Ni Headlines za kundi la United kings of Africa (UKA) ambapo Mei 22, 2021 wametangazwa kuwa washindi wa Uni Talent ambapo wameibuka kuwa washindi wa Milioni 10. .
Mimi nilishasema kabisa hawa jamaa wasipopewa ushindi basi naandamana,nilishatoa tamko rasmi kabla hata hawajafika makundi BIG UP SANA KWAO MOLA AWAJALIE KIPAJI KIZIDI KUKUA #UNITED KINGS OF AFRICA (UKA)🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Hawa jamaa wamedeserve kushinda kwakeli.Kucheza watu wengi wanaweza lakini creativity ndo inafanya dance ionekane kali zaidi.Hawa jamaa creativity yao ni next level tangia mwanzo wa mashindano.
Jamanijamanijamani hawa jamaa n so creative cijapata kiona yan ni fayaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥?fayaaaaaaaaaa mara ya 20 naangalia hii videeo ndoja nikaweke banndo nirud
Hamna maajabu apo, hata composition nyenyewe haikua kali kivile, madogo hawakuwa na challenges ya kundi jingine ila wamejitaidi.. ila wamecgeza kirahisi sana. Ila hongereni mmejitahidi ila sio sana.
Hujanielewa kumbe, yani ata ayo magroup mengine yalikua hayana ushindani sana.. ila kulikua na group moja lile la wakanda ndio kidogo walikua wanawachaleng.
Mimi nilishasema kabisa hawa jamaa wasipopewa ushindi basi naandamana,nilishatoa tamko rasmi kabla hata hawajafika makundi BIG UP SANA KWAO MOLA AWAJALIE KIPAJI KIZIDI KUKUA #UNITED KINGS OF AFRICA (UKA)🙏🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥
Hawa jamaa wamedeserve kushinda kwakeli.Kucheza watu wengi wanaweza lakini creativity ndo inafanya dance ionekane kali zaidi.Hawa jamaa creativity yao ni next level tangia mwanzo wa mashindano.
Hawa jamaa wanajua mpaka wanakera, wapo vizuri balaa! All the best kama mtaichukukulia ni carrier!
Wasingeshinda hawa walah nikuwaonea maan wanajitahid mno
United Kings of Africa.. U deserve every single scream wenzangu...keep up the dance spirit
Wooooow wooooowww nimefurahi jamani nawapenda sana
I love the show we need it in Kenya Eldoret
That was a slap of the century, who else saw that???
Jamaa wametumwa kuBooo' ila automatic shangwe linawazidi 😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nimechekaa kwa sautiiii ety yeeaaah wametumwa kuboooooooo
Ni haki yao kushinda Jmn wapo vzr
Hadi raha 👏👏
Hawa madogo walistahili ushindi wamepambana..
Well done brother's 👏👏😍😍
Wamestahili😍
Aiseeh tunategemea mengi kutoka kwenu ,,,,,,yani mnajua mpaka mnakela ni 🔥🔥🔥🔥,,,
Km vipi anzisheni official account ya TH-cam tupate vitu vyenu,,
Stage lights kuna muda hazikai poa waandaaji waliangalie hilo kwa better version of UniTarent ..
Jamanijamanijamani hawa jamaa n so creative cijapata kiona yan ni fayaaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥?fayaaaaaaaaaa mara ya 20 naangalia hii videeo ndoja nikaweke banndo nirud
Shida ya Aya mashindano yanachanganya vitu ving....Hapohapo waimbaji dancers comedian....So n ngum kuelew aiseee
Iko powa
sehemu sai kabisa ubingwa
Awo jamaa wanakipaji Cha Hali ya juu nimeanza kuwafuatilia mwanzo Mpaka leo 👏👏👏
They deserved🤩🤩🤩🤩
Well done guys
Pure talent
Yan hawa madogo wasinge shinda ngeandamana kwa kwel
Hata mimi🤣🤣🤣🤣
Wamebebwaa hawaa
Haloo sio poa💥
Awajamaaa mmmh
vijana wametisha sana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Aaa awa jamaa ni majini mzee co watu
mimi nilijua toja mashindano yana anza
Jaman niambien iyo song ya teamo nani aliimba naipenda
Simi inaitwa running to you
Unyamaaaaaaa
Jmn napenda dance one day yes mfankiwe mfke mbali
Jamaa wanajua kinyamaaa
Walistahili mno💥💥💥💥💥💥💥
Wanajua balaa
Wametisha sana nitawatafuta nifanye nao vidio
She like de way i woo✌️🤤🤤
Hatari
someone tell me the name of the second song...its nice
Mbn kelele sasa wengine sauti mbaya
Kaka Milardiayo ulianza kuleta lini mbwa kwenye vipindi vizuri vya dance
😂😂
hatare
Gud
🔥🔥🔥🔥🔥
❤️❤️❤️❤️❤️
Hao wanaosema boo sasa
Waliokua wanasema booo ni wachawi
Ako ka song kanaitwaje cjui wait for u nimekaelewa aisee jina plz nikatafute
Adi nawapenda bure 😍😍😍😍
Waliua sana
Washikaji wabad sana
Wanastahili ushindi
Hata hamorapa anaweza rahisi sana
Kabisaaa wamecheza kawaida Sana Labda competition ndogo
😂😂
Shkamooo security 😄😄😄
G nako katisha kwa mikato aliyotupia ..
Mbna wngne wana boooo
Don't mind about the booooo just keep killing dem bad
Nasikia buuuu
😂😂
Haters... 😏
Hawasenge makelele
Kiukweli wamestahili kuwa washindi
Jaman wimbo wa tatu ulotumika hapa unaitwaje ni wa nani
#runningtoyou🤥
Kuna watu wanapambana kuwazomea lakini bado saut hazitoshi haahhahaaa
Why people have to boo to these guys?
Kmk wanao sema buuuu hawa jamaa wameshinda kwa jasho na dam since day one
Unapig mailings Nini mashabiki
🔥🔥🔥🔥
Kuna watu bwana😂😂😂😂😂😂buu buuu mtakua mabubu
Ao wanao boo ni mashoga mikundu yao ina wawasha
Hao ni tasuba
Nilijua tu maana hawa ni hatr
now i see how Tanzanians are jealous..with those boo😂
Not jealous, dummy rivals competition tricks
Sijaona ukali hapo ila kwa mwanzo ndo imewabeba
Kizur kipewe sifa
Utakuwa wale wa bouuuuuu sio siri, hawa jamaa ni noma sana
Kama uliona securty kamakamata piss rasta akaiachia ishangileie
Like hapa😅
Yan kuna mashoga apo yanasema buuuuu...afu niyakiume kmk zao..
Ni wivuuuu tu unawasumbua
th-cam.com/video/BOzi1xnet3Q/w-d-xo.html
💥💥💥💥💥
Boo🙈🤣🤣🤣🤣
Wanga h awa
tangu mwanzo niliwawekea imani ya ushindi
Yani yanakera so mtulie mavi nyie msikiliz shoo
Wafundishen mashabing kushangilia kwa vipengel
Uuuuh Nini washamba nyie
Utopolo tu hapo Hakuna kitu
Hamna maajabu apo, hata composition nyenyewe haikua kali kivile, madogo hawakuwa na challenges ya kundi jingine ila wamejitaidi.. ila wamecgeza kirahisi sana. Ila hongereni mmejitahidi ila sio sana.
Uliangalia?
Sa nitasema kitu ambacho sikijui?
@@Hanskapella hawakuwa na challenge ya kundi jingine unamaanisha nn? Maana kulikuwa na waimbaji pia
Hujanielewa kumbe, yani ata ayo magroup mengine yalikua hayana ushindani sana.. ila kulikua na group moja lile la wakanda ndio kidogo walikua wanawachaleng.
@@Hanskapella Poa poa mzee baba nimekusoma
Sasa hizo ng'ombe vip zinalia bila mpangilio
😂😂