SIKU YA TATU MGOMO WA WAFANYAKAZI KUDAI MISHAHARA KIWANDA CHA CHAI, "KIJANA AZIMIA MBELE YA DIWANI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 19

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo หลายเดือนก่อน +2

    Asha ana balaaa sana
    Njoo mjini asha uchangamsh riverside kumepoa

  • @emmanuelbernard9552
    @emmanuelbernard9552 29 วันที่ผ่านมา

    Nasikia moyo wangu kuwaka hasira kali sana ndani ya moyo wngu.Hivi kweli kweli kabsa,serikali yetu inashindwa nini ?

  • @estakapufi7582
    @estakapufi7582 29 วันที่ผ่านมา

    Nyie wenye viwanda mnaingiza pesa sana iweje msiwalipe pesa zao, hawa mnaowaona wana watoto wanasomesha wanahitaji kila kwanini hamjali nguvu zao walizotumia hii sio sahihi,kwanza kishelia mlitakiwa mshtakiwe kwa usumbufu mnaowafanyia hao wafanyakazi, ingekuwa huku ulaya yani mngelipa tu usumbufu tatizo tz mnaleta mazoea kwenye muda wamtu muda nimali sana ktk maisha ya mwanadamu, africa kunawatu mnacheza sana na muda wawatu sana sana atuzingatii muda mnachukulia powa sana.

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 หลายเดือนก่อน +3

    Natamani sanaa siku nipate hela niwasaidie wanawake 😢😢

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 27 วันที่ผ่านมา

      Mwanamke yupi 😢

  • @prosperiamdetele1421
    @prosperiamdetele1421 หลายเดือนก่อน +1

    Mh serikal mliangalie hili swala kama mwekezeji ameshindwa awaachie wanaoweza

  • @user-pw2rl5zs1v
    @user-pw2rl5zs1v หลายเดือนก่อน +2

    Ongea zenu tu zinaonesha mnazarau hamna uchungu na wananchi wanavyoyeseka kama viwanda vmefngwa simuwalipe haki zao nanyie mfunge waangalie kazi kwngine. Mnapoendelea kuwaweka hapo mnamaana Gani,

  • @aishaabrahaman9957
    @aishaabrahaman9957 หลายเดือนก่อน +1

    Polenii jamani 😂😂😂😂mama alinizaa wa nini jamani asha kawa bibi

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 หลายเดือนก่อน +2

    Bado hamjasema

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 27 วันที่ผ่านมา

    Daah😢😢

  • @StevenMgaya-h9l
    @StevenMgaya-h9l 8 วันที่ผ่านมา

    Duuu, hatar sana jaman,

  • @mwalimumstaafu8529
    @mwalimumstaafu8529 29 วันที่ผ่านมา

    Awamu ya wawekezaji. Kauli za viongozi, wawekazaji wasisumbuliwe inawapa kichwa.

  • @avitusmichael5
    @avitusmichael5 หลายเดือนก่อน

    Duuh! Kali, jamaa kazimia kainuliwa kasimama😅😅😅😅

  • @abdallahmmary8591
    @abdallahmmary8591 หลายเดือนก่อน +1

    Hakuna anaewaskia nchi inaliwa mtabakia wanyonge sana tu wakubwa wanakula

  • @LovelyFishingRod-ij7mk
    @LovelyFishingRod-ij7mk หลายเดือนก่อน

    Pole sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 27 วันที่ผ่านมา

    Sasa wanasema rais awa saidie kila mtu ana sema rais awa saidie du ina maana hakuna mkuu wa mkoa huko kwenu? Ama DC

  • @IssahNyamle
    @IssahNyamle หลายเดือนก่อน

    Njombe yangu bhn eti shika ka ten😂

  • @IssahNyamle
    @IssahNyamle หลายเดือนก่อน

    Apo nyeva makasi😂

  • @amourmunga8356
    @amourmunga8356 หลายเดือนก่อน +1

    Tz nchi yangu