Sio police wa Kenya Wana uvumilivu ni katiba yao huwezi kumpiga mtu public mbele ya camera harafu zaidi mwanmke anaenda jela hii sharia ipo Hadi South Africa police haruhusiwi kumpigaa raia hata afanye kosa gani.
Wamemuhukumu kijana wenu bila ya hatia yoyote mpaka raia wakamchangia na kumlipia fine. Waache waendelee kuwahamasisha raia kwa matendo yao yadhulma. Wakati utafika hata huko niamini
@@Jingajinga64 Amini kabisa Tanganyika itarudi ni swala la mda tu....Leo tunatawaliwa na Ndugu wa kambo anaamua chochote anauza malango ya Nchi bila woga...Kuna mazezeta kazi Yao ni kushangilia tu!!!!
@@alphablondponera2367 tuko juu sisi huku kenya usitufananishe na wengine haswa hao marekani wanodhalilisha ndugu zetu huko na kuwabagua. Tukimalizana na huyu mkuu huku tunakwenda huko lakini kwanza tutapitia hapo😅😂
Yani mtu yupo uchii hana habar na khofu kwa mungu sijui hii dunia munaichukuliaje ninyi kina dada wa hivi yani makwapa matiti nje arafu anacheza mbele ya watu ambao so waume wake
@@graceamadi1096 tatizo sio kwenda mbinguni ishu ya hapo watu wanapambana na haki zao yeye anakata viuno ivi alifuata mandamano au kukata viuno usitete ujinga watu wanakufa wengine wanaumia yy anacheza mziki siwezi kukubaliana nailo sawa kila mtu na akilizake l'm so sorry for that.
Hao mapolice wenu Watanzania 🇹🇿 wanajua nyii ni waoga ndio maana mnaavurugwa tu wanavyotaka hapa kenya hio ukoloni tulikataa hatuko uzunguni kilamtu anauhuru 😂 bora tu usikeuke sheria
Police wa tz hamna kitu apo teal washatumia nguvu lkn wa raia ambao Hana silaa yoyote mkonon lkn akisikia Kuna majambazi wanakimbia au wanakuja nakingo'ra k😊😊😊
Ww shinda hapo Tanzania uhuru wenu unategemea rais ss wakenya tunategemea katiba Ruto ni nani??sasa unataka wa uue mtu kwa sababu ya densi ndio maana africa hamuendelei na fikra za kijambazi
Hiyo siku police walikuwa waki wapa watu nyakula na pia kulikuwa na sherehe pale Uhuru Park Mambo kama hayo ni kitu chakawaida kwa sababu wako na uhuru na freedom of speech
Ndugu zetu wakenya daah.Hatari.
But navyoona Kenya democracy ipo open sana compared na nchi zote za Africa.
I like 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Uko sawa kaka. Tunawapenda sana
My country Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 I love Kenya, sisi kama Gen z
Kenya is a free nation, we only fear mungu, hakuna kitu ingine👏💯
Kenya democracy iko juu sana
Kenya Democracy is 100 miles away from Tanzania. Kenya is king
Daaah Sema huyu mdada ni pisi kali sana
Sanaaaaa
Kabisaaa
They are enjoying the show 😂
Sio police wa Kenya Wana uvumilivu ni katiba yao huwezi kumpiga mtu public mbele ya camera harafu zaidi mwanmke anaenda jela hii sharia ipo Hadi South Africa police haruhusiwi kumpigaa raia hata afanye kosa gani.
Usijaribu kulinganisha village country kama Tanzania na Uganda
Polisi wa Kenya ni wasomi.. kacheza tu hana kosa lolote... Kenya wanajua vyema haki zao sio kama Sisi Ng'ombe wa Tanganyika!!!!
Wamemuhukumu kijana wenu bila ya hatia yoyote mpaka raia wakamchangia na kumlipia fine. Waache waendelee kuwahamasisha raia kwa matendo yao yadhulma. Wakati utafika hata huko niamini
@@Jingajinga64 Amini kabisa Tanganyika itarudi ni swala la mda tu....Leo tunatawaliwa na Ndugu wa kambo anaamua chochote anauza malango ya Nchi bila woga...Kuna mazezeta kazi Yao ni kushangilia tu!!!!
Haha
I’m a Kenyan but, this is totally disrespect. Tz keep it up, you guys mko na nidhamu
You must be sick upstairs
Your name betrays you. I am not amused.
@@carolinekasiemeka9848 continued being Amused. Asante
@@jullostephen9090 I understand you Kenyans mko na malezi mabaya. Asante
@@marymutai1440 malezi mazuri pelekea watu wa kwenu alaaa
Angekuwa mwanaume angekuwa kwa land cruiser
😂
😂 😂 😂
Uvumilivu au wamesoma wanajuwa hake yake😂😂😂😂
Hii haijakaa sawa maana hii ni dharau...
Ndugu zetu wakenya mnaharibu u serious wa kile mnachokipambania
Kaa kwa mamako na ujinga wako huo. Kenya ina sheria. Polisi si Mungu. Freedom or death.
Huyu msichana aliomba ruhusa ili afanye hivi nilikuweko hapoooo😂
Kweli atami nilikuwepo😂😅
Mimi pia 😂😅
Poor parenting in my country Kenya . So sad, nothing to be proud as a parent
Exactly
Malaya wewe?!ll Tombwa
One comment wasn't enough? You want to mother us all? How many titt!es you've got? We're 50m strong.
Naona kama hana nidhamu😢
Babako ana nidhamu akilala na watoto wa shule?
Kiwango chao cha civil knowledge kiko juu sana - wengi ni graduates (mapolisi wa Kenya). Wanajua mipaka ya kazi zao.
@@kiatu mmmh
Kiwango ch civil kikubwa polisi uko na silaha unaruhisu kushikwa shikwa ..hata marekani kwenyew hii sijaona
@@vanessalaizer4363Hey yo!! What's up?
@@alphablondponera2367 tuko juu sisi huku kenya usitufananishe na wengine haswa hao marekani wanodhalilisha ndugu zetu huko na kuwabagua. Tukimalizana na huyu mkuu huku tunakwenda huko lakini kwanza tutapitia hapo😅😂
@@vanessalaizer4363 Hey sis!! What's up?
Ila majamaa Kenya Wanamasifa sana
Hehe😅😂 asante kaka ndivyo tulivyo ila tunawapenda sana
@@Jingajinga64 😁😁😁
Yani mtu yupo uchii hana habar na khofu kwa mungu sijui hii dunia munaichukuliaje ninyi kina dada wa hivi yani makwapa matiti nje arafu anacheza mbele ya watu ambao so waume wake
Hawajali hawa😢
Hamjui polisi wakenya ni washerati😂😂😂
@@shery-bf8xh aaah vinapenda ngono ee?
Hui ndo utofaut wa Tanzania na Kenya ucheze na bongo hivi
Jaman Gez Z manaake nini msinicheke lakini😊
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂maana yake ni kizazi kipya mwanya hawa watoto wa 2000 sasa
born 1997 mpaka 2012
generation Z
Ni hawa ambao kwa Tanzania tunawaita watoto wa 2000. Kwa Kiingereza wana jina lao, wanafahamika kama generation z
Asanteni kwa majibu
Polisi wakenya c eti niwavumilivu wamechoka kutumiwa vibaya wakati wakubwa wanakula hela wao wakiambulia mishahara duni
Malaya tu ivi kunamausiano gani kati ya mandamano nakukata viuno uwo ujinga wapambane na kitu chao uyo kaenda kutafuta kiki nakashaipata.
Kumbavu mkubwa wewe....🤬🤬🤬🤬
Ramadhan alikuuzia ndio umuite malaya, stop judging maana ata wewe haujui kama utaingia mbinguni. She is creating her content
@@graceamadi1096 tatizo sio kwenda mbinguni ishu ya hapo watu wanapambana na haki zao yeye anakata viuno ivi alifuata mandamano au kukata viuno usitete ujinga watu wanakufa wengine wanaumia yy anacheza mziki siwezi kukubaliana nailo sawa kila mtu na akilizake l'm so sorry for that.
@@graceamadi1096 kwa mfano mbele kuna watu wanakufa alafu muda uwouwo unakwenda kucheza mziki ivi watu waliokua hapo watakuchukuliaje et?.
Mamae km n askari wa Tz angelikwisha kula mtungo😀
Askari wa Tanzania ni kama mawatchmen huku kwetu banaaaaa,,,,,,, Tanzania Tanzania kitu gani
@@merkillernjoo ujaribu Kama utarudi kwenu salama
Sasa baada ya maandamano nini kimeendelea 😮
KENYA NCHI TAMU SANA ILA RUTO ANATUARIBIA NCHI THOUGH TUKO NGANGARI NA TAYARI KUMTOA KWA KITI 2027
😂😂😂 DONT DO THIS TO TANZANIA SOLDIER 😂😂
Thubutu... hata utaweza hata kufikiria... 😂😂😂
@@exaverysimon1064 hawa wa Tz ni askari haswa sio askari jina tu.
@@vanessalaizer4363 😀😅😅😅😅
Maumbwa...hata hawajasoma
Kenya polisi wanaitwa, " waudumu wa polisi(( police service) na Tz wanaitwa jeshi la polisi ( police force). Hiyo ndiyo tofauti ya hizi nchi zetu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂wakae kwa kutulia kwan polisi hawataniwi
Wezi hao na mapepe wapigwe wote
Eish.
Polisi wa Kenya wana ustaarabu sana.
Professionalism is what matters
Kwani yy ni polisi ???ati professionalism
Umalaya tu ajielew
Tunavuta mpaka tear gas. Huku Hawa Gen Z ni balaa tupu😂
Tz angevunjwa na hiko kiuno .saiz angekuwa anaongea na POP
Uyu ndio alicia kanini
jamani hamjastukia hii nyege unaona anawapeleke kikundu wampige japo dole aje uku akunwe
Huyu anataka mashine ya police 😂
😂😂😂
Ila harmonize
Hao waje tz tuone nn kitatokea😂😂😂
Police wa Tanzania wanakimbia wote na hata kaa watake upolice tena, Gen Z ni noma eti usifanye utani kabisa
Nyi niwaoga 😂 siku mtaweka uogakando watawaheshimu n mtakua huru
Huko tutatuma Ian njoroge peke yake 😂😂😂😂
Spati picha wangekua police wa Tanzania walivyo na masifa wangeondoka nae kimya kimya😂😂
👊💯
Tanzania ni dictatorship,hamuwezani na Uhuru Kenya inayo,bado muko nyuma sana tena mbali wadau.
😂😂na umesahau wengine waliibia polisi 👮 tear gass
😂😂
Huku TZ wafanyie hivyo wale wanaoitwa ffu uone 😂
Maandamano ya amani,got tht?
Katiba inawalinda hawezi fanyiwa chochote ila ingekuwa. Huko kwenu kesho katekwa😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Waoooo ❤❤❤❤ wape dada
😂😂😂GNz noma kabisa
😂😂😂vitoto vya raila😂😂😂kuna Africa af kuna Kenya nchi yangu ❤
Tanzania wangembaka
Kuna video zinarekodiwa all around 😊
Hao mapolice wenu Watanzania 🇹🇿 wanajua nyii ni waoga ndio maana mnaavurugwa tu wanavyotaka hapa kenya hio ukoloni tulikataa hatuko uzunguni kilamtu anauhuru 😂 bora tu usikeuke sheria
Don't confuse katiba njema tuliopigania na yenu inayo wafanya chawa wa rais
Ati polisi aliomba namba za simu kwa mazungumzo zaidi😢
ASKARI wa Tz popote mlipo msikubali huu ujinga mkiwa kazini
Hehe wachamakasiri bhana 😁
Hehe😂😅 wakati wenu utafika. Tulikuwepo hapo mulipo. Mukikua mutayajua
Huu ni ujinga. Polisi wa Kenya wamechoka
Katiba huku ndiyo sauti......
Don't talk about Kenyans ....
Ulitegemea polisi wamfukuze wakati anawaburudisha bure bila malipo?
Sio wavumilivu hao katiba inawalinda wananchi wakenya
UTI inacheza
Ni hatari😂
😂😂😂😂ilove my country
Sasa kaka umaharufu Gani Sasa sikila kitu una post brother commmm
Ni channel yake na anahaki ya kufanya atakacho ,kwani wewe ndo nani mpaka umpangie?
Police wa tz hamna kitu apo teal washatumia nguvu lkn wa raia ambao Hana silaa yoyote mkonon lkn akisikia Kuna majambazi wanakimbia au wanakuja nakingo'ra k😊😊😊
Kaka marekani tu hamna kosa alilofanya
Mwanamke haokopi jeshi ataogopa mumwe wake😅😅😅😅
Hatakiwi kumwogopa mume wake; ni wote kuheshimiana tu
Nyie wakenya wapumbuvu njoeni tz unye mavi hadharani
Huyu ingekuwa tz angepgwa rungu na ffu.mpka angemkumbuka bibi yke.
They are enjoying the show..😂😂😂😂
Tanzania hakuna democracy
Wanauchokozi na wakipigwa utaskiya ooh wametuuaa. (Ruto tu nikibaraka aende)
Ww shinda hapo Tanzania uhuru wenu unategemea rais ss wakenya tunategemea katiba Ruto ni nani??sasa unataka wa uue mtu kwa sababu ya densi ndio maana africa hamuendelei na fikra za kijambazi
@@billjames1216kabisaa
Niowe Tanzania natafuta nini My child needs to be brave and strong, I must cry, here in Tanzania there is no difference between men and women😂😂
Kenya my country.
When people say Kenya sihami, they really mean it.
Gen Z, you people are a little high.
Wachana Na wakenya American ndogo
Hahaah sio kuwa polisi wako soft kaka blaza ata polisi ni binadamu si wanaenjoy vitu vibichi
Mdada hana a habar
Usogei apo kabis tz
ujinga mtupu....wasichana hawana nidhamu...shenzi sana
Hiyo siku police walikuwa waki wapa watu nyakula na pia kulikuwa na sherehe pale Uhuru Park
Mambo kama hayo ni kitu chakawaida kwa sababu wako na uhuru na freedom of speech
Police wa kenya uzuri wao tunakula nao tunakaa nao mtaani ndio mna wengi huwa wanafanya kazi tu lkn hawana shida na watu wao
Kaka Sky samahni hivi wale wasafrshaji wa mizigo wali nazi wali acha namba kwenye ile vdeo
Yes waliitaja
😂😂😂😂😂askari wa bongo tena
Kenya kichwa ngumu
Police wajanja na Akili nyingi. Wanajua Umbwa akipanda kwenye nyumba yani MTU amempandisha tuko chini.
I like it so much 🤣🤣🤣🤣
video inaonesha tu ameomba ruhusa
Wanajielewa❤
Kenya ni inchi ambayo imesha endelea freedom of speech nime iona kwambali kenya poli watanzania huwezi mchezea hivyo au wa congo
Kkkkkk
Kamakwer niwabishi waje tz tujifunze
Acha uoga jifunze mwenyewe backup ya wakenya unaitakia nini ,endeleeni hivyo hivyo na amani yenu
Ni Gen Z generation Z sio gez ndio maana huwa wakenya wanaonaga hatujui kingereza sababu ya watu kama nyie
Sisi wakenya niwasomi kwani wamuona aliomba ruhusa mwanzo
Wakenya nawakubali wanajua kudai haki zao, sio machawa wetu mwinjaku na sepetu na steve mangiri wa ccm
Njoo Tanzanian kadada uone
SKy young killer katoa nyimbo kakudiss 😂😂😂😂😂😂😂😂 sema tusimfananishe na kizazi cha gen z yuko mbele ya muda kama kendrick lamar
Wakenya hawana aibu kama waTz mana hapo ni kujirusha fahamu kama una aibu huezi fanya ivo
na wale wachezeao baikoko wakivua nguo
@@cooljay9489 sio mbele ya vyombo vya dora weee! Wale si ni utamaduni ule ndugu. Usifananishe kifo na usingizi wewe
Ukoloni ndio aibu eti. Kenya hakuna ukoloni. Freedom or death.
@@vanessalaizer4363 kumbuka ina sheria zke hyo kucheza mbele ya police si kuvunja sheria.
@@vanessalaizer4363 utamaduni wa kuvua nguo hawaoni aibu
Mamawee 🤣🤣😆😆😆😆
Haka kapis kakali.
Polix wa tz wanajiona kama watowa roho mashahara unamfanya amuuwe ata nduguye
Gen Z
Polisi arogwa