The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 22 ก.พ. 2022
- The Story Book: Watu 15 wa Ajabu Zaidi Duniani
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
SubhanAllah Yarab tupe mwisho mwema...km umeguswa na hii story gonga like tuende sawa
Tunaomkubali Professor Jamal Tujuane Kwa Likes Hapa👍🏿
Dunia Ina majabu🤔🇰🇪🇰🇪
Asante Sana kwataharifa nzuri😅
Mambovipi
LUIZNHO❤😮
Dah.. The Story book kali sana.. Ubarikiwe kwa kutuletea hizi mambo... Tunajifunza mengi broo... Respect to you... Hakika usichoke kutupa madini haya... Endeleza nitapoteza Mb zang kufatilia... Na hakika sitojutia... #Jamal April.. Big Salute
Hawa wapuuzi watakuja kujielezea kesho mbele za Mungu kwamba ni kwann waliamua kujibadilisha baadhi ua maumbile yao...sijapenda huu ujinga wao
Kwani wakati wakifanya hayo Mungu hakua anaona??
@@BigZhumbe Mungu anawaona ila anawaacha huenda wakatambua makosa yao kisha wakamrudia mungu
@@binhussain3445 na aitokuja kutokea wakajitambuwa hata siku1, wenyewe wanajiona wapo sahihi sana na wala awajutii Never
@@neemazee1864 Mbona mimi nipo cool halafu naelekezeka believe it
@@binhussain3445 hata me nipo cool
Na Mungu atawafufua hivyo hivyo na kuwakana kwamba yy hajaumba binaadamu wa aina hyo
mashallah may god bless you and give you many more lives here on earth
Professor must get an award for his sweet stories
We jamaa nakukubali sana unavosimulia unakipaji mnoo
Mungu akupe hitaji la moyo wako uzae mwanadamu wa adabu kama ilivyo matamanio yako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙆♀️
subhanallah yarabi😢 tunusuru🙏
Subhanna'Allah anatisha mwenyezi mungu atupe mwisho mwema🙏
Mungu akupe maisha malefu professor uzidi kutupa mambo ya Guinness book
Wangap Tunaoenjoy sn hich kipindi gonga like twende sawa
Hi Professor Jamal Napenda hii simulizi endelea kutupa mengi support 100% from Kenya Mombasa.
Subhannallah...daah kwel Mung anatuvumilia sana
Mungu akupe maisha marefu duniani
Duh hii dunia hii, ina watu wa hovyo sana
😁😁😁😁
Subba an Allah oooh mungu wangu mwenyezi mungu azidi kitu rehemu
mekuwa wakwanza leo big up bro hukoseagi💪💪
Kaka unaweza sana 😭😭😭 I'm watching from 🇲🇿
Nina maswali mengi Sana juu ya simulizi hii ya leo nilitaka I hata nipate wasaa wa kumuuliza maswali professor 😔
Subhanallah Mungu atuepushi ss na vizazi vetu
Mungu hawezi kumsaidia mtu aliejitakia jambo yeye mwenyewe hata sikumoja
wewe ni TUNU ya TAIFA🇹🇿❤
Wasafi for life
Pande za Lusaka Zambia wasafi for life
Aaawh 🤗 wow
Professor 🔥🔥🙌
Yani hawa jamaa motoni moja kwa moja🔥
Tunakubali sana The story Book Professor Jamal April
One love proffessor🥂
Nimekua wa 17 kukomenti na nime kua wa 71 ku like plz Ni like bc wewe mwana chama .wa the store book
Professor again ...well done 👏✔👍👌🙌😀ur are very professional 👏👌🙂
The story book 💥
Subuhanallah yupo kama sweitwani daa Azabu aikwepi huyu anaogavipi abanawaje akiamka a nalala vipi huyu si anachomwachomwa hafai kuishi Duniani huyu
Innalillah wainnailaih rajighun binadam kmkosoa muumba wake acha 2 huo moto uwake hko akhera
history stories by jamal big up man👊👊💯🔥🔥
dah mwanangu up vzr sana brow yaan unamfanya mtu akuskulize kwa makin saa big up brow nakubaly💯👊
There is a woman in Uganda that died at the age of 122yrs. She died in 2021
Napendaga sana vipindi vyako @Burundi
Hi professor Jamal, love the way u inspire me with your history stories which I find them true n believe in them...honestly I really love your stories which makes me aware of what it's happening in this world 💕💕
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
Wasafi Kenya tunawapenda❤❤
Duuuuuuh jamali unaweza mungu akuogezee akili
Mzee wapo watu wenye umri mrefu nitafute nkupe data
mungu tupe mwisho mwema maana ya dunia yanatisha🙏🙏🙏🙏
Story nzuri inafunza na kufurahisha
Nakubali kaka ww noma san
Waombe Wasife waishi Duniani tuu,watakutana na Mungu wao
Gud jamal
Habari ndugu,katika Afrika hii wapo watu wengi tu walio hishi mia mia na hamsini,wengine walikawia zaidi ya masaa tatu chini ya maji ukitaka kupata picha zao ni vyepesi sana. Watu hao walikuwa wazaliwa wa kongo Tarafani fizi ni wabembe wabondo
Nitaingia mimi kwenye hizo records
Mnasema baba levo ana pua kubwa mnamuona Mehmet ozurek nyieeee😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Kesho Natoa Nyimbo Inaitwa The Story Book
❤️🔐👑
Ppp
Kwaiyo
Hahahahahahahaha 😅😅😅😅😅😅
Daah.. aiseh!! Mungu tusaidie
More than history
and story.
Respect bro gud job 🇹🇿
super b professor Jamal🇹🇿🙏🙏
uish miaka mingi professior
You killing my bro.. 👏👏🤝🤝
Narudia tena unajua kaka Prof
Unawezaaa boss
More than history..tunu ya Africa 🌍 ✌️🙌
Hi profesor mimi ni mkongomani Nina bibiangu âme ishi miaka zaidi ya 130!
Amazing!!!😮😮😮
Unajuw nn proffesor we ndo unanifany nisonge mbele you are my hero
Big up Jamali ❤️
Aiseeee...wewe kaka fundi sanaaa unajua kutangaza hadi unatuteka
professor never disappoints
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🔴🟥🟥🟥🟥🟥🟥🟥
#Mizimu ktk hiphop th-cam.com/video/1Qr4-oxvImY/w-d-xo.html
Kesho,turushie kuhusu lil Tunechi ..Wayne
Hizi ndo kuni za moton Allah atusamehe
Professor
Subhana allah
Professional profesor
This is legendary
Much appreciated bro 👍🏿💪
Proffesor nimekumiss sana.Happy new year brother.Tuning in from KAKAMEGA KENYA.
Murembe mno Godfrey
@@abduljabbarmohammed4188 my s
Mluhya vipi? Mulembe
iiiii
Ol
Jamali mungu akubariki sana umenifumbua vingi sana
Congo kuna mzee aliye Fariki mwaka jana na miaka 160
Jamal ujawai kuniangusha big up bro...
On fire 🔥🔥🔥
Ila jamani ukweli kabisa sidanganyi Nina mama yake bibi angu yuko mbeya naomb afuatiliwe ninauhakika ana 140+ maana bibi angu ambae nimtoto wake wa nne amefari mwaka juzi akiwa na miaka 86
Mbeya sehem gn
Mtoto wa nne kuwa na miaka 40 sio kigezo Cha umri wa uyo Bibi yako kwasababu zamani kuzaa walikua hawapishani over three yrs kwa walio wengi huenda Bibi yetu alizaa akiwa na miaka 25 na mtoto wake wa kwanza ako na miaka 95
Umetisha broo
Kwenye miguu hamfikii rafiki yangu
Amazing Soo much
Prof thanks for good stories 👍👍🤗💕😍
New professional in town
Afrika tuko na wenye kuvunja hizo records ila hawataki waafrika kuonekana kwa picha la dunia..
Hahaha 😂
jani nduguzagu kama hamuelewi habari za duniya yamazeni hichokitabu unacho sema kimepitwa nawakati piya alie zuwiliwa dubai siyohuyo ni mbrazili ana vipini 165 ndiye anaevuja rikodi na mweye ulimi mrefu nimwanamke marekani ana umri wa miyaka 25 yuko holando msisemeovyo hichokitabu ni cha zamani 2012
Mungu wa mbingun wahurumie jaman
duuu innalinlah wainna ilaih rajiiuun
Eeh ypo mibibi mmoja juzi katika katimixa miaka Mia 250 Tanzanian hyo maasha alllah
Kaka fuga hizo kucha ww unaweza🤣🤣🙆🏽♂️
Nakubali
Uko vizuri na najifunza sana kwako
Babu yangu amekufa 2007 akiwa na umri wa myaka 137
god bless you mr jamali
You're blessed mate
I really missed you jamal 😍😍😍😂😂🤣🤣
Ila yule jamaa wa story book aliepita alikuwa anasimulia na sauti nzuri zaid ya huyu jamaa
Saf Sana Mr April
Africans we can't try these we love ourselves alot 😅😅🤣🤣🤣🤣
Professor wewe ni moto natokeya CongoDRC beni Nord-Kivu🙏
Napenda kazi
Nihatari sana ulimwengu