Dada froha Mimi piah n mmoja wa wafuatiliaji mnoh mungu akubalik kwa kutoa mda wako San kwa ajil yetu wanadam.hata mim natamn siku moja nifwate nyayo zako kwa kuguswa n maisha ya kusaidia watu wahitaj lakn dada kwa upande wa kusin hiii Hali zipo nying mnoh natamn siku moj uje usaidie N watu wa huku maaan watu hawajui wap watapat msaad lkn kwa kuja kwako kupaza saut n huku kusin c kwamb hakun shida zipo nying mnoh Ila watu hawana msaada wa kukimbilia
Mtihani pole mama gifiti unapo kuwa na mtoto mgonjwa lazima watu wakunyanyase miye mwe nyewe nina nduguyangu ni mlemavu wa viungo basi watu wanatusimanga na kutuambiya kama mungu kafanya hiyo basi sijui makusudio yao ni nini au wao wamesha umbika au vipi
mama gift pole Sana mwanao atarudi kawaida hutaami Ni Nina huzuni Kwa majirani wanao sema kuwa mtoto ka huyu afungiwe ndani ilihali ya kucheza kama wengine Gift atakuwa Sawa Mola awalinde
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi katika kazi yako da Flora. Mungu ni mwema 🙏🏼
Wakwanza likes zangu jameni pamoja sana da flora.🇰🇪
Pole Sana Mama gift Mungu akutangulize katika safari yako Mwenyezi Mungu akupe faraja mkapate matibabu vizuri
Mungu afanye njia
Dada froha Mimi piah n mmoja wa wafuatiliaji mnoh mungu akubalik kwa kutoa mda wako San kwa ajil yetu wanadam.hata mim natamn siku moja nifwate nyayo zako kwa kuguswa n maisha ya kusaidia watu wahitaj lakn dada kwa upande wa kusin hiii Hali zipo nying mnoh natamn siku moj uje usaidie N watu wa huku maaan watu hawajui wap watapat msaad lkn kwa kuja kwako kupaza saut n huku kusin c kwamb hakun shida zipo nying mnoh Ila watu hawana msaada wa kukimbilia
Quick recovery doughter Gift ,,, with God everything is possible trust in him he is the most powerfull
Atapona tu kwa uwezo wa Allah,jope moyo mama Gift.
Mwenyezi Mungu awatangulie katika safari hii 🙏🏼
God is powerful
Mama Gift usivunjike moyo hakuna jambo linalo mshinda mwenyezi Mungu 🙏🙏🙏🙏🙏
Da Flora kila heri popote uendapo na Kila anaekukejeli mabaya yamrudie !!
most love to dada frorah God blessings woman
Pole dada mwanao atapona in shaallaah
Atapona inshaallah kwa uweso wa Allah pole sana mum
Mtihani pole mama gifiti unapo kuwa na mtoto mgonjwa lazima watu wakunyanyase miye mwe nyewe nina nduguyangu ni mlemavu wa viungo basi watu wanatusimanga na kutuambiya kama mungu kafanya hiyo basi sijui makusudio yao ni nini au wao wamesha umbika au vipi
mama gift pole Sana mwanao atarudi kawaida hutaami Ni Nina huzuni Kwa majirani wanao sema kuwa mtoto ka huyu afungiwe ndani ilihali ya kucheza kama wengine Gift atakuwa Sawa Mola awalinde
Huyu dada ni kama mm maana hata mwanangu akiumwa hata mafua nalia tuu mpk apone,,mungu akutie nguvu mungu amponye mwanao.
𝒎𝒊𝒎 𝒏𝒂𝒍𝒊𝒂𝒈𝒂 𝒌𝒂𝒎𝒂 𝒎𝒘𝒆𝒉𝒖 𝒋𝒂𝒎𝒂𝒏
Mungu mwema, atapona2 marikia Gift, mama Gift jipe moyo dada.
Wa Kwanza leo
Eee Mungu nakuomba umponye 🤲 malaika Gift 🙏🏼🙏🏼
Kiukweli nikiwa kama mama najikuta nalia mno ila mungu nimwema atapona jmn niwajina wa mwanangu binafs nakuombea g apone
Kwa uwezo wa Mungu atapon
Quick recovery doughter Gift ,,, with God everything is possible trust in him he is the most powerfull