KISA CHA MFALME SULEIMAN NA WAKE ZAKE 700 NA MAKAHABA 300

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 มี.ค. 2020

ความคิดเห็น • 67

  • @kwayaviwawaparokiayabashne9281
    @kwayaviwawaparokiayabashne9281 2 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki sana kwawale wanao fanya kazi yake Mungu

  • @barakambise181
    @barakambise181 10 หลายเดือนก่อน +1

    Amina

  • @charlesmashaur4487
    @charlesmashaur4487 4 ปีที่แล้ว +4

    Anaesema uoungo labda kuna suleimani wawili tofauti!!!!

  • @ashiraf997
    @ashiraf997 ปีที่แล้ว +1

    saf

  • @geraldswai5492
    @geraldswai5492 4 ปีที่แล้ว +1

    Amin

  • @madamanney
    @madamanney 4 ปีที่แล้ว +1

    Amen

  • @shokajr9714
    @shokajr9714 4 ปีที่แล้ว +2

    Nimependa ulivyopangilia hadith na beat. 👏🏽👏🏽

  • @manenoneno8243
    @manenoneno8243 4 ปีที่แล้ว

    Amin unachoamini

  • @abubakarmpole4000
    @abubakarmpole4000 3 ปีที่แล้ว +1

    Mal uun mkubwa, Suleiman n mcha Mungu, c mzinifu

  • @johnshedrackjansohn8984
    @johnshedrackjansohn8984 2 ปีที่แล้ว

    Unatafta masilahi hii kazi haikufai faida utapata

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 ปีที่แล้ว

    Concubine refers to a woman who lives with a man to whom she is not married. Although a concubine serves the functions of a legal wife, she does not enjoy any rights in a family or any spiritual comforts. ... A concubine is denied certain legal protections.

  • @petrojohn8250
    @petrojohn8250 4 ปีที่แล้ว

    Sijawahi kulipenda Jina Daudi

  • @pascalkabombe1194
    @pascalkabombe1194 4 ปีที่แล้ว

    Biblia imemtaja kahaba kwa jina la kahaba, lakini hakuna sehemu wale masuria wametafsiriwa kama makahaba

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege3426 3 ปีที่แล้ว

    Mmmh unamzungumzia suleimani yupiii???

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 ปีที่แล้ว

    Nilimaanisha "MASURIA"

  • @abuuasma3616
    @abuuasma3616 3 ปีที่แล้ว +1

    Ndugu staili nyingine za kutafutia kiki msiwachafue manabii kwakuwaita wazinifu hiv ww mpagani nn shik adab unapo wataja mnabii

  • @ismailkaita8183
    @ismailkaita8183 3 ปีที่แล้ว +1

    Kama unamkusudia mfalme nabii Suleiman na kumsingizia uzinifu subiri hukumu yako

  • @mariammalilo7125
    @mariammalilo7125 3 ปีที่แล้ว

    Kuweni wa islamu

  • @jaffarujudi3440
    @jaffarujudi3440 3 ปีที่แล้ว

    Acha uhuni

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 3 ปีที่แล้ว

    Ni KOSA, KOSA KUBWA kusema Sulemani alikuwa na "makahaba"! Walikuwa maauria (concubines) na sio harlots. Kahaba ni mwanamke anayelala na yeyote anayetokea, mara nyingi kwa ujira. Lakini suria ni mke asiye rasmi. Ndio maana hao 300 walijulikana. Haikuwa siri kwamba mwanaume wao alikuwa Suleimani.

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว

    Nafata simulizi ambazo zimesibitishwa na adisi za mutume muhamadi naadisi zake sahihi mangine yote uongo mutupu MUTUME MUHAMADI S.A.W ndio anajuwa kweli wote wa historia za manabi

  • @casmirialfred6135
    @casmirialfred6135 ปีที่แล้ว

    Watoto wa mfalme suleiman

  • @salujuma6873
    @salujuma6873 4 ปีที่แล้ว

    Hakuna nabii alie kua na kahaba wala hakuna nabii alie zini msidanganye watu

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 4 ปีที่แล้ว

    Mosque na makanisa ya zamani ni illuminate.

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 ปีที่แล้ว

      A devil worshiper like you thinks negative about the he almighty God.

    • @mtuwawatuhoyee6549
      @mtuwawatuhoyee6549 4 ปีที่แล้ว

      @@hanifaali9526 so sorry to be one of them.

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 ปีที่แล้ว

      @@mtuwawatuhoyee6549 go to where you belong, and deceive those who will agree to fall in your stupid acts.

    • @mtuwawatuhoyee6549
      @mtuwawatuhoyee6549 4 ปีที่แล้ว

      @@hanifaali9526 truth pain but be a man.

  • @paulkichele8165
    @paulkichele8165 3 ปีที่แล้ว

    Suleiman alizaliwa na nan?

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 ปีที่แล้ว

    Apo uongo tu wawaeungu ata bibilia sio kitabo ca mungu bali kunabahazi ya maneno yamungu ambayo hayajacafulia mengi watuwameandika watakavyo nasikweli subirini Allah atawahukumu stori za ongo wake kama mufalme hakuwaeulumu kunashida gani wewe muongo

  • @hamisjangala6759
    @hamisjangala6759 4 ปีที่แล้ว +1

    Wakristo n waongo

    • @macksokaempire5233
      @macksokaempire5233 4 ปีที่แล้ว +1

      Unakosea kila mmoja na imani yake na njia yake pia

    • @hamisjangala6759
      @hamisjangala6759 4 ปีที่แล้ว

      Hayo umeyatoa wap kama s uongo

    • @manenoagrey1090
      @manenoagrey1090 4 ปีที่แล้ว

      @@hamisjangala6759 Biblia takatifu

    • @mbcgrams5415
      @mbcgrams5415 4 ปีที่แล้ว

      @@hamisjangala6759 yote yameandikwa kwenye Biblia

    • @Mrdigital.
      @Mrdigital. 4 ปีที่แล้ว

      Don't judge the religion cause those you judge trust God

  • @mabrukjuma3878
    @mabrukjuma3878 2 ปีที่แล้ว

    Wewe zungumzia vyongozu waupuzi walioko duniani hawa BT sio manabii unakosa adabu kwamungu kila nabii mungu ndio humfungisha ndoa

  • @ldyialemah5244
    @ldyialemah5244 4 ปีที่แล้ว

    Makahaba ndivy ilivyoandikwa kwenye biblia???

    • @hanifaali9526
      @hanifaali9526 4 ปีที่แล้ว

      Bibilia inakasoro nyingi.

    • @kindolek9257
      @kindolek9257 4 ปีที่แล้ว

      Kahaba, suria Kwa lugha tulioziea "hawala"

  • @mabrukjuma3878
    @mabrukjuma3878 2 ปีที่แล้ว

    Tubu wewe kwaupuzi huu hakuna mtume wamungu aweza kuoa kahaba manabii wote niwasafi ,fata wachambuzi wamasomo yadini wakuelimishe lasivyo utajuta

  • @manenochales6954
    @manenochales6954 4 ปีที่แล้ว

    Huyu anaongea uongo

  • @maspro6294
    @maspro6294 3 ปีที่แล้ว

    Hizi hadthi zako za biblia ni kutunga tuu uongo mtupu

  • @ameali1251
    @ameali1251 4 ปีที่แล้ว

    Lanatullah uongo mtupu . Suleman hakukufuru tena ni mcha Mungu .

  • @fadhilisaidi685
    @fadhilisaidi685 4 ปีที่แล้ว

    Acha uwongo unapotosha watu

    • @paschalkadama7327
      @paschalkadama7327 3 ปีที่แล้ว

      Acha kuchafua biblia hakuna sehemu iliyoandikwa ni dhambi kuwa na mke zaidi ya mmoja

    • @ilkayexquisite7592
      @ilkayexquisite7592 3 ปีที่แล้ว

      @@paschalkadama7327 Tafadhali kama hujui usiseme hamna soma biblia yako. Kumbukumbu la Torati 17:17 na 1 Timotheo 3:2

  • @georgekinyanjuinjeri9996
    @georgekinyanjuinjeri9996 4 ปีที่แล้ว +1

    This nothing new it all written in the Bible

  • @charleswarioba4071
    @charleswarioba4071 4 ปีที่แล้ว +1

    Unaongea Kama unagundii mdomoni

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 3 ปีที่แล้ว

    Amen