MFANYABIASHARA ACHARUKIA VIGOGO KARIAKOO “SAIVI WANALINDWA NA ASKARI, HATUFUNGUI MPAKA RAIS”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 มิ.ย. 2024

ความคิดเห็น • 217

  • @issashekh4726
    @issashekh4726 3 วันที่ผ่านมา +20

    Uhuru wa kujieleza ulete tija na mabadiliko ya kisera na kisheria kwa maendeleo ya taifa letu ❤

  • @selemanisalum7685
    @selemanisalum7685 3 วันที่ผ่านมา +30

    Narudia tena hawa wanyilamba 2 kitilia mkumbo na mwiguru hawakufai mama samia fukuza hao wapo watu wapya wasomi wakubwa sio hao wako kwa wizi tu hawakufai tafadhari tafadhari mama samia wanakuchonganisha na wananchi hao

  • @husseynomar9523
    @husseynomar9523 3 วันที่ผ่านมา +16

    SWALA NI MOJA NCHI HAINA WAADILIFU TU...😢

  • @hamadikandota6271
    @hamadikandota6271 3 วันที่ผ่านมา +10

    Tanzania kujikomboa kifikra bado sana eti wanamtaka mama samia kwan mama samia hajui kinachoe delea? Shida ni Uongozi mzima wa nchi ya Tanzania kuanzia chini mbaka kwa Rais Wabongo mkiacha uonga viongozi wenu watawaheshimu. Yan unamtetea Samia af unamtukana mtu wa TRA kwan Unazan TRA atakufata bila kufata katiba ambayo imesaimiwa na Rais apo

  • @bilid4128
    @bilid4128 3 วันที่ผ่านมา +16

    Huyu ndio kaelezea vizuri kwa uchungu

  • @hamiskayombe6061
    @hamiskayombe6061 3 วันที่ผ่านมา +7

    Dah wasaidieni wafanyabiashara jaman inatia huruma sana Wanahoja za Msingi

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 3 วันที่ผ่านมา +4

    Mama Samia please jitokeza upige spana hawa watu wanao watesa wananchi.

  • @RamadhaniLukambuzi
    @RamadhaniLukambuzi 3 วันที่ผ่านมา +13

    Hili swala la migomo litaleta hasara kubwa katika hii Nchi yetu,Mheshimiwa Rais Mama Samia nakuomba uwasikilize Wananchi vizuri huyo Waziri Mwiguru ni kama vile hawajazaliwa na wazazi masikini,Wekeni kodi zenye urafiki na wananchi alafu hizo kauli za Mwiguru huwa sio rafiki kwetu!

    • @BabaZuu-fq8zj
      @BabaZuu-fq8zj 3 วันที่ผ่านมา +1

      Rais haombwi wewe mbwa anaagizwa afanye acha uwoga watanzania au ujapiga kura ww

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 2 วันที่ผ่านมา

      @@BabaZuu-fq8zj Mimi sio mbwa kama unavyofikiria mimi ninaheshimu mamraka zilizoko Nchini mwangu kwa mujibu wa sheria na imani yangu;Tumeimizwa kutii Mamraka zinazotuongoza:-QURAN4:59Soma uelewe sio unatukana tu bila akili,sio kila haki inadaiwa kwa fujo!

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 2 วันที่ผ่านมา +2

    Nimegundua kuanzia ngazi za juu mpka chini wanafiki sana, kama mama anaongea na makonda akiwa kwenye kikao inakuwaje anashindwa kuongea na chalamila live mbele ya wafanyabiashara. Lao moja hakuna cha mama wala nani Mission ni moja tu

  • @machujamathias7165
    @machujamathias7165 3 วันที่ผ่านมา +16

    Mko sahihi, Gomeni

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 3 วันที่ผ่านมา +4

    Uchungu mkubwa mnoo😢😢Mama samia ingilia kati

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 2 วันที่ผ่านมา +1

    Point sanaaaa ndio Life lakibingo lushwa imetawala nibora mlivyo elimika ukitoa rushwa unakua umejilisha hasara ww na familia yako bola utoe hera ifike selekalini italeta maendereo yako nakizazi kijacho🙏🙏💪💪🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mohammedalishamis9405
    @mohammedalishamis9405 3 วันที่ผ่านมา +8

    Ni kweli toka zamani mfumo wa malipo si mzuri na hao wafanyakazi wa serikali hawautaki mfumo mzuri sababu watakosa kula

    • @subirahowen124
      @subirahowen124 3 วันที่ผ่านมา +1

      Ni kweli kabisa wafanyakazi wa serikari tra wananufaika na rushwa

    • @RenatusMatungwa
      @RenatusMatungwa 3 วันที่ผ่านมา

      Kwani hawalipwi mishahara.?tatizo hawaridhi na mishahara yao mwisho inawagharimu na wengine

    • @mohamedisalimu
      @mohamedisalimu 3 วันที่ผ่านมา +1

      @@RenatusMatungwa TRA wafanyakazi wengi mno...mishahara mikubwa wanafilisi nchi

  • @JacksonNovatM
    @JacksonNovatM 3 วันที่ผ่านมา +3

    Jifunzeni kwa majirani zenu Kenya

  • @reginas1832
    @reginas1832 3 วันที่ผ่านมา +7

    Samia mwenyewe yuko busy kuuza rasilimali zetu

  • @robertmoshi2113
    @robertmoshi2113 3 วันที่ผ่านมา +5

    afuu mpigie kura chama kimoja cha ccm yan

  • @user-zt4rd5pr1e
    @user-zt4rd5pr1e วันที่ผ่านมา

    Toka mama aingie madarakan sijawah ona ziara ata moja akiwasikiliza wananchi, mungu ibarik tz

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 2 วันที่ผ่านมา

    Aiseee mtanzania genius anajua kujieleza

  • @joshuamwalusambo2391
    @joshuamwalusambo2391 3 วันที่ผ่านมา +3

    Kusema ukweli kabisa mimi mwigulu sijawahi muelewa ni msomi ambaye hsangalii uhalisia wa Manisha ya watanzania .kwahiyo kama ataendelea kuwa waziri wa fedha tutarajie matatizo makubwa zaidi ya haya kwa wafanya biashara

  • @mufaddalmoawalla8522
    @mufaddalmoawalla8522 3 วันที่ผ่านมา +5

    Ni uwizi wa asubhuhi na sio usiku serekali inapoteza matrilioni kwa.sekunde

    • @kawiche4911
      @kawiche4911 3 วันที่ผ่านมา

      SAMIA YUKO BUSY KUTAFUTA WAWEKEZAJI ANDISHINDWA KUJUWA NCHI ITAJENGWA NA WANANCH WENYEWE
      HAKUNA NIDHAMU YA KAZI SASA ANAONGOZA NINI

  • @Mapishinatibatv
    @Mapishinatibatv 3 วันที่ผ่านมา +1

    Lipeni kodi acheni janja janja ,tukilipa kodi kama Amerika tutanyooka kama rula , kwa sasa hivi walipa kodi halali ni wafanyakazi tuu.

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 2 วันที่ผ่านมา

    Point mzee baba

  • @enoskilongo7685
    @enoskilongo7685 3 วันที่ผ่านมา +2

    Lipeni Kodi acha maneno mbona mimi nnalipa nasijawahi walaumu

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 วันที่ผ่านมา +5

    Kazi iendelee wazee na vijana , let's work continue kumbukeni kwa mjenga nchi ni mwananchi. 🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @KaburuKimath-eu5nf
      @KaburuKimath-eu5nf 3 วันที่ผ่านมา +1

      Baadhi ya viongozi wanamwaribia mheshiniwa rais mama waangalie sana

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 2 วันที่ผ่านมา

    Haya yote ni madhara ya matumizi mabaya ya kodi za umma.
    Mtu huna ajira lakini hata ukijiari wanachukua kile kidgo ulichopata, huu mgomo ni ishara tosha ya ukombozi.
    Ukiona mwenzio ananyolewa, Zako Tia maji
    #GodIsGood

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 วันที่ผ่านมา

    Kweli kariakoo amna ustarabu bara2 kero mm sijui km na miji mingine Pako hivi tafutia wamachinga pa kuuzia tutawafata

  • @maswimadaraka9094
    @maswimadaraka9094 3 วันที่ผ่านมา +2

    Kuna machinga wana mitaji hata wenye maduka hawafiki … ni kweli kabisa

    • @bukharysaid
      @bukharysaid 2 วันที่ผ่านมา

      Wanachukua meza ili wakwepe kodi

  • @BonfaceMwaipaja
    @BonfaceMwaipaja 2 วันที่ผ่านมา

    Kuhusu wachina ni tatizo kubwa sana ,tena wakikoma himekula kwenu sio watu kabisa ulizeni afrika kusini pambaneni mapema sio wazuri watawashindeni kibiashara

  • @hubasuleiman1701
    @hubasuleiman1701 3 วันที่ผ่านมา +1

    Ilo kweli

  • @ManyoriModernFarmMMF
    @ManyoriModernFarmMMF 26 นาทีที่ผ่านมา

    na sisi tunahama,maana mwigulu alishasema tuhame basi tunahama wajiongoze wenyewe.MAGUFULI UTAKUMBUKWA SANA..

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 2 วันที่ผ่านมา

    Kweli kaka lazima nchi imlinde mzawa, hapo Kweli mchina hafai😅😅

  • @robsonlotyloy5678
    @robsonlotyloy5678 3 วันที่ผ่านมา

    Hapo safi sana. Mungu hawa linde.

  • @user-eg1fi6gi7b
    @user-eg1fi6gi7b 3 วันที่ผ่านมา +1

    Hii sio Tanzania tena hili ni gulilo

  • @Mnyakyuboy
    @Mnyakyuboy 2 วันที่ผ่านมา

    Ongea wasikie mzeee🙌🙌🙌

  • @elisantemrita9490
    @elisantemrita9490 41 นาทีที่ผ่านมา

    Uyu ana jaziba kunamengi hayajui

  • @hurumalunda2490
    @hurumalunda2490 2 วันที่ผ่านมา

    Apo kwa wachina umetishaa maana watatuua kwenye biashara

  • @moriskalegeleshusha2619
    @moriskalegeleshusha2619 2 วันที่ผ่านมา

    Mwigulu jina lake ni waziri au waziri ni cheo chake yeye anaitwa Mwigulu, kwasababu mi naona kila raisi anaeingia ye ni waziri tu anazunguka kwenye wizara tu,hivi kweli nchi hii tunauhaba wa wasomi kiasi hichi kweli au kuna namna jmn

  • @AlhajiSalimu-xx3yh
    @AlhajiSalimu-xx3yh 3 วันที่ผ่านมา

    Jamaa kuongea point tu

  • @AlbertRemmy
    @AlbertRemmy 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kero ni nyingi sana

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 วันที่ผ่านมา

    Jamani kwa aoni malalamiko ya watu wake akaingilie kati

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 วันที่ผ่านมา

    TRA Iondolewe serikali iweke mfumo ambao mlipa kodi atalipa na hela itaingia moja kwa moja hazina na sio kupitia kwenye mikono ya vishoka TRA

  • @matjjoseph9708
    @matjjoseph9708 3 วันที่ผ่านมา

    Point 🤔👏👏👏

  • @Rasoulhk98
    @Rasoulhk98 2 วันที่ผ่านมา

    Yameanza kama masiara, ila yatazaa matunda tu.
    Mwananchi ndio muamuzi wa mwisho wa nchi yoyote.

  • @Thomasimasalu-pn8zi
    @Thomasimasalu-pn8zi 2 วันที่ผ่านมา

    Wafanye kazi na wao wasitegemee mishahala waone kama ni rahis

  • @anicethpeter3100
    @anicethpeter3100 2 วันที่ผ่านมา

    Wa Kenya hoyee

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 วันที่ผ่านมา

    Mimi binafsi naon wamachinga waondolewe kabisa tuwe tunanunua dukani kama posta, maana kwanza wanaongeza msongamano na wizi

  • @storytownTv
    @storytownTv 3 วันที่ผ่านมา

    Aya mwenzako yukonbize anawalipa wasanii wamtungie nyimbo za promo mitano mbele..🎉 rip JPM

  • @athumaniamani9905
    @athumaniamani9905 2 วันที่ผ่านมา

    CCM oyeeeee twende kazi na uchaguzi unakuja

  • @begukulemosobe9685
    @begukulemosobe9685 3 วันที่ผ่านมา

    It pain ukisikiliza, sijajua nini shida kwa nchi hii, kweli watu wananenepa na kula hela za watu kiholela na kila wakilalamika mifumo ipo pale pale haibadilishwi, ni huzuni, kaka kashauri vizuri sana wakijua idadi ya maduka mtu akakadiriwa vizuri malipo yake usumbufu usingekuwepo, machinga kariakoo kweli ni kero mbona kuna machinga complex lakini hao machinga hawaendi kufanya biashara huko kumedoda kimya

  • @IsmailMjesh
    @IsmailMjesh 2 วันที่ผ่านมา

    Wafanya biashara hawamtaki kumskia nani wala cha nani, point yao kubwa wanataka kumuona mama tuuu......... Lolote atakalosema nafsi zao zimelidhika........

  • @juniorndambalilo66
    @juniorndambalilo66 2 วันที่ผ่านมา

    Komaeni hivyohivyo hao viongozi wenu washapewa pesa wapumbavu ....tuamkeni watanzania tunakoelekea tunarudi ktk ukoloni wa watu weupe

  • @EmmanuelYohana-if5bq
    @EmmanuelYohana-if5bq 3 วันที่ผ่านมา

    IVI MAMA HAONI AU,,AMEENDA,,KOREA KUSINI,,,😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺

  • @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc
    @SebastianGeorgeSamuel-yg2zc 2 วันที่ผ่านมา

    Daaah😢😢😢hiiii serikalii hiiii😢😢😢

  • @JustineKimwaga
    @JustineKimwaga 3 วันที่ผ่านมา +2

    👏👏 samia jitokeze we ndo msemaji wa mwisho

  • @karlschrader4026
    @karlschrader4026 วันที่ผ่านมา

    Yaani endeleeni Kugoma mpaka kieleweke

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha9425 3 วันที่ผ่านมา

    Machinga waende machinga complex tu. Hasiwepo mtu wa kupanga nje (50%) ya kinachonunuliwa kariakoo havikatiwi kodi

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824 2 วันที่ผ่านมา

    Sirikali sirikali sirikali 😢😢😢😢😢😢😢, hivi vitu vitawatafuna mpaka kwenye malalo yenu

  • @paulombay6884
    @paulombay6884 3 วันที่ผ่านมา

    Samia ndo kateua msiseme ni mzuri

  • @janifajani8875
    @janifajani8875 3 วันที่ผ่านมา

    Kweli k/koo akuna mpangilio mzur wamachinga wange pangiwa upande wao mm ukinipeleka nikanunuwa kitu nikigeuka tu atuwa 5 ukiniambia rudi ulipo nunuwa sipakumbuki

  • @rogasianshayo3740
    @rogasianshayo3740 2 วันที่ผ่านมา

    Kodi kubwa ni za Fremu na hamsemi ilo ,kodi za frem zingekua Rafiki kodi za serikali ni rahisi kulipa,

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 วันที่ผ่านมา

    Wasomi wengi tanzania wanafanyiakazi kile amabacho hawahakisomea hata hao TRA hawajsomea?Mambo ya TRA

  • @user-rg2py2yz4x
    @user-rg2py2yz4x 3 วันที่ผ่านมา

    Safi..sanaa😂😂

  • @jerrymboyya2346
    @jerrymboyya2346 3 วันที่ผ่านมา

    nikweli kabisa biashara za kariakoo wateuliwa wa serkani sio waadilifu

  • @shikuhata
    @shikuhata 3 วันที่ผ่านมา +1

    Kwani wafanyabiashara hamjui makadirio yenu kwa mwaka?
    Kwanini msubirie mpaka operation ifanyike?
    Mngekuwa mnalipa Kodi Kwa wakati kamatakamata isingekuwepo

    • @eliahmaluguofsua
      @eliahmaluguofsua 3 วันที่ผ่านมา

      Hujaelewa, kwanza usipolipa kodi kwa wakati inapiga penalty hakuna ambae anafanya makusudi kutolipa kwa wakati ikitokea labda ni bahati mbaya.

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 3 วันที่ผ่านมา

    Kama mambo yenyewe ndio hivi du ndio mana wafanya biashara wengi wanaangukia kwenye ushilikina kuloga, kuua au chuma ulete ili wasipotee na hii inatutisha wengine tunataka kufanya biashara sasa huo upole wa wananchi siku wakichoka na huu ugumu wa maisha wote wantaingia mtaan kama kenya hakuna atakae wazuia. Wafanyakaz wanalia mishahara, wastafu kikokotooo, wafanya biashara kodi, unadhani wakianza kulala njaa watakua na ustarabu tena lazima watakua vichaa tu njaa mbaya shauli yenu serikali😮😮😮

  • @hidayaismail-fk1js
    @hidayaismail-fk1js 3 วันที่ผ่านมา +1

    ila palipofikia kwann rais anaendelea kukaa kimya ivi mpaka asikie nini ndio atazungumzia ili

    • @tumainimayala8187
      @tumainimayala8187 3 วันที่ผ่านมา

      Huyo alisemaga yeye anaziba masikio..🤯

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 3 วันที่ผ่านมา

    Faini inabidi iilingane na thamani ya mauzo
    Mfano 10000-100000 30000/=
    100000-1000000. 100000
    Nk kama wanawaamini maafisa TRA
    Wafanyabishara tushitikiane na TRA na kutoa risiti sahihi
    Kama TRA wako makini mimi naona kama mfanyabishara hajatoa risiti ni asimamimiwe hapohapo na atoe risiti sahihi ya thamani mara 5 ya mauzo vilevile

  • @jamesnyamila2165
    @jamesnyamila2165 3 วันที่ผ่านมา +3

    Sasa kero zote hizo, harafu kenge Moja tu inaanza kutishia tishia

    • @user-ob8cd2zj1o
      @user-ob8cd2zj1o 3 วันที่ผ่านมา

      Yule sio Mkuu wa Mkoa bali mchekeshaji#

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 3 วันที่ผ่านมา

      Yule ni kenge kama nikenge wenginee

  • @linnusaloyce6559
    @linnusaloyce6559 3 วันที่ผ่านมา

    Tatizo nchi haina waadilifu mama alifeli mapema kumweka mwigulu kitengo ndiko alipo feli mama tafuta mtu sahihi kwenye izo nafasi utaondoka madarakani ukiwa na dowa kubwa sn lisilo zuri ondoka na dowa kovu la mema mama yetu please kipenzi chetu tunakuomba badilisha wasimamizi wako wanakufelisha nchi aiendeshwi kwa mabavu toa mwigulu weka hata makonda au waziri silaha wapiga kazi hao na wasikivu kwa raia

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 3 วันที่ผ่านมา

    Kwa kwel inchi gan hii😊

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 วันที่ผ่านมา

    WATAWAKIMBIZA WAGENI KWA KWELI... HII NCHI FOOOLISH KWELI 😢😢😢😢😢

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 3 วันที่ผ่านมา +5

    Umezungumzia mambo ya msingi kabisa kwa kweli inatia huzuni na uchungu kwanza wachina wangefukuzwa wataruhusiwaje washindana na wananchi wa kawaida wao si wawekezaji?

    • @begukulemosobe9685
      @begukulemosobe9685 3 วันที่ผ่านมา

      Inashangaza na kulindwa juu na jeuri juu

    • @SskKizonga
      @SskKizonga 2 วันที่ผ่านมา

      Bongo ujinga sana eti mgeni nae anafanya biashara kama mzawa inaskitisha sana😢

  • @homeboybeyondtheborders4935
    @homeboybeyondtheborders4935 3 วันที่ผ่านมา

    TRA wasumbufu sana na mfumo wa ukusanyaji Kodi ni mbovu.Machinga wana mitaji mikubwa kuliko wenye maduka.

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 3 วันที่ผ่านมา

    Dadaangu anauza kachori kibalazani kwa mtu apate kuisha watoto wake Lakini wanakuja watendaji kudai kodi duuh mama Samia hapana kwakweli 😢

  • @uredmwasembo8579
    @uredmwasembo8579 2 วันที่ผ่านมา

    Shida mlio wachagua ni woga Sana

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 วันที่ผ่านมา

    Serekali inabidi Tanzania nzima mtoe machinga kwenye njia za kutembelea kwa miguu nje ya maduka. Watafutieni sehemu special za kuwaweka ili wafanye biashara zao hapo .

  • @RahelPetro-ro3yn
    @RahelPetro-ro3yn 2 วันที่ผ่านมา

    Tanzania bado 🤔🤔

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 วันที่ผ่านมา

    Viongozi wamewasaliti Yesu rohoni pesa mfukoi

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 วันที่ผ่านมา

    Ni kweli wachina wanauza hadi maua ya buku

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 3 วันที่ผ่านมา

    Hapo kwa wa China umesema kweli kaka

  • @Masa__966
    @Masa__966 3 วันที่ผ่านมา

    Tunisia’s kitu kutoka kenya jamani..!

  • @jamaa2760
    @jamaa2760 3 วันที่ผ่านมา

    1. Machinga,
    2. Wageni kupotea Mitaa
    3. Bidhaa pasipo risiti

  • @MariamOmary-qm3je
    @MariamOmary-qm3je 3 วันที่ผ่านมา

    Nikweli

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 3 วันที่ผ่านมา

    Hao viongoz piga chini washabadilishwa akili na wakuu ndo mana wanalindwa cjui katiba yenu ikoje ila kama inaruhusu piga chini wote

  • @MariamOmary-qm3je
    @MariamOmary-qm3je 3 วันที่ผ่านมา

    Mama piga chini viongozi wanakuangusha

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 2 วันที่ผ่านมา

    Ndio maama wanalalamika kuna uhaba wa dola kumbe tatizo linatokana mambo kama haya, sasa wanaoleta dola katika mazngira kama haya inakujaje?

  • @thomasmassaga4430
    @thomasmassaga4430 2 วันที่ผ่านมา

    Serekali yetu siasa nyingi

  • @lanezboy7016
    @lanezboy7016 3 วันที่ผ่านมา

    Wasenge sana hao tta

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 3 วันที่ผ่านมา

    Nabado hamjasema mpaka mseme mkitetewa namange midomo juu mnamuona mbaya

  • @jofreykilangila4118
    @jofreykilangila4118 3 วันที่ผ่านมา

    Hata kwenye magali ivo ivo

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 2 วันที่ผ่านมา

    Hiyo ilikuwa aridhi watu wanatajirika kwa rushwa ni dili

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 วันที่ผ่านมา

    Kwasasa Samia amekalia mbaliiij halafu wananchi KWAVILE hawajui Sheria wanaanza kutuhumu TRA wanatuhumu mawaziri badala yake wanamuacha Samia wanasema mama unaupiga mwingi Kila mtu mama mama mama utafikiri wote hapa hamna mama zenu
    Kumbuka huyo mama YENU Sheria zinasema maswala yoyote yanayohusu Kodi na Tozo nimaswala yanayomuhusu rais kwasababu anapeleka bungeni bunge lenyewe ni ndio
    Bunge likipitisha mama YENU anasaini Sasa inakua Sheria rasmi ndiomnaanza kusakamwa na TRA na harmashauri
    Mpingeni huyu mama YENU ipingeni ccm

  • @sleyumrashid7794
    @sleyumrashid7794 3 วันที่ผ่านมา

    Mzee ana hoja asikilizwe

  • @EmmanuelYohana-if5bq
    @EmmanuelYohana-if5bq 3 วันที่ผ่านมา

    TANZANIA KIKUBWA UZIMA HATUNA WANAINCHI,,,HATUNA,,,VIONGOZI,,,

  • @user-zd1zc8dr1f
    @user-zd1zc8dr1f 3 วันที่ผ่านมา

    Kwani huyo Mama hayajui hayo

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 3 วันที่ผ่านมา

    4:51

  • @JohnkilaginMasuke
    @JohnkilaginMasuke 3 วันที่ผ่านมา

    Kwel hapo TRA inatakiwa ifikilie kwenye kod

  • @victoriamefya6287
    @victoriamefya6287 3 วันที่ผ่านมา

    Huyu mwenyekiti wa wafanya biashara sijui amekuaje mbona ameongea kawaida Tu au wamepewa soda sio Sawa huyu mwenyekiti wa wafanya biashara mmh kuna namna

  • @harshkirit6780
    @harshkirit6780 3 วันที่ผ่านมา

    Aliyekuwa mkombozi wa wanyonge Hayati magufuli hakupenda nyonge aumie hata kidogo. Baba tutakukumbuka daima. Uongozi unahitaji ubadilike na hawa viongozi wataipooza hii suala kisa tumekaribia uchaguzi mkuu. Shida tunamafisadi wengi Mhe. Rais naomba uwe unawasikiliza wananchi wako kuliko hawa chawa viongozi wanaojali matumbo zao