Huyo Dada aliyempokea Mungu asaidie kwa kila kitu pia hata ukimwangilia uso wake unamoyo wa huruma Dada usikate tamaaaa uwe karibu na huyo mdada ni mwanao Mungu amekupa jipe moyo
Mimi kwakweli mm huwa nashangaa sana yaani mtu anakuja kucomment tu hapa eti huyo dada kakosea wewe ni nani kuukumu mwenzio wangapi wamezalishwa na wanaume wa watu wacheni ujinga hapa tuko kwa ajili ya kusaidia jamani kama huna la kucomment heri unyamaze .mungu amjalie huyu dada kile tutapata tumchangie apate chumba mahali Hawa yuko wakae nae wafanye biashara atleast akae mbali na huyo kijana.zahir mungu akubariki sana mm ni mkenya lakini mm hukuombea sana .
Labda huyo anaye commet huu upuuzi saa hizi yeye anawake watatu kwao lakini kawaida nyani aoni kundule Mungu awasamee hakuna mkamilifu duniani kila mtu ukosea
Jamani asirudi kijijini abaki mjini ili huyu Mama ni mpole atamsaidia sana Tena atakuwa yuko naye kwa karibu sana wala asimwache akae naye hapo kwake mbaka awe mtu Wa kujielewa huyu ni mtu mzuri sana tumwombee dua
Watu kama Zahir ndio wa kupata Tuzo hapa Tanzania na huyu Mama. Huyu binti ajifunze hao marafiki zak walimtupa akiwa na shida sasa anataka kuwafuata. Aachane nao.
Mwenyezi mungu awabariki nyote mliomchangia kurengesha furaha ya huyu dada .Na mwenye aliomuifadhi huyu dada mwenyezi mungu akubariki sana .pamoja na Zahiri na team yake Barikiweni sana
Kaka zahor Mungu atakulipa duniani na akhera na wowote alitowa msada in sha Allha mtapata badiliyake na uyu dada mumsaidie amepata roho ya imani kumsaidia
Allah atawalipa zahir kwa yahayo mnayoyafanya in shaa Allah nampenda huyo dada anatabasabu kila wakt ingawa anamagumu yalio mpitia mungu amjaalie furaha hivohivo kwenye shida na raha ni mtu wa kutabasabu t penda sana
Huyu anaemlaumu huyu binti itakuwa hajasikiliza vizuri maana huyu dada kaelezea kwa uzuri na pia wagundue wanaume wanahizo tabia za uwongo mmi siwezi kulaum sema tu awe na msimamo amsikilize huyu mama anakaanae huyo ni mama kwake msisitizie hilo amuheshimu sana
Mashaallah mung azidishe kher kwa KL wenye kujinyima Na kutoa mung awazdishie walipopunguz hongeren kaka Zahir Na team yako mung awazdishie mioyo ya subra
Mie nnamuhisi hasina bado tena kampata mama mwemaa akimdharau akampoteza atajuta hasaa Asione kapata sehem yakujistiri akaona poa tu amheshim sana amsaidie kazi za nyumbani amnyenyekee ampe moyo mie kama hawa nimeishakutana nao yaani unamsaidia kisha unajuta maana kumfukuza unashindwa inakua mtihani
Zahir hiyo laki na thamann ningeipata mim nisingehitaj chakula na nisingejal kam nin mtoto kwa maan nam nimepitia maisha hayo nilikopa elfu 60 nikaanza biashar ya kuuza mishkaki na ndiz za kukaanga jion' uji nauza asubuh nilikua kama mtumwa lakin nilishinda vita mwambie akuze akil maish ndivyo yalivyo magum ni weng tunapitia ila ndio akili tunatofautuan sikuhiz wanawake akili zimelala yaan ajiongez jins ya kuvuka magum anawaz msaada hata kam haumwi mim nikiumwa nitaomba msaad ili nitibiwe lakin kuhus maish magum mungu aniepushe
Allah awalipe nyooote muliochangia kimali na ushauri na mujue kuwa muliojitolea apapiti patupu mungu anawalinda kupitia huo msaadawenu pamoja na timu ya maxmam Allah awape Afya njema muzidi kusimamia jamii na awaepushe namahasidi miongoni mwao fadina nadadake usia kwako hasina usirudie tena uovu huo baadhi yawaume akishakuharibu huna thamani tena kwake umekuwa tayari nidasta wewe anaenda kwa wengine BilaKumsahau dada uliemuhifadhi binti Allah akulipe kheri
Tatizo nikwamba watu wengi wakisha hamishia mabag kwa wanaume basi tunasema mke lakini ukweli nikwamba yule alie funga ndoa ndio mke kwahiyo sioni kama huyu bint anamakosa Mungu atakufanyia wepesi Inshaallh 🙏
Mungu awabariki timu mzima ya maximum tv na wale wote waliojitolea kumsaidia huyu binti na ww mama Uliyejitolea Allah akulipe kheri nyingi usivunjike moyo Mungu Kwan Mungu amekuchagua wewe
Kaka dhahiri mm naomba watu wasimuhukumu huyu dada, kwanza Ni mwanamke shujaaa mimba inachosha na alikuwa na uwezo wa kuitoa Nina maisha yakaendelea unajua huyu dada nimemsoma Ni mtu aliyekuwa na upendo kwa mpenzi wake, Ila sema kijampo hakikupata mjambaji tumtie moyo. 🙏🙏🙏
Jaman huyo bint ameumbwa kutabasam na kucheka na moyo wake sio wa kuweka vitu moyon,kikubwa Mungu ampe afya njema na mwanae na huyo dada Mungu am'bariki
Huyo mama anamoyo wa kukaa naye amweshimu awapende wadogo zake akipata nguvu amsaidiye huyo mama usafi asikae tu akimalisa amwandaye mwaneye ndiyo akatafute riziki
Zahir mwenyezi mungu atazidi kukubariki Kaka 🇸🇨 na wenzako wote munaoshirikiyana,na huyo Dada mungu ambarili na Ampe moyo huo hui wakusaidiya mwenye kuhitaji msaada,
Mimi ndiyo nikawa nashangaa watu wanataka mtu akiwa na shida ndiyo mpk Alie waone machozi ndiyo wajue anashida.ila Mimi niseme tu hata wanafki wanaliaga lkn hawana lolote.dada wawatu yeye kashakubaliana na lolote kwenye maisha yake
Huyu dada kwa kweli.mungu ndio atamlipa kwa wema wake anaufanya kwa huyo bint na kuhusu huyo bint watu kumlaumu hana makosa ktk maisha ya mahusiano wa kumlaumu ni mwanaume sio mwanamke
Huyo Binti ni mgonjwa anahitaji uangalivu mkubwa akijaaliwa kupata bima ni kushirikiana na yule aliemleta maana ndio anajua kampata wapi ili amrudishe nyumbani Dara ni pagumu hawezi kujitegemea ghafla hivyo arudi kwao kule mandizidizi kibao atakula yy na mtoto wake hata kama akipata hiyo charahani aende nayo kwao sababu anaweza mkamodia chumba kikawa ndio nyumba ya wagebi aendeleze biashara yake.
"Ili mradi tu maisha yaendelee" zahir voices!! Shikamoo kaka Zahiri nimewamiss msalimie Fabi Mungu aendelee kuwapa nguvu za kutosha ili kazi iendelee awaweke mbali na husda za kina fadina na Dada ake huyo😏
Huyu mama aliye jitolea kuishi na huyu dada mungu ambariki sana.
Allah awabariki wote mliomchangia pamoja maxmamo tv Allah awatangulie kwenye mipango yenu ya kimaisha
Huyu dada Mungu amemjalia kucheka ndio majaliwa yake Na ni vizuri imemsaidia kiafya tumsamee
Yani huyu dada hata namhurumia yani kulala inje kisha ana kifua pole sana mdogo wangu utapona inshallah🇰🇪🇸🇾
Vipi kulala nje umesahau alikua akilala kwa wamasai nje na mimba yake
Hapo bado nimeisha ona kitu ila tumuombee ajitambue tu
Huyo Dada aliyempokea Mungu asaidie kwa kila kitu pia hata ukimwangilia uso wake unamoyo wa huruma Dada usikate tamaaaa uwe karibu na huyo mdada ni mwanao Mungu amekupa jipe moyo
Tuwaombee tu isije huko mbele ikawa kama ya wakina Tatu mshamu
Wa kwanza from kenya
kabisa
Congratulation
Mungu atakuzidi kukufungulia kaka Zahir uongezewe pale palipopungua pamoja na timu yako "jazakha llah kheir
Aamin Inshaallah
Mimi kwakweli mm huwa nashangaa sana yaani mtu anakuja kucomment tu hapa eti huyo dada kakosea wewe ni nani kuukumu mwenzio wangapi wamezalishwa na wanaume wa watu wacheni ujinga hapa tuko kwa ajili ya kusaidia jamani kama huna la kucomment heri unyamaze .mungu amjalie huyu dada kile tutapata tumchangie apate chumba mahali Hawa yuko wakae nae wafanye biashara atleast akae mbali na huyo kijana.zahir mungu akubariki sana mm ni mkenya lakini mm hukuombea sana .
Umesema kweli kabisaa kwanza hakuna mume wa mtu
Labda huyo anaye commet huu upuuzi saa hizi yeye anawake watatu kwao lakini kawaida nyani aoni kundule Mungu awasamee hakuna mkamilifu duniani kila mtu ukosea
Kweli kabisa asihukumu mwenzio usije kuhukumiwa
Jamani asirudi kijijini abaki mjini ili huyu Mama ni mpole atamsaidia sana Tena atakuwa yuko naye kwa karibu sana wala asimwache akae naye hapo kwake mbaka awe mtu Wa kujielewa huyu ni mtu mzuri sana tumwombee dua
Watu kama Zahir ndio wa kupata Tuzo hapa Tanzania na huyu Mama. Huyu binti ajifunze hao marafiki zak walimtupa akiwa na shida sasa anataka kuwafuata. Aachane nao.
Mwenyezi mungu awabariki nyote mliomchangia kurengesha furaha ya huyu dada .Na mwenye aliomuifadhi huyu dada mwenyezi mungu akubariki sana .pamoja na Zahiri na team yake Barikiweni sana
Kaka zahor Mungu atakulipa duniani na akhera na wowote alitowa msada in sha Allha mtapata badiliyake na uyu dada mumsaidie amepata roho ya imani kumsaidia
Wewe zahri ulinyonya kaka mungu akujalie sana
Zahir na team yako allah awabarik kwa kila la kheir na baraka...allahuma amin
Amiin..
th-cam.com/video/0TtuuMjFvNo/w-d-xo.html
L
Amiin
Hongeren Tim maxmam kwa Kaz nzr mnayoifanya, Kaka zahir nmemmic kalombo jmn
MA SHAA ALLAH ALLAH AFUNGUWE KHEIR ZAIDI JAMAN MSIMLAUM HUYU BINTY BADO MDOGO DADA MSAIDIE KUMUHFADH MUNGU ATAKULIPA
Alwah akubari kaka dhahir.na wale wote wanojitolea.
Amiin..
@@maximumtvonline kaka zahir bora apange uzazi wa mpango
Allah atawalipa zahir kwa yahayo mnayoyafanya in shaa Allah nampenda huyo dada anatabasabu kila wakt ingawa anamagumu yalio mpitia mungu amjaalie furaha hivohivo kwenye shida na raha ni mtu wa kutabasabu t penda sana
Alhamdulilah Allah awajaalie wote walio jitolea
Mungu azidi kukubari sana kaka zahiri kwa huduma ya kufia wahitaji ,mungu akulinde kaka usife moyo ,
Huyu anaemlaumu huyu binti itakuwa hajasikiliza vizuri maana huyu dada kaelezea kwa uzuri na pia wagundue wanaume wanahizo tabia za uwongo mmi siwezi kulaum sema tu awe na msimamo amsikilize huyu mama anakaanae huyo ni mama kwake msisitizie hilo amuheshimu sana
HUYU Dada mungu amsaidie ampe kila lenye kheri na yy mana anaubinaadam
Daaa huyu mama wa kichaga anaroho nzuri Sana ubarikiwe
Baba zahiri mungu akupe maisha marefu,huyo bint asirudi Bukoba awe na dada huyo mwema sana.
God protect you from Evo eye,, and give you long life kaka, God bless you all with your team
Amen..
Mashaallah mung azidishe kher kwa KL wenye kujinyima Na kutoa mung awazdishie walipopunguz hongeren kaka Zahir Na team yako mung awazdishie mioyo ya subra
Fabi, umeweza vizuri sana 👍👏👏😃
Mungu awajalie mema kaka zahir
Amen..
Mungu ajalie mtoto na mama .pamoja na dada hapo unaemsaidia .pamoja na timu zahiri mashallah mashallah ❤
Maashallah maashallah maashallah kaka Zahir allah azidi kukupa moyo huu huu uzidi kuwasaidia watu amiin yaa rabb
Mie nnamuhisi hasina bado tena kampata mama mwemaa akimdharau akampoteza atajuta hasaa
Asione kapata sehem yakujistiri akaona poa tu amheshim sana amsaidie kazi za nyumbani amnyenyekee ampe moyo mie kama hawa nimeishakutana nao yaani unamsaidia kisha unajuta maana kumfukuza unashindwa inakua mtihani
Wallah huyu dada asije akasahau hisan kwayuo mama alie msaidia km kina fadina
Umeonaeee, binaadam tukishapata tunasahau tulikotoka
Kabisa
ACJE KUA kama SOFIA TENA AKAE KWA ADABU NA HESHIMU AMHESHIMU KAMA MAMAKE
Ubarikiwe sana Zahiri. Huyu bint ni rahisi kuishi naye hana kiburi. Safi sana
MashaAllah kaka Zahir Allah akuzidishie palipopungua kwakaz unayoifanya ila napenda tabasam la hasina mashaAllah
th-cam.com/video/Y1PQzdsFCpQ/w-d-xo.html
Zahir hiyo laki na thamann ningeipata mim nisingehitaj chakula na nisingejal kam nin mtoto kwa maan nam nimepitia maisha hayo nilikopa elfu 60 nikaanza biashar ya kuuza mishkaki na ndiz za kukaanga jion' uji nauza asubuh nilikua kama mtumwa lakin nilishinda vita mwambie akuze akil maish ndivyo yalivyo magum ni weng tunapitia ila ndio akili tunatofautuan sikuhiz wanawake akili zimelala yaan ajiongez jins ya kuvuka magum anawaz msaada hata kam haumwi mim nikiumwa nitaomba msaad ili nitibiwe lakin kuhus maish magum mungu aniepushe
Mashaallah alhamdulillah good
Hao wanasema ttz wanawake hatupendani ukweli kabisa yye katongozwa na mwanaume hakuwa muwazi angekua muwaz sidhani kam huyo msichana angekua nae mana wanaume wanasir hawag wa kweli
Allah awalipe nyooote muliochangia kimali na ushauri na mujue kuwa muliojitolea apapiti patupu mungu anawalinda kupitia huo msaadawenu pamoja na timu ya maxmam Allah awape Afya njema muzidi kusimamia jamii na awaepushe namahasidi miongoni mwao fadina nadadake usia kwako hasina usirudie tena uovu huo baadhi yawaume akishakuharibu huna thamani tena kwake umekuwa tayari nidasta wewe anaenda kwa wengine BilaKumsahau dada uliemuhifadhi binti Allah akulipe kheri
Tatizo nikwamba watu wengi wakisha hamishia mabag kwa wanaume basi tunasema mke lakini ukweli nikwamba yule alie funga ndoa ndio mke kwahiyo sioni kama huyu bint anamakosa Mungu atakufanyia wepesi Inshaallh 🙏
Kweli kabisa..
Ila hiyo ni kidini ila kiserikali ni mke au mume
@@hellenewillamba78 serikal ni Bora kulko mungu?????
@@hellenewillamba78 kwahiyo unataka kuniambia tu heshim selikari kwamba uzizi ni haki na tumuache Mungu?
Hongera kwa huyu mama kwa kweli ana roho Safi
Masha'Allah Mungu awabariki sana kk zahir kwakazi unaofanya 🙏🏿
Pia naomba aendelee kumuheshim huyo mama hata kama atakuwa na maisha yake amemsaidia kwa kias kikibwa sana
Kweli mpnz
Maa shaa Allah tabarakallah mungu awazidishie wote mliojitolea na kaka zahhir wetu na Tim yako mungu awahidadh
Amina Amina ubarikiwe kka zahir na Team maximum nawoote mliochanga
Kaka zahir,wapi kigo mnyama
Mimi wa kwaza jamani naomba like zangu😊
Mashaallh
@@hijjamoulidi1289 tabarakallah
Congratulation
Mungu ambariki huy mama jamni.
Mimi nimempenda sana huyu mdada aliozalishwa ni mchangamfu mcheshi na anacheka sana
Watu wanataka.awe analia
Allah akupe umri mrefu kaka Zahir ww na familia yako
Yani watanzania mungu awabariki sana mnajitolea sana kwamsanda 🤲🙏🙏🙏🇹🇿
punguza kucheka mdgo wangu, mana tunaroho tofaut mwengine atapuuzia hata kutowa mchango wake,
Kaka zahir mm napenda misemo yko sindio eeeh na unaposem bolae Mungu akutinzeee kaka zahir
Huyu Dada sio wakumuhukumu kwsababu bado mdogo kabisa napia nimcheshi
Mungu awabaliki wote walowachangia
Na Allah azidi kukuongoza kaka zahir 🤲
Mungu awabariki timu mzima ya maximum tv na wale wote waliojitolea kumsaidia huyu binti na ww mama Uliyejitolea Allah akulipe kheri nyingi usivunjike moyo Mungu Kwan Mungu amekuchagua wewe
KAKA ZAHIR,FABI NA WEZIO KAZI NZURI SANA
Asante sana
Kaka dhahiri mm naomba watu wasimuhukumu huyu dada, kwanza Ni mwanamke shujaaa mimba inachosha na alikuwa na uwezo wa kuitoa Nina maisha yakaendelea unajua huyu dada nimemsoma Ni mtu aliyekuwa na upendo kwa mpenzi wake, Ila sema kijampo hakikupata mjambaji tumtie moyo. 🙏🙏🙏
Mashaallah mung awabarik maximum tv
Jaman huyo bint ameumbwa kutabasam na kucheka na moyo wake sio wa kuweka vitu moyon,kikubwa Mungu ampe afya njema na mwanae na huyo dada Mungu am'bariki
Ni kweli kabisa
Huyo mama anamoyo wa kukaa naye amweshimu awapende wadogo zake akipata nguvu amsaidiye huyo mama usafi asikae tu akimalisa amwandaye mwaneye ndiyo akatafute riziki
Allah akuzidishie Sana zahir Huseen Mungu hatakuacha Kwa Upendo wako
Zahir mwenyezi mungu atazidi kukubariki Kaka 🇸🇨 na wenzako wote munaoshirikiyana,na huyo Dada mungu ambarili na Ampe moyo huo hui wakusaidiya mwenye kuhitaji msaada,
Duuh kweli kunawatu wanautu sna juzi tu lkn leo watu wamejitolea mungu awaongeze time yote
Mungu awabark
Uyu mama mungu ambariki sana tena ampe Moyo uwo uwo
maanakamasihuyu dd sijuwiigekuwaje mashoga walimsaydiya nini hawakumsaydiya ilayeyekwa akiliyake ataedeleyakudakgayana nawotu hawomashoga lnsha allah allah amsaydiye
Inshallah Mungu atakutoa dadangu
Mimi ndiyo nikawa nashangaa watu wanataka mtu akiwa na shida ndiyo mpk Alie waone machozi ndiyo wajue anashida.ila Mimi niseme tu hata wanafki wanaliaga lkn hawana lolote.dada wawatu yeye kashakubaliana na lolote kwenye maisha yake
Umeonahee etwanasema anajibutu.maswali bilawasiwasi wanataka.alie
Maashallah zahir mungu akuekee sihaba ♥️😍
Mungu awabarik wote waliojitolea🙏🙏🙏
Manshallah tabarakallah ❤️❤️❤️❤️❤️❤️Ongerasana kaka Zahir pamoja na dadayetu kurudisha furaha yauyo binti.
Kiukweli zahri sipend siku ipite nisione kazi zako uwa nachukia utanadhani nakulipa. Nakukubali sana mdg wangu nakuangalia from German
Mungu awabarik mliochangia
Nakupenda sana mungu akubaliki
mashaallah walochanga mungu hawabariki wazo langu kaka zahir hakikatiwa hiyo card ya afya muhimbili wazo tu kaka fabin ndio mtaalamu wa vigari sio
Kaka zahir unanifurahisha uanze kuzoewa
Masha Allh maxm tv
Hongera kaka zahir
Safi sana
Jaman huyo kaka sio mme wa mtu msaidieni jaman mtoto wawatu hana mama wala baba
Allah akubariki from Iraq
Wa kwanza leo
Kaka Zairi mungu qkubariki judithi kutoka zanzibar
Asante sana Zahir na crew yako yote. Asante sana mama wa ziada Pia wote waliochanga mchango wao. Let's continue helping her.
Zahir kamsemo kako (sindio eeh🔥🔥🔥
Asante patricia..sindio eeh
Nicee Mungu awabarikiii
Mashaallah jmn mungu Atupe moyo huo huo jmn
Huyu dada kwa kweli.mungu ndio atamlipa kwa wema wake anaufanya kwa huyo bint na kuhusu huyo bint watu kumlaumu hana makosa ktk maisha ya mahusiano wa kumlaumu ni mwanaume sio mwanamke
Awww!!!! Nice..... mashaallah
Nilichokiona kwa uyo dada anaumia kiasi flani ila anapenda kucheka hajui kukasirika
nice pram . iko so simple , km clinic unatembea itakufaa vizuri
halafuistoshe piya akiliyenyewebado yakitoto huyu dd allah ajaliye kwautiwake
Huyo Binti ni mgonjwa anahitaji uangalivu mkubwa akijaaliwa kupata bima ni kushirikiana na yule aliemleta maana ndio anajua kampata wapi ili amrudishe nyumbani Dara ni pagumu hawezi kujitegemea ghafla hivyo arudi kwao kule mandizidizi kibao atakula yy na mtoto wake hata kama akipata hiyo charahani aende nayo kwao sababu anaweza mkamodia chumba kikawa ndio nyumba ya wagebi aendeleze biashara yake.
Mdada mzri sana lakin huu mtihani mungu akulinde mbado mdg snaa
Kaka zahir bora aende hos maisha kulala nje hapo nyuma kifua limepungua baridi hicho
Mashallah kazi nzuri kaka zahir kwani saa ngapi tanzania saa hii jamani
Saa 10pm
Mashallah m mungu akubarl Kaka
Nauli tu huyo na pesa kidogo ya kwenda kuanzia maisha huko kwao.
M/ Mungu awaongezee pale palipo pungua wote mliochangia
Maashallah Allah akupe Umri mrefu inshaallah
Wamwisho Leo naomba like zenu
Allah awalipe walo jitole walipo jitolea awaongozeye sn
Huyu bado ni mdogo anaitaji msahada hiyo kucheka cheka niu toto. Ongera sana kwa huyu dada halie msaidia
Sema huyu mama mungu atamlipa kumuokota huyo dada inatakiwa uwe na moyo mungu akubariki sana
"Ili mradi tu maisha yaendelee" zahir voices!! Shikamoo kaka Zahiri nimewamiss msalimie Fabi Mungu aendelee kuwapa nguvu za kutosha ili kazi iendelee awaweke mbali na husda za kina fadina na Dada ake huyo😏
Hongera sana kaka zahri kwa kazi m🌹mzuli