sasa unaekupiga kura anaeesabu kula kachaguliwa na rais anaetangaza matokeo kawekwa na rais anaelinda kula anapangwa na rais sasa apo unaenda kufanya nn
Kodi TRA 2.kodi panispaa leseni 3.kodi panispaa service levy 4.kodi WHT 5.Kkodi ya jengo manispaa 6.kodi ya bango manispaa 7.kodi ya usafi manispaa 8.unalipia ulinzi 9.unalipia rola za risit 10.umlipe mfanyakazi 11.umlipe mwenye frame 😢😢😢😢😢 Unabakia na faida utoboe maisha Selikali ya kishetani hii 1
Kodi jamani zimezidi kodi kila kona simu utumiwa pesa kodi kuza kodi ikingia simu au bank kodi zimezidi sana sana Rais wetu kipenzi pls angalia hii inaweza kuwa usumbu alafu kodi wekeni 10 itatosha kila mtu atalipa jamani hii watu kama vicha a unapesa selikali inawinda kuzichukua kweli imezidi imezidi makodi ambayo sio muhumu ili liangaliwe makini
Ndio wanataka fi extinguisher inshort mambo ni mengi.mpqka kodinya pango unalipa pango mwenye nyumba then odi tena ya ❤pango hilo hilo la mwenye flem unalilipia tena tar ss kwann mwenye nyumba asilipishwe na nyie tra kama kodinya kufanya biashara ya flem nyumba mpqkq mpangaji alipie yaan hata aieleweki kodi zote anaangushiwa mfanya biashara imekuwa tabu kubwaa
Umeongea sawa dada pole sana,..lakini sio kuwa mama samia awasikilize wanawake...me naona anatakiwa kuwasikia wananchi wote....msipende tu kusema mama awasikilize wanawake na rais akiwa mwanaume mtasemaje?
Wakati mama anakopa walisema anaupiga mwing leo madeniyawatu yamewabana wanataka sisi ndo tupandishiwekodi tulipe ulemwingi ukowap sasa. Wakauze izo v8 walipe ela zawatu waache kutusumbua
Mgomo usio na maafa ndio mzuri...Kwanza wangejifungia ndani wasionekane kabisaa. Hata Uganda, Bei ya sukari ipo chini, wakati sukari wananunua kwetu...aibu kweli kweliiiii
nendeni barabarani kama Kenya sio kufunga maduka tu ...Kenya miamba imeenda mpaka kula chakula cha wabunge...Mna nguvu sana hamjui kuitumia...hawa TRA ninyi ndio mnawaajiri kwa nini wawasumbue ? JUENI NGUVU YENU...PEOPLEEESS POWE
CCM inajifanya Hiyo (VAT) Hawataki kushusha sasa kiama inakuja wafanya biashara wameamua kufunga maduka mwezi mmoja serekali isiposhusha (VAT) CCM PAMOJA NA UBABE WAO NA WAO WAMEFUNGA MADUKA KUBAKUBAKEE
Kuna Baba Mmoja alisema Tutamkumbuka, yaani ile ni laana kabisa. 😢
Yule atakumbukwa na familia yake kwani naye alitesa watu kwa nafasi yake
Nishamkumbuka na itaendelea kudumu kauli yake
Yaani watanzania ni wapole sana mamae!
Acha tu
Wajinga
Tunateseka na nahisi tutakufa kabla ya wakati wetu kwasababu ya maisha magumu
@@LizenMaker😂poleni😂alfu kuna wakenya hata usemi hatuna 😂
@@reginas1832mjinga babaako
Nyie tena mange akisema ukweli mnamchukia kiko wapi mange sihuwa anasema nakukuteteeni mnakuwa hamumuelewi au
Kenya walianza hivihivi,Serikali haisikilizi mpaka watu waingie mtaani kudai Haki.
Sio ndan Tu waneingia Bungeni kula mchele wa wabunge😂😂😂
Sisi ndo GEN Z na hatuchokii😅😢
@@Ibrahshayo😂😂😂😂
Bado FAYA TINGISHA jamaani
😂😂
😂😂
😂
Waje kenya tuwafunze mgomo adi ikulu au bunge
😂😂
Kesho inshaallah
Kesho inshaallah
Kesho inshaallah
Kweli mnatuzidi vtu vingi hadi dhambi 😂😂😂😂
Kenya ileeeeee inahamia
Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote.Amen
Halaf mkuu wa mkoa wa Dar anaanz kuongea utumbo,,hajui Kama serikal niwafanya biashara
Chalamila ndugu yangu hamna kitu pale ovyo tu.
Rip jpm
Msijali Kondakta atawasaidia, sasa tunamwangalia kwenye ishu siriazi kama hizi, tuone kama zile zilikua ni show off ama kulikua na utekelezaji
nawaunga mkona asilmia 100 tukopamoja kumamake
Njoeni kenya tuwafundishe mgomo.
Tuachieni na tz yetu pambaneni na hali zenu
Msione sifa bendera yetu haina uzi mwekundu kama yenu
Hapa ndipo tutamkumbuka magufuli milele yote
Milele na milele
Ishu siyo kufunga madukatu tujipange kwenye uchaguzi wa 2025 tuipige chini ccm
sasa unaekupiga kura anaeesabu kula kachaguliwa na rais anaetangaza matokeo kawekwa na rais anaelinda kula anapangwa na rais sasa apo unaenda kufanya nn
Hapo sasa@@msambalamjukuu3866
Kama bado unaamini utapata mabadiliko kupitia kura bas utakua uko nyuma sana
@@msambalamjukuu3866 nikweli lkn bila katiba yakueleweka nikazi Bure asee
@@godiegodie1336 nakuelewa umesema kweli tupu
Kodi TRA
2.kodi panispaa leseni
3.kodi panispaa service levy
4.kodi WHT
5.Kkodi ya jengo manispaa
6.kodi ya bango manispaa
7.kodi ya usafi manispaa
8.unalipia ulinzi
9.unalipia rola za risit
10.umlipe mfanyakazi
11.umlipe mwenye frame
😢😢😢😢😢
Unabakia na faida utoboe maisha
Selikali ya kishetani hii
1
Faida yote inaishia kwenye kodi watatuuua wafsnyabiashara
Fanyeni kama kenya muache kuzembeya mmekaa kama mazombi tz mmelala sana .
Yan kama misukule vile kazi kulalamika tu.
Aaah wakenya bana ndo wanaweza hii shughuli OGOPA watu wamezama mpka bungeni na kula chakula cha wabunge watanznia sisi ni waoga 😂😂😂😂
Asante sn ccm asante sn wateuli mungu yupo anawaona
2025. Wanauhakika wa kuingia serikalini
safi dada huyo msenge achomewe duka
Fala wewe choma makalio yako
@@salehesalehe2967 mbona umewashwa sana au duka la kwako
@@salehesalehe2967acha lipigwe motoo
good sister
Kodi jamani zimezidi kodi kila kona simu utumiwa pesa kodi kuza kodi ikingia simu au bank kodi zimezidi sana sana Rais wetu kipenzi pls angalia hii inaweza kuwa usumbu alafu kodi wekeni 10 itatosha kila mtu atalipa jamani hii watu kama vicha a unapesa selikali inawinda kuzichukua kweli imezidi imezidi makodi ambayo sio muhumu ili liangaliwe makini
Kwani rais hajui hii kodi.si walikaa wakakubali ikasomwe bungeni
Kenya walianza hivi hivi Kwa hio viongoz kuweni makini sio pesa mnayengneza masanamu ( robot)
Watanzania wote ni machawa tu make hatujielewi ukisema ukweli unatishiwa wape upinzani nchi.
Fire tingishaaaaaaaaaaa
Msenge keli.ww.😂😂😂😂😂😂 umeni chekesha
Lochomwe moto hilo duka
Hongereni sana huo ni uzalendi
Nchi zakikafiri zimejaa makodi, shida Sana kuishi kwenye dola zakikafiri
mbarikiwa song, umeandaa wakili?
Sema k
Anajua kuongea sana apewe Alisa masoko tuu atetee wanyonge 🎉
Fire extinguisher Tena iyo mpya
Ndio wanataka fi extinguisher inshort mambo ni mengi.mpqka kodinya pango unalipa pango mwenye nyumba then odi tena ya ❤pango hilo hilo la mwenye flem unalilipia tena tar ss kwann mwenye nyumba asilipishwe na nyie tra kama kodinya kufanya biashara ya flem nyumba mpqkq mpangaji alipie yaan hata aieleweki kodi zote anaangushiwa mfanya biashara imekuwa tabu kubwaa
duka lichomwe moto
Sasa kwann msitoe risiti mpaka msubir faini ,, ila bongo kwa kuiga mambo daa
Ili itolewe risit halali,kodi zipunguzwe kabsa na baadh ziondoleweee
Hawa nao hebu watuache sie tupo kenya wenzenu wanapambania kodi mtaani sio nje ya geti la duka hovyo nyie
Ni Sahihi 👊
Tanzania nimeichoka kwakweli cn pa kwenda
Kwakweli kodi imekuwa changa moto sana. .itabidi tufunge maduka mnatuumizaaa sana tunakopa mikopo tunashindwa kurudisha mikopo mtaji wote unachukuliwa na serikal
kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo 🤣🤣😁😁
Dada kaupiga mwingi sana 😂😂😂😂
Safi sana raia
Waziri anatafuta fedha ya usajili singida fc
Umeongea sawa dada pole sana,..lakini sio kuwa mama samia awasikilize wanawake...me naona anatakiwa kuwasikia wananchi wote....msipende tu kusema mama awasikilize wanawake na rais akiwa mwanaume mtasemaje?
Kuna mzungu alisema turudishe ukoloni Africa wameshindwa kujitawala Sasa ndio na muelewa. viongozi wetu ni waafrica lakini wanacho kifanya ni ukatili
"Fire tingisha" 😂😂😂
Migomo mikoa yote maduka yanagungwa ipo siku watu watachoka kama kenya izo kodi ipo siku watu watachukua sheria mkonon
Namkumbuka jpm😢😢😢😢😢
Hii serikali hovyo kabisa pumbavu wanajilimbikizia mishahara huko bungeni kukandamiza masikini
kama masiala ata kanya walianza ivi ivi aya selikali kula chuma icho
Wewe bibi Shuler tu imekushinda
Faya tingisha kwel serekal mnaonea dagaa😂
Wakati mama anakopa walisema anaupiga mwing leo madeniyawatu yamewabana wanataka sisi ndo tupandishiwekodi tulipe ulemwingi ukowap sasa. Wakauze izo v8 walipe ela zawatu waache kutusumbua
Faya tingisha... sema tu 'zima moto'
Haina haja ya kumshangaa mswahili kukosea lugha ambayo c yako ntamshangaa kama atakosa kiswahili
@@ce-08 tutumie kiswahili tu.. mtungi wa kuzima moto.. inaeleweka sana.
Huyu dada anaongea hana hoja yoyote. Eti miezi mitatu hajauza 😊
Anaupiga mwingi sanaaaa😂😂
SERILI Y UKANDAMIZAJI YA MAMA SAMIA
Faya tingisha 😂😂😂
Acha tuisome namba tu..... Tulikubaliana na tukaimba kwa sauti. Lkn pia Lema alitwambia tukashupaza vichwa. Tutaelewana tu
Inasikitisha sana
WEWE MAMA SAMIA ACHIA NCHI IMEKUSHINDA
Mnatuona sisi wakenya 😂😂😂😂😂
😂
Salut Kwa wakenya😂😂😂
godii uyo mama fayatingisha ni nn😂😂😂😂
WEWE UMEFERI NA CC UNATUFELISHA
Mgomo usio na maafa ndio mzuri...Kwanza wangejifungia ndani wasionekane kabisaa. Hata Uganda, Bei ya sukari ipo chini, wakati sukari wananunua kwetu...aibu kweli kweliiiii
Arusha huwez kumaliza kutangaza vizuri bila kukatishwa😂
Fire tingisha😂😂😂😂
Haki ya kweli tutakoma na hizi hela jamani Serikali tuoneeni huruma hela ngumu Sana sahizi
Samia Suluhu aseme zile pesa alizosema za mkopo ziko wapi ? Mbona mtaani hatuzioni.?
Muandamane all the way.
😢😢😢
RAIS KAFERI MAMA SAMIA ETI WANAMWITA DOCTOR DARASA LA SABA MPAKA SECOUNDARY
Pesa za kodi anaenda kula bata uyo mama hatulipi
Samia meza naona imepinduka huku Tanzania isiwe kama kenya bhn Toa tamko
Dawa ya huyo aliyewasaliti akafungua ni kuingia ndani mnajibebea kila kitu hadi dustibin msimwachie hamjui mgomo nyie bado
WATANZANIA WEWE BIBI JIUZURU WACHA UBISHI WEWE KILOBA CHA SUKALI
Kwakweli hiii selikali ya hiii tutafika tumechoka ukiongeza 5 mtakufa ndugu zangu
Jamani nani wakwanza kumfunga paka kengele? Tulianzishe kama wakenya tusafishe mpaka ikulu chamwino mpaka bungeni
😂😂😂 kwa nini usituongoze sisi tupo nyuma twaja
C WALIFANYA MZAHA.. HAYA SASA KILA CHOCHO😊
duka lichomwe moto haraka ili iwe mfano
JIUZURU WEWE BIBI URAIAS SIO MCHEZO KASHINDWA KIKWETE UTAKUWA WEWE SHETANI MKUBWA
WEWE BIBI SHULE TU IMEKUSHINDA MITIANI YOTE OOOOOOO😮😅😅😅ZERO
Situgomee na sisi
Tatizo kesho tuu utaona wanakuja wanadanganywa na ccm na maisho Mambo yanakuwa kawaida
Motooooooo
SERIKALI YA MAJAMBAZI WASIOKUWA NA URUMA YA BINADAMU
nendeni barabarani kama Kenya sio kufunga maduka tu ...Kenya miamba imeenda mpaka kula chakula cha wabunge...Mna nguvu sana hamjui kuitumia...hawa TRA ninyi ndio mnawaajiri kwa nini wawasumbue ? JUENI NGUVU YENU...PEOPLEEESS POWE
Fire tingisha😂
ANATUKANDAMIZA BIBI SAMIA
Kodi niaumiza wafanyabiashara wa kati na wadogo
Kwan Moshi hamgomiii? Nawakumbusha wanangu
Kumaaake tumechoka hao TRA 😭😭😭
Akumbukwe magufuli jamani
migomo mbona unazidi nchi nzima maduka hayatafungliwa sasa
Waje Kenya tuwafunze kugoma hadi bungeni😂
Kwan uko tz kodi zapandishwa na serikali😮basi kenya tuna afueni upande huo
Faya tingishaaaaaa hoyeeees
FAYA TINGISHA SHILINGI NGAPI.?
CCM inajifanya Hiyo (VAT) Hawataki kushusha sasa kiama inakuja wafanya biashara wameamua kufunga maduka mwezi mmoja serekali isiposhusha (VAT) CCM PAMOJA NA UBABE WAO NA WAO WAMEFUNGA MADUKA KUBAKUBAKEE
UDOCTOR WAKUPEWA WAKUPAMBWA ATA MIMI ANIZIDI KWA ELIMU
Hamna wanaume hapo waoga tu hao
uyo mamaenu sasa