Tazama ujifunze: Ujenzi wa Banda bora la Nguruwe

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
  • Playlist zetu mbalimbali
    SHAMBADARASA
    Jifunze Mengi kuhusu kilimo na ufugaji Bora👇
    • SHAMBA DARASA
    UFUGAJI WA MENDE
    Jifunze kwa kina Kuhusu ufugaji wa mende👇
    • UFUGAJI WA MENDE
    UFUGAJI WA NGURUWE KIBIASHARA
    jifunze ufugaji wa Nguruwe kibiashara👇
    • UFUGAJI WA NGURUWE KIB...
    UFUGAJI WA KUKU WA ASILI KIBIASHARA👇
    • UFUGAJI WA KUKU WA ASI...
    MAFUNZO YA UJASILIAMARI 👇
    • MAFUNZO YA UJASILIAMALI
    SUBSCRIBE KUJIFUNZA MENGI ZAIDI
    #ShambaDarasa
    ________________________________
    For Business & Enquires
    Website: tanzanianakili...
    Email: rubabaimani@gmail.com
    Instagram: @RubabaMedia
    Phone: +255764148221

ความคิดเห็น • 53

  • @Faby-p7r
    @Faby-p7r หลายเดือนก่อน +1

    Nmeipenda sana iyo broo

  • @lucasluvanda2250
    @lucasluvanda2250 ปีที่แล้ว +1

    Nawashukuru sana Kwa eimu hii keep it up

  • @jameskisaka8203
    @jameskisaka8203 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, banda nzuri. Sijaona milango na tayari plasta. Milango naweza ona imekaaje

  • @joshuamassawe2474
    @joshuamassawe2474 2 ปีที่แล้ว +3

    Asee kuna watu walikua wanakusema vibaya ila bro una mchango mkubwa sana kwa sisi wakulima wapya. Be blessed!

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  2 ปีที่แล้ว

      Asante Sana, usijali hata yesu alisemwa vibaya

  • @bonfacejoseph6346
    @bonfacejoseph6346 หลายเดือนก่อน

    Naomba ramani ya hilo banda

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  หลายเดือนก่อน

      Wasiliana nasi 0764 148 221

  • @rozkiwale912
    @rozkiwale912 2 หลายเดือนก่อน

    Nimeipenda sana

  • @regantemba6032
    @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว +2

    Thank you so much

  • @suemutajaa1140
    @suemutajaa1140 4 ปีที่แล้ว +1

    Naomba ulishaji.kutengeneza chakula. Bei nafuu

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 ปีที่แล้ว +1

      Tunaweza kuwasiliana
      0764148221

  • @christelle9690
    @christelle9690 3 ปีที่แล้ว +1

    Congratulations

  • @chrispinemwinuka8982
    @chrispinemwinuka8982 2 ปีที่แล้ว

    Vizuri saana

  • @amosimichael208
    @amosimichael208 4 ปีที่แล้ว +2

    Dah banda makini

  • @christelle9690
    @christelle9690 3 ปีที่แล้ว

    Yes

  • @tullysovellaamina5112
    @tullysovellaamina5112 4 ปีที่แล้ว +1

    Chakula bora cha Nguruwe

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 ปีที่แล้ว

      Unaweza Kutazama yote hayo katika video list

  • @PatrickKarugaba-xz7rw
    @PatrickKarugaba-xz7rw 10 หลายเดือนก่อน

    Ufugaji wa nguwe wakisasa

  • @christelle9690
    @christelle9690 3 ปีที่แล้ว

    Good sir

  • @gwamakamartin7090
    @gwamakamartin7090 4 ปีที่แล้ว +2

    Kweli nimejifunza kitu...

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 ปีที่แล้ว

      Asante kwa kua nasi 🤝

  • @GilbertMushi-fz7ut
    @GilbertMushi-fz7ut 3 หลายเดือนก่อน

    Naweza kupata mawasiliano yako ya WhatsApp tuweze kuwasiliana vizuri kuhusiana na utengenezaji wa banda kama hilo

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 หลายเดือนก่อน

      0764 148 221 wasiliana nasi

  • @user-hf4yn1qm7y
    @user-hf4yn1qm7y 12 วันที่ผ่านมา

    Shida ya hizi video zenu hazitoi namna ya kupata hiyo huuduma ...mfano unasema watoto Bora wa nguruwe lkn husemi wanapatikana wapi kwahyo tija ya elimu yako unakuwa butu

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  12 วันที่ผ่านมา

      Ukiwa interested piga simu usaidiwe.
      Hatuwezi kuweka kila kitu kama unavyotaka.
      Tuna huduma tofauti tofauti za kulipia karibu

  • @chrispinemwinuka8982
    @chrispinemwinuka8982 2 ปีที่แล้ว

    Mangonjwa gani hatarishi zaidi

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  2 ปีที่แล้ว

      Kuna magonjwa mengi Sana. Ila swine fever ni hatari Sana pia.
      Wasiliana nasi kufahamu Zaidi 0764148221

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 4 ปีที่แล้ว +1

    Boss rubaba nikuombe unisaidie formula yanguruwe aliyejifungua kutoka siku anapozaa nakuendelea

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 ปีที่แล้ว +1

      Tunaweza kuwasiliana
      0764148221

  • @GeradiJohn-ro8fl
    @GeradiJohn-ro8fl ปีที่แล้ว

    Mbna mafupi hawezi ruka

  • @abelraphael9746
    @abelraphael9746 4 ปีที่แล้ว +2

    Et nikwel nguruwe akiwa na mafuta mengi hashiki mimba

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  4 ปีที่แล้ว

      Nguruwe anapokua na mafuta mengi, inaweza kusababisha kuongeaza uwezekano wa Nguruwe kushika mimba kwa shida, lakin sio Moja kwa moja kwamba lazima hashiki mimba,

    • @regantemba6032
      @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว

      Ahaa sawa sawa

    • @frolianclaudian8652
      @frolianclaudian8652 3 ปีที่แล้ว

      @@RubabaTv et kiongozi iloo Banda kinaweza mudu ngurue Kama wangapi ??

  • @regantemba6032
    @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว

    Je endapo nikajenga Banda nje kwa tofali Kisha ndani nikatenganisha kwa nondo Kuna shida?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว

      Aina shida
      Unaweza kuweka namna unayooma inapunguza gharama

  • @sniper250goloit3
    @sniper250goloit3 3 ปีที่แล้ว +1

    Hi, how much did this cost u?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว +1

      It may cost up to $3000

    • @sniper250goloit3
      @sniper250goloit3 3 ปีที่แล้ว +1

      @@RubabaTv still cheap sir 👌🏿 Asante 👏🏿

    • @sniper250goloit3
      @sniper250goloit3 3 ปีที่แล้ว

      How can i contact u bro?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว +1

      +255764148221

  • @user-wg3zf9gf2f
    @user-wg3zf9gf2f 4 หลายเดือนก่อน

    Samahan banda kama hili linagarimu kiasi gan cha pesa

  • @regantemba6032
    @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว

    Je unaweza kutupa namba za huyo mfugaji?

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว +1

      Tunaweza kuwasiliana 0764148221

    • @regantemba6032
      @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว +1

      Inafurahisha kupewa majibu on time
      Thank you so much

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว

      Karibu na endelea kua nasi na kuwajulisha wengine

    • @regantemba6032
      @regantemba6032 3 ปีที่แล้ว

      Okay fine

  • @ngailengaile2230
    @ngailengaile2230 3 ปีที่แล้ว

    Mvua ikinyesha watoto hawawezi kudhurika na maji

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  3 ปีที่แล้ว

      Katika sehemu ya watoto ni vyema kuweka mazingira mazuri kuepusha baridi na unyevu