MBOSSO ageuka MBOGO baada ya kuchanwa na MBONGO wa CANADA kuwa yeye na RAY VANNY wamewaletea NYODO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ต.ค. 2024
  • Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

ความคิดเห็น • 120

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 3 หลายเดือนก่อน +18

    Huyu elly,huwa ana kazi gani,he looks like a stay home dad,who comes to social media to just say anything right after dropping kids at school or summer camp 😂😅. Mara aongelee mapenzi,mara wasanii ,mara ndugu waliomdharau ilimradi tu.

    • @jesselingard7186
      @jesselingard7186 2 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂 Nimefikiri hilo pia

    • @mylasadick5189
      @mylasadick5189 2 หลายเดือนก่อน

      He’s a pastor

  • @ellykiswaga
    @ellykiswaga 3 หลายเดือนก่อน +19

    Anajiona nani cjui uy mbona analopoka2 et nyimbo mbaya si aimbe yeye izo nyimbo nzuri.. kama ni rahisi pumbavu zake!!...

  • @C7Simulizi
    @C7Simulizi 2 หลายเดือนก่อน +12

    Me nipo Canada 🇨🇦 ila Elly unautafuta ustar kwa hali na mali😅😅😂😂

  • @hopemusictz9353
    @hopemusictz9353 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mbosso yupo sahihi🎉🎉🎉

  • @bahatiolivier1312
    @bahatiolivier1312 2 หลายเดือนก่อน +9

    Rayvanny alikuwa na show TORONTO akazinguwa kupaform July 6th

    • @DERICK_SUB_ZERO18
      @DERICK_SUB_ZERO18 2 หลายเดือนก่อน

      Ikionaivo juwa plomota kazingua kwenye malipo maana msani anapewa pesayake akiwa back stejiy

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 2 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jamaa anazingua sana.....ko wasanii wetu hawajui kitu sio....da nimeumia sana😢😢😢

  • @ritchiexanti9587
    @ritchiexanti9587 3 หลายเดือนก่อน +29

    Kama wamelipwa kwa contract na ilikuwa a professional official issue kwanini aje alalamike social media? Hawa artists wana managers nani kapokea kibunda? This is so petty mchizi ana pigo za kitoto sana🤔 Hawa wasanii ni wakubwa sana hawawezi kufanya ujinga huu under WCB🔥

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 2 หลายเดือนก่อน +3

      Embu kua muelewa bhana Mbosso kishasema hakua na show Toronto sasa unataka tukuamini ww na huyo boya wa Canada??

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kumuelewesha a chizi utajipa kazi , achna nae

    • @ritchiexanti9587
      @ritchiexanti9587 2 หลายเดือนก่อน +1

      @@jaymandy8136 nielewe bruh mi pia nawatetea wakina Mbosso

    • @ISSASHABANI-sw7lx
      @ISSASHABANI-sw7lx 2 หลายเดือนก่อน

      Msanii mkubwa nani

    • @ursulinenyandindi3051
      @ursulinenyandindi3051 2 หลายเดือนก่อน

      Sijui mnaongelea nini lakini watu wa entertainment lazma waje mtandaoni hata kabla ya polisi sababu wao kuongelewa ni faida kwao.. yan hata nyumba ikishika moto kabla ya kjpiga simu emergency , anarekodi kwanza clip ya instastory.

  • @vanessastafford6426
    @vanessastafford6426 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa kweli nyimbo zao ni mbaya, matusi tu. Hakuna ujumbe wa ku last forever. Komo Sava nyimbo nzuri sana

    • @jemaarsen6996
      @jemaarsen6996 2 หลายเดือนก่อน

      Kama unataka ujumbe kasikilize gospel music

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 3 หลายเดือนก่อน +7

    Elly David tangu aishi Canada anatoa ushauri una kela sana

  • @hamismohamed3541
    @hamismohamed3541 2 หลายเดือนก่อน

    Safi sana

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 3 หลายเดือนก่อน +6

    Wah mbosso kumbe sio kidogo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 หลายเดือนก่อน +8

    Mbosso kayatimba huyu jama nae anafurahi sasa kawa star rasmi maana huyu pia ni wale watu wa mitandao mitandao ila apa ni kama katoka rasmi sasa 😂😂😂😂

    • @MasterVoltron-f9w
      @MasterVoltron-f9w 2 หลายเดือนก่อน +1

      anajua kutumia fursa Sasa tumeshamjua kuwa ni mbongo mwenzetu ila anaishi Canada ila ni mlalamikaji wa mitandaoni😂😂😂😂

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@MasterVoltron-f9w🤣🤣

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 2 หลายเดือนก่อน

      @@MasterVoltron-f9w
      Ndio hivyo mwanangu 😂

  • @thadeusmahendeka4466
    @thadeusmahendeka4466 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kazi ipo 😂😂😂

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 3 หลายเดือนก่อน +7

    Sishangai watanzania sisi tuna chukua vyakwetu

  • @JansanMokiwa
    @JansanMokiwa 2 หลายเดือนก่อน +6

    Show za nje huwaga zakitapeli sana

    • @auntiemylee3157
      @auntiemylee3157 2 หลายเดือนก่อน +1

      Nakumbuka giggy money akilala kochini😂😂😂

  • @flavourboyke
    @flavourboyke 2 หลายเดือนก่อน +4

    Kichwa kinaisha nywele,, ila mbosso bana😂😂😂

  • @edwardmakuruti3726
    @edwardmakuruti3726 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi 30 min nipo Vancouver watu hajafurahiya kitendo wamefanya

  • @Stoperfunny
    @Stoperfunny 2 หลายเดือนก่อน +2

    anaongea aonekane nayeye upo canada😂😂 na ndio maana analopoka anayoonatu😂😂

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 หลายเดือนก่อน +3

    Ebuuu kaswaki kwanza uko unatema mate hovyo kama mbwa, kwani kusalimia ni lazima.ww acha ushamba huo ninii makasiriko nyau weee😂😂😂

  • @gang_knock
    @gang_knock 3 หลายเดือนก่อน +5

    Uyu kweli shangazi 😂😂😂

  • @marleshjimmy1972
    @marleshjimmy1972 2 หลายเดือนก่อน

    Sky anavyo fafanua rahaa kbx 😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️

  • @zahararamadhanisalmu395
    @zahararamadhanisalmu395 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂 yaaaani uyo kaka alivyo nalipua alafu anajiongelesha2 kwan kuna m2 alimuomba aende uko kwenye show

  • @issabaraka2404
    @issabaraka2404 2 หลายเดือนก่อน

    Simuoni sawa huyo mjinga kila kitu yuko shenzi😢😢😢😢😂😂😂😂

  • @straightkonect1613
    @straightkonect1613 2 หลายเดือนก่อน

    Ngoja kidogo bro hivi unaelewa maana ya SPECIAL APPEARANCE?msanii alipwe appearance halafu ashike mic?Rudi shule jomba

  • @Selemanian
    @Selemanian 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza mwambieni marekani na canada sio ulaya

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 2 หลายเดือนก่อน

    Asate mbosso

  • @allymwilu8089
    @allymwilu8089 2 หลายเดือนก่อน

    Jamaa kanyooka sana watoto wanavimba sana alafu nothing

  • @AugustinMuswabantu
    @AugustinMuswabantu 2 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye nyimbo mbaya sasa😂😂😂

  • @reaganmethod3309
    @reaganmethod3309 2 หลายเดือนก่อน

    Guest appearances Huwa haimbii alalamike kama kawalipa ili wafanye show

  • @dullydebadest5738
    @dullydebadest5738 2 หลายเดือนก่อน

    Bwana weeeee asitufokeeee🤣🤣

  • @Maishacanada
    @Maishacanada 2 หลายเดือนก่อน

    Mbosso hakuepo

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews 2 หลายเดือนก่อน

    Waambie kuomba yenyewe live hawajui

  • @mohayussuf2057
    @mohayussuf2057 3 หลายเดือนก่อน +7

    Wasanii wa bongo Wana nyondo

  • @emmasonanjawe9042
    @emmasonanjawe9042 2 หลายเดือนก่อน

    Basi huyo jamaa ndo hajaekewa anamakasiliko

  • @mkulimatanzania
    @mkulimatanzania 2 หลายเดือนก่อน

    Uyu Elly ni mjinga mjinga tuu hana kazi maalumu Canada. Elly kuzamia ulaya kusikubweteshe vijana hawa wamekuzidi akili, umaarufu, ela nk kwa iyo acha wivu deal na management yao they are now working professionally sio kama we nasikia uko huna kazi maalumu umesoma njoo bongo tumikia nchi yako acha kuangaika Elly. Wivu unaua kaka

  • @abdulhamidbasha2108
    @abdulhamidbasha2108 3 หลายเดือนก่อน +8

    Jamaa kawapa ukweli

    • @DaudFataki
      @DaudFataki 2 หลายเดือนก่อน +1

      Yah

  • @kshayofurniture2941
    @kshayofurniture2941 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwani Canada ni ulaya 😂😂

    • @neemayatosha1618
      @neemayatosha1618 3 หลายเดือนก่อน +1

      @R1Lifestyle-f6n waswahili abroad wanaita ulaya🤣🤣,sasa lakini ye ni leprofesseri ila bado anaita Canada ulaya .........

  • @mariecruz921
    @mariecruz921 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hyo atoke tz aje Canada afike mpaka eneo la tukio alafu wakatae kuimba?hakuna anaetaka kuharibu jina lake kiasi hcho! "Tafuta pengine pa kutokea bro, kiki waachie wenyewe"✌️

  • @masoudabdoul8447
    @masoudabdoul8447 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ka' senge😂

  • @HoseaBeltha
    @HoseaBeltha 3 หลายเดือนก่อน +3

    Kwan marekani na Canada ni ulaya kweli? Anatuchukuliaje huyo jamaa? Alafu anaapa eti hawatafanya tena show Canada Kama vile nchi ya baba ake.....

  • @ramadhaniwasafi4516
    @ramadhaniwasafi4516 2 หลายเดือนก่อน

    huu ana ropokatu panya mkubwa kwanza yeye asalimiwe kama nani? ndo kutafuta kiki hio sasa

  • @itNeza
    @itNeza 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna Kijana anachuki zake tuu, Kama mkataba Hausemi Nisisemi lolote Kwanini Nivifanye ? 🤔😎

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 3 หลายเดือนก่อน +3

    "Hizo nyodo bakini nazo huko bongo, ndiko watu wanakopapatikiapapatikia watu, sisi huku ulaya tunapapatikia pesa.." 😂😂😂😂😂 Hivi kweli kabisa mpaka leo bado kuna watu wanaamini ukiishi ulaya ni mjanja, hizi akili za kizamani sana, halafu usikute alipambana kishenzi aende ulaya, yaani hapo usikute anajiona amefanikiwa kishenzi😂😂😂😂... PIMBI!

    • @HUZZAMSUZNAKISIMBA
      @HUZZAMSUZNAKISIMBA 2 หลายเดือนก่อน +1

      KICHWA KIKUBWA AKILI NDOGO! Hawa ndo wale watu! Ukiongea kizungu we msomi... NYEUSI CHAFU NYEUPE SAFI....
      tuwaache wata zinduka tu na watajicheka wenyewe

  • @mmassyferguson4959
    @mmassyferguson4959 3 หลายเดือนก่อน +3

    Mbosso ungemjibu kistaarab tuu bila kujal yeye amukuuliza vp kumbuka ww ni msanii ni kioo cha jamii

  • @BenjaminNickson
    @BenjaminNickson 2 หลายเดือนก่อน

    Who this guy

  • @LyonWalker_
    @LyonWalker_ 2 หลายเดือนก่อน

    anajua maana ya special appearance
    limemshuka

  • @MasterVoltron-f9w
    @MasterVoltron-f9w 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu jamaa alitakiwa aseme wasanii lakini amekosea sana kumtaja jina kabisa sasa hicho ndo achokuwa anakitafuta ajibiwe maneno na kashifa
    huyu jamaa anajikuta cake 😂😂😂
    Akajua akimu-attack mbosso, Mbosso atakaa kimya oohoooh😂😂😂😂

  • @ccvprouction
    @ccvprouction 2 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ni ukweli na tabia hizo ndomana mkiandaa show zenu mnakosa watu watu 100 nichangamoto hao mnao wazarau eti ninyi brand ndo wanao wa support mziziki wakiswahili utabaki uko bongo tu sio usa au Canada ndomana wa Nigeria wanawagaragaza wana discipline

    • @MasterVoltron-f9w
      @MasterVoltron-f9w 2 หลายเดือนก่อน

      Duh eleweni kuwa mbosso hakupiga show Toronto huyu jamaa anakurupuka

  • @all4970
    @all4970 2 หลายเดือนก่อน

    Mambo yamebadilika sana, now days wabongo wengi wanaoishi Marekani ndio washamba, waropokaji... 😂😂😂
    Dogo povu limemtoka kisa Mbosso.. 😂

  • @rogersdavis3058
    @rogersdavis3058 2 หลายเดือนก่อน

    Huyi nae tangu awe nje ya nchi mashauzi kibao

  • @oscafrica1
    @oscafrica1 3 หลายเดือนก่อน +3

    $4000 bro hata wewe Elly ungeshika mic bro?..I understand wao kuwa na nyodo za kijinga but bro Buku nne ni ela ya wiki ssa kama unataka starehe unemfuata Vancouver 😂😂😂

  • @constanciomarcos5484
    @constanciomarcos5484 2 หลายเดือนก่อน

    Sky zugumuzia show ya alikiba canada

  • @Zenny89
    @Zenny89 3 หลายเดือนก่อน +3

    Boss kamjibu kunya jamaa Sababu msela anaishi Canada🤣

  • @dvjtwentyfivedecember4398
    @dvjtwentyfivedecember4398 3 หลายเดือนก่อน +5

    Jamaa ana hoja asikilizwe.

  • @LastMsusu
    @LastMsusu 2 หลายเดือนก่อน

    HUJUI MANA SPECIAL APPLIANCES

  • @auntiemylee3157
    @auntiemylee3157 2 หลายเดือนก่อน

    Ni content anatengeza😂

  • @dollabrucy
    @dollabrucy 3 หลายเดือนก่อน +4

    Kwa wasani wa Bongo mtasikia vituko vingi mboso ametapeliwa na pck hataki tu kusema tena wasani wenu waki tanzania wawe ma Professional kwenye show pakiwa itilaf alie anda show ndo huwa anaandika nini imesababisha show isikuwepo sio msani… show inaanda mtanzania na mcongomani ikifeli eti wa naijeria hawatupendi

    • @MasterVoltron-f9w
      @MasterVoltron-f9w 2 หลายเดือนก่อน

      Vitu vingine ni private sio kila kitu mtu aseme kwenye social media.Sasa ataakisema ametapeliwahio pesa haito Rudi ng'o

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 2 หลายเดือนก่อน

      Wcb wapo smart kwenye hizo ishu ayo maoni yako mzeeeee

  • @hadijagere
    @hadijagere 2 หลายเดือนก่อน

    Mwijaku wa ulaya 😂😂😂😂 ndio wale wale roho za korosho

  • @SaraphinaKidoti-qe7gi
    @SaraphinaKidoti-qe7gi 2 หลายเดือนก่อน

    Canada ni ulaya mm nlkuwa sjuw

  • @FrankSanga-z6y
    @FrankSanga-z6y 2 หลายเดือนก่อน

    Weeew akuna mtu naemshamba

  • @davidshaban7375
    @davidshaban7375 3 หลายเดือนก่อน +3

    Huyu jaamaa nili mu unfullow kila mahali sipendi namna yake ya kuzungumza.

    • @shyfettymtunda4619
      @shyfettymtunda4619 2 หลายเดือนก่อน +1

      Wewe ni kama mimi.Sikuwa napenda namna anavyowasilisha hoja zake,ni mjivuni f'lan hivi.Nikamu unfollow kila mahali.🚮

    • @davidshaban7375
      @davidshaban7375 2 หลายเดือนก่อน

      @@shyfettymtunda4619 Aiseee!! I'm glad we share the same thing in life.

  • @aftapat5365
    @aftapat5365 2 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂

  • @ms123ru
    @ms123ru 2 หลายเดือนก่อน

    Kwan marekani ni ulaya 😂😂

  • @Mahene-w1l
    @Mahene-w1l 2 หลายเดือนก่อน

    Ila dola 4000 ni ndogo mno

  • @sarastephano3409
    @sarastephano3409 2 หลายเดือนก่อน

    mbosso hajamuelewa huyu Kaka anacholalamika Ni kutokusalimia mashabiki sio kuperfom

  • @nadiaamisha2958
    @nadiaamisha2958 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa nini watu wengi wa Africa wakifika kwenye hizi nchi za watu wanajiona wamefika 🤣🤣🤣una uhakika uko Canada 🇨🇦 🤣🤣🤣🤣mbona hufanani na Canada 🙄🙄🙄

  • @AminaAbdullah-ws3wy
    @AminaAbdullah-ws3wy 2 หลายเดือนก่อน

    Tuwasamee

  • @pendonoor8869
    @pendonoor8869 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi sipendi jibu la Mbosso. Kawaida wewe ukielewa maana ya PR, ungemwacha tu, sio lazima uwonyeshe makali yako! Kuna wakati silence ina faida au tu umwelezee points zako kuliko kutumia maneno ya kejeli!

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 2 หลายเดือนก่อน

      Yaani azushiwe habari za uongo na kutukanwa kisha akae kimya hivi ww wa wapi?

    • @pendonoor8869
      @pendonoor8869 2 หลายเดือนก่อน

      @@jaymandy8136 simaanishe hivyo. Anaweza mwelezea kwa mafupi bila kudondosha maneno ya hasira. That's my point. If someone goes low, you just go high!

    • @jaymandy8136
      @jaymandy8136 2 หลายเดือนก่อน

      @@pendonoor8869 sio kila mtu atatukanwa kisha akae kimya kwaio Mbosso alifanya pw sana kumjibu huyo boya kwa hasira sana maana next time that bozo Will think twice before attacking Mbosso again on social media

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@jaymandy8136Mbosso ni brand hakutakiwa kujibu hivyo elewa hilo iyo kazi angeiachia management wamshtaki uyo jamaa kwa taarifa za uongo na sio kuanza kuchambana nae

    • @pendonoor8869
      @pendonoor8869 2 หลายเดือนก่อน

      @@jaymandy8136 umemskia Mbosso Sns? Sasa?

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 3 หลายเดือนก่อน +2

    Yani masta wabongo bwana apo mtandaoni kujisifu kwamba wamelipwa pesa nyingi kumbe teni tu

  • @kingoflove9536
    @kingoflove9536 3 หลายเดือนก่อน +1

    😂😂kwani yeye ana juwa kutunga nyimbo 😂😂

  • @erqmusic5973
    @erqmusic5973 3 หลายเดือนก่อน +2

    Sky watu kama hawa usiwaangiazie wanachuki binafsi broooo

  • @Stevekapugi
    @Stevekapugi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mjinga huyo canada ni ulaya yaani hata hajui anaishi.wapi😂😂😂😂😂😂

    • @chesco9241
      @chesco9241 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani Canada Iko bara Gani mjuaji?

    • @magigegeofrey4507
      @magigegeofrey4507 2 หลายเดือนก่อน

      North America

  • @AivanigAjunag-p7i
    @AivanigAjunag-p7i หลายเดือนก่อน

    F

  • @linnerphilip4260
    @linnerphilip4260 2 หลายเดือนก่อน

    Htuyu mkaka atakuwa na hangover wasafi hawabaga mbambamba

  • @DattiKassim
    @DattiKassim 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa kati ya wasanii hao wasanii hao wajinga tu rayvanny wazee kiki

  • @silverman6930
    @silverman6930 2 หลายเดือนก่อน +1

    Talking none sense… go bed … if you don’t have their numba I can give you …:

  • @VictorMwashanula-f9o
    @VictorMwashanula-f9o 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mfagia choo ulaya

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 3 หลายเดือนก่อน +4

    nani ana nyodo sasa? huyu jamaa hata jina simjui ila ana force umaarufu saaana , anaongea shombo saaana kwenye video zake, kuna majamaa wapo Canada tokea uhuru lakini huwasikii wakiongea kwa nyodo, ki ukweli hawa ndugu zetu walikuja dar kwa ajili ya masomo alafu wakapata fursa ya kwenda ulaya wana nyodo saaana, Wabongo wanapenda kufuatana fuatana hadi makalioni , maisha wanayoishi tz hadi wakija huku, hao jamaa ni wasanii wakubwa Tz wape heshima yao

    • @Uchukhan_
      @Uchukhan_ 3 หลายเดือนก่อน

      Ukitoa ushabiki Utamuelewa Nn Anaongea Ila Km unaushabiki Utaelewa

    • @peloabandelwa6927
      @peloabandelwa6927 3 หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe unaishi canada

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Uchukhan_Sasa c ameelezew kuwa Mbosso hakua na show Canada

  • @rahjah5882
    @rahjah5882 3 หลายเดือนก่อน +1

    Basi wewe unapenda matusi kwanini unalipa mjinga wewe?

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona mboso anajibu kama mtoto wa kike vile??? Au ndio bwabwa tenaaaa?? Huyo ni shabiki yako ulipaswa umueleleze tu ki gentle man!! Watanzania tunajua ni van boy ndio alipaswa kuperfom toronto na sababu zake amesha weka wazi kwa nn ilishindikana na amesha eleweka!!

  • @ALCADOJAMES
    @ALCADOJAMES 3 หลายเดือนก่อน +1

    Hili nalo limetokea wap nan kakwambia ulipie mjinga sana