BREAKING NEWS:RAIS SAMIA AMUONDOA BOSI TRA.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 1 ก.ค. 2024
- #focusnewstanzaniatv1 ,#tanzania ,#kenya ,#kenyanews ,#simba ,#simba ,#russia ,#ukraine ,#israel
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Kamishina Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata kuwa Mshauri wa Rais, Ikulu, nafasi inayomuondoa katika nafasi yake ya awali.