1 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ต.ค. 2024
- Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 1 || Tarehe 03 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Mtumishi wa Mungu Asante sana Kwa mafundisho haya. Mungu wangu nikupe Nini Bwana wangu Kwa chakula hiki kizuri unachotulisha.? Nikupe Nini Mungu wangu. Tusaidie mioyo yetu ijiatamishe kifuani mwako. Mungu tusamehe tunapoanguka.
Ubarikiwe sana baba, nabarikiwa sana na mafundisho yako,
Nisaidie Mungu Baba, nikumbuke mtumishi wako.
Nawaungamanisha watoto na wajukuu zangu, na ndugu zangu woote ktk Madhabahu hii
Damu ya YESU ITAWALE tanga na Tanzania nzima, BWANA YESU NI MUNGU WA MIUNGU.
Mungu nisadie
AMEN
Amina Amina
ninafurahi sana, mwangosi kumwona akihudumu
Mungu ume inuliwa juu saaana
Shetani alipomvuuruga Adam alienda mojakwamoja Kwwny Fikra,,, shetani anapamana Sana na Fikra za watu
❤❤❤❤
Huwezi kuwa zaidi ya ufikirivyo
Kuharibu nafsi Ni kuharibu injini ili isipokee kitu kipya
✓✓✓✓✓✓
isaya55:8-11
Fikra zinapovurugwa zinashindwa kupambanua chema ktk kwa Mungu.
Mwangosi amesimama ktk Neema yake ya Kumsifu na Kumwabudu MUNGU WA MBINGUNI, ndio maana vita yake si ndogo
Babakatika jina la Yesu kristo nimeukabidhi binty yangu mkononi mwako NA kila ulicho ni bariki nacho NA roho yangu. Uwe mwokozi wangu na mwalim kwangu nijuwe namna ya kutembea NA ww nakusikia sauti yako. Amen ❤ bariki huduma hiii ee Bwana. NA mtumishi wako mwl ❤❤❤
NAFURAHI SANA KUKUONA MTUMISHI KAKA MWANGOSI
najiunganisha mimi na biashara zangu zikakue na kuongezeka pia nikafungue duka min market yangu
Amen
Ameen
Najiungamanisha mimi na mume wangu katika ibada hii. Tukakue kiuchumi na kustawi kwa jina la yesu 🙏🙏
YESU niponye magonjwa yoye😢😢😢
Najiungamanisha na Madhabahu hii ya Christopher na Diana, Utumishi wenu unanipeleka Utukufu hadi Utukufu.
MUNGU WA MBINGUNI awalinde na mwovu.
YEHOVA awatie nguvu na kuwapa maisha marefu
YESU niponye miguu😢😢😢
Amen,mungu akubariki mtumishi
❤
Najiunganisha kwa Jina layesu
Amen Amen Amen
Ubongo ni sawa na Transformer ya Umeme. Kazi ya Transformer ni kubeba, kupitisha Umeme, hatuwezi kuona Umeme kwa macho ila tunaweza kujua upo kwa kutumia vipimo vya Umeme au taa, vifaa vinavyotumia umeme kufanya kazi. Ubongo ni kubebeo cha Akili, mawazo, hatuwezi kuiona Akili kwa macho au mawazo kwa macho. Tunaweza kufahamu Akili, mawazo ya mtu kupitia matendo yake. Aonavyo mtu Nafsini/mawazo mwake ndivyo alivyo au ndivyo anatenda.
Amin sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🙏
Amina
Jina lako Mungu liinuliwe
Ameen
Hakika katika utumishi wako, Nimemuona Mungu akinivusha ktk changamoto nyingi, ubarikiwe sana Mwalim Mwakasege $Diana Mwakasege Mungu awe maisha marefu sana
🙏
Amen
Bwana yesu wafunuke mama angu na mwanagu wanapokaribia kusafiri bwana yesu wafikishe salama waepushe roho zote za ajali barabarani waende salama wafike salama kwa damu ya yesu kristo amen
Amen
Amen 🙏
Glory to God
Nimetuma sdk kwakuchelewa leo ndo nimeona mahubiri naunga manisha na Biashara yangu naninapokea kwa jina la Yesu
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
MUNGU akubariki mtumishi kwa huduma.
Kumbe huu mstari wakufanywa kichwa siyo mkia una maana tofauti!?
Asante mtumishi leo nimepata kitu kipya🙏
YESU naiweka migu yangu kwenye iyi mazabahu yako YESU unifunguwe
Amen Mungu awabariki
Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii
Amen
Amen🙏
Amina mtumishi wa mungu bab
Amina😅😅😅😅 Yesu tu atosha
Mungu akubarik
Amen
Amen
Mungu akubarik
Amina
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Amen amen
Amen 🙏
AMEN.
Ameni
Ameeen
Ameeeen