Kazi nzuri nmeikubal salute sana Mr sumu na kontawa Mzee wa champion sema nini heshima nyingi ziende kwa Direct Billy lenz kaz yako nmeiona usiihie endelea kupambana sana mshikaji...
The message is delivered... Nahsangaa kwa Nini mama hashtuki...mzee Makmb,jmk...wanaarib nchi in shadows. ...Kuna mda nataman nipate bolm afu nimpoteze yaan ni maumivu...Mkopo nastahili sababu natokea familia duni...lkn watoto w matajir ndo wanawekew 100%, si hapo tu..deni lao kwa taifa saa hii 91 trillion, afu wanasema ni deni la taifa ...mi sielew...vx wanatembelea tena sauti ya mnyonge haisikilizwi...ni hofu zimetawala juu ya kesho yangu..maana mi ni kijana 24 yrs, najua naweza kupotezwa ila ...viongoz funguka bas....kifo kipo tu, behew mnaleta mtumba kama vile mnavaa mtumba yaan , si kwa mabaya ila kumbuka Allah yupo, tulitoka mavumbin na mavumbin tutarudi
mm sio mpenzi wa hiphop, daah mi naanza kuipnda hip hop leo sio tena mwakaniiiiiiii, kiufupi kwny hii ngoma kila mstar una neno moja au zaid kanye ujumbe mzito unaokisi maisha halisi ya hapa tanzania, hawa vijana wajengewe sanamu zao pale nyerere square, serikali iwanyanyue kimanagement nasio kuwaza kuzifungia ngoma kama hii, ubora wa hii ngoma nisawa na ile ya ALIKUFA KWA NGOMA, ya FA na ile ya STAREHE ya FEROUZ, ifike wakat tuachane na ngoma nitongoze kama unanitaka maana zinawaharibu vijana, ila daaah kontawa pambana sana mwakani nakuona unapiga kolabo na JAY Z.
Brother hongera sana nyimbo nzr na video Kali. But Kuna kitu kimemiss bro. Ili kupata utamu wa video Kuna vitu ungeongeza kdg. Kwanza pale unaangalia kwenye darubini mara ya kwanza kabisa ilibid utulie kdg kias kwamba Kuna vitu umeona. Pili. Kuna scene ilibid uzitumie hasa view ya kwenye darubini paonekane kipi unakiona hata mara moja. Mfano inaweza kuonekana sub Crip za video za harmonize akiwa na kajala anamhonga hyo gar uliyoisema. Au video za tanesco wakiwa na mishumaa. Tatu. Hakuna sehemu ambayo umechana mistari ukiwa unaangalia kwenye darubini inaleta view nzr na tofut. Yan macho yanakuwa bizy kwenye darubini huku mdomo ukiendelea kutoa maneno Nne. Huyo kontawa alivyochana amekosa utulivu kwenye darubini sehemu aliyopatia ni pale tu lIposema darubini inaona hata peponi. Bro jitahid video izungumze yenyewe hata kama mtu akizima sauti video unaielewa.
Ndio mwaka tunaumaliza Ivi..Kheri ya mwaka 2024 wanangu,ila kweli kuna watu kibao mwaka wameshindwa kuumaliza,ukiwa mzee gonga like tukimshukuru Mungu
"Mwamba amehonga Kila kitu ila amebaki na kikohozi" Aliye iskia gonga like hapo🤟🤟🤟🤟
😁😁
Konde...😁
Safi sana good idea
😁😁😂😂😂😂😂. Nimesikia hapo
Kuna Connection nyingi
Wanangu wa TOX tujuane kwa like jaman 🔥🔥🔥🔥
💯
📞
Respect Sana
Huyu namkubal kitambo sana
Huy mxenge nlikuwa cmjui lkn kumbe mnyama🔥🔥🔥
Ewaaa nimewai nipen like zangu twende sawa
Kuna watu mwakani siwaoni🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Konga like twenzetu
Daaah aise bongelachupa mwishon limetak kuniliz daah acha tuangalie mwakan itakuwaje
Hahahahaa Wale waliokua wanatembea na umeme alafu home Wakakosa LUKU ndio hao mwakani HATUWAONI daaah 😥😥
#Harmonize njoo umskilize champion mwenzio huku anavokuona mwakani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Vichwa vibovuu....toxiiiikiiiii@254 tunakubali
Mad combination..Kontawa is at the peak of his career.. much love and blessings from KENYA 🔥💯🙏❤️
Kazi nzuri nmeikubal salute sana Mr sumu na kontawa Mzee wa champion sema nini heshima nyingi ziende kwa Direct Billy lenz kaz yako nmeiona usiihie endelea kupambana sana mshikaji...
@@deogratiusjohn1871 uko sahihi kabisa kaka
Like zang kwa waliomuelewa KONTAWAA
Oyaaaa weeeeeee.......nyie wajomba mnaona far kichizi
Cause mi mwenyewe kuna wana siwaoni mwakani.....🎤💪💥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Hii ngoma imetiii sana🔥🔥moja kali tutaonana mwakani, nipateni Kenya🇰🇪🌴👌
Huu wimbo unatakiwa uwe katika top 10 trending tukutane mwakani one love kwa Toxic
The finishing part of Kontawa is so Touching
saaana wallah Kuna watu mwakani siwaoni😭😭😭😭
Kabisaaa
Ebwana kwa uwezo wa Mwenyenzi Mungu mwenyewe akipenda tutaonana mwakani...
Dah" kuna watu siwaoni mwakani" 🥺, so touching 2023 imetisha mapema sana. Well done Toxic&Kontawa👏👏❤️❤️
kuna watu mwakani siwaoni....my best line😢😢
wanaomwelewa kontawa tujuane kwa like
The message is delivered...
Nahsangaa kwa Nini mama hashtuki...mzee Makmb,jmk...wanaarib nchi in shadows. ...Kuna mda nataman nipate bolm afu nimpoteze yaan ni maumivu...Mkopo nastahili sababu natokea familia duni...lkn watoto w matajir ndo wanawekew 100%, si hapo tu..deni lao kwa taifa saa hii 91 trillion, afu wanasema ni deni la taifa ...mi sielew...vx wanatembelea tena sauti ya mnyonge haisikilizwi...ni hofu zimetawala juu ya kesho yangu..maana mi ni kijana 24 yrs, najua naweza kupotezwa ila ...viongoz funguka bas....kifo kipo tu, behew mnaleta mtumba kama vile mnavaa mtumba yaan , si kwa mabaya ila kumbuka Allah yupo, tulitoka mavumbin na mavumbin tutarudi
Daaaaaa hilo verse la mwisho kontawa ameua aise🎉🎉🎉🎉🎉 et mwakani kuna watu siwaoni duuuuu😢😢
Kama Unakubali #Toxic Ndo Mbadala wa Stamina Nipe Like Zake Hapa #Mwakani
Broo una ticha sana tuko pamoja broo ❤❤❤❤❤❤
😔Kuna watu mwakani siwaoni😔 hii nzito sana
Kontawa kaimba kidogo ilq kauwa kinoma salute tawa minachekaga sijaisikia kaka
This masterpiece deserves more than 100 millions views 🔥
Noma sana moto sana ...hope ungemix iwe sheng ... kiswahili & english... From Kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪likes wadau.
Hili ndio lile tuliokua tunasubiria sasa lime come big up brothers 💪 gang... Toxic ft Tawa..
Balaaaaa Zito buku mb10 🔝🔝🔝🔝
Oyah wanangu mwakan mbn Kama panatisha😂😂,,,,,,,toxic fuvu umetisha bro🔥🔥
Good guy... good video.. good music....upo sawa mbaba pa1
New trending hit song TOXIC & KONTAWA balaa zito hii ngoma mazee
bonge la pisi kali..nmeipenda sana toka kenya.
Wa kwanza nipewe like
Kbx nakubali kontawa anaona kwl😂😂😂😂 jeshi kaonga mila kitu kabaki na kikohozi
Toxic Sumu, hujawahi kutuangusha bro, great Rapper✊✊🔥🔥💥💥
Mwana kahonga kila kitu kabaki na kikohoziiiiiiiiiiiiiiiiiiii 💯👊💯👊💯
Two Big brains in 1 track🤝🏼🍯
CHRIXBURNA is here for you African middlechild
@@joshuachristopher2356 Brodaaah
Nakukubali xana jamaa yng pga kazi tuko pamoja xana
Oyaaa hii ngoma iende billboard kmmk🔥🔥🔥🙌🏿🙌🏿🙌🏿hao jamaa watengenezewe sanam aisee✌🏿❤
Kontowa na Toxic hiyo ni kazi mzuri bro endelea bro
Tatizoo ndo ilii apaaa ni kubwaa palee wanapokutana vijanaa majinii wanaojuaaa kama majinii ✊✊✊✊✊🙌🙌🙌
Ngoma moja creative sana kaka Toxic✊🏾, wakati umefika Uchukue nafasi yako kati ya Marap bora Tanzania
mm sio mpenzi wa hiphop, daah mi naanza kuipnda hip hop leo sio tena mwakaniiiiiiii, kiufupi kwny hii ngoma kila mstar una neno moja au zaid kanye ujumbe mzito unaokisi maisha halisi ya hapa tanzania, hawa vijana wajengewe sanamu zao pale nyerere square, serikali iwanyanyue kimanagement nasio kuwaza kuzifungia ngoma kama hii, ubora wa hii ngoma nisawa na ile ya ALIKUFA KWA NGOMA, ya FA na ile ya STAREHE ya FEROUZ, ifike wakat tuachane na ngoma nitongoze kama unanitaka maana zinawaharibu vijana, ila daaah kontawa pambana sana mwakani nakuona unapiga kolabo na JAY Z.
Dah hii ngoma iko pow sana ipo vyema asee nimeisikiliza zaid ya mala 3 🙌🔥🔥
😢😢😢Naona mwakani kuna watu siwaoni😢. Dah umagusia sana hako ka vesii🤜💥🤛
Sema kk toxic unajua bn ila iii ngoma ili ishaa apa apa
Hata tukiitoa beat .... Huu mzigo ni 🔥🔥🔥🔥
Daaaah tawaaaa kuna watu siwaoni mwakani 😆😆😆😆😀
Hizi ndio nyimbo, na hawa ndio mifano bora ya wasanii.
Tuanze na tukio la manara💥💥💥#mwakani.
Uyu ndo TOXIC ninae mjua mimi: muandishi mzuri, ana flow zakikubwa alafu bado uyu jamaa ninoma sana
"Daah kuna watu mwakani siwaoni" huu mstari unamaana kubwa sana...km umeuelewa weka like 👍
You never disappoint Tawa na Toxic☠️🔥more love from 25flow🇰🇪tuonane mwakani
Super creativity and splendid 🥰
Sema mshag #tox kuna kitu Amekisoma sana kwa roma uyu chalii dah nima big up tox # Kama kontawa #ndani ya nyimbo akili tu viva roma
Unyama sana hi ngoma💪🏻
Yeah twagize bear konyagi au mbegi ila mapenzi tuyaacheni
Toxic verse whoooop , " naona ad tanesco wamewasha mishumaa 😁" toxic killed this
Wew ni kontawa uyo kaka (I respect TOXIC but I think Kontawa killed in this track )
Namuona meneja wa dawasco asubuhi haogi Bali ananawa... 🔥🔥🔥
Mwakani tuisambze link tufike 1m views kwa mwezi mmoja
Kaka Toxic, Hii Ngoma Ni Kali Sana 🔥..... Nakubalii Sana Kazi Zako Keep Going On Ipo siku Wataamini Kwa Unachofanya Bro 🙏
Mmetisha wanetu
Hata Mwana aliyeahidi atakuoa kaweka ringtone ya Mwana FA... BADO NIPO NIPO KWANZA
Mwamba anajua Yan hizi nyimbo huwa anatisha sana🔥🔥🔥🔥
Dha! Si poaaa wanna mmetisha good idea👏👏👏👏👏👏👏
Best hip pop collaboration 🔥🔥🔥
Ngoma kaliiiii🙌🙌🙌#mwakani
Brother hongera sana nyimbo nzr na video Kali.
But Kuna kitu kimemiss bro. Ili kupata utamu wa video Kuna vitu ungeongeza kdg.
Kwanza pale unaangalia kwenye darubini mara ya kwanza kabisa ilibid utulie kdg kias kwamba Kuna vitu umeona.
Pili. Kuna scene ilibid uzitumie hasa view ya kwenye darubini paonekane kipi unakiona hata mara moja. Mfano inaweza kuonekana sub Crip za video za harmonize akiwa na kajala anamhonga hyo gar uliyoisema. Au video za tanesco wakiwa na mishumaa.
Tatu. Hakuna sehemu ambayo umechana mistari ukiwa unaangalia kwenye darubini inaleta view nzr na tofut. Yan macho yanakuwa bizy kwenye darubini huku mdomo ukiendelea kutoa maneno
Nne. Huyo kontawa alivyochana amekosa utulivu kwenye darubini sehemu aliyopatia ni pale tu lIposema darubini inaona hata peponi.
Bro jitahid video izungumze yenyewe hata kama mtu akizima sauti video unaielewa.
Upo sahihi wafanyie kaz
Ngoma kali sana wanangu, mikazo iendelee..!!
kontawa mg geee namkubali leo kesho huyu jamaa
Duuuh msg Kali Sanaa, mmegusa sehemu nyingi 🔥🔥🔥🔥🔥
Nimependa kila kitu mwakani big up
Dah kunawatu mwakani hawaonekani mungu nipe nafasi yakuwepo mpka mwakani🙏🙏🙏
Its nice before even listening😍😍😍😍
Ukweli kuhusu mwakani....."babe wako ana kibendi cha just a friend 🙌🏽
Hatimaye mmekutana nilikua naisubir sana hii collaboration. Ni hatariii8iiiiiiiiiii ❤️🖖🟫
Kila kitu ni muda tuu tazam mbele Big up mabro ambae mlifanya kaz imeenda 😎🌟
Wimbo wangu bora wa mwaka 🔥
Daaaaaah 🙌🙌nomaaaa
Mwakani never disappoint my G 💥💥
Toxic fuvu one of the best upcoming artist
Combination hatarii Hiii...💥💥🔥🔥🔥. Mob love from 🇰🇪
Toxic fuvu na kontawa nawakubali nkiwa 254💪💪
Guys you kill it!!!!! This is the best song to close the year👌👌👌👌👌👌👌👌
Inaeleweka mwanangu tawa🔥🔥
Hujawahi kuniangusha kaka ang
Big Up 😇🥰
This Is Good Vibes 🔥🔥
I love this Song ❤
Ngoma kali ya kufunga mwaka.
MasterPIECE COLLABORATION
Ngoma ni ya mwaka mpaka mwakani vichwa vya moto kwenye ngoma moja
Good job guyz 🔥🔥🔥🔥 ngoma Kali sana. ❤️🇲🇿
Roma ft stamina wapya🔥🔥🔥🔥
Tox is the best artist in the world
Mabro mnajua mpaka mnakera hili bonge moja la track litauza sana
When two insane meet💥🔥
😂😂😂 Kaweka ringtone ya #MwanaFA bado niko niko kwnz
Toxic X tawa wote n wakali sanaaaa hawa jamaa👏👏👏👏👏👏
The song is touching..its hot 🥵 from Kenya wap like
Another banger 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
KIZAZI CHENYE TALENT NZITO....
you guys is untouchable much love
Nasemaje mwanangu Toxic na Kontawa mmeshatisha
Never disappointed 🤴 of rapper
😂😂ety Hadi ukiendaa kutoaa mimba unakatwaa tozo🖐🏾💥
TOXIC IS DANGER 🔥