MGOMO MKUBWA ARUSHA, MADUKA YAFUNGWA "HATUWEZI KULIPA FAINI MILIONI 15"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 199

  • @EvaJuakaliTV
    @EvaJuakaliTV 2 วันที่ผ่านมา +12

    Kuna Baba Mmoja alisema Tutamkumbuka, yaani ile ni laana kabisa. 😢

    • @renatusrevocatus3895
      @renatusrevocatus3895 วันที่ผ่านมา

      Yule atakumbukwa na familia yake kwani naye alitesa watu kwa nafasi yake

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Nishamkumbuka na itaendelea kudumu kauli yake

  • @amedeusfredrick1614
    @amedeusfredrick1614 2 วันที่ผ่านมา +17

    Yaani watanzania ni wapole sana mamae!

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km 2 วันที่ผ่านมา

      Acha tu

    • @reginas1832
      @reginas1832 2 วันที่ผ่านมา +1

      Wajinga

    • @LizenMaker
      @LizenMaker 2 วันที่ผ่านมา

      Tunateseka na nahisi tutakufa kabla ya wakati wetu kwasababu ya maisha magumu

    • @florencezawadi3784
      @florencezawadi3784 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@LizenMaker😂poleni😂alfu kuna wakenya hata usemi hatuna 😂

    • @Mamodel-Park
      @Mamodel-Park วันที่ผ่านมา

      @@reginas1832mjinga babaako

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 2 วันที่ผ่านมา +13

    Nyie tena mange akisema ukweli mnamchukia kiko wapi mange sihuwa anasema nakukuteteeni mnakuwa hamumuelewi au

  • @aloycekiwia8613
    @aloycekiwia8613 2 วันที่ผ่านมา +31

    Kenya walianza hivihivi,Serikali haisikilizi mpaka watu waingie mtaani kudai Haki.

    • @Ibrahshayo
      @Ibrahshayo 2 วันที่ผ่านมา +1

      Sio ndan Tu waneingia Bungeni kula mchele wa wabunge😂😂😂

    • @husnaarafat2725
      @husnaarafat2725 2 วันที่ผ่านมา +1

      Sisi ndo GEN Z na hatuchokii😅😢

    • @husnaarafat2725
      @husnaarafat2725 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@Ibrahshayo😂😂😂😂

  • @crazyPips-ke5ei
    @crazyPips-ke5ei 2 วันที่ผ่านมา +20

    Bado FAYA TINGISHA jamaani

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g 2 วันที่ผ่านมา +28

    Waje kenya tuwafunze mgomo adi ikulu au bunge

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 2 วันที่ผ่านมา

      Kesho inshaallah

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 2 วันที่ผ่านมา

      Kesho inshaallah

    • @sponsor7882
      @sponsor7882 2 วันที่ผ่านมา

      Kesho inshaallah

    • @denismasele4130
      @denismasele4130 2 วันที่ผ่านมา

      Kweli mnatuzidi vtu vingi hadi dhambi 😂😂😂😂

  • @lucasmakas1326
    @lucasmakas1326 2 วันที่ผ่านมา +10

    Kenya ileeeeee inahamia

  • @MichaelKingazi-wm7xj
    @MichaelKingazi-wm7xj 2 วันที่ผ่านมา +8

    Haki huinua Taifa bali dhambi ni aibu ya watu wote.Amen

  • @IssacNtacho
    @IssacNtacho 2 วันที่ผ่านมา +17

    Halaf mkuu wa mkoa wa Dar anaanz kuongea utumbo,,hajui Kama serikal niwafanya biashara

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Chalamila ndugu yangu hamna kitu pale ovyo tu.

  • @user-fl3fb5gh6b
    @user-fl3fb5gh6b 2 วันที่ผ่านมา +16

    Rip jpm

  • @wilfredywilhelm1426
    @wilfredywilhelm1426 2 วันที่ผ่านมา +6

    Msijali Kondakta atawasaidia, sasa tunamwangalia kwenye ishu siriazi kama hizi, tuone kama zile zilikua ni show off ama kulikua na utekelezaji

  • @GodJakobTash-mu9zf
    @GodJakobTash-mu9zf 2 วันที่ผ่านมา +10

    nawaunga mkona asilmia 100 tukopamoja kumamake

  • @hamiswilson2455
    @hamiswilson2455 2 วันที่ผ่านมา +9

    Njoeni kenya tuwafundishe mgomo.

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 2 วันที่ผ่านมา

      Tuachieni na tz yetu pambaneni na hali zenu

    • @Mamodel-Park
      @Mamodel-Park วันที่ผ่านมา

      Msione sifa bendera yetu haina uzi mwekundu kama yenu

  • @PendoMatemba-ql1ng
    @PendoMatemba-ql1ng 2 วันที่ผ่านมา +8

    Hapa ndipo tutamkumbuka magufuli milele yote

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 วันที่ผ่านมา +11

    Ishu siyo kufunga madukatu tujipange kwenye uchaguzi wa 2025 tuipige chini ccm

    • @msambalamjukuu3866
      @msambalamjukuu3866 2 วันที่ผ่านมา +1

      sasa unaekupiga kura anaeesabu kula kachaguliwa na rais anaetangaza matokeo kawekwa na rais anaelinda kula anapangwa na rais sasa apo unaenda kufanya nn

    • @user-io2rj2yp5d
      @user-io2rj2yp5d 2 วันที่ผ่านมา

      Hapo sasa​@@msambalamjukuu3866

    • @godiegodie1336
      @godiegodie1336 2 วันที่ผ่านมา

      Kama bado unaamini utapata mabadiliko kupitia kura bas utakua uko nyuma sana

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 วันที่ผ่านมา

      @@msambalamjukuu3866 nikweli lkn bila katiba yakueleweka nikazi Bure asee

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 2 วันที่ผ่านมา

      @@godiegodie1336 nakuelewa umesema kweli tupu

  • @mirzah117
    @mirzah117 2 วันที่ผ่านมา +2

    Kodi TRA
    2.kodi panispaa leseni
    3.kodi panispaa service levy
    4.kodi WHT
    5.Kkodi ya jengo manispaa
    6.kodi ya bango manispaa
    7.kodi ya usafi manispaa
    8.unalipia ulinzi
    9.unalipia rola za risit
    10.umlipe mfanyakazi
    11.umlipe mwenye frame
    😢😢😢😢😢
    Unabakia na faida utoboe maisha
    Selikali ya kishetani hii
    1

    • @goodluckmtaita9017
      @goodluckmtaita9017 วันที่ผ่านมา

      Faida yote inaishia kwenye kodi watatuuua wafsnyabiashara

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 2 วันที่ผ่านมา +6

    Fanyeni kama kenya muache kuzembeya mmekaa kama mazombi tz mmelala sana .

    • @mikidadymohammedy7603
      @mikidadymohammedy7603 18 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Yan kama misukule vile kazi kulalamika tu.

  • @deonicemollel4205
    @deonicemollel4205 2 วันที่ผ่านมา +3

    Aaah wakenya bana ndo wanaweza hii shughuli OGOPA watu wamezama mpka bungeni na kula chakula cha wabunge watanznia sisi ni waoga 😂😂😂😂

  • @yusuphmruma1771
    @yusuphmruma1771 2 วันที่ผ่านมา +1

    Asante sn ccm asante sn wateuli mungu yupo anawaona

  • @Agath45
    @Agath45 2 วันที่ผ่านมา +4

    2025. Wanauhakika wa kuingia serikalini

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga 2 วันที่ผ่านมา +9

    safi dada huyo msenge achomewe duka

    • @salehesalehe2967
      @salehesalehe2967 2 วันที่ผ่านมา

      Fala wewe choma makalio yako

    • @faithstephen3690
      @faithstephen3690 2 วันที่ผ่านมา

      ​@@salehesalehe2967 mbona umewashwa sana au duka la kwako

    • @Digitalhhhhhgfgg
      @Digitalhhhhhgfgg 2 วันที่ผ่านมา

      @@salehesalehe2967acha lipigwe motoo

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga 2 วันที่ผ่านมา +5

    good sister

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 2 วันที่ผ่านมา +4

    Kodi jamani zimezidi kodi kila kona simu utumiwa pesa kodi kuza kodi ikingia simu au bank kodi zimezidi sana sana Rais wetu kipenzi pls angalia hii inaweza kuwa usumbu alafu kodi wekeni 10 itatosha kila mtu atalipa jamani hii watu kama vicha a unapesa selikali inawinda kuzichukua kweli imezidi imezidi makodi ambayo sio muhumu ili liangaliwe makini

    • @samuelmakara1475
      @samuelmakara1475 2 วันที่ผ่านมา

      Kwani rais hajui hii kodi.si walikaa wakakubali ikasomwe bungeni

  • @abuu-bakarshaaban6246
    @abuu-bakarshaaban6246 2 วันที่ผ่านมา +3

    Kenya walianza hivi hivi Kwa hio viongoz kuweni makini sio pesa mnayengneza masanamu ( robot)

  • @MwitaChacha-sx3po
    @MwitaChacha-sx3po 2 วันที่ผ่านมา +3

    Watanzania wote ni machawa tu make hatujielewi ukisema ukweli unatishiwa wape upinzani nchi.

  • @SHERANasibu
    @SHERANasibu 2 วันที่ผ่านมา +5

    Fire tingishaaaaaaaaaaa

    • @mohamedelmi7435
      @mohamedelmi7435 2 วันที่ผ่านมา

      Msenge keli.ww.😂😂😂😂😂😂 umeni chekesha

  • @KingBoy-tu6pu
    @KingBoy-tu6pu 2 วันที่ผ่านมา +5

    Lochomwe moto hilo duka

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana huo ni uzalendi

  • @user-kq7mp8qz9e
    @user-kq7mp8qz9e 21 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Nchi zakikafiri zimejaa makodi, shida Sana kuishi kwenye dola zakikafiri

  • @user-xs3ko8pg2g
    @user-xs3ko8pg2g 2 วันที่ผ่านมา

    mbarikiwa song, umeandaa wakili?

  • @ElishaErnest-xd9qt
    @ElishaErnest-xd9qt 2 วันที่ผ่านมา +1

    Sema k
    Anajua kuongea sana apewe Alisa masoko tuu atetee wanyonge 🎉

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 2 วันที่ผ่านมา +1

    Fire extinguisher Tena iyo mpya

    • @rosehaule6765
      @rosehaule6765 2 วันที่ผ่านมา

      Ndio wanataka fi extinguisher inshort mambo ni mengi.mpqka kodinya pango unalipa pango mwenye nyumba then odi tena ya ❤pango hilo hilo la mwenye flem unalilipia tena tar ss kwann mwenye nyumba asilipishwe na nyie tra kama kodinya kufanya biashara ya flem nyumba mpqkq mpangaji alipie yaan hata aieleweki kodi zote anaangushiwa mfanya biashara imekuwa tabu kubwaa

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga 2 วันที่ผ่านมา +5

    duka lichomwe moto

  • @AnuaryShedafa
    @AnuaryShedafa 2 วันที่ผ่านมา +2

    Sasa kwann msitoe risiti mpaka msubir faini ,, ila bongo kwa kuiga mambo daa

    • @user-rh5iy3ei3g
      @user-rh5iy3ei3g 2 วันที่ผ่านมา +1

      Ili itolewe risit halali,kodi zipunguzwe kabsa na baadh ziondoleweee

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman345 2 วันที่ผ่านมา +2

    Hawa nao hebu watuache sie tupo kenya wenzenu wanapambania kodi mtaani sio nje ya geti la duka hovyo nyie

  • @thadeo10hag_
    @thadeo10hag_ 2 วันที่ผ่านมา

    Ni Sahihi 👊

  • @khadijathani9064
    @khadijathani9064 2 วันที่ผ่านมา +1

    Tanzania nimeichoka kwakweli cn pa kwenda

  • @user-sm3iw6gv8w
    @user-sm3iw6gv8w 2 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli kodi imekuwa changa moto sana. .itabidi tufunge maduka mnatuumizaaa sana tunakopa mikopo tunashindwa kurudisha mikopo mtaji wote unachukuliwa na serikal

  • @starjay3052
    @starjay3052 2 วันที่ผ่านมา +1

    kichwa kisicho na akili ni mzigo kwa shingo 🤣🤣😁😁

  • @omaryjuma7268
    @omaryjuma7268 2 วันที่ผ่านมา +1

    Dada kaupiga mwingi sana 😂😂😂😂

  • @jotafungo4622
    @jotafungo4622 2 วันที่ผ่านมา

    Safi sana raia

  • @abdallahonga6395
    @abdallahonga6395 วันที่ผ่านมา

    Waziri anatafuta fedha ya usajili singida fc

  • @franknzowa22
    @franknzowa22 2 วันที่ผ่านมา

    Umeongea sawa dada pole sana,..lakini sio kuwa mama samia awasikilize wanawake...me naona anatakiwa kuwasikia wananchi wote....msipende tu kusema mama awasikilize wanawake na rais akiwa mwanaume mtasemaje?

  • @alawisaid280
    @alawisaid280 2 วันที่ผ่านมา

    Kuna mzungu alisema turudishe ukoloni Africa wameshindwa kujitawala Sasa ndio na muelewa. viongozi wetu ni waafrica lakini wanacho kifanya ni ukatili

  • @salumualoyce5620
    @salumualoyce5620 วันที่ผ่านมา

    "Fire tingisha" 😂😂😂

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 วันที่ผ่านมา

    Migomo mikoa yote maduka yanagungwa ipo siku watu watachoka kama kenya izo kodi ipo siku watu watachukua sheria mkonon

  • @JustineKavishe
    @JustineKavishe 13 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Namkumbuka jpm😢😢😢😢😢

  • @ramadhaniraphael6955
    @ramadhaniraphael6955 2 วันที่ผ่านมา

    Hii serikali hovyo kabisa pumbavu wanajilimbikizia mishahara huko bungeni kukandamiza masikini

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 2 วันที่ผ่านมา +1

    kama masiala ata kanya walianza ivi ivi aya selikali kula chuma icho

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    Wewe bibi Shuler tu imekushinda

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 2 วันที่ผ่านมา +1

    Faya tingisha kwel serekal mnaonea dagaa😂

  • @PaschalGerad-xq4lw
    @PaschalGerad-xq4lw วันที่ผ่านมา

    Wakati mama anakopa walisema anaupiga mwing leo madeniyawatu yamewabana wanataka sisi ndo tupandishiwekodi tulipe ulemwingi ukowap sasa. Wakauze izo v8 walipe ela zawatu waache kutusumbua

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 วันที่ผ่านมา +3

    Faya tingisha... sema tu 'zima moto'

    • @ce-08
      @ce-08 2 วันที่ผ่านมา

      Haina haja ya kumshangaa mswahili kukosea lugha ambayo c yako ntamshangaa kama atakosa kiswahili

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 2 วันที่ผ่านมา

      @@ce-08 tutumie kiswahili tu.. mtungi wa kuzima moto.. inaeleweka sana.

  • @abdallahdataguy
    @abdallahdataguy 2 วันที่ผ่านมา

    Huyu dada anaongea hana hoja yoyote. Eti miezi mitatu hajauza 😊

  • @okolenyamboba884
    @okolenyamboba884 2 วันที่ผ่านมา +1

    Anaupiga mwingi sanaaaa😂😂

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    SERILI Y UKANDAMIZAJI YA MAMA SAMIA

  • @ElishaErnest-xd9qt
    @ElishaErnest-xd9qt 2 วันที่ผ่านมา +2

    Faya tingisha 😂😂😂

  • @renatusrevocatus3895
    @renatusrevocatus3895 วันที่ผ่านมา

    Acha tuisome namba tu..... Tulikubaliana na tukaimba kwa sauti. Lkn pia Lema alitwambia tukashupaza vichwa. Tutaelewana tu

  • @MohammedSaid-zk7yg
    @MohammedSaid-zk7yg 2 วันที่ผ่านมา

    Inasikitisha sana

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    WEWE MAMA SAMIA ACHIA NCHI IMEKUSHINDA

  • @FredrickGodfrey
    @FredrickGodfrey 2 วันที่ผ่านมา +4

    Mnatuona sisi wakenya 😂😂😂😂😂

  • @user-wg7lf3wt9z
    @user-wg7lf3wt9z วันที่ผ่านมา

    godii uyo mama fayatingisha ni nn😂😂😂😂

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    WEWE UMEFERI NA CC UNATUFELISHA

  • @eliakazilo6078
    @eliakazilo6078 2 วันที่ผ่านมา

    Mgomo usio na maafa ndio mzuri...Kwanza wangejifungia ndani wasionekane kabisaa. Hata Uganda, Bei ya sukari ipo chini, wakati sukari wananunua kwetu...aibu kweli kweliiiii

  • @neemamboya99
    @neemamboya99 2 วันที่ผ่านมา

    Arusha huwez kumaliza kutangaza vizuri bila kukatishwa😂

  • @noelmusa3502
    @noelmusa3502 2 วันที่ผ่านมา +1

    Fire tingisha😂😂😂😂

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 2 วันที่ผ่านมา +1

    Haki ya kweli tutakoma na hizi hela jamani Serikali tuoneeni huruma hela ngumu Sana sahizi

    • @nizarrama225
      @nizarrama225 2 วันที่ผ่านมา

      Samia Suluhu aseme zile pesa alizosema za mkopo ziko wapi ? Mbona mtaani hatuzioni.?

  • @Chingagirl123
    @Chingagirl123 2 วันที่ผ่านมา

    Muandamane all the way.

  • @SaidySaidysalum
    @SaidySaidysalum 2 วันที่ผ่านมา +2

    😢😢😢

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    RAIS KAFERI MAMA SAMIA ETI WANAMWITA DOCTOR DARASA LA SABA MPAKA SECOUNDARY

  • @Adje244
    @Adje244 2 วันที่ผ่านมา

    Pesa za kodi anaenda kula bata uyo mama hatulipi

  • @KatabaroCleophace
    @KatabaroCleophace 2 วันที่ผ่านมา

    Samia meza naona imepinduka huku Tanzania isiwe kama kenya bhn Toa tamko

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 2 วันที่ผ่านมา

    Dawa ya huyo aliyewasaliti akafungua ni kuingia ndani mnajibebea kila kitu hadi dustibin msimwachie hamjui mgomo nyie bado

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    WATANZANIA WEWE BIBI JIUZURU WACHA UBISHI WEWE KILOBA CHA SUKALI

  • @raymondkihaka1827
    @raymondkihaka1827 2 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli hiii selikali ya hiii tutafika tumechoka ukiongeza 5 mtakufa ndugu zangu

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km 2 วันที่ผ่านมา +1

    Jamani nani wakwanza kumfunga paka kengele? Tulianzishe kama wakenya tusafishe mpaka ikulu chamwino mpaka bungeni

    • @MuhammadHassan-xp6dc
      @MuhammadHassan-xp6dc 2 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 kwa nini usituongoze sisi tupo nyuma twaja

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 2 วันที่ผ่านมา

    C WALIFANYA MZAHA.. HAYA SASA KILA CHOCHO😊

  • @muhengamakunga
    @muhengamakunga 2 วันที่ผ่านมา +2

    duka lichomwe moto haraka ili iwe mfano

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    JIUZURU WEWE BIBI URAIAS SIO MCHEZO KASHINDWA KIKWETE UTAKUWA WEWE SHETANI MKUBWA

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    WEWE BIBI SHULE TU IMEKUSHINDA MITIANI YOTE OOOOOOO😮😅😅😅ZERO

  • @athumanmkilindi6215
    @athumanmkilindi6215 2 วันที่ผ่านมา

    Situgomee na sisi

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 2 วันที่ผ่านมา

    Tatizo kesho tuu utaona wanakuja wanadanganywa na ccm na maisho Mambo yanakuwa kawaida

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 วันที่ผ่านมา +1

    Motooooooo

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    SERIKALI YA MAJAMBAZI WASIOKUWA NA URUMA YA BINADAMU

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 วันที่ผ่านมา

    nendeni barabarani kama Kenya sio kufunga maduka tu ...Kenya miamba imeenda mpaka kula chakula cha wabunge...Mna nguvu sana hamjui kuitumia...hawa TRA ninyi ndio mnawaajiri kwa nini wawasumbue ? JUENI NGUVU YENU...PEOPLEEESS POWE

  • @user-ty2kc5jy7s
    @user-ty2kc5jy7s 2 วันที่ผ่านมา

    Fire tingisha😂

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    ANATUKANDAMIZA BIBI SAMIA

  • @modestalois2535
    @modestalois2535 2 วันที่ผ่านมา

    Kodi niaumiza wafanyabiashara wa kati na wadogo

  • @NeemaMichael-pc9jj
    @NeemaMichael-pc9jj 2 วันที่ผ่านมา

    Kwan Moshi hamgomiii? Nawakumbusha wanangu

  • @user-it2tr7ny8d
    @user-it2tr7ny8d 2 วันที่ผ่านมา

    Kumaaake tumechoka hao TRA 😭😭😭

  • @user-lu1by6yp4t
    @user-lu1by6yp4t 2 วันที่ผ่านมา

    Akumbukwe magufuli jamani

  • @BensonMinja-bn8qo
    @BensonMinja-bn8qo 2 วันที่ผ่านมา

    migomo mbona unazidi nchi nzima maduka hayatafungliwa sasa

  • @faithstephen3690
    @faithstephen3690 2 วันที่ผ่านมา

    Waje Kenya tuwafunze kugoma hadi bungeni😂

  • @florencezawadi3784
    @florencezawadi3784 2 วันที่ผ่านมา

    Kwan uko tz kodi zapandishwa na serikali😮basi kenya tuna afueni upande huo

  • @yohanakananika3586
    @yohanakananika3586 2 วันที่ผ่านมา

    Faya tingishaaaaaa hoyeeees

  • @paulheavyrain9584
    @paulheavyrain9584 2 วันที่ผ่านมา

    FAYA TINGISHA SHILINGI NGAPI.?

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 2 วันที่ผ่านมา

    CCM inajifanya Hiyo (VAT) Hawataki kushusha sasa kiama inakuja wafanya biashara wameamua kufunga maduka mwezi mmoja serekali isiposhusha (VAT) CCM PAMOJA NA UBABE WAO NA WAO WAMEFUNGA MADUKA KUBAKUBAKEE

  • @KingBuddah-nx3ui
    @KingBuddah-nx3ui 2 วันที่ผ่านมา

    UDOCTOR WAKUPEWA WAKUPAMBWA ATA MIMI ANIZIDI KWA ELIMU

  • @godfreymwikola8232
    @godfreymwikola8232 2 วันที่ผ่านมา

    Hamna wanaume hapo waoga tu hao

  • @boscojackson5557
    @boscojackson5557 2 วันที่ผ่านมา

    uyo mamaenu sasa