Spika upo vizuri mno. Nakufuatilia napenda unavyo endesha Bunge unakaa katikati ya mawaziri na wabunge kujenga hoja za kusaidia wananchi. Mungu akubariki sana nakufurahia kwa kweli.
Yupo vzr Sema shida yake anashindwa kufanya maamuzi pale anapogundua kuna tatizo upande wa serikali ila yupo vzr siyo kama zungu na hii mijadara muhimu zungu awezi kuendesha
Hawa Mawaziri wanatengeneza migogoro kati ya wananchi na serikali kwa kupokea maagizo sahihi kwa mh.Rais,na kwenda kutekeleza kinyume bila kuheshimu historia. Hawa wanamyumbisha Rais aonekane mbaya kwa wananchi! Mh.Spika fuatilia okoa serikali na chama...kwasababu Kairuki na Jerry wana lao jambo...
Spika upo vizuri mno. Nakufuatilia napenda unavyo endesha Bunge unakaa katikati ya mawaziri na wabunge kujenga hoja za kusaidia wananchi. Mungu akubariki sana nakufurahia kwa kweli.
Yupo vzr Sema shida yake anashindwa kufanya maamuzi pale anapogundua kuna tatizo upande wa serikali ila yupo vzr siyo kama zungu na hii mijadara muhimu zungu awezi kuendesha
Kwa vikao hivi Spika maua yako,umesimama vizuri kuwatetea wananchi.
Rais Sio Msada Mawaziri Wanafanya ujinga,2025 bora mtanganyika Hata kama ni upinzani kuliko,chama tawala kagombea Mzanzibar
Spika unatenda haki lkn je watu wako wa mbeya mbona umekaa kimya kwenye eneo lao nane nane mbeya
Spika Tulia Mungu akubariki kwa jinsi Unavyoogoza kwa Haki na kwa Upeo mkubwa Bunge letu la TZ. Na viongozi waige Umahiri wa Spika Tulia Ackson.
Hawa Mawaziri wanatengeneza migogoro kati ya wananchi na serikali kwa kupokea maagizo sahihi kwa mh.Rais,na kwenda kutekeleza kinyume bila kuheshimu historia. Hawa wanamyumbisha Rais aonekane mbaya kwa wananchi! Mh.Spika fuatilia okoa serikali na chama...kwasababu Kairuki na Jerry wana lao jambo...
Kama ulivyo mgogoro mpaka wa wanging'ombe na makete vilevile.dah! Hawa viongozi ni shida
Hakuna uwingi wa polisi.. neno 'mapolisi' anatumia sana lissu ili kuwakera hao askari polisi
Spiral wa kiwango.Huyu Waziri anababaisha.Hana jipya
Hakika wewe ni spika mzuri sana MUNGU akuongoze vyema uishi maisha marefu na udumu katika vyeo ili tufaidike na hekima zako
Uzur wake nn sura au urefu wa twiga
Hao ndio wabunge wanatakiwa nchi hii
Nimekukubali spika
Uhondo mnazingua mnakwama kwama.