"NATAMANI KUJIJENGEA KABURI ZURI KULIKO LA BABA" - DADA WA TUNDA AFUNGUKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ก.ย. 2024
- "NATAMANI KUJIJENGEA KABURI ZURI KULIKO LA BABA" - DADA WA TUNDA AFUNGUKA
www.youtube.co...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Uyuu Mzee ni stress zinamsummbua .uyuu Mzee kasha zitafuna pesa za kiunaa mgongo zimeisha kwaiyo atawasaurishaa watoto wake ilo jambo kisha ajikoweke kama aweze kujinyonga nazani nimeeleweka hapoo Hambae Ajanielewa Aje takukulu niweze kumfumbua Akiri Asanteni VIJANA KWA KUNISIKIA Ameeeehh..♥️♥️♥️🤔🙏
Mungu alivyokua wa ajabu hafi leo wala kesho
Wanafafana ❤
Baba kashajua mtauza nyumba mgawane mali akajenga kaburi makusudi hakuna kugawana mali tena 😂😂😂 mzee mtoto wa town sana
😂😂kumbe
Sasa tukiamua c hatumziki apa alaf anaweza kufa na moto ata majivu yake yasipatikane😂😂😂
@@mdachiog5211😊
😊P
K
pOoo@@bhm675
.
Hii ni roho,ishindwe kwa JINA LA YESU.
Mama yuko wapi?
Dada tunda
Kiki imeanzia nyumbani
Nyumba za makaburini hizo😂😂😂waache wajijengee Mi nikizikwa fine nispozikwa pia fine
Kuzikwa cjui vitavu vya dini vinasema nini ila sizani kama vinaumuhimu
Ni huko keny burundi kaburi kama una hela wanajenga kamanyumba unahangalia hiii kaburi ama nini
we always pray for God to give us long life how come hi just what to dae but Mungu amuondolea hofu ya Mauti ana hofu ya Mauti tuu iwapo kila nafsi itaonja Mauti u can't just do that nonsense 😮
Sasa jamani Saba sita amemuinspire Hadi binti naye anataka ajenge kaburi lake,roho ya mauti hiyo muikemee
Kiukweli mtu moja anaweza karibisha misiba nyumban 😢😢😢
Amewapunguzia mzigo safari yake inakalibia baba
si jengeni majumba mazuri zaid ya ayo makaburi yaan kip kinakufanya mpaka mtu unakufuru kiasi iko
Mh
Huyu mwamba hakika ni muadilifu wa nchi yake.
Tokea alipokuwa anafanya kazi Arusha, alikuwa akiwakamata wazururaji anawafunga mashati, Kisha anawaambia muelekee polisi.
Yeye yuko mwenyewe ila watuhumiwa mnaweza mkawa 30 mpaka 50.
Wakati mnaelekea polisi, yeye anasimama na kuongea na jamaa zake.
Sasa km ww ni lofa, utafika polisi, wajanja walikuwa wanasepa.
Hakuwa na hila huyu mwamba...
Ujaolewa
Ali kuambia kuolewa tunzo Nani?????
@@ivyaguas2171sindoapo😂
@@ivyaguas2171na shangaaa
Nguvu za Giza yaani nyie mnawaza kujenga makaburi mkiwa hai
Kumbe wote warembo
Nyumba haitouzwa tena😅😅😅
Kweli Mzee ameona mbali, huyu atakuwa amesoma Cuba😅😅😅😅
Hahahaaaaa
Hawa hitaji
@@paulmushi2428p.
Ni ukosefu tuu lakini si vizuri kuuza nyumba ya urithi kwa sababu ni kumbukumbu kwa vijukuu
Dada ajaolewa
huko ni machame😮
@@willykaovela5485😅😅😅
Kumbe tunda man n mchaqa au n tunda mwinqinne
Sio Tundaman ni ni Tunda ambae ni mama LoLa aliezaa na Wozu
mwambieni bado ac ajaeka
Dada tunda