asante kwa stori unazotupatia.Aliye juu Mbinguni, muumba wa vyote aendelee kukulinda. Mtafute Mchungaji Amieli Katekela wa Tanzania Assemblies of God, mkoani Geita. ana shuhuda kali.ubarikiwe sana.
kuzimu nikama dunia jinsi unavyoijua kila kijiji kina mtalawala wake,kina wilaya inamtawala wake mkuu,kila mkoa unawakuu wake sasa usishangae kusikia kuwa alikuwa malkia kuzimu ni moja ya sehemu za kuzimu ndo alikuwa malkia.
Davista tunahitaji pia stori za maisha tofauti na uchawi mfano wale mabaharia waliowahi kuzamia meli na kupata mikasa mikubwa kuvuka boda na mateso wanayopata wakiwa ugenini na mambo mambo ya huko
asante kwa stori unazotupatia.Aliye juu Mbinguni, muumba wa vyote aendelee kukulinda.
Mtafute Mchungaji Amieli Katekela wa Tanzania Assemblies of God, mkoani Geita. ana shuhuda kali.ubarikiwe sana.
Dav hbr yako, mtafute Katekela anapatikana kahama anastor nzr htriiii ukimhoji ww itapendeza Kuna vitu anavyo natamani ufanye naye kipindi,
Katekelo ni next level walahi
niambie Jina la story yake au nitumie link please@@naomicharles5444
@@saleemsuleiman2220 ni mchungai nenda promover TV kajaa tele
Okay.ngoja nisikilize hadi mwisho
Leo tupo kuzimu jamani njooni
mtangazaji Bwana Yesu Asifiwe, ulisha mpa Yesu maisha? au hizi shuhuda azikujengi?
Davista asante kwa kutuletea stori japo kuna mda zinatisha jmn yan naogopa sanaaaaa
Ila hongera kwa stori nzuri
karemboooo
Pamoja Davister Mr Everything story poa
kila mtu akitoa shuhuda anasema yeye alikuwa mkuu malkia sijui mfalme wakuzimu sasa uko kuzimu kuna wakuu wangapi
kuzimu nikama dunia jinsi unavyoijua kila kijiji kina mtalawala wake,kina wilaya inamtawala wake mkuu,kila mkoa unawakuu wake sasa usishangae kusikia kuwa alikuwa malkia kuzimu ni moja ya sehemu za kuzimu ndo alikuwa malkia.
Mmeendana sana simsababishe tule ubwabwa TU😋
😀😀😀 kiumbe hatar
Wachaga tujuane
Tupoooooo
Aika mbe
Hivi kati ya wakibosho ,wamarangu,wamachame,warombo,wasia, wa old moshi,wa rau ni wapi wachaga original
MUNGU HAJAWAI SHINDWA KAMWE
Pamoja saana Mr everything 🔥💯
Eeh Mungu tupe umri tueze kulea watoto wetu!
Mmmh
Davista tunahitaji pia stori za maisha tofauti na uchawi mfano wale mabaharia waliowahi kuzamia meli na kupata mikasa mikubwa kuvuka boda na mateso wanayopata wakiwa ugenini na mambo mambo ya huko
Walete awahoji maana yeye ajakutana nao bado
Watafute ukawahoj wewe alafu msikilize na familia yenu
Hili ni wazo zur,ila kuwapata hao watu ndio changamoto kama kuna mabaharia unawafaham msaidie davista kuwaunganisha nao
Ahsante kwa nafasi nyingine tena ya kujifunza.
Watatu
J.BOYS 1999
Kuongea anaongea mwingine we gras za maji aziishi😂
😲
Mbna umefeli kaka,dada hata haonekani tunasikia sauti tu
Kiini ndo nini mudada?
Chanzo ( source )
SIKU hizi bro huna story kali kabisa, jaribu kwenda hata kenya
tatizo mnasikiliza story kwa starehe siyo kujifunza humlipi humchangii hata anchokileta unakiponda aisee