SHAMBANI TIKITI MAJI NA MRISHO MPOTO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 29

  • @Yoranda-f4r
    @Yoranda-f4r หลายเดือนก่อน

    Kaka napenda sana kulima nitumie namba yako kwa msaada zaid

  • @latefalatefa2664
    @latefalatefa2664 2 ปีที่แล้ว +4

    Safi sana kazi hii nimeipenda

    • @shadrackwambura5757
      @shadrackwambura5757 2 ปีที่แล้ว +1

      Masoko mara nyingi yanatesa wakulima .wanapambana na matapeli shambani wala siyo wateja.serikali naiomba isaidie fulsa ya kuwajuwa wakulima ili kuwatafutia soko

  • @edgarmikongoti708
    @edgarmikongoti708 2 ปีที่แล้ว +6

    Mimi ni mkulima ambaye nimeanza kulima mwaka huu wa 2023 kilimo hichi cha tikiti na ninategemea mvua ,kwani shamba langu halipo kwenye mto huku kuna changamoto ya ukame ..nimeshauriwa na mkulima mwenzangu kuwa nitumie Super Glo ,je ni sahii kuitumia hiyo Super Glo kwenye tikiti zangu asante

  • @IdamaCharles
    @IdamaCharles ปีที่แล้ว

    Nimekuelewa sana

  • @brotherlee4265
    @brotherlee4265 2 ปีที่แล้ว

    Shule nzuri sana.

  • @scholasticamchokopa6515
    @scholasticamchokopa6515 ปีที่แล้ว

    Asantee kwa somo nzr, naomba kujua msimu mzr wa kuandaa shamba ni mwez gani? Ili kuuza kwa bei nzr?

  • @KahindiMboje-o9s
    @KahindiMboje-o9s 3 หลายเดือนก่อน

    Mbegu nzuliniipi na unapandaje iliupate Matunda mazuli

  • @philibethjohn
    @philibethjohn 22 วันที่ผ่านมา

    Lakini mbona kama hiloshamba halijastawivzuri naonatikti nichache sijui kamautatoboa

  • @omarysingano3652
    @omarysingano3652 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @sarahmjuri7179
    @sarahmjuri7179 ปีที่แล้ว +1

    Tunaomba namba mtusaidie zaidi kama tukikwama

  • @AbdulrahimMtupa
    @AbdulrahimMtupa 9 หลายเดือนก่อน

  • @nyembebuluba-jp9bo
    @nyembebuluba-jp9bo ปีที่แล้ว +1

    ni aina gani ya mbegu hiyo??

  • @josephissara3599
    @josephissara3599 ปีที่แล้ว

    Je umwagiliaji wa jioni unatakiwa uwe kuanzia sangapi hadi sangapi?

  • @francismichael9757
    @francismichael9757 9 หลายเดือนก่อน

    Nimefrahi mafunzo mazuri

  • @AGROMENDONÇA
    @AGROMENDONÇA ปีที่แล้ว

    15:40 15:42 15:43

  • @gracesawaya4283
    @gracesawaya4283 2 ปีที่แล้ว

    Je tikiti linaweza kulimwa kwenye kitalu nyumba( screen house)?

    • @davidluangisa4515
      @davidluangisa4515 ปีที่แล้ว

      Green house

    • @amosigese5788
      @amosigese5788 9 หลายเดือนก่อน

      ​​@@davidluangisa4515wewe ulichosema ndo makosa, siyo "green house"....usahihi Ni "screen house"...

  • @jacksonkipuyo441
    @jacksonkipuyo441 ปีที่แล้ว

    Sasa tatiso lenu hamweki mawasiliono

  • @victormpundu3495
    @victormpundu3495 2 ปีที่แล้ว +1

    U should add sub titles in english.What variety of watermelon is this?

  • @asiamalonji5962
    @asiamalonji5962 7 หลายเดือนก่อน

    Mjomba unaakil sana unakuta mtu ety simu ml 3 alafu huna mtaji nyoooh uza simu iyo

  • @ashuraomarshuucollection
    @ashuraomarshuucollection 2 ปีที่แล้ว

    Je tikiti laweza kulimwa mikoa ya pwani

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 2 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @sarahmjuri7179
    @sarahmjuri7179 ปีที่แล้ว

    Safi sana