MBOWE ATANGAZA TAMKO JIPYA KUHUSU MAANDAMANO - ASEMA AKIFA WANACHAMA WAIOMBEE ROHO YAKE...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 21 ก.ย. 2024
- MBOWE ATANGAZA TAMKO JIPYA KUHUSU MAANDAMANO - ASEMA AKIFA WANACHAMA WAIOMBEE ROHO YAKE...
💪💯JIUNGE NA GROUP LETU LA WHATSAPP UWE MWANAFAMILIA WA GLOBAL TV🔥🔥 chat.whatsapp....
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Mungu mwema awaalinde nakuwafunika kwa utukufu wake wote mnaopambania amani yetu!!!! Hutakufa bali utaishiiii kwa Neema ya Mungu.
Utukufu.una.mungu.shedriki.meshaki.abenego.walipwa.kwenye.moto.dini.zi.sipate.nafasi.kuhubiriwa.yesu.akawa.ktk.ule.moto.waliokoka.mpaka.leo.njili.ina.nguvu.ingilia.kati.mungu.roho.za.watu.zinatetemeka.awe.chama.chochote.damu.ni.nzito.kuliko.maji.mungumu.ngu.
Mungu.uko
Nawatuwako.miguuni.pako.roho.za.watuko.kwa.mfano.wako
Uliwaumba.ukawapa.uhai.mikoni.mwako.saidia.tanzania
Mungu ananjia nyingi waliopanga kuua watu wa Chadema au kuwakamata ili kuwatesa na kuwafunga kama Mungu aishivo kiburichao na jeuri yao itanyamazizwa kimya na watu wote watamjua Mungu.Utukufu kwa Mungu muumbaji wa vyote,mbinguni na duniani.
Hii kauli ya mwisho sio nzr mweshimiwa mbowe mm ni ccm ila tuombe mungu mkae na mwenyekt wetu mama samia muyamalize tuwe na Amani
Mama afuluze wazir au IGP itapozesha kuwakumbatia anazingua
Mungu ni Mkuu atawalinda Kwa damu ya Yesu na utaishi miaka 150 Ili ujionee manufaa
@@giftkalenge418 kesho tutoke
Apo ndo unapokosea sasa damu ya yesu imlinde m2 acha ujinga ww
Anataka kuandamiza nchi kwa ajili ya maslaha yake mungu ibariki tanzania
Police wa Tanzania ni wa ovyo sana msitumike katika maisha ya watanzania hii Damu itawalaani sana hawà polisi
Mungu yupo, hamjabeba silaa ila maji,Mungu atawalinda,malaika watatumwa kuwasaidia msihogope kutetea haki na ukweli.
Kwani simkae mkiomba usiku na.mchana Mungu ni jibu. Sstuna takaamani. Kwa Muislam akiandamana kazikwake zambi atazi beba. Tumeusiwa Amani katika.dini. umtakikiongozi. Ukipigakula usimchague bass
Mungu atawalinda. Mungu ni mkubwa kuliko shetsni.
IshaAllah M/Mungu atulinde atuvushe salama
Mtafanya maandamano ya amani, watakaoleta vurugu ya kuzuia amani wakaanza kupiga rahia ambao wamebeba maji tuu Malaika wa mbinguni watatumwa kuwashughulikia watajua Mungu ni wa haki.
Katiba:
Ibara 26 (1) Kila mtu ana wajibu wa kufuata ma kutii Katiba hii na sheria za Jamhuri ya Muunhano.
(2) Kila mtu an haki, kwa kufuata utaratibu na sheria, kuchukua hatua za kisheria kuhakikisha hifadhi ya Katiba na sheria za nchi.
Askari wataandamana kuanzia usiku hata ikifika asubuhi mtaishia kusema kwamba mmefanikiwa kuwaandamanisha Polisi.
Are you solving the problem or you are escalating it?
Polisi wa kenya ndio wapo peace na maandamano
Damu.ya Yesu ikulinde
Tutoke na mapanga na mikuki mawe na ile kamba ya kurusha kamba yaani malizao na nyuki na uchawi namini tutashinda
😂😂😂😂😂
Pole sana mhe mbowe
Damage mbele nyuma tukapambanie nchi hata wazee wetu wasingepambana mapinduzi yasingetokea
Mimi nawaombea tu haki ipatikane kwaamani naMungu awatangulie maana mnalitetea taiga letu
Nawashauri Msiandamane wapendwa kama mnaiombea mema nchi yetu njia pekee ya kupata suruhisho mazungumzo Mbowe acha kuponza watoto watu wewe umekula chumvi nyingi
Kwni utaishi Maishaa!
Mkuu tuko pamoja tupatieni na account ya kuchangia maji ya kunywa tafadhali. Serikali dhalimu imeshindwa polisi wengine wametoka huku kwetu Arusha polisi na serikali ya majizi imekiri udhaifu
Maji husaidia kuondoa moshi wa mabomu ya machozi kesho mbona unakwepesha kwepesha. Nyelele una mtajia nini na mmevunja sanamu lake
Jmn mm nawapenda
Nilijua tu atagairi sha mkwala tu
Mbowe wewe sio wakupigwa risasi za moto wewe mbowe viboko tuu vinakutosha unasindikizwa mpaka kwa mkeo nyumbani usijesema nimetekwa😂😂😂😂 risasi zinatumika kwa dornard trump 😂😂😂😂 anakwepa risasi
Hivi huyu ninani aswaaaa maana amili Jeshi mkuu kasema hakuna maandamano ss ww ninani mwanakuli tafuta mwana kulipata usisahau maji😂😂😂😂😂😂😂😂
Hakuna aliye juu ya katiba..kwa nini mnaogopa wananchi.. mama anatawala kwa katiba ya JMT, sio ushauri wa familia au chama chake. Kwa katiba yetu,hakuna kosa hapo
Utangulize familia yako usishawishi watu maskn kwa maneno yako
Nyie vyovyote mtavyo mfanya karidhia lakini ikumbukwe katiba inaruhusu
Familia yako itakuwepo kwenye MAANDAMANO? NYINYI VIONGOZI MNAKINGA MNAJUWA HAMTOPIGWA LAKINI WANAOTAKIWA KUTOLEWA KAFARA NI WALE WENZANGU NA MIMI . SO VIJANA TUAMKE
mimi naomba kuuliza kutokana na maelezo ya mbowe eti mkiona mtu amekamatwa mnaobaki endeleeni eti hata yéyé akipigwa lisasi watakaobaki endemeleeni na waende na maji kila mmoja nichouliza inamaana mbowe mpaka sasa hivi anajua wamezuiwa kuandamana na kamandivo kwanini awapeleke watoto wa wenzake kwenye matatizo na sisi watanzania tunasema mpende mtoto wa mwinzio kama unavyompenda mwanao
Akitekwa mama yako au baba yko usingeandka ulichokiandika chunusi weww
Wacheni uuchochezi hampati kura ng'o
Mtajua wenyewe.msije sema hamkuambiwa
Wajina we uwendi unaogopa😂😂
JESHI LANGU NAAMINI MKO SAWA TUNATAKA TULALE KIMYA KAMA KENYA SASA KUMEPOA 😢😢😢
Tunangoja drama hio ya acrobatic politics