PCK na Elly anayedai kuwalipa Mbosso na Ray Vanny Toronto na kupoteza show wararuana mtandaoni

แชร์
ฝัง

ความคิดเห็น • 163

  • @kaditokenya6873
    @kaditokenya6873 14 วันที่ผ่านมา +16

    Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤

  • @mahmoudmihanjamu669
    @mahmoudmihanjamu669 14 วันที่ผ่านมา +15

    Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂

  • @user-vq2cb7fn8f
    @user-vq2cb7fn8f 13 วันที่ผ่านมา +9

    Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama

  • @user-en6kf2db6f
    @user-en6kf2db6f 14 วันที่ผ่านมา +9

    SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok

  • @vt-kn6qf
    @vt-kn6qf 13 วันที่ผ่านมา +5

    the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk 14 วันที่ผ่านมา +6

    Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 14 วันที่ผ่านมา +4

    Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly

  • @caesar7745
    @caesar7745 14 วันที่ผ่านมา +7

    Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,

  • @officialaftab8760
    @officialaftab8760 8 วันที่ผ่านมา

    Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 14 วันที่ผ่านมา +5

    Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake

  • @zitongwang6278
    @zitongwang6278 13 วันที่ผ่านมา +3

    Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 14 วันที่ผ่านมา +4

    kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 14 วันที่ผ่านมา +4

    Wabongo as always, they need to be serious ofcause

  • @gypsummzuri_tz
    @gypsummzuri_tz 14 วันที่ผ่านมา +17

    SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???

    • @Vivannykizzy
      @Vivannykizzy 14 วันที่ผ่านมา +3

      Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy

    • @SadaDamas-jh2gt
      @SadaDamas-jh2gt 14 วันที่ผ่านมา

      Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika

    • @SadaDamas-jh2gt
      @SadaDamas-jh2gt 14 วันที่ผ่านมา +1

      kiukweli hapo PCK ni tapeli

    • @Gody360
      @Gody360 14 วันที่ผ่านมา

      Kazi ipo apo waongo waotee

    • @user-eb3hf1lm9e
      @user-eb3hf1lm9e 7 วันที่ผ่านมา

      Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 14 วันที่ผ่านมา +5

    Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา

      Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie

  • @ndikumasabodiegovevo9091
    @ndikumasabodiegovevo9091 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂

  • @__B.O.B
    @__B.O.B 14 วันที่ผ่านมา +6

    Le Professori Elly David Katalama

  • @mrfashion1687
    @mrfashion1687 14 วันที่ผ่านมา +11

    Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli

    • @jumamuhamed8636
      @jumamuhamed8636 13 วันที่ผ่านมา

      Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa

  • @AfroMedic
    @AfroMedic 14 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂

  • @Gamba81
    @Gamba81 14 วันที่ผ่านมา +6

    Wote ndiyo walewale 🇿🇦

    • @HalimaKassim-yz3we
      @HalimaKassim-yz3we 13 วันที่ผ่านมา

      Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 13 วันที่ผ่านมา +3

    ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga.
    Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine.
    Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.

  • @user-ui5zo9re8b
    @user-ui5zo9re8b 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wasaniwako pole sana pisic

  • @youngtuso3048
    @youngtuso3048 12 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini

  • @user-et8lc7tb3p
    @user-et8lc7tb3p 14 วันที่ผ่านมา +4

    Is true

  • @user-lk9rh5xp4u
    @user-lk9rh5xp4u 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa

  • @missamirajiiddy7077
    @missamirajiiddy7077 14 วันที่ผ่านมา +9

    Wewe muongo na una penda sifa sana

    • @danieldaudi1631
      @danieldaudi1631 14 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu

  • @shukranikayange2275
    @shukranikayange2275 7 วันที่ผ่านมา

    Nataka kwenda Toronto

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana 14 วันที่ผ่านมา +3

    Iknw you do nice

  • @asajilepaulmwikombe458
    @asajilepaulmwikombe458 14 วันที่ผ่านมา +6

    PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa

    • @dublea4118
      @dublea4118 13 วันที่ผ่านมา

      Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo

    • @Official83640
      @Official83640 12 วันที่ผ่านมา

      SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 14 วันที่ผ่านมา +6

    Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?

    • @mylasadick5189
      @mylasadick5189 14 วันที่ผ่านมา

      Nani PCK au ?

    • @TTT80533
      @TTT80533 13 วันที่ผ่านมา +3

      Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK

  • @Gody360
    @Gody360 14 วันที่ผ่านมา +3

    Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂

  • @gilbertmwakalebela2862
    @gilbertmwakalebela2862 13 วันที่ผ่านมา +1

    Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu

  • @darlenedada651
    @darlenedada651 13 วันที่ผ่านมา +2

    Bora wewe umesemaPCK

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 4 วันที่ผ่านมา

    Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.

  • @KhadijaDija-ir2hq
    @KhadijaDija-ir2hq 13 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂

  • @homeandaway2811
    @homeandaway2811 13 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu.
    Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.

    • @rosemahenge9071
      @rosemahenge9071 13 วันที่ผ่านมา

      Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini

    • @Markhomestz
      @Markhomestz 12 วันที่ผ่านมา

      Sure kabisa

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 13 วันที่ผ่านมา +1

    Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 14 วันที่ผ่านมา +4

    Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา

      Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi

    • @jumamuhamed8636
      @jumamuhamed8636 13 วันที่ผ่านมา

      ​@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??

  • @tradamus4158
    @tradamus4158 10 วันที่ผ่านมา

    Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂

  • @JulianaJackson-lz6vq
    @JulianaJackson-lz6vq 12 วันที่ผ่านมา

    Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa

  • @Gamba81
    @Gamba81 14 วันที่ผ่านมา +2

    Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe

  • @khurlainashly5686
    @khurlainashly5686 4 วันที่ผ่านมา

    Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍

  • @salma_6j975
    @salma_6j975 13 วันที่ผ่านมา

    Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid

  • @josephdionizy2868
    @josephdionizy2868 13 วันที่ผ่านมา +1

    Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa

  • @thomsanga7956
    @thomsanga7956 13 วันที่ผ่านมา

    Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!

  • @saidmanjuti7441
    @saidmanjuti7441 11 วันที่ผ่านมา

    mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 14 วันที่ผ่านมา +1

    Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?

  • @SurprisedBakedCustard-vp8oi
    @SurprisedBakedCustard-vp8oi 14 วันที่ผ่านมา +2

    Kaazi kweli kweli lol 😅

  • @KennethMgona-jy4vc
    @KennethMgona-jy4vc 14 วันที่ผ่านมา +4

    Muongo kweli

  • @johnmichaellukindo21
    @johnmichaellukindo21 14 วันที่ผ่านมา +8

    Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!

    • @mohdmohd8428
      @mohdmohd8428 14 วันที่ผ่านมา +2

      Fact

    • @kshayofurniture2941
      @kshayofurniture2941 13 วันที่ผ่านมา +1

      Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany

  • @Khairath
    @Khairath 12 วันที่ผ่านมา

    Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢

  • @HassanMussa-vk3tj
    @HassanMussa-vk3tj 14 วันที่ผ่านมา +7

    Pck mwizi kawaibia wasani

  • @hasani565
    @hasani565 14 วันที่ผ่านมา +3

    Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko

  • @user-gc5wi8qq5l
    @user-gc5wi8qq5l 14 วันที่ผ่านมา +3

    Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua

  • @wisemaliva5376
    @wisemaliva5376 11 วันที่ผ่านมา

    Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!

  • @omarzinga7046
    @omarzinga7046 13 วันที่ผ่านมา

    Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂

  • @afronur1354
    @afronur1354 12 วันที่ผ่านมา

    Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko

  • @elijahbaraka9470
    @elijahbaraka9470 14 วันที่ผ่านมา +7

    Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 13 วันที่ผ่านมา

      Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu

  • @dinocastico8495
    @dinocastico8495 10 วันที่ผ่านมา

    Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike

  • @sarastephano3409
    @sarastephano3409 8 วันที่ผ่านมา

    Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema

  • @priscillachristiansen4331
    @priscillachristiansen4331 13 วันที่ผ่านมา

    Pole Elly

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 13 วันที่ผ่านมา

    Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐

  • @jacktonmakau3397
    @jacktonmakau3397 14 วันที่ผ่านมา +5

    Pck ni mwizi Tu wakawaida.

  • @abdimutesi1393
    @abdimutesi1393 8 วันที่ผ่านมา

    Pck
    Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo

  • @bizomenyimanaelias5455
    @bizomenyimanaelias5455 13 วันที่ผ่านมา

    pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂

  • @esterpaul5856
    @esterpaul5856 11 วันที่ผ่านมา

    Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..

  • @billskeez92
    @billskeez92 13 วันที่ผ่านมา

    Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise

  • @user-mw1fw2jt2n
    @user-mw1fw2jt2n 11 วันที่ผ่านมา

    Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua

  • @GraceWilliam-d1w
    @GraceWilliam-d1w 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา

      Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!

  • @blackschooltv
    @blackschooltv 13 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO

  • @sund2553
    @sund2553 13 วันที่ผ่านมา

    Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu

  • @SuzanneMbotcha
    @SuzanneMbotcha 14 วันที่ผ่านมา +4

    Pumbavu ww

  • @lusekelosolomon313
    @lusekelosolomon313 13 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ni Toronto ya njombe?

  • @chilubafedrick5740
    @chilubafedrick5740 13 วันที่ผ่านมา

    hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee

  • @bildivaivess3379
    @bildivaivess3379 13 วันที่ผ่านมา

    Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 11 วันที่ผ่านมา

    Hii ni maajabu😂

  • @ghhhhy1812
    @ghhhhy1812 10 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂Mbav zang mie

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 13 วันที่ผ่านมา

    Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 6 วันที่ผ่านมา

    Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia

  • @imanuelnguya9277
    @imanuelnguya9277 14 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂😂

  • @Jassmin-media-official
    @Jassmin-media-official 13 วันที่ผ่านมา

    Wasanii wako tena jamani

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge9071 13 วันที่ผ่านมา

    Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu

  • @meddy6090
    @meddy6090 13 วันที่ผ่านมา

    Asa apo tumwelewe nani jamani

  • @mam_salum
    @mam_salum 4 วันที่ผ่านมา

    Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu

  • @hashimuuhehwa4252
    @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา

    Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 14 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue

    • @aishaabdallah7769
      @aishaabdallah7769 13 วันที่ผ่านมา

      Pck kanitapeli na mimi 12.000$

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 13 วันที่ผ่านมา

    Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 14 วันที่ผ่านมา +4

    Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂

    • @hashimuuhehwa4252
      @hashimuuhehwa4252 14 วันที่ผ่านมา +1

      Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 13 วันที่ผ่านมา

    Piganeni muuwane😂😂😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky 14 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @brownmoses9543
    @brownmoses9543 13 วันที่ผ่านมา

    Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅

  • @Official83640
    @Official83640 12 วันที่ผ่านมา

    Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂

  • @hasani565
    @hasani565 14 วันที่ผ่านมา

    Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu

  • @TravoAnandi-qz7fo
    @TravoAnandi-qz7fo 13 วันที่ผ่านมา

    Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 14 วันที่ผ่านมา +2

    Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa

  • @AbdulatifuRamadhani
    @AbdulatifuRamadhani 11 วันที่ผ่านมา

    Mh

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 14 วันที่ผ่านมา +1

    Mshapigwa nawa nijeria uko

  • @d-manb-free3478
    @d-manb-free3478 14 วันที่ผ่านมา

    Hutu si and Yule future husband 😂😂😂

  • @blackschooltv
    @blackschooltv 13 วันที่ผ่านมา

    Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 14 วันที่ผ่านมา +5

    Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia