Asante sana mjomba. Shida hapa ninamna ya kuanza ndio issue, samahani na udongo nitaujua au kuna viashiria gani vya udongo, Naomba kujua kama mna vitabu vinapaatikana ili nijue jinsi kwenda na vipimo.
Nikiangalia nyanya inanipa kichaa nililima mwaka Jana nikakutana na hiyo bei ya themanini kreti shambni nusu heka nikapasua milioni themanin upuuzi nilioufanya nikauwa million ishirini nimelima maharage hekari sitini mvua ikabeba
@@chizagaudence541 nilitumia milioni mbili kama na laki Tisa Ila Mimi sikutumia upandaji wa kitaalamu kupanda kitaalamu kuna faida ila miche huingia michache sana yan unakuta mfano MTU kwenye robo eka kapanda miche mia Mimi kwa upandaji wangu ni miambili na nyanya inataga kinoma Ila faida ya upandaji wa kisasa ni kwamba hata ikitokea mvua imenyesha kubwa maji yakatuama nyanya haitaoza kwasababu matunda yako juu
@@chizagaudence541 ni kama iko ivi APA nimesia mbegu ya kusambaza mwezi wa kumi alafu wa kumi nasia tena ya kusambaza wa kumi na moja kama mvua itakuwa kubwa kuna kuwa na uhakika wa kukutana na bei mwezi wa kwanza na kuendelea ila nalima kwa utaalamu make mvua inaletaga noma
Bro mh! Ase its amazing
Hongera sana mrisho mpoto unafanya vyema sana tz ya viwanda inawezekana
Hahaha waliogundua milioni 50 zinamdrive crazy mjomba gonga like twende sawa.
🙄🙄
Asante sana mjomba. Shida hapa ninamna ya kuanza ndio issue, samahani na udongo nitaujua au kuna viashiria gani vya udongo, Naomba kujua kama mna vitabu vinapaatikana ili nijue jinsi kwenda na vipimo.
Hongera naomba kujuwa.kuhusu gharama.kuanzia mwanzo mpaka mwishoo .kwasababu unapoingia lzma uwe na kiasi flani.nakilimo huwzi lim pekee yako.nahitaji kujuwa.robo heka shgp nusu heka shgp na hekaa shgp please.
Burundi nakufuatilia 🇧🇮
Mtaalam naomba msaada nataka kulima nyanya
Bro ukisema una degree haswaa una degree 🎉
Cooper it's for fungus not for bacteria
Ushauri wangu tunaomba utuandikie hizo dawa kwenye box yako hapo
Mjomba izo pipe unazo tumia kumwagilizia rola moja wanauza shingapi na zinapatikana wapi na inakuwa na urefu wamita ngapi asante
Nikiangalia nyanya inanipa kichaa nililima mwaka Jana nikakutana na hiyo bei ya themanini kreti shambni nusu heka nikapasua milioni themanin upuuzi nilioufanya nikauwa million ishirini nimelima maharage hekari sitini mvua ikabeba
Ulitumia gharama gan kwa nusu ekar mpk kuvuna mkuu
@@chizagaudence541 nilitumia milioni mbili kama na laki Tisa Ila Mimi sikutumia upandaji wa kitaalamu kupanda kitaalamu kuna faida ila miche huingia michache sana yan unakuta mfano MTU kwenye robo eka kapanda miche mia Mimi kwa upandaji wangu ni miambili na nyanya inataga kinoma Ila faida ya upandaji wa kisasa ni kwamba hata ikitokea mvua imenyesha kubwa maji yakatuama nyanya haitaoza kwasababu matunda yako juu
Inaonekana kipindi Cha masika Kuna changamoto ya ukuzaji wa mimea Ila ukimudu Bei huwa ni nzuri
@@chizagaudence541 ni kama iko ivi APA nimesia mbegu ya kusambaza mwezi wa kumi alafu wa kumi nasia tena ya kusambaza wa kumi na moja kama mvua itakuwa kubwa kuna kuwa na uhakika wa kukutana na bei mwezi wa kwanza na kuendelea ila nalima kwa utaalamu make mvua inaletaga noma
Mungu abariki kaz ya mikono yako mkuu