UFUGAJI NGURUWE KIBIASHARA, DAKTARI WA MIFUGO, MBEGU BORA ZA KISASA, UFUGAJI WENYE TIJA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Ufugaji wa Nguruwe Kibiashara, Wasilina nasi +255 715 866 027 kwa mahitaji ya vifaranga bora vya Nguruwe!
    Soscial media ‪@KilimoProTanzania‬

ความคิดเห็น • 24

  • @BettyKiara
    @BettyKiara หลายเดือนก่อน

    Wonderful

  • @severina3429
    @severina3429 ปีที่แล้ว

    Asante,naomba vipimo vya chakula kwa kila kundi na Bei ya kifanga

  • @JastinMaskati
    @JastinMaskati 2 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuuliza,kuna madhara gani nguruwe kupandwa siku chache baada ya kuzaaa?

  • @baltamjasiriamali9101
    @baltamjasiriamali9101 24 วันที่ผ่านมา

    nilikua naomba kufahamu

  • @RajabuRamadhani-t3h
    @RajabuRamadhani-t3h หลายเดือนก่อน

    Naitaji mbegu kwa ajili ya kufuga

  • @severina3429
    @severina3429 11 หลายเดือนก่อน

    Naomba namna ya kuchanganya kwa vifannga wa miezi 2

  • @baltamjasiriamali9101
    @baltamjasiriamali9101 24 วันที่ผ่านมา

    vitoto vya ngurue vikisha timiza chanjo ya siku 21 unaweza kuvipiga dawa ya minyo baada ya mda gani na mama yao pia unawea kumpiga dawa ya minyo baada ya siku ngapi

  • @RajabuRamadhani-t3h
    @RajabuRamadhani-t3h หลายเดือนก่อน

    Hofisi yenu ipo dar es salaaam

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  หลายเดือนก่อน

      @@RajabuRamadhani-t3h 0715 866 027

  • @berttha847
    @berttha847 ปีที่แล้ว

    Asante sana. Ninaomba namba yako . Nahitaji ushauri

  • @LuluAlefu
    @LuluAlefu 7 วันที่ผ่านมา

    Kaka na penda kufuga ilachangamoto ni mbegu

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  6 วันที่ผ่านมา

      @@LuluAlefu Karibu sana, mbegu nzuri zinapatikana kwetu, 0715 866 027

  • @marcomendane765
    @marcomendane765 7 หลายเดือนก่อน

    Nataka nianze ufugaji nguruwe kwaiyo nipate elimu Kwanza?

  • @DeogratiasMallya
    @DeogratiasMallya ปีที่แล้ว

    naomba namba zako kak mim naitaji mbegu napia naitaji fomla ya chakula

  • @NeemaMtambo-m6f
    @NeemaMtambo-m6f 3 หลายเดือนก่อน

    Nahitaji mbegu ya kisasa naipataje

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  3 หลายเดือนก่อน

      @@NeemaMtambo-m6f Karibu, Wasiliana nasi 0715 866 027

  • @NeemaMtambo-m6f
    @NeemaMtambo-m6f 3 หลายเดือนก่อน

    Minaitaji mbegu Bora ya watoto wa nguruwe

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  3 หลายเดือนก่อน

      @@NeemaMtambo-m6f Karibu Wasiliana nasi 0715 866 027

  • @cleopatrasalum6206
    @cleopatrasalum6206 ปีที่แล้ว

    Napataje mbegu za kisasa na ni bei gani