Mbarikiwa AMEMSIFIA MPINA. Huyo ni TAJIRI kuliko WABUNGE WOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024

ความคิดเห็น • 26

  • @MagrethKatondo-qs9oz
    @MagrethKatondo-qs9oz วันที่ผ่านมา

    Utu wema ni hazina kubwa mbele za mungu. Ee Mungu tusaidie kuenenda kwa kadiri ya mapenzi yako. Zaidi sana kutenda haki na kuwajali wanyonge ambao ndiyo mfano wa sura yako. Tunapokuabudu tukuabudu kwa moyo na kweli bila unafiki. Mungu utuhurumie

  • @Meiruzibwe
    @Meiruzibwe 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu amekuweka kwa wakati muhimu sana 🙏
    Mch. Mbarikiwa wewe umebarikiwa songa mbele ulipo nipo🙏✍️

  • @DaudLucas-qj3mp
    @DaudLucas-qj3mp วันที่ผ่านมา

    Sauti ya mungu hawezi kunyamazishwa na mwanadamu asieijua kesho yake.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mm naombea sana sana tena sana ire ndege iriopita kure irani na malawi ingepita na huku tanzania ipunguze wezi

  • @josephkmarwa7425
    @josephkmarwa7425 6 วันที่ผ่านมา

    Mpina..umuhimu..wako..hapa..duniani..unaujua..watanzania..wengi..tuko..pamoja..kwa..mungu..ushi..maisha..marefu..amen

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 10 วันที่ผ่านมา +2

    Be blessed 🙏🙏 mbunge mpina

  • @NixonJohnson-zn8nk
    @NixonJohnson-zn8nk 9 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu akusimamie mbarikiwa kwa kuliona hilo jamani.. Mpina tumchangia kea lolote..

  • @bcozhenry2698
    @bcozhenry2698 9 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu azidi kukutumia kadri apendavyo! 🎉🎉🎉🎉

  • @user-tn7ic2ky3i
    @user-tn7ic2ky3i 10 วันที่ผ่านมา +1

    Ubarikiwe mtumishi mpina ni mtu wakuingwa mfano wa Makufuli

  • @samsonogunde4508
    @samsonogunde4508 9 วันที่ผ่านมา

    Nimekukubali Kweli na Ujumbe Umefika hata kama Awabadiliki Tuwashitaki kwa Mungu.

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv วันที่ผ่านมา

    HAKIKA MPINA MUNGU AKUBALIKI SANA WATUMISHI WA MUNGU WANAKUOMBEA KAMA UNAVYO ONA

  • @KamardinTebe
    @KamardinTebe วันที่ผ่านมา

    Mpina alijitowa Sadaka kwa ajili ya watanzani

  • @ChristerKoku
    @ChristerKoku 8 วันที่ผ่านมา

    Covid mnawaonea sana,mbona wabunge wa CCM ndo kimbelembe kumtosa Mpina na kushinddwa kuwatetea watanzania.

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o 8 วันที่ผ่านมา

    Kweli gwakukaja Mpina waMemuonea sana.

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 9 วันที่ผ่านมา

    Kweli mubalikiwa ukiwa muoga kama ndugayi mama mama nimekosa kusema nchi imeuzwa

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 9 วันที่ผ่านมา

    Mpina heli ufukuzwa kuliko kua chawa spika Baki na covd19

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 9 วันที่ผ่านมา

    Hakika atalipwa mbinguni na duniani

  • @petermwenda6470
    @petermwenda6470 10 วันที่ผ่านมา

    Nimependa muda clip imeruka

    • @HelbethMlelwa
      @HelbethMlelwa  10 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha baba bado tupo tunatafuta kufunua majina yetu

  • @charlesnyanhanga4382
    @charlesnyanhanga4382 9 วันที่ผ่านมา +3

    Mchungaji huyu anaongea kweli

    • @SamackIshirin
      @SamackIshirin 9 วันที่ผ่านมา

      Bwana yesu asifiwe sana mtumishi wa mungu mbarikiwa ongereni sana kazi ya mungu

    • @user-xh8kd9ze7o
      @user-xh8kd9ze7o 9 วันที่ผ่านมา +1

      Anaongea kweli mtupu

  • @charlesphilipo3533
    @charlesphilipo3533 7 วันที่ผ่านมา

    Bakisha maneno ,,,unaonywa kila mara lakini wapi,,,,punguza matusi hubiri neno la Mungu achana na mambo ya siasa

    • @user-qy7he6cl8w
      @user-qy7he6cl8w 6 วันที่ผ่านมา

      Ufahamu wako ni mdogo bila D mbili hutamuelewa mbarikiwa

    • @charlesphilipo3533
      @charlesphilipo3533 6 วันที่ผ่านมา

      @@user-qy7he6cl8w mmefeli sana nyie mnayemtukuza huyo mpuuzi wenu mbinguni hamuendi

    • @gasperelasto8842
      @gasperelasto8842 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂umenichekesha sana​@@user-qy7he6cl8w