ndogo sana
🤣🤣🤣 mandonga mtu kaziiii bondia comedian
Nakubali bendela ya kuzim🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shabiki hoyeeee
MANDONGA 👊👊
nataman jamaa ashinde namkubali ile mbaya
Uyuu jamaa n mshereshaj mzurii snaa
Huyu noma nakukubali mandonga mtu kazi ....
Mtu kazi
Ila songea hatuna dogo 🙌🙌
Baada ya kipigo Sasa mandonga anasema Kama mnaona Ile kazi nyepesi pandeni nyinyi ulingoni sio mnani posti posti tu
Wana wa central Zone East zoo tupo njian tunaelekea Songea kum support Mandonga mwanatu
Usinywe tena dabo kiki mtu kaziii
Mandoka mtu kazi piga mtu umfurahishe huyo dada Elizabeth
Mandonga weka guard mtu wa kazi
Nakubali
Karim Madonga Mtu Kazi😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mandonga ni mzaramu maneno mengi kapigwa moja tuu chalii
Huyu hata kama kapigwa,yeye ndiye aliongeza mashabiki uwanjani,aongezewe bonas
Kweli anefanya watu kukubali mchozo wa bondia na utazidi kuwa maarufu kwa mandonga
Huyu jamaa ananifurahisha sana
Oya mandonga tuna kukubari sana kutoka mboka manyema
Huyu jamaa inaonekana anapenda ngumi na anatamani kuwa bondia mkubwa.....nawasihi wadau wamtafutie wakufunzi wazuri wa kumnoa na kumpa mbinu sahihi za upiganaji ili hayo maneno yake tuyaone kwa vitendo....na ni mhamasishaji mkubwa wa ngumi,,naamini washabiki watakaofurika uwanjani ni kwa ajili ya hayo maneno yake
Mandogo-mtu mwene vitusho visivyo na madhara
Mandonga sahv akipgwa ushaur wangu bora akaigize muvi kama kubwa ya maadui anafaa sio kwa mikwara hio😂😂
Sema Lina nyota ya watu
Fanya kwel 2mechoka maneno
Mbona hilo gari lina plet number ya South Africa
Durban
Ukinunua gari South unaruhusiwa kutembelea kwa muda flani
Mashabiki wa Mandonga tuna imani naye,mtuache jamani, ila na wewe ujikaze sasa ,safari hii usile ile kitu ya Arusha🤣🤣
Anafaa kwenye matangazo
Huyu jamaa alipigwa lkn kashakuw star
Mandonga katupiga hela yetu imeenda bure
Nimecheka sana
Mandonga tupo pamoja mpaka watu uwe
Mandonga nakukubar mandonga m2 kaz
Izo 100-190 ndio zangu 😂😂😂🙌 We love you Mandonga 🙌❤️
Mlevi uyooo
Hatumii kilevi.
Mandonga ana nyota na ana ushawish
Kumbe huyu Eliza ndio alimaliza pambano kammaliza nguvu zote mandonga itakua alimpa mzigo
Mandongaa mtukaz benderaa yakuzim eshimaa sana
Uwiiiiii
Mandonga😁💪