Polisi ajichimbia kaburi lake, Kilimanjaro / asisitiza hakuna aliyemshawishi.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
Subscribe to our TH-cam Channel : bit.ly/itvtanzania
Facebook : bit.ly/2KeQNl3
Twitter : bit.ly/2XG7aii
Instagram : bit.ly/34KItmg
Hongera!!
Ukiandaa kaburi, jeneza unawapinguzia kazi ndg ukifa. Ila yataka moyo aisee!
Pesa uwe nazo pia.
Balaa linakuja unaenda field unaliwa na Simba,utafia wapi ama utazikwa wapi anajua Mwenyezi Mungu pekee
Mungu ibariki Tanzania pamoja na uongozi wake amina
Asante Tanzania na dunia kwa ujumla nimechoka sasa
Upo sahihi ujakosea wasio jua ndowatakushangaa
Mungu akilundi kabla ujafa kaburi litaluwa la nani kuna mandiko yasema amuezi jua siku wala saa nitarudi na nitarudi kama mwizi je akuje leo uende mbinguni kaburi lakuaje????
Kwa imani yangu yupo sahihi sana sana,
Umeshatubu zile rushwa ulikua unapokeaga
Ukiwa na pesa hushidwi na chochote
Pole kaka
Anahisi kama hela zake watakula watakaobaki ni bora azitumie mwenyewe,mali zake zinamuuma.
Ufeharaka
Pot hahaha hofu ya nini ufi leo wala kesho lazima utoboe miaka 150 utaendlea kulitunza......
Saba sita mbona umekata tamaa badala ya kumtanguliza Mungu
ubiinafsi uliozidi kiwango aisee. Hiyo 4m so bora angetoa mtaji kwa ndugu zake au watu wenye kuhitaji.
Tunatembea sisi ni marehemu tayari,kikubwa nikuacha dhambi aiseee
1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Ayubu 14:1
2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Ayubu 14:2
Anajihukumu maana kazi ya police ni kazi ya shettani .
Unaliwa na chewa hahaha
Bado ni mtundu vilevile
Sawa babu yake Lola. a.k.a baba Tunda.
Duh sabasita
Saba sita kukai jasir newe
Duh 76 ni noma
Huna akili wewe"umelogwa"askari gani wewe?kwanza unamkufuru mungu"huwezj kumpangia mungu"
Pambana na yako
Sio Jambo Baya kufanya hivyo!!
Mbona yakwakotu mbona hujengei mke wako
Shida hujamjengea na mkeo sasa si ninyi ni mwili mmoja? Au wote mtazikwa humohumo yaani wewe na mkeo
Huyu atakuwa jambazi
mmmmh huyo ni Police tena enzi zake za ujana alikuwa mchapa kazi balaa maarufu kwa jina la sabasita na ndio baba yake Tunda aka mama Lola
Makubwa kumbe niww saba Sita Usijal utaish miak 1000 🙏🙏
Je kama utapotelea baharini? Je ukiwa kwenye ndege ikawaka? Nimecheka sana maana wachaga mbege inawaharibu akili
Acha kuchanganya ukabila ndugu.hujalazimishwa kuchangia mada.