Huyu elly,huwa ana kazi gani,he looks like a stay home dad,who comes to social media to just say anything right after dropping kids at school or summer camp 😂😅. Mara aongelee mapenzi,mara wasanii ,mara ndugu waliomdharau ilimradi tu.
Kama wamelipwa kwa contract na ilikuwa a professional official issue kwanini aje alalamike social media? Hawa artists wana managers nani kapokea kibunda? This is so petty mchizi ana pigo za kitoto sana🤔 Hawa wasanii ni wakubwa sana hawawezi kufanya ujinga huu under WCB🔥
Sijui mnaongelea nini lakini watu wa entertainment lazma waje mtandaoni hata kabla ya polisi sababu wao kuongelewa ni faida kwao.. yan hata nyumba ikishika moto kabla ya kjpiga simu emergency , anarekodi kwanza clip ya instastory.
Uyu Elly ni mjinga mjinga tuu hana kazi maalumu Canada. Elly kuzamia ulaya kusikubweteshe vijana hawa wamekuzidi akili, umaarufu, ela nk kwa iyo acha wivu deal na management yao they are now working professionally sio kama we nasikia uko huna kazi maalumu umesoma njoo bongo tumikia nchi yako acha kuangaika Elly. Wivu unaua kaka
Kwa hyo atoke tz aje Canada afike mpaka eneo la tukio alafu wakatae kuimba?hakuna anaetaka kuharibu jina lake kiasi hcho! "Tafuta pengine pa kutokea bro, kiki waachie wenyewe"✌️
"Hizo nyodo bakini nazo huko bongo, ndiko watu wanakopapatikiapapatikia watu, sisi huku ulaya tunapapatikia pesa.." 😂😂😂😂😂 Hivi kweli kabisa mpaka leo bado kuna watu wanaamini ukiishi ulaya ni mjanja, hizi akili za kizamani sana, halafu usikute alipambana kishenzi aende ulaya, yaani hapo usikute anajiona amefanikiwa kishenzi😂😂😂😂... PIMBI!
KICHWA KIKUBWA AKILI NDOGO! Hawa ndo wale watu! Ukiongea kizungu we msomi... NYEUSI CHAFU NYEUPE SAFI.... tuwaache wata zinduka tu na watajicheka wenyewe
Huyu jamaa alitakiwa aseme wasanii lakini amekosea sana kumtaja jina kabisa sasa hicho ndo achokuwa anakitafuta ajibiwe maneno na kashifa huyu jamaa anajikuta cake 😂😂😂 Akajua akimu-attack mbosso, Mbosso atakaa kimya oohoooh😂😂😂😂
Huo ni ukweli na tabia hizo ndomana mkiandaa show zenu mnakosa watu watu 100 nichangamoto hao mnao wazarau eti ninyi brand ndo wanao wa support mziziki wakiswahili utabaki uko bongo tu sio usa au Canada ndomana wa Nigeria wanawagaragaza wana discipline
$4000 bro hata wewe Elly ungeshika mic bro?..I understand wao kuwa na nyodo za kijinga but bro Buku nne ni ela ya wiki ssa kama unataka starehe unemfuata Vancouver 😂😂😂
Kwa wasani wa Bongo mtasikia vituko vingi mboso ametapeliwa na pck hataki tu kusema tena wasani wenu waki tanzania wawe ma Professional kwenye show pakiwa itilaf alie anda show ndo huwa anaandika nini imesababisha show isikuwepo sio msani… show inaanda mtanzania na mcongomani ikifeli eti wa naijeria hawatupendi
Mimi sipendi jibu la Mbosso. Kawaida wewe ukielewa maana ya PR, ungemwacha tu, sio lazima uwonyeshe makali yako! Kuna wakati silence ina faida au tu umwelezee points zako kuliko kutumia maneno ya kejeli!
@@pendonoor8869 sio kila mtu atatukanwa kisha akae kimya kwaio Mbosso alifanya pw sana kumjibu huyo boya kwa hasira sana maana next time that bozo Will think twice before attacking Mbosso again on social media
@@jaymandy8136Mbosso ni brand hakutakiwa kujibu hivyo elewa hilo iyo kazi angeiachia management wamshtaki uyo jamaa kwa taarifa za uongo na sio kuanza kuchambana nae
nani ana nyodo sasa? huyu jamaa hata jina simjui ila ana force umaarufu saaana , anaongea shombo saaana kwenye video zake, kuna majamaa wapo Canada tokea uhuru lakini huwasikii wakiongea kwa nyodo, ki ukweli hawa ndugu zetu walikuja dar kwa ajili ya masomo alafu wakapata fursa ya kwenda ulaya wana nyodo saaana, Wabongo wanapenda kufuatana fuatana hadi makalioni , maisha wanayoishi tz hadi wakija huku, hao jamaa ni wasanii wakubwa Tz wape heshima yao
Mbona mboso anajibu kama mtoto wa kike vile??? Au ndio bwabwa tenaaaa?? Huyo ni shabiki yako ulipaswa umueleleze tu ki gentle man!! Watanzania tunajua ni van boy ndio alipaswa kuperfom toronto na sababu zake amesha weka wazi kwa nn ilishindikana na amesha eleweka!!
Huyu elly,huwa ana kazi gani,he looks like a stay home dad,who comes to social media to just say anything right after dropping kids at school or summer camp 😂😅. Mara aongelee mapenzi,mara wasanii ,mara ndugu waliomdharau ilimradi tu.
😂😂😂 Nimefikiri hilo pia
He’s a pastor
Anajiona nani cjui uy mbona analopoka2 et nyimbo mbaya si aimbe yeye izo nyimbo nzuri.. kama ni rahisi pumbavu zake!!...
Me nipo Canada 🇨🇦 ila Elly unautafuta ustar kwa hali na mali😅😅😂😂
Mbosso yupo sahihi🎉🎉🎉
Rayvanny alikuwa na show TORONTO akazinguwa kupaform July 6th
Ikionaivo juwa plomota kazingua kwenye malipo maana msani anapewa pesayake akiwa back stejiy
Huyu jamaa anazingua sana.....ko wasanii wetu hawajui kitu sio....da nimeumia sana😢😢😢
Hawajui😂
Kama wamelipwa kwa contract na ilikuwa a professional official issue kwanini aje alalamike social media? Hawa artists wana managers nani kapokea kibunda? This is so petty mchizi ana pigo za kitoto sana🤔 Hawa wasanii ni wakubwa sana hawawezi kufanya ujinga huu under WCB🔥
Embu kua muelewa bhana Mbosso kishasema hakua na show Toronto sasa unataka tukuamini ww na huyo boya wa Canada??
Kumuelewesha a chizi utajipa kazi , achna nae
@@jaymandy8136 nielewe bruh mi pia nawatetea wakina Mbosso
Msanii mkubwa nani
Sijui mnaongelea nini lakini watu wa entertainment lazma waje mtandaoni hata kabla ya polisi sababu wao kuongelewa ni faida kwao.. yan hata nyumba ikishika moto kabla ya kjpiga simu emergency , anarekodi kwanza clip ya instastory.
Kwa kweli nyimbo zao ni mbaya, matusi tu. Hakuna ujumbe wa ku last forever. Komo Sava nyimbo nzuri sana
Kama unataka ujumbe kasikilize gospel music
Elly David tangu aishi Canada anatoa ushauri una kela sana
Safi sana
Wah mbosso kumbe sio kidogo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbosso kayatimba huyu jama nae anafurahi sasa kawa star rasmi maana huyu pia ni wale watu wa mitandao mitandao ila apa ni kama katoka rasmi sasa 😂😂😂😂
anajua kutumia fursa Sasa tumeshamjua kuwa ni mbongo mwenzetu ila anaishi Canada ila ni mlalamikaji wa mitandaoni😂😂😂😂
@@MasterVoltron-f9w🤣🤣
@@MasterVoltron-f9w
Ndio hivyo mwanangu 😂
Kazi ipo 😂😂😂
Sishangai watanzania sisi tuna chukua vyakwetu
Show za nje huwaga zakitapeli sana
Nakumbuka giggy money akilala kochini😂😂😂
Kichwa kinaisha nywele,, ila mbosso bana😂😂😂
😂😂
Mimi 30 min nipo Vancouver watu hajafurahiya kitendo wamefanya
anaongea aonekane nayeye upo canada😂😂 na ndio maana analopoka anayoonatu😂😂
Ebuuu kaswaki kwanza uko unatema mate hovyo kama mbwa, kwani kusalimia ni lazima.ww acha ushamba huo ninii makasiriko nyau weee😂😂😂
Uyu kweli shangazi 😂😂😂
Sky anavyo fafanua rahaa kbx 😅😅😅😅🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌❤️
😂😂 yaaaani uyo kaka alivyo nalipua alafu anajiongelesha2 kwan kuna m2 alimuomba aende uko kwenye show
Simuoni sawa huyo mjinga kila kitu yuko shenzi😢😢😢😢😂😂😂😂
Ngoja kidogo bro hivi unaelewa maana ya SPECIAL APPEARANCE?msanii alipwe appearance halafu ashike mic?Rudi shule jomba
Kwanza mwambieni marekani na canada sio ulaya
Asate mbosso
Jamaa kanyooka sana watoto wanavimba sana alafu nothing
Hapo kwenye nyimbo mbaya sasa😂😂😂
Guest appearances Huwa haimbii alalamike kama kawalipa ili wafanye show
Bwana weeeee asitufokeeee🤣🤣
Mbosso hakuepo
Waambie kuomba yenyewe live hawajui
Wasanii wa bongo Wana nyondo
Basi huyo jamaa ndo hajaekewa anamakasiliko
Uyu Elly ni mjinga mjinga tuu hana kazi maalumu Canada. Elly kuzamia ulaya kusikubweteshe vijana hawa wamekuzidi akili, umaarufu, ela nk kwa iyo acha wivu deal na management yao they are now working professionally sio kama we nasikia uko huna kazi maalumu umesoma njoo bongo tumikia nchi yako acha kuangaika Elly. Wivu unaua kaka
Jamaa kawapa ukweli
Yah
Kwani Canada ni ulaya 😂😂
@R1Lifestyle-f6n waswahili abroad wanaita ulaya🤣🤣,sasa lakini ye ni leprofesseri ila bado anaita Canada ulaya .........
Kwa hyo atoke tz aje Canada afike mpaka eneo la tukio alafu wakatae kuimba?hakuna anaetaka kuharibu jina lake kiasi hcho! "Tafuta pengine pa kutokea bro, kiki waachie wenyewe"✌️
Ka' senge😂
Kwan marekani na Canada ni ulaya kweli? Anatuchukuliaje huyo jamaa? Alafu anaapa eti hawatafanya tena show Canada Kama vile nchi ya baba ake.....
huu ana ropokatu panya mkubwa kwanza yeye asalimiwe kama nani? ndo kutafuta kiki hio sasa
Hamna Kijana anachuki zake tuu, Kama mkataba Hausemi Nisisemi lolote Kwanini Nivifanye ? 🤔😎
"Hizo nyodo bakini nazo huko bongo, ndiko watu wanakopapatikiapapatikia watu, sisi huku ulaya tunapapatikia pesa.." 😂😂😂😂😂 Hivi kweli kabisa mpaka leo bado kuna watu wanaamini ukiishi ulaya ni mjanja, hizi akili za kizamani sana, halafu usikute alipambana kishenzi aende ulaya, yaani hapo usikute anajiona amefanikiwa kishenzi😂😂😂😂... PIMBI!
KICHWA KIKUBWA AKILI NDOGO! Hawa ndo wale watu! Ukiongea kizungu we msomi... NYEUSI CHAFU NYEUPE SAFI....
tuwaache wata zinduka tu na watajicheka wenyewe
Mbosso ungemjibu kistaarab tuu bila kujal yeye amukuuliza vp kumbuka ww ni msanii ni kioo cha jamii
Who this guy
anajua maana ya special appearance
limemshuka
Huyu jamaa alitakiwa aseme wasanii lakini amekosea sana kumtaja jina kabisa sasa hicho ndo achokuwa anakitafuta ajibiwe maneno na kashifa
huyu jamaa anajikuta cake 😂😂😂
Akajua akimu-attack mbosso, Mbosso atakaa kimya oohoooh😂😂😂😂
Huo ni ukweli na tabia hizo ndomana mkiandaa show zenu mnakosa watu watu 100 nichangamoto hao mnao wazarau eti ninyi brand ndo wanao wa support mziziki wakiswahili utabaki uko bongo tu sio usa au Canada ndomana wa Nigeria wanawagaragaza wana discipline
Duh eleweni kuwa mbosso hakupiga show Toronto huyu jamaa anakurupuka
Mambo yamebadilika sana, now days wabongo wengi wanaoishi Marekani ndio washamba, waropokaji... 😂😂😂
Dogo povu limemtoka kisa Mbosso.. 😂
Huyi nae tangu awe nje ya nchi mashauzi kibao
$4000 bro hata wewe Elly ungeshika mic bro?..I understand wao kuwa na nyodo za kijinga but bro Buku nne ni ela ya wiki ssa kama unataka starehe unemfuata Vancouver 😂😂😂
Sky zugumuzia show ya alikiba canada
Boss kamjibu kunya jamaa Sababu msela anaishi Canada🤣
Jamaa ana hoja asikilizwe.
HUJUI MANA SPECIAL APPLIANCES
Ni content anatengeza😂
Kwa wasani wa Bongo mtasikia vituko vingi mboso ametapeliwa na pck hataki tu kusema tena wasani wenu waki tanzania wawe ma Professional kwenye show pakiwa itilaf alie anda show ndo huwa anaandika nini imesababisha show isikuwepo sio msani… show inaanda mtanzania na mcongomani ikifeli eti wa naijeria hawatupendi
Vitu vingine ni private sio kila kitu mtu aseme kwenye social media.Sasa ataakisema ametapeliwahio pesa haito Rudi ng'o
Wcb wapo smart kwenye hizo ishu ayo maoni yako mzeeeee
Mwijaku wa ulaya 😂😂😂😂 ndio wale wale roho za korosho
Canada ni ulaya mm nlkuwa sjuw
Weeew akuna mtu naemshamba
Huyu jaamaa nili mu unfullow kila mahali sipendi namna yake ya kuzungumza.
Wewe ni kama mimi.Sikuwa napenda namna anavyowasilisha hoja zake,ni mjivuni f'lan hivi.Nikamu unfollow kila mahali.🚮
@@shyfettymtunda4619 Aiseee!! I'm glad we share the same thing in life.
😂😂😂😂
Kwan marekani ni ulaya 😂😂
Ila dola 4000 ni ndogo mno
mbosso hajamuelewa huyu Kaka anacholalamika Ni kutokusalimia mashabiki sio kuperfom
Hivi kwa nini watu wengi wa Africa wakifika kwenye hizi nchi za watu wanajiona wamefika 🤣🤣🤣una uhakika uko Canada 🇨🇦 🤣🤣🤣🤣mbona hufanani na Canada 🙄🙄🙄
Tuwasamee
Mimi sipendi jibu la Mbosso. Kawaida wewe ukielewa maana ya PR, ungemwacha tu, sio lazima uwonyeshe makali yako! Kuna wakati silence ina faida au tu umwelezee points zako kuliko kutumia maneno ya kejeli!
Yaani azushiwe habari za uongo na kutukanwa kisha akae kimya hivi ww wa wapi?
@@jaymandy8136 simaanishe hivyo. Anaweza mwelezea kwa mafupi bila kudondosha maneno ya hasira. That's my point. If someone goes low, you just go high!
@@pendonoor8869 sio kila mtu atatukanwa kisha akae kimya kwaio Mbosso alifanya pw sana kumjibu huyo boya kwa hasira sana maana next time that bozo Will think twice before attacking Mbosso again on social media
@@jaymandy8136Mbosso ni brand hakutakiwa kujibu hivyo elewa hilo iyo kazi angeiachia management wamshtaki uyo jamaa kwa taarifa za uongo na sio kuanza kuchambana nae
@@jaymandy8136 umemskia Mbosso Sns? Sasa?
Yani masta wabongo bwana apo mtandaoni kujisifu kwamba wamelipwa pesa nyingi kumbe teni tu
😂😂😂
😂😂kwani yeye ana juwa kutunga nyimbo 😂😂
Sky watu kama hawa usiwaangiazie wanachuki binafsi broooo
Mjinga huyo canada ni ulaya yaani hata hajui anaishi.wapi😂😂😂😂😂😂
Kwani Canada Iko bara Gani mjuaji?
North America
F
Htuyu mkaka atakuwa na hangover wasafi hawabaga mbambamba
Sasa kati ya wasanii hao wasanii hao wajinga tu rayvanny wazee kiki
Talking none sense… go bed … if you don’t have their numba I can give you …:
Mfagia choo ulaya
nani ana nyodo sasa? huyu jamaa hata jina simjui ila ana force umaarufu saaana , anaongea shombo saaana kwenye video zake, kuna majamaa wapo Canada tokea uhuru lakini huwasikii wakiongea kwa nyodo, ki ukweli hawa ndugu zetu walikuja dar kwa ajili ya masomo alafu wakapata fursa ya kwenda ulaya wana nyodo saaana, Wabongo wanapenda kufuatana fuatana hadi makalioni , maisha wanayoishi tz hadi wakija huku, hao jamaa ni wasanii wakubwa Tz wape heshima yao
Ukitoa ushabiki Utamuelewa Nn Anaongea Ila Km unaushabiki Utaelewa
Kwani wewe unaishi canada
@@Uchukhan_Sasa c ameelezew kuwa Mbosso hakua na show Canada
Basi wewe unapenda matusi kwanini unalipa mjinga wewe?
Mbona mboso anajibu kama mtoto wa kike vile??? Au ndio bwabwa tenaaaa?? Huyo ni shabiki yako ulipaswa umueleleze tu ki gentle man!! Watanzania tunajua ni van boy ndio alipaswa kuperfom toronto na sababu zake amesha weka wazi kwa nn ilishindikana na amesha eleweka!!
Hili nalo limetokea wap nan kakwambia ulipie mjinga sana