ความคิดเห็น •

  • @user-cw8zn2dn6m
    @user-cw8zn2dn6m 5 วันที่ผ่านมา +6

    Ni kama Himars tu!! Ilikuwa vigumu sana kuiharibu au kuidungua, lkn wakalikamata hilohilo mfumo wa Himars, kisha ndo wakaweza kuijua na kuizima afu kuharibiwa kabla ya kuleta madhara. Russia ni wajanja sana!!!

  • @shomaryramadhani270
    @shomaryramadhani270 5 วันที่ผ่านมา +7

    Duuuuh jaman tuwaombee tu mungu awape mioyo ya kustisha mapigano vita sio nzuri kuna watu wanakufa bila hatia

    • @jumamussantuiche
      @jumamussantuiche 5 วันที่ผ่านมา +1

      @@shomaryramadhani270 wazo lako mzuri marekani na umoja wa ulaya biashara yao migogoro duniani.

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 5 วันที่ผ่านมา +4

    Ndio mjue sasa kwann russia wameficha silaha mpya na wanatumia zaidi silaha za kizamani

  • @YohanaMasebo
    @YohanaMasebo 5 วันที่ผ่านมา +9

    Habari nzuri kwa team Russia 🇷🇺🙏🙏

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา +3

    Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

  • @MAHAN-SMART
    @MAHAN-SMART 5 วันที่ผ่านมา +8

    Ilo kombora Russia ikishindwa kulifanyia uchunguzi linapelekwa china hapo ndio inakua mwaisho wake utaskia china na yeye ana makombora ya atacams anauza

    • @makanjamkabila
      @makanjamkabila 5 วันที่ผ่านมา +3

      Kwani wewe unaona wa china 🇨🇳 wapo juu kwa technology ku zidi russia 🇷🇺

    • @hashimumwinyi2239
      @hashimumwinyi2239 5 วันที่ผ่านมา +1

      Iran baba linaenda mabingwa wa reverse

    • @user-zd1zc8dr1f
      @user-zd1zc8dr1f 5 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@makanjamkabilawachina wana copy hatareeee

    • @AjudeKaluwa-bp1zz
      @AjudeKaluwa-bp1zz 4 วันที่ผ่านมา

      Tena wanaboresha zaidi

    • @sirpaza8513
      @sirpaza8513 4 วันที่ผ่านมา

      Urusi na Marekani ndio top. China wanakuja kwa kasi

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 4 วันที่ผ่านมา

    Safi sana Urusi

  • @jumamussantuiche
    @jumamussantuiche 5 วันที่ผ่านมา +2

    Urusi anaga baiya

  • @SelemaniMeena-oo3os
    @SelemaniMeena-oo3os 5 วันที่ผ่านมา +1

    Urusi kuichalenji marekani ni rahisi mno, ila marekani kuichalenji urusi ni ngumu mno

  • @PatrickKagiraneza-ok8cw
    @PatrickKagiraneza-ok8cw 5 วันที่ผ่านมา +1

    Ufanisi mwema kwa urusi...

  • @BenPeter-vp2cy
    @BenPeter-vp2cy 5 วันที่ผ่านมา +2

    Apa US kapokea wastan kwa idadi

  • @theempire4058
    @theempire4058 5 วันที่ผ่านมา +2

    Alafu ukija kwenye ule ushabiki wetu wa kipumbavu mtu anakuambia mrusi yupo juu kwa silaha wakati hapa tu kabomu kadogo kanatoa jasho, aya hatujui kuna mengine mangap tofaut bado mmarekani hajayatoa, putin ajifunze na ajipange kupitia hili kutengeneza silaa za kisasa.

    • @HarounRashidKuyawa
      @HarounRashidKuyawa 5 วันที่ผ่านมา +1

      kwenye mfumo wa ubongo wa binadamu hakuna binadamu mwenyewe kujua Kila kitu,Kwa hiyo technology Kila mtu ana yake,kujua ya mwezako kuna faida mara mbili,na kuhusu silaha Urusi ndio nchi yenye mabomu Hatari Zaid ya nuclear kuliko nchi yeyote duniani,Acha undezi fatilia utambue

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      Ww choko hujielew mrusi ndo mweny technology zaid ya hao mashoga

    • @theempire4058
      @theempire4058 5 วันที่ผ่านมา

      @@omarymwaluko9765 tuache ushabiki usio na maana, umeona apo kabisa urusi ndo anaanza kujifunza uo mfumo afu unasema urusi iko juu

    • @theempire4058
      @theempire4058 5 วันที่ผ่านมา

      @@omarymwaluko9765 poa

  • @vumiliamgingu1579
    @vumiliamgingu1579 5 วันที่ผ่านมา +4

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿 🔥

  • @ngendakumanajeanmarrie7490
    @ngendakumanajeanmarrie7490 5 วันที่ผ่านมา

    🎉
    Nice urusi ikojuu

    • @paschalcosmas6093
      @paschalcosmas6093 5 วันที่ผ่านมา

      Unajielewa kweli wewe?...wakat mwenzio hajapata ufumbuz wa hilo Bomu hlf ww unasema yupo juu?...je, hujui kuw makombora mangapi yenye high technology ambayo Marekan kayaficha?

    • @ShawnBeatz
      @ShawnBeatz 5 วันที่ผ่านมา

      Unabishana na machawa wa putin😂😂😂​@@paschalcosmas6093

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@paschalcosmas6093marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

  • @KenedyThabiti
    @KenedyThabiti 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nani kakudanganya kuwa urusi ananguvu zaidi duniani

  • @user-ow6fw2lw7n
    @user-ow6fw2lw7n 5 วันที่ผ่านมา +1

    Urusi ni mwamba wa vita duniani

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha1193 5 วันที่ผ่านมา

    😅😅 yangu macho na masikio muache mwenye ngufu apite

  • @Maxtechtv
    @Maxtechtv 5 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂 kichwa vita

  • @omarymwaluko9765
    @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา +1

    Urusi kiboko ya mashoga

  • @abdulrazack9577
    @abdulrazack9577 5 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa wamelipataje

    • @thefactbook...1607
      @thefactbook...1607 5 วันที่ผ่านมา +1

      Katika vita kupata silaha za adui ni kawaida kuna njia mbili 1. Jamming(electronic warfare) 2. Lilitunguliwa kabla ya kulipuka ila namba 1 ni uhakika zaidi.

    • @hamzamasoud9120
      @hamzamasoud9120 5 วันที่ผ่านมา

      @@thefactbook...1607 vile vile linawezwa kumiss Fire (kutoripuka)

  • @CalebThomas-ie4zy
    @CalebThomas-ie4zy 5 วันที่ผ่านมา +3

    Warus wapo vzur sana kivita ila marekan ananguv kubwa ya washirika hii ndio itampa ugum putin

    • @mohamedngoshani2067
      @mohamedngoshani2067 5 วันที่ผ่านมา +1

      Uko vzr

    • @nick1o7bang17
      @nick1o7bang17 5 วันที่ผ่านมา +2

      Marekani anatumia nguvu putin anatumia akili mingi tatizo linaanzia apo

    • @theempire4058
      @theempire4058 5 วันที่ผ่านมา +2

      Kuweni na akili na acheni kugeuza mada kinachoongelewa hapa ni silaha mpya alizonazo mmarekani ambazo mrusi hana, kwa maana iyo putin anatakiwa awe makin kwa hili kumbukeni hii kwake ni silaha mpya na wanaanza kujifunza

    • @eliasaNgahehwa-l2f
      @eliasaNgahehwa-l2f 5 วันที่ผ่านมา

      Kila mtu ana technology yake yake, ​@@theempire4058

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@theempire4058ww choko urusi anasilaha kali kuliko hao mashoga

  • @rashidmaty7824
    @rashidmaty7824 5 วันที่ผ่านมา +2

    Ww Aly twakujua ni team west ww

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 5 วันที่ผ่านมา

      Ally ni Hana UPANDE kama smaa iyo HABARI ni toka juzi

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 5 วันที่ผ่านมา +1

      Naww tunajua ni team Russia kwaiyo tulia

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา +1

      Ali kashakuwa mwanachama wa. mashoga

    • @josephwilliam5813
      @josephwilliam5813 5 วันที่ผ่านมา

      @@omarymwaluko9765 anachokiripoti ALLY ndicho kimeripotiwa na vyombo vingine vya kuaminika vya kimataifa HATA vile pro Russia

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 5 วันที่ผ่านมา

    Marking wafanyia uchinguzmakombora ya urus iskanda

  • @user-nw1zz5xg2d
    @user-nw1zz5xg2d 5 วันที่ผ่านมา

    Ujanja nkuwahi hii ndio karata ya vita

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 5 วันที่ผ่านมา

    mbona watu munaona hii ni big deal munaijua fab 3000?

  • @user-go3xe4mk4w
    @user-go3xe4mk4w 5 วันที่ผ่านมา +3

    Mmarekan ndio mkali wa hz kaz kwahiyo kaen kwa ku2lia na bd

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      Marekani mashoga wadhaifu ndo mana silaha zao mrusi anazikamata ila mrusi mjanja silaha zake anazificha wasijue technology yake mana mrusi ndo mweny technology kubwa zaid duniani

    • @hamidamussa-sy4fm
      @hamidamussa-sy4fm 5 วันที่ผ่านมา

      Marekani ananguvu

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 5 วันที่ผ่านมา +1

      ukapimwe akili kwanza😂😂😂

  • @minanifreddy6969
    @minanifreddy6969 5 วันที่ผ่านมา +1

    Sns ya warusi

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      Mashoga hawana jambo wanapigwa tu

    • @user-ww5iu4gz4b
      @user-ww5iu4gz4b 5 วันที่ผ่านมา

      Ww pinga kwa hoja tu wenzio wanaleta nondo za uhakika sasa ww kataa kwa logic na facts sio useme ya urusi tu ww pinga kwa hoja za msingi mtu kuchagua wapi apende haikatazwi hata ww penda marekani ila ukija na habari hapa njo nayo ilionyooka

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@user-ww5iu4gz4bwatuleteye nondo za huko tanzania ili tuahelewe

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 5 วันที่ผ่านมา

    👁️👁️🇫🇮🇫🇮🤝

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 5 วันที่ผ่านมา +4

    🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿❣️👑

  • @directortwicep3028
    @directortwicep3028 5 วันที่ผ่านมา

    Ujanja wote wa Mrusi anaanza kulifuatilia kombora la mmarekani 😂
    Hawa jamaa teknolojia bado na mmarekani hawezi peleka kwasasa silaha more advance ukraine hilo kombora lakitambo na bado linawapa wakati mgumu mrusi 😂😂😂

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha1193 5 วันที่ผ่านมา

    Mrusi ni baba sio sadam au kadafi

  • @jeromeshirima2053
    @jeromeshirima2053 5 วันที่ผ่านมา

    Kwanini was display why isingekuwa silently

    • @ElisalMasawe
      @ElisalMasawe 5 วันที่ผ่านมา

      Hapa watakua wamepata JB bt wanacheza na akili ya us waone action hivyo hiyo action ndo itawaxaidia

  • @kanutimosha1193
    @kanutimosha1193 5 วันที่ผ่านมา

    Kama afngastani ilimshinda mmarikani je baba putini

  • @InnocentZamkulu
    @InnocentZamkulu 5 วันที่ผ่านมา

    Wakigundua hilo Marekani ita tengeneza next level 💯

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      Marekani mashoga Urusi ana technology kubwa zaid yake

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@omarymwaluko9765we shabukia ila hacha kudanganya watu

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 5 วันที่ผ่านมา

    Putin afe

  • @furahafrank8267
    @furahafrank8267 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nina sikia huu mfumo unamutesa murusi.

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 5 วันที่ผ่านมา

      Kvp wakati anayaharibu kila siku

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 5 วันที่ผ่านมา

      ​​@@mustafamasudi8093wameyaharibu lini wakati hapo mchambuzi anasema wamepata tabu kuyaharibu mpaka wamechukua wataalamu kuyachunguza au hujaelewa kinachoongelewa?

  • @yonathanbanyikwa1813
    @yonathanbanyikwa1813 วันที่ผ่านมา

    Propaganda nazo zipo

  • @Badvoice707
    @Badvoice707 5 วันที่ผ่านมา

    Mmarekani humuwezi kirahisi hivyo aligundua atomic wa Japan wakasalit amri 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @SaidiMkome-qq7hy
      @SaidiMkome-qq7hy 5 วันที่ผ่านมา +1

      Urusi sio japana soma hostory

    • @Expl0rer.
      @Expl0rer. 5 วันที่ผ่านมา +1

      ​@@SaidiMkome-qq7hy 💯💯 Urusi anaongoza ktk nyuklia . 💪

    • @YohanaMasebo
      @YohanaMasebo 5 วันที่ผ่านมา +2

      Akili yako ni kizibo

    • @user-tq4lx9si1n
      @user-tq4lx9si1n 5 วันที่ผ่านมา

      Japan hanamzd urusi kiraktu hacha ujinga naunaz Japan ashawai kumchakaza urusi vbaya mno urusi yesta hanapata ushnd kwa watoto kama mwenzake Netanyahu harafu wana vmba kichwa wababe hajakutana nasaiziyao​@@SaidiMkome-qq7hy

    • @ManOfSteel-2ruku
      @ManOfSteel-2ruku 5 วันที่ผ่านมา

      Fuatilia vizuri science ya atomic bomb haikugunduliwa na mmarekani Bali mjerumani ndiye aliyeanza kuitengenesa kwa kuwatumia wafungwa wa kiyahudi mwaka 1944 lakini kwa bahati mbaya mwaka huo wakati wakiendelea na utengenezaji wa silaha ujerumani kipindi hicho Vita ilimgeukia vibaya kukawa hakuna coordination nzuri katika jeshi la ujerumani vikosi vyake vilitawanyika ndipo mmarekani akapata taarifa ya kwamba mjerumani yupo kwenye hatua za utengezaji wa silaha kubwa ya maangamizi, ndipo marekani akatuma askari wake wa kijasusi kwenda kudukua BLUEPRINT ya Technology hiyo, hatimae mwishoni mwa 1944i na mwanzoni mwa mwaka 1945 marekani akaikamilisha kuunda bomu la atomic na kwenda kumpiga swahiba wake mjerumani ambae ni mjapani aliyekuwa akimsumbua mmarekani kama mbu mwenye kiu ya Damu,
      N.B wakati marekani ametuma majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa uundaji huo Mrusi pia alipata taarifa ya sakata hilo hivyo Mrusi ilimbidi atume majasusi wake kwenda kudukua utaalamu wa bomu la nyuklia,
      Mwisho, Ujerumani ndiyo ilikuwa nchi yenye teknolijia kubwa ya kijeshi kipindi cha Vita ya pili ya Dunia kuliko nchi yeyote ile, na baada ya kuanguka kwake nchi kubwa ziliiba utaalamu mwingi wa kijeshi kutokea kwake, mfano utaalamu wa silaha za Maroketi nchi za marekani na urusi ziliiba ujuzi kutokea kwa mjerumani✌

  • @GodenBMDaniel
    @GodenBMDaniel 5 วันที่ผ่านมา +4

    Urusi ndiyo inchi pekee yenye nguvu zaidi

    • @InnocentZamkulu
      @InnocentZamkulu 5 วันที่ผ่านมา +1

      Nguvu za kushindwa kumaliza vita ambayo walidai watashinda kwa wiki mbili. Bali leo imekua karibu miaka.

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      ​@@InnocentZamkuluurusi anapambana na mashoga wote duniani kupitia Ukraine

    • @user-ig3qn9zw6b
      @user-ig3qn9zw6b 5 วันที่ผ่านมา

      Mashoga wanasapoti tuu. Vita imemukuana ngumu tu. ​@@omarymwaluko9765

    • @ShekhMufyd-mn9zn
      @ShekhMufyd-mn9zn 3 วันที่ผ่านมา

      @@InnocentZamkulu hujui kitu wew urusi anapigana na NATO wew

  • @hamidamussa-sy4fm
    @hamidamussa-sy4fm 5 วันที่ผ่านมา

    Marekani ana nguvu sana

  • @ramadhanhassan5285
    @ramadhanhassan5285 5 วันที่ผ่านมา

    Ili mjue mrusi vita anaimudu mwambieni marekani anyooke moja kwa moja kunpiga urusi nadhan mtakua mmenielewa kwa wale mnao shabikia mashoga

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma 5 วันที่ผ่านมา

    Huyu Ali masubi ni mchambuzi mzuri kuliko DJ smaa angekua DJ smaa hapo ungesikia kiingerza kingi mara fuse mara logic mambo rundo hongera ali masubi

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 5 วันที่ผ่านมา +1

      ukapimwe akili kwanza😂😂😂

  • @Elizabeth-gq9kl
    @Elizabeth-gq9kl 5 วันที่ผ่านมา +2

    Warusi hawawezi kufaulu.

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 วันที่ผ่านมา

      Trump kaapa akaingia ikulu ndani ya masaa 24 iyo vita anamaliza na dalili za Trump kurudi ni 99% , na atachofanya ni kukata hela za kumpa Ukraine na kumpigia simu putin aache kushambulia

    • @omarymwaluko9765
      @omarymwaluko9765 5 วันที่ผ่านมา

      Urusi kiboko ya mashoga

    • @PAULNYANDILE
      @PAULNYANDILE 5 วันที่ผ่านมา +1

      ukapimwe akili kwanza😂😂😂, na ukifuatiliwa mpaka leo haujaolewa bwege wewe akili yako imeganda😂😂😂😂