the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga. Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine. Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu. Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷♂️🤷♂️
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
Kikubwa kuelewana wanetu tusukume gurudum la mziki wetu sote tunapambania kombe la mafanikio ❤
Waswahili nongwa mpaka ugenini😂😂😂
Mbona naskia we mwenyewe tapeli wa kimataifa jamani hee dunia si mama
SNS sindio wanayakuza mbwa Hawa nahuyo kijana wa TikTok
the conflict of interest, ila acheni kuitana waburundi wala watanzania kwa sababu waburundi, na wacongomani ndo wanajaza tamasha zenu nyinyi wa promotor , ukizingatia watazania ni wachache mno acheni kungobana please from North Dakota 🇺🇸
Mziiiki wetu una safari ndefu sana kama mapromota tu wanagombana
Habari zako na Mbosso sisi hatuzijui, unatukera na vidharaudharau vyako, mara useme sisi huku bongo ndio tunapapatikia mastar huko ulaya hampapatikii wasanii, haya leo unasema watu wanavi-bundle vya mia tano, yaani unaonekana una ulimbukeni fulani hivi, kama hutaki backlash usituhadithie shida zako kwenye mitandao especially kama huwezi kuwa respectful unavyojielezea, watafute wenyewe directly
Mkataba uko wapi unaonyesha ulilipa pesa
Kwa watu wanaoshirikiana biashara hiyo sio hoja labda kama biashara ya kitapeli sawa,
Eeh Bwana Noma Bro .Izzatkhan Canada
Mchukulie hatuwa uyo jambanzi Koko ana wachafua watu bure Kwa ujinga wake na njaa zake
Bro wew NI muongo pck nadhani yupo sahihi Kwa kuwa wew ulianza kuwaatack mbosso na rayvany MITANDAONI , na kama ulijua kabisa umemlipa pck basi ungeanzana naye na sio wasanii .😁🇹🇿
kwani kasema yeye ndio kalipa mbona akusema yeye kalipa wewe nawe mwongo mwongo tu
Wabongo as always, they need to be serious ofcause
SASA KWANINI UMLIPE PCK NA SIYO MENEJA WA MBOSSO AU RAYVANNY???
Yy ndo amewaita kule na anaewalipia kila kitu so lazma alipwe yy
Mueleweshe vixr maana haelewi kinachozungumzwa na wahusika
kiukweli hapo PCK ni tapeli
Kazi ipo apo waongo waotee
Yeye ndo alikuwa amewapeleka huko hivyo Elly alipaswa kumlipa
Sasa wewe Elly si ungeongea na hao psk na sio kuwachafua wasanii wa Tanzania...
Yeye anahaki ya kulalamika biashara ni kushirikiana anaeshirikiana nae ndie aliyetengeneza mazingira magumu kwa mwenzie
Ismail niyonkuru njo umuskie pck Tena kapiga mtuu😂😂😂😂
Le Professori Elly David Katalama
Tapel tu uyo mbwa
Elly David yupo sahihi, ila watu wachahce wamemtapeli
Yupo sahihi na nn unatetea ujinga uyo Elly ni tapeli mkubwa
Huu ni umaskini 😂😂 mnaleta uswahili nchi za Watu 😂Hii ni comedy 🎭 simulizi za sauti 😂
Wote ndiyo walewale 🇿🇦
Umeonae mbona hata yy anaongeaga bongo
ELLY we mwenyewe unatia aibu, unaongea too much umeshindwa kutumia akili kuwa huwezi mpa PCK pesa bila kuwasiliana na wasanii au mameneja wao, huo ni ujinga.
Kwenye shughuli yako walikuja kuenjoy kama wengine.
Mambo ya mademu wake sijui mkewe yametokea wapi wewe mdomo mrefu mno Elly. Umetapeliwa kwa ujinga wako punguza mdomo mwanaume wewe ujue.
Wasaniwako pole sana pisic
Huyu jamaa Elly anapoint ukimsikiliza Kwa umakini
Is true
Wabongo bana kutwa vijembe tutakua lini jaman haaa
Wewe muongo na una penda sifa sana
Wewe ni koloboi kweli walio kuwepo wanatoa taalifa pipi wewe unakulupuka tu
Nataka kwenda Toronto
Iknw you do nice
PCK ni promoter mkubwa kitambo anandaa show nchi mbali mbali tunamjua kuja kwenye show hiyo sio sababu si ukumbi wa starehe bwana unampakazia tuuu wewe ndio kamba kaka wadanganye wasio mjua PCK maelezo yako hayaja jitosheleza kabisa
Ndio tumekubali but usisahau kwamba PCK ni tapeli na muongo
SASA KM MUANDAA SHOW NDY ACHUKUE PESA NA KUSEMA ANAWAPELEKA PALE KWENYE SHOW KUMBE HAJAWAAMBIA KINA MBOSO ACHENI KUMTETEA TAPELI HUYO NA NDY MAANA KILA NCHI HAKAI KWA UTAPELI HALAFU SIJDA KUBWA SIJUI ANASWALI NN
Huyu si ndio ule yule alinanili na Wema kipindi kile hadi ikaleta tafran?
Nani PCK au ?
Uyo uyo Mwizi devil 😈 PCK
Ni vitaaaa😂😂😂😂😂😂
Sasa ww Elly kumbe ulimlipa PCK af unakuja na shutoma kwa wasanii kua umewalipa, si umdai Pck kwanini ulikuja kuwasema wasanii kua umewalipa wakati umemlipa promota. Waombe radhi wasanii wetu
Bora wewe umesemaPCK
Haya wenye daddy yao sijui pastor wao waje wamuone huku, nilimpiga mawe kule fb wakasema namuattack baba yao wa kiroho 😂😂, mchungaji gani huyu anahangaika na mambo ya dunia. Ameona uchungaji haujamlipa kageukia mambo ya masela, kuokoka kwa style hii ni noma.
Kwani uyu pck si ndo yule wa wema😂😂😂
Wewe Elly kama mlilipana na PCK ungepambana nayeye , umekosea kuwachamba hao wasanii hawahusiki na mambo yenu.
Uliwasiliana na hao wasanii moja kwa moja? Usiwalaumu, pambana na PCK.
Kapumbavu haka kajamaa ndiyo mana hatutaki kukaamini
Sure kabisa
Duuuhhh, mnaleta Uswahil mpaka Canada 🤔😢😢👎🏽👎🏽👎🏽 shame on you guys! 🤷🏽
Wee elly umekaa miaka mingapi Canada adiulete mtu toronto
Acha ushabiki wa kitoto jamaa ana hoja ya msingi na ipo wazi kabisa tatizo uelewa wako tu, Harafu hoja yake mbona ipo wazi kabisa na inaeleweka sasa wewe unakwama wapi
@@hashimuuhehwa4252hoja gan uyo Elly tapel tu uyo ww unamjua vizur uyo??
Hata huyo jamaa anaongea uongo saabu mbosso mimi ndio nimemleta huku Canada 🇨🇦 😂
Nmecheka kama Mazuri...pck 😂😂😂Elly Mswahili asaaaa bando za 500 khaaaa
Eti mabando yetu ya mia tano unamaliza na zarau au sio wakati wewe umeambiwa hauna ela umekasilika acha zarau wewe
Wanaume wanacambana😂😂 okay 👍
Yule mtoto tapeli sana...mpk ticktock ndio kazi yake kuchafua watu na kutapeli...muongo muongo sana yule ellydevid
Yaaan huyu jamaaa akili anazo ila anajitoa ufahamu tu sasa hapo mboss anahusikaje we mdai uliemlipa
Daah!! Promota maskini wanashida sana aisee!!
mwangalien vizuri huyu elly david sio proffesional kabisa pesa umemmpa pck unaenda kuwatukana kina rayvany na mbosoo kabla ya kutoka nje kuanza kusema umetapeliwa unge kaa chini uangalie ulie mpa pesa ni nan uchukue ata hatua ya kuongea na ma meneja wao kabla ya kutoa hizo pesa na kama pck amekutapeli ni hallai yako kabisa kwasbabu wew sio proffesional
Hawa awaeleweki mbona nawewe udai pesa za kina mbosso na Ray kama ulililipa mkataba upo wapi?
Kaazi kweli kweli lol 😅
Muongo kweli
Pck kachukua pesa dola 4000 ya appearance lakini mbosso x Ray hawajui!
Fact
Huyo pck ni promoter sio kiongozi wa mbosso au meneja rayvany
Mbosso hataki ajulikane kama alienda club kwenye uongoz atapigwa fain 😢😢😢
Pck mwizi kawaibia wasani
Wote ma promota uchwara tu hawana lolote.Njaa tupu...una mana Gani vikiki vya bongo wakati si ndio wewe ulijilipua kama wewe choko
Hiv huyu elldavid anamjua phyno kwel ellydavd ana Nguvu gan ya ela kumleta msanii tajiri tena wa nigeria unapo mzungumzia phyno ni kam unamzungumzia olamide kwel ellydavid anazngua
Yaaan kumbe amemaanisha pyino mnyama
😂
Huyu anaitwa pc kari?😂😂😂au nimesikia vibaya!
Elly go with fact ukitaka wasanii wachukue mwenyewe kutoka bongo kimikataba usidandie mishe za watu Elly David 😂😂😂
Hivi kwanini mnawapa airtime haya marundi ‘ waacheni wakapewe kwenye vi nchi vyao huko
Elly wee leo unajitetea kuitwa maskini wakati wee kila mara una dharau maskini. Na unavyo nyonga mdomo sasa
Elly anadharau sana watu kuingilia ya sio muhusu
Acheni mambo ya kike. Sasa kama alipewa pesa yeye pck ww onyesha mkataba wa kumlipa pesa ili uwe na haki na umzibe mdomo mboso aliye kanusha na kukukana. Msilalamike lalamike
Huyo pck anahistoria ya utapeli na wizi kitambo mkumbuke alivyomtapeli wema
Pole Elly
Ila wabongo bana dah 😂 wanakiwasha popote 👐
Pck ni mwizi Tu wakawaida.
Pck
Nimwizi na mimi kaniibiya dollars Zangu eti atanisafirisha nawenzangu wengi mwizi uyo
pck ni promoter mkumbwa wew tangia zamani😂😂😂
Kumbuken PCK ni bonge la Tapel ..naanza kuamin kwa huyu kaka katapeliwa pesa..
Mahakama imehamia huku mitandaoni jameniiiiiii😂😂😂 mlipane mitandaoni aise
Hapa kuna vita yakibiashara ndo nlchogundua
Mtukuze mungu wewe Elly mamiziko ya kodunia ya nini ? Wewe mtafute mungu mbona inajichelewesha
Toka wewe uanze kumtafuta umemuona!? Sababu wewe mtumwa basi unataka wote wewe watumwa hee!!
Kwahiyo Mna mgombania MBOSSO
Future husband wa wemasepetu😂 anyway hawa wa tz wameenda kuendeleza roho mbaya hadi nchi za watu
Pumbavu ww
Hiyo ni Toronto ya njombe?
hyu kaenda viral kuwalaum akna rayvany na mboso alaf pesa kampa mtu mwingne, how come PCK ndio meneja wao?? we mvae uliempa pesa mzeee
Mnatutiliya kekele tu bure izi inchizetu uku zina sheriya, issue kama iko serious mahakama inaweza litatuwa bila ata shida na muongo atajulikana tuu 🤷♂️🤷♂️
Hii ni maajabu😂
😂😂😂Mbav zang mie
Huyo burudi sinyole alombia wema pesa nakubuka 😂😂
Gari ulishachukua kwa Wema sepetu Au ulimwachia
😂😂😂😂😂
Wasanii wako tena jamani
Sasa huyu mbwa sijui Eliya sijui nani hizo mashida zake na PCK kwa nini awaingize kina Rayvann na Mbosso pumbavu hayo mabundle yetu ya mia tano kwani huwa unatuwekea ww mmfyuuuu pambana na shida zako😂😂 hayatuhusu
Asa apo tumwelewe nani jamani
Huyu sindie alie kuwa bwana wa wema sepetu
Picha ya Mboso ilikuwaje ukiwekwa hapo hapo ndio tatizo lilipoanzia, Eti hana uwezo wa Dolla mia mbili mmm
Huyu pck muongo hela kachukua usiseme hanauwezo wa elf 4 anapata zaidi ya hiyo, wewe muongo pck umechukua hela Mimi binafsi hiyo hela ninayo Acha kusema uwongo mburundi wewe unajifanya mnjanja Sheria huku tunazielewa wenyewe Sana wewe ndio tukuchafue
Pck kanitapeli na mimi 12.000$
Hao ndio promotas wetu hawataki kuwekeza kwao wanakimbilia nchi za watu na hawana kitu kila kitu ni janja janja tu!
Vdeo ya kwanza kasema mbosso kabeba hela, levo za mbosso na vanny boy kuja club tu 4k imeisha😂
Kuelewa jambo kumbe ni kazi! Sasa hujamuelewa nini hapo mbona kaeleweka vizuri sanaa!!
Piganeni muuwane😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Hii ndo changamoto ya mtu mweusi😅
Ukisema anapenda sifa utakuwa unajisifia ww. Yaani ww na yy wote matapeli na mnapenda kiki haswaa haswa ww Pck dah wasiokujua ndy watakushangaa mno Wema hd leo anajuta kulala na ww akikumbuka Milioni 40 zake😂😂😂😂
Wewe na huyu mrundi mmepeana hela ili yule mrundi ajifanye ana waleta club ..ndio mapromota kama Nyie mnaona wasani wabongo Wana taka kuza sura kwenye hizo pub zenu
Wameyakanyaga kwa digala..pick ila elly kwel baharia msumbuf
Inavyoonyesha apo mmezungukana ila sio poa...kwann mnataka kutumiana kupitia wasanii ..mnawaharibia wasanii ...ila apo wamezungukana ila sio poa
Mh
Mshapigwa nawa nijeria uko
Hutu si and Yule future husband 😂😂😂
Kumbe vita sio ya Wasanii ni Mapromota ... alafu wewe Elly Maswala ya kiume na Mademu unaweka hazani wewe sio Mwana ... ni Mwanahawa
Uyo pck tapeli nasikia kitambo ata bongo nasikia alitapeli akakimbia
Litapeli likubwa hili
Aliwatapelini nyinyi