1 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 2 ก.ค. 2024
- Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 1 || Tarehe 03 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Mtumishi wa Mungu Asante sana Kwa mafundisho haya. Mungu wangu nikupe Nini Bwana wangu Kwa chakula hiki kizuri unachotulisha.? Nikupe Nini Mungu wangu. Tusaidie mioyo yetu ijiatamishe kifuani mwako. Mungu tusamehe tunapoanguka.
Najiungamanisha mimi na mume wangu katika ibada hii. Tukakue kiuchumi na kustawi kwa jina la yesu 🙏🙏
ninafurahi sana, mwangosi kumwona akihudumu
NAFURAHI SANA KUKUONA MTUMISHI KAKA MWANGOSI
Mungu ume inuliwa juu saaana
Amen Mungu awabariki
Damu ya YESU ITAWALE tanga na Tanzania nzima, BWANA YESU NI MUNGU WA MIUNGU.
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Mungu nisadie
Amen,mungu akubariki mtumishi
Amina Amina
Amen
🙏
AMEN
Najiunganisha kwa Jina layesu
Mungu akubariki sana mtumishi kwa huduma hii
Amin sana mtumishi 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🇮🇱🔥🔥🔥🔥🔥🔥🙏🙏🙏🙏🙏🇮🇱🙏
Glory to God
YESU naiweka migu yangu kwenye iyi mazabahu yako YESU unifunguwe
Amina mtumishi wa mungu bab
Amen 🙏
Shetani alipomvuuruga Adam alienda mojakwamoja Kwwny Fikra,,, shetani anapamana Sana na Fikra za watu
❤❤❤❤
Huwezi kuwa zaidi ya ufikirivyo
Kuharibu nafsi Ni kuharibu injini ili isipokee kitu kipya
✓✓✓✓✓✓
isaya55:8-11
Fikra zinapovurugwa zinashindwa kupambanua chema ktk kwa Mungu.
Amina
Mungu akubarik
najiunganisha mimi na biashara zangu zikakue na kuongezeka pia nikafungue duka min market yangu
Amen❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
AMEN.
Ameeen
Amen amen
MUNGU akubariki mtumishi kwa huduma.
❤
Ameeeen
Ameen
YESU niponye magonjwa yoye😢😢😢
Jina lako Mungu liinuliwe
Amina😅😅😅😅 Yesu tu atosha
YESU niponye miguu😢😢😢
Ameni
Kumbe huu mstari wakufanywa kichwa siyo mkia una maana tofauti!?
Asante mtumishi leo nimepata kitu kipya🙏
Nimetuma sdk kwakuchelewa leo ndo nimeona mahubiri naunga manisha na Biashara yangu naninapokea kwa jina la Yesu
Ubongo ni sawa na Transformer ya Umeme. Kazi ya Transformer ni kubeba, kupitisha Umeme, hatuwezi kuona Umeme kwa macho ila tunaweza kujua upo kwa kutumia vipimo vya Umeme au taa, vifaa vinavyotumia umeme kufanya kazi. Ubongo ni kubebeo cha Akili, mawazo, hatuwezi kuiona Akili kwa macho au mawazo kwa macho. Tunaweza kufahamu Akili, mawazo ya mtu kupitia matendo yake. Aonavyo mtu Nafsini/mawazo mwake ndivyo alivyo au ndivyo anatenda.
Amen
Mungu akubarik
Amina
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen🙏